< Yoshua 19 >
1 Upigaji wa pili wa kura uliangukia kwa Simoni na waligawiwa kwa kila ukoo wao. Urithi wao ulikuwa katikati ya urithi ulikuwa ni mali ya kabila la Yuda.
Anichanna’a alodiova gam kipechu Simeon phung sunga phung bahkaiho chu ahiuve.
2 Urithi waliokuwa nao ni Beerisheba, Sheba, Molada,
Simeon gamlo dinga kipe hochu Beersheba, Sheba, Moladah,
3 Hazari Shuali, Bala, Ezemu,
Hazar-shual, Belah, Ezem,
4 Elitoladi, Bethuli na Horma.
Eltolad, Belhul, Hormah,
5 Simoni alikuwa pia na Ziklagi, Bethi Markabothi, Hazari Susa,
Ziklag, Bethmarcaboth, Hazar-susah,
6 Bethi Lebaothi, na Sharuheni. Kulikuwa na miji kumi na mitatu pamoja na vijiji vyake. Vile vile
Beth-lebaoth chuleh Sharuhon khopi somle thum toh vella khoho puma ahop ahi.
7 Simoni alimiliki Aini, Rimon, Etheri, na Ashani. Hii ilikuwa ni miji minne pamoja na vijiji vyake.
Hichun Ain, Rimmon, Ether, chule Ashan khopi li hotoh akhoneo hojong ahopme.
8 Miji hii pamoja na vijiji vilivyoizunguka hata kufika Baalathi Beeri (ambao ndio Rama katika Negevu). Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Simoni, waliopewa kwa koo zao.
Avelluva khohop jouse toh Baalath-beer (Negev ma Ramah jong akitin ahi) changei ahi. Hiche hohi Simeon phungle abahkhai ho gamlo dinga kipea chu ahi.
9 Urithi wa kabila la Simoni ulikuwa sehemu ya himaya ya kabila la Yuda. Hii ni kwasababu nchi waliyopewa kabila la Yuda ilikuwa ni kubwa kwao, na hivyo kabila la Simoni lilipokea urithi wao kutoka katika sehemu yao ya katikati.
Amaho kipe gamhi Judah te gamphabep kikah lha a kipe ahi. Ajeh chu Judah gamchu amaho dinga analen valla ahi. Hijeh chun Judah gamsunga kon in Simeon phungin gamchan phabep aneiyin ahi.
10 Upigaji wa kura ya tatu uliangukia kwa kabila la Zabuloni, na walipewa kwa koo zao. Mpaka wa urithi wao ulianzia huko Saridi.
Athum channa gamloding chan kipe chu: Zebulun phung sunga abahkhai ho ahiuve. