< Yoshua 19 >
1 Upigaji wa pili wa kura uliangukia kwa Simoni na waligawiwa kwa kila ukoo wao. Urithi wao ulikuwa katikati ya urithi ulikuwa ni mali ya kabila la Yuda.
Undian kedua pembagian tanah jatuh pada suku Simeon. Tanah warisan yang diberikan kepada marga-marga suku Simeon dikelilingi oleh tanah warisan suku Yehuda.
2 Urithi waliokuwa nao ni Beerisheba, Sheba, Molada,
Suku Simon mendapat tiga belas kota dan empat kota dengan desa-desa di sekitarnya sebagai warisan mereka. Tiga belas kota itu adalah Bersyeba (atau Syeba), Molada, Hazar Sual, Bala, Ezem, Eltolad, Betul, Horma, Ziklag, Bet Hamarkabot, Hazar Susa, Bet Lebaot, dan Saruhen. Empat kota itu adalah Ain, Rimon, Eter, dan Asan,
3 Hazari Shuali, Bala, Ezemu,
4 Elitoladi, Bethuli na Horma.
5 Simoni alikuwa pia na Ziklagi, Bethi Markabothi, Hazari Susa,
6 Bethi Lebaothi, na Sharuheni. Kulikuwa na miji kumi na mitatu pamoja na vijiji vyake. Vile vile
7 Simoni alimiliki Aini, Rimon, Etheri, na Ashani. Hii ilikuwa ni miji minne pamoja na vijiji vyake.
8 Miji hii pamoja na vijiji vilivyoizunguka hata kufika Baalathi Beeri (ambao ndio Rama katika Negevu). Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Simoni, waliopewa kwa koo zao.
termasuk semua desa di sekeliling kota-kota itu sampai sejauh kota Baalat Beer (yaitu Rama di padang belantara Negeb). Itulah warisan milik marga-marga suku Simeon.
9 Urithi wa kabila la Simoni ulikuwa sehemu ya himaya ya kabila la Yuda. Hii ni kwasababu nchi waliyopewa kabila la Yuda ilikuwa ni kubwa kwao, na hivyo kabila la Simoni lilipokea urithi wao kutoka katika sehemu yao ya katikati.
Suku Simeon diberi tanah warisan di tengah-tengah wilayah suku Yehuda karena tanah warisan suku Yehuda terlalu luas bagi mereka.
10 Upigaji wa kura ya tatu uliangukia kwa kabila la Zabuloni, na walipewa kwa koo zao. Mpaka wa urithi wao ulianzia huko Saridi.
Undian ketiga pembagian tanah jatuh pada marga-marga suku Zebulon. Tanah warisan mereka terbentang sampai ke kota Sarid di selatan.
11 Mpaka wao ulipanda upande wa magharibi kuelekea Marala na ukaigusa Dabeshethi, na kisha ukasonga kuelekea kijito kilichokuwa mkabala na Yokineamu.
Batas selatan wilayah mereka mulai dari Sarid, naik ke arah barat laut ke kota Marala, dan sampai ke kota Dabeset, terus ke sungai yang mengalir lewat sebelah timur kota Yokneam.
12 Kutoka Saridi mpaka ulizunguka upande wa mashariki kuelekea mashariki na ulienda hadi mpaka wa Kislothi Tabori. Kutoka hapo uliendelea hadi Daberathi na kisha ulipanda hata Yafia.
Dari Sarid, garis batas itu menuju ke arah timur, ke perbatasan kota Kislot Tabor, lalu terus sampai kota Daberat, dan naik ke kota Yafia.
13 Kutoka hapo ulipita katika upande wa mashariki mwa Gathi Heferi, na kisha ukafika Ethikazini, baadaye ulienda hadi Rimoni na kisha ukageuka kuelekea Nea.
Dari sana, garis batas Zebulon itu menuju ke arah timur, ke kota Gat Hefer, lalu menuju ke kota Et Kazin, terus ke kota Rimon, dan berbelok di kota Nea di utara.
14 Mpaka ulizunguka kueleka kaskazini ukafika Hanathoni na ulikomea katika bonde la Ifta Eli.
Dari situ, garis batas utara Zebulon menuju ke kota Hanaton dan berakhir di lembah Yiftah El.
15 Mkoa huu ulijumuisha miji ya Katathi, Nahalali, Shimroni, Idala, na Bethlehemu. Kulikuwa na miji kumi na miwili, pamoja na vijiji vyake.
Di wilayah mereka ada dua belas kota dengan desa-desa di sekitarnya, termasuk Katat, Nahalal, Simron, Yidala, dan Betlehem.
16 Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Zabuloni, waliopewa kwa kufuatana na koo zao - miji pamoja na vijiji vyake.
