< Yoshua 19 >

1 Upigaji wa pili wa kura uliangukia kwa Simoni na waligawiwa kwa kila ukoo wao. Urithi wao ulikuwa katikati ya urithi ulikuwa ni mali ya kabila la Yuda.
Второй жребий вышел Симеону, колену сынов Симеоновых, по племенам их; и был удел их среди удела сынов Иудиных.
2 Urithi waliokuwa nao ni Beerisheba, Sheba, Molada,
В уделе их были: Вирсавия или Шева, Молада,
3 Hazari Shuali, Bala, Ezemu,
Хацар-Шуал, Вала и Ацем,
4 Elitoladi, Bethuli na Horma.
Елтолад, Вефул и Хорма,
5 Simoni alikuwa pia na Ziklagi, Bethi Markabothi, Hazari Susa,
Циклаг, Беф-Маркавоф и Хацар-Суса,
6 Bethi Lebaothi, na Sharuheni. Kulikuwa na miji kumi na mitatu pamoja na vijiji vyake. Vile vile
Беф-Леваоф и Шарухен: тринадцать городов с их селами.
7 Simoni alimiliki Aini, Rimon, Etheri, na Ashani. Hii ilikuwa ni miji minne pamoja na vijiji vyake.
Аин, Риммон, Ефер и Ашан: четыре города с селами их,
8 Miji hii pamoja na vijiji vilivyoizunguka hata kufika Baalathi Beeri (ambao ndio Rama katika Negevu). Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Simoni, waliopewa kwa koo zao.
и все села, которые находились вокруг городов сих даже до Ваалаф-Беера, или южной Рамы. Вот удел колена сынов Симеоновых, по племенам их.
9 Urithi wa kabila la Simoni ulikuwa sehemu ya himaya ya kabila la Yuda. Hii ni kwasababu nchi waliyopewa kabila la Yuda ilikuwa ni kubwa kwao, na hivyo kabila la Simoni lilipokea urithi wao kutoka katika sehemu yao ya katikati.
От участка сынов Иудиных выделен удел колену сынов Симеоновых. Так как участок сынов Иудиных был слишком велик для них, то сыны Симеоновы и получили удел среди их удела.
10 Upigaji wa kura ya tatu uliangukia kwa kabila la Zabuloni, na walipewa kwa koo zao. Mpaka wa urithi wao ulianzia huko Saridi.
Третий жребий выпал сынам Завулоновым по племенам их, и простирался предел удела их до Сарида;
11 Mpaka wao ulipanda upande wa magharibi kuelekea Marala na ukaigusa Dabeshethi, na kisha ukasonga kuelekea kijito kilichokuwa mkabala na Yokineamu.
предел их восходит к морю и Марале и примыкает к Дабешефу и примыкает к потоку, который пред Иокнеамом;
12 Kutoka Saridi mpaka ulizunguka upande wa mashariki kuelekea mashariki na ulienda hadi mpaka wa Kislothi Tabori. Kutoka hapo uliendelea hadi Daberathi na kisha ulipanda hata Yafia.
от Сарида идет назад к восточной стороне, к востоку солнца, до предела Кислоф-Фавора; отсюда идет к Даврафу и восходит к Иафии;
13 Kutoka hapo ulipita katika upande wa mashariki mwa Gathi Heferi, na kisha ukafika Ethikazini, baadaye ulienda hadi Rimoni na kisha ukageuka kuelekea Nea.
отсюда проходит к востоку в Геф-Хефер, в Итту-Кацин, и идет к Риммону, Мифоару и Нее;
14 Mpaka ulizunguka kueleka kaskazini ukafika Hanathoni na ulikomea katika bonde la Ifta Eli.
и поворачивает предел от севера к Ханнафону и оканчивается долиною Ифтах-Ел;
15 Mkoa huu ulijumuisha miji ya Katathi, Nahalali, Shimroni, Idala, na Bethlehemu. Kulikuwa na miji kumi na miwili, pamoja na vijiji vyake.
далее: Каттаф, Нагалал, Шимрон, Идеала и Вифлеем: двенадцать городов с их селами.
16 Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Zabuloni, waliopewa kwa kufuatana na koo zao - miji pamoja na vijiji vyake.
Вот удел сынов Завулоновых, по их племенам; вот города и села их.
17 Upigaji kura wa nne uliangukia kwa Isakari, na waligawiwa kufuatana na koo zao.
Четвертый жребий вышел Иссахару, сынам Иссахара, по племенам их;
18 Eneo lao lilijumuisha Jezreelli, Kesuloothi, Shunemu,
пределом их был: Изреель, Кесуллоф и Сунем,
19 Hafaraimu, Shioni, na Anaharathi.
Хафараим, Шион и Анахараф,
20 Pia ilijumuisha miji ya Rabithi, Kishioni, Ebezi,
Раввиф, Кишион и Авец,
21 Remethi, Enganimu, Enihada, na Bethipazezi.
Ремеф, Ен-Ганним, Ен-Хадда и Беф-Пацец;
22 Mpaka wao ulifika Tabor, Shahazuma, na Bethi Shemeshi, na ukakomea katika Yordani. Ilikuwa ni miji kumi na sita, pamoja na vijiji vyake.
и примыкает предел к Фавору и Шагациме и Вефсамису, и оканчивается предел их у Иордана: шестнадцать городов с селами их.
23 Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Isakari, na walipewa kufuatana na koo zao - miji pamoja na vijiji vyake.
Вот удел колена сынов Иссахаровых по племенам их; вот города и села их.
24 Upigaji wa kura ya tano uliangukia kwa kabila la Asheri, na walipewa kwa koo zao.
Пятый жребий вышел колену сынов Асировых, по племенам их;
25 Eneo lao lilijumuisha miji ya Helikathi, Hali, Beteni, Akashafu,
пределом их были: Хелкаф, Хали, Ветен и Ахсаф,
26 Alameleki, Amadi, na Mshali. Mpaka wa magharibi ulitanuka hadi Karmeli na Shihori Libnathi.
Аламелех, Амад и Мишал; и примыкает предел к Кармилу с западной стороны и к Шихор-Ливнафу;
27 Kisha ulizunguka upande wa mashariki kueleka Bethi Dagoni na ukaenda hadi Zabuloni, na kisha ukafika katika bonde la ifutaheli, upande wa kaskazini mwa Bethemeki na Neieli. Baadaye uliendelea mbele hata Kabuli kueleka upande wa Kaskazini.
потом идет назад к востоку солнца в Беф-Дагон, и примыкает к Завулону и к долине Ифтах-Ел с севера, и входит в пределы Асафы в Беф-Емек и Неиел, и идет у Кавула, с левой стороны;
28 Na kisha ulienda hadi Ebroni, Rehobu, Hammoni, na Kana, hata kufika mji mkubwa wa Sidoni.
далее: Еврон, Рехов, Хаммон и Кана, до Сидона великого;
29 Mpaka ulirudi nyuma kuelekea Rama, na kisha ukafika kwenye mji wa Tiro uliokuwa na ngome. Baada ya hapo mpaka ulizunguka kuelekea Hosa na ulikomea katika bahari, katika mkoa wa Akizibu,
потом предел возвращается к Раме до укрепленного города Тира, и поворачивает предел к Хоссе, и оканчивается у моря, в местечке Ахзиве;
30 Umma, Afeki, na Rehobu. Kulikuwa na miji ishirini na miwili, pamoja na vijiji vyake.
далее: Умма, Афек и Рехов: двадцать два города с селами их.
31 Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Asheri, na waliopewa kwa koo zao - miji pamoja na vijiji vyake.
Вот удел колена сынов Асировых, по племенам их; вот города и села их.
32 Upigaji wa kura wa mara ya sita uliangukia kwa kabila la Nafutali, na walipewa kufuatana na koo zao.
Шестой жребий вышел сынам Неффалима, сынам Неффалима по племенам их;
33 Mpaka wao ulianzia Helefu, kutoka katika mwaloni huko Zaananimu, ulipanda hadi Adaminekebu na Yabneeli, umbali kama Lakumu; na ulikomea katka Yordani.
предел их шел от Хелефа и от дубравы, что в Цананниме, к Адами-Некеву и Иавнеилу, до Лаккума, и оканчивался у Иордана;
34 Mpaka ule ulizunguka upande wa magharibi kuelekea Aznothi Tabori na ulipanda hadi Hukoki; uligusa Zabuloni katika upande wa kusini, na ulifika hata Asheri katika upande wa magharibi, na Yuda katika upande wa mashariki huko katika mto Yordani.