Kota-kota itu dan desa-desa di sekitarnya menjadi warisan milik marga-marga suku Zebulon.
17 Upigaji kura wa nne uliangukia kwa Isakari, na waligawiwa kufuatana na koo zao.
Undian keempat pembagian tanah jatuh pada marga-marga suku Isakar.
18 Eneo lao lilijumuisha Jezreelli, Kesuloothi, Shunemu,
Di wilayah mereka ada enam belas kota dengan desa-desa di sekitarnya, yaitu Yisreel, Kesulot, Sunem, Hafaraim, Sion, Anaharat, Rabit, Kisyon, Ebes, Remet, En Ganim, En Hada, dan Bet Pazes. Batas wilayah mereka menyentuh puncak Tabor, Sahazuma, Bet Semes, dan berakhir di sungai Yordan.
19 Hafaraimu, Shioni, na Anaharathi.
20 Pia ilijumuisha miji ya Rabithi, Kishioni, Ebezi,
21 Remethi, Enganimu, Enihada, na Bethipazezi.
22 Mpaka wao ulifika Tabor, Shahazuma, na Bethi Shemeshi, na ukakomea katika Yordani. Ilikuwa ni miji kumi na sita, pamoja na vijiji vyake.
23 Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Isakari, na walipewa kufuatana na koo zao - miji pamoja na vijiji vyake.
Kota-kota itu dan desa-desa di sekitarnya menjadi warisan milik marga-marga suku Isakar.
24 Upigaji wa kura ya tano uliangukia kwa kabila la Asheri, na walipewa kwa koo zao.
Undian kelima pembagian tanah jatuh pada marga-marga suku Asyer.
25 Eneo lao lilijumuisha miji ya Helikathi, Hali, Beteni, Akashafu,
Kota-kota dalam wilayah mereka termasuk Helkat, Hali, Beten, Aksaf,
26 Alameleki, Amadi, na Mshali. Mpaka wa magharibi ulitanuka hadi Karmeli na Shihori Libnathi.
Alamelek, Amad, dan Misal. Batas wilayah mereka di sebelah barat menyentuh gunung Karmel dan sungai Libnat.
27 Kisha ulizunguka upande wa mashariki kueleka Bethi Dagoni na ukaenda hadi Zabuloni, na kisha ukafika katika bonde la ifutaheli, upande wa kaskazini mwa Bethemeki na Neieli. Baadaye uliendelea mbele hata Kabuli kueleka upande wa Kaskazini.
Dari sana garis batas itu berbelok ke arah timur menuju kota Bet Dagon, berbatasan dengan wilayah Zebulon dan lembah Yiftah El, terus ke arah utara ke kota Bet Emek dan Nehiel, terus menuju kota Kabul di arah utara,
28 Na kisha ulienda hadi Ebroni, Rehobu, Hammoni, na Kana, hata kufika mji mkubwa wa Sidoni.
kemudian ke kota Ebron, Rehob, Hamon, dan Kanah, sampai ke kota besar Sidon.
29 Mpaka ulirudi nyuma kuelekea Rama, na kisha ukafika kwenye mji wa Tiro uliokuwa na ngome. Baada ya hapo mpaka ulizunguka kuelekea Hosa na ulikomea katika bahari, katika mkoa wa Akizibu,
Lalu batas itu berbelok ke arah Rama sampai ke kota benteng Tirus, berbelok ke kota Hosa, dan berakhir di laut, di dekat kota Hebel, Akzib,
30 Umma, Afeki, na Rehobu. Kulikuwa na miji ishirini na miwili, pamoja na vijiji vyake.
Uma, Afek, dan Rehob. Di wilayah itu ada dua puluh dua kota dengan desa-desa di sekitarnya.
31 Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Asheri, na waliopewa kwa koo zao - miji pamoja na vijiji vyake.
Kota-kota itu dan desa-desa di sekitarnya menjadi warisan milik marga-marga suku Asyer.
32 Upigaji wa kura wa mara ya sita uliangukia kwa kabila la Nafutali, na walipewa kufuatana na koo zao.
Undian keenam pembagian tanah jatuh pada marga-marga suku Naftali.
33 Mpaka wao ulianzia Helefu, kutoka katika mwaloni huko Zaananimu, ulipanda hadi Adaminekebu na Yabneeli, umbali kama Lakumu; na ulikomea katka Yordani.
Batas utara wilayah suku Naftali mulai dari kota Helef dan pohon besar di Zaananim, lalu menuju ke kota Adami Nekeb, Yabneel, terus ke Lakum, dan berakhir di sungai Yordan.
34 Mpaka ule ulizunguka upande wa magharibi kuelekea Aznothi Tabori na ulipanda hadi Hukoki; uligusa Zabuloni katika upande wa kusini, na ulifika hata Asheri katika upande wa magharibi, na Yuda katika upande wa mashariki huko katika mto Yordani.