отсюда возвращается предел на запад к Азноф-Фавору и идет оттуда к Хуккоку, и примыкает к Завулону с юга, и к Асиру примыкает с запада, и к Иуде у Иордана, от востока солнца.
35 Miji yenye ngome ilikuwa ni Zidimu, Zeri, Hammathi, Rakathi, Kinnerethi,
Города укрепленные: Циддим, Цер, Хамаф, Раккаф и Хиннереф,
36 Adama, Rama, Hazori,
Адама, Рама и Асор,
37 Kedeshi, Edrei, na Eni Hazori.
Кедес, Едрея и Ен-Гацор,
38 Pia kulikuwa na miji ya Yironi, Migdaleli, Horemu, Bethi Anathi, na Bethi Shemeshi. Kulikuwa na miji kumi na tisa, pamoja na vijiji vyake.
Иреон, Мигдал-Ел, Хорем, Беф-Анаф и Вефсамис: девятнадцать городов с их селами.
39 Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Nafutali, na walipewa miji pamoja na vijiji vyake kufuatana na koo zao.
Вот удел колена сынов Неффалимовых по племенам их; вот города и села их.
40 Upigaji wa kura ya saba uliangukia kwa kabila la Dani, na walipewa kufuatana na koo zao.
Колену сынов Дановых, по племенам их, вышел жребий седьмой;
41 Eneo lao la urithi lilijumuisha miji ya Zora, Eshitaoli, Iri Shemeshi,
пределом удела их были: Цора, Ештаол и Ир-Шемеш,
42 Shaalabini, Aijaloni, na Ithila.
Шаалаввин, Аиалон и Ифла,
43 Vile vile lilijumuisha miji ya Eloni, Timna, Ekroni,
Елон, Фимнафа и Екрон,
44 Eliteke, Gibethoni, Baalathi,
Елтеке, Гиввефон и Ваалаф,
45 Yehudi, Bene - Beraki, Gathi Rimoni,
Игуд, Бене-Верак и Гаф-Риммон,
46 Me -Yarkoni, na Rakoni sambamba na eneo la karibu na Yopa.
Ме-Иаркон и Ракон с пределом близ Иоппии. И вышел предел сынов Дановых мал для них.
47 Ilitokea wakati mpaka wa kabila la Dani ulipowapotea, kabila la Dani waliishambulia Leshemu, wakapigana nao, na wakauteka. Waliua kila mtu kwa upanga, wakauchukua ukawa mali yao, na wakakaa ndani yake. Wakauita mji ule Dani jina la babu yao badala ya Leshemu.
И сыны Дановы пошли войною на Ласем и взяли его, и поразили его мечом, и получили его в наследие, и поселились в нем, и назвали Ласем Даном по имени Дана, отца своего. Аморреи оставались жить в Еломе и Саламине, но рука Ефремова одолела их, и сделались они данниками ему.
48 Huu ulikuwa urithi wa kabila la Dani, waliopewa kufuatana na koo zao - miji pamoja na vijiji vyake.
Вот удел колена сынов Дановых, по племенам их; вот города и села их. Сыны Дановы не истребили Аморреев, которые стеснили их на горе, и не давали им Аморреи выходить на долину и отняли у них предел их участка.
49 Walipomaliza kugawana urithi wa nchi, watu wa Israeli walimpa urithi Yoshua mwana wa Nuni kutoka miongoni mwao.
Когда окончили разделение земли, по пределам ее, тогда сыны Израилевы дали среди себя удел Иисусу, сыну Навину:
50 Kwa amri ya Yahweh walimpatia mji wa Timnathi Sera ambao aliuomba, ulikuwa katika nchi ya milima ya Efraimu. Aliujenga mji na akaishi huko.
по повелению Господню дали ему город Фамнаф-Сараи, которого он просил, на горе Ефремовой; и построил он город и жил в нем.
51 Na huu ndio urithi ambao Eliazari kuhani, na Yoshua mwana wa Nuni, na viongozi wa makabila ya familia za mababu zao miongoni mwa watu wa Israeli, waligawa kwa kupiga kura huko Shilo, mbele za Yahweh katika mlango wa hema la kukutania. Na hivyo wakamaliza kuigawa nchi.
Вот уделы, которые Елеазар священник, Иисус, сын Навин, и начальники поколений разделили коленам сынов Израилевых, по жребию, в Силоме, пред лицом Господним, у входа скинии собрания. И кончили разделение земли.

< Yoshua 19 >