Batas ini berbelok ke arah barat ke Aznot Tabor, berlanjut ke kota Hukok, menyinggung daerah Zebulon di bagian selatan, daerah Asyer di bagian barat, dan sungai Yordan di bagian timur.
35 Miji yenye ngome ilikuwa ni Zidimu, Zeri, Hammathi, Rakathi, Kinnerethi,
Ada sembilan belas kota berbenteng di wilayah mereka dengan desa-desa di sekitarnya, yaitu Zidim, Zer, Hamat, Rakat, Kineret, Adama, Rama, Hazor, Kedes, Edrei, En Hazor, Yiron, Migdal El, Horem, Bet Anat, dan Bet Semes.
37 Kedeshi, Edrei, na Eni Hazori.
38 Pia kulikuwa na miji ya Yironi, Migdaleli, Horemu, Bethi Anathi, na Bethi Shemeshi. Kulikuwa na miji kumi na tisa, pamoja na vijiji vyake.
39 Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Nafutali, na walipewa miji pamoja na vijiji vyake kufuatana na koo zao.
Kota-kota itu dan desa-desa di sekitarnya menjadi warisan milik marga-marga suku Naftali.
40 Upigaji wa kura ya saba uliangukia kwa kabila la Dani, na walipewa kufuatana na koo zao.
Undian ketujuh pembagian tanah jatuh pada marga-marga suku Dan.
41 Eneo lao la urithi lilijumuisha miji ya Zora, Eshitaoli, Iri Shemeshi,
Wilayah suku Dan termasuk kota Zora, Estaol, Ir Semes,
42 Shaalabini, Aijaloni, na Ithila.
Saalabin, Ayalon, Yitla,
43 Vile vile lilijumuisha miji ya Eloni, Timna, Ekroni,
Elon, Timna, Ekron,
44 Eliteke, Gibethoni, Baalathi,
Elteke, Gibeton, Baalat,
45 Yehudi, Bene - Beraki, Gathi Rimoni,
Yehud, Bene Berak, Gat Rimon,
46 Me -Yarkoni, na Rakoni sambamba na eneo la karibu na Yopa.
sungai Yarkon, dan Rakon, termasuk wilayah di seberang Yopa.
47 Ilitokea wakati mpaka wa kabila la Dani ulipowapotea, kabila la Dani waliishambulia Leshemu, wakapigana nao, na wakauteka. Waliua kila mtu kwa upanga, wakauchukua ukawa mali yao, na wakakaa ndani yake. Wakauita mji ule Dani jina la babu yao badala ya Leshemu.
Tetapi orang-orang suku Dan tidak berhasil menguasai wilayah mereka. Karena itu, mereka pergi merebut kota Lesem dan menguasainya. Mereka menangkap dan membunuh semua penduduknya, lalu tinggal menetap di tempat itu. Kemudian mereka mengganti nama kota itu menjadi ‘Dan’, sesuai nama leluhur mereka.
48 Huu ulikuwa urithi wa kabila la Dani, waliopewa kufuatana na koo zao - miji pamoja na vijiji vyake.
Kota-kota itu dan desa-desa di sekitarnya menjadi warisan milik marga-marga suku Dan.
49 Walipomaliza kugawana urithi wa nchi, watu wa Israeli walimpa urithi Yoshua mwana wa Nuni kutoka miongoni mwao.
Sesudah orang Israel selesai membagi-bagi wilayah di antara suku-suku mereka sebagai tanah warisan, mereka memberi Yosua beberapa bidang tanah di tengah-tengah mereka sebagai tanah warisannya.
50 Kwa amri ya Yahweh walimpatia mji wa Timnathi Sera ambao aliuomba, ulikuwa katika nchi ya milima ya Efraimu. Aliujenga mji na akaishi huko.
Sesuai perintah TUHAN, mereka memberikan kepada Yosua kota yang diinginkannya, yaitu kota Timnat Serah di daerah pegunungan Efraim. Yosua membangun kembali kota itu dan tinggal di sana.
51 Na huu ndio urithi ambao Eliazari kuhani, na Yoshua mwana wa Nuni, na viongozi wa makabila ya familia za mababu zao miongoni mwa watu wa Israeli, waligawa kwa kupiga kura huko Shilo, mbele za Yahweh katika mlango wa hema la kukutania. Na hivyo wakamaliza kuigawa nchi.
Demikianlah pembagian tanah warisan yang dilakukan oleh Imam Eleazar, Yosua, bersama para pemimpin setiap suku Israel dengan cara melakukan undi untuk mengetahui kehendak TUHAN, di depan pintu masuk kemah TUHAN di Silo.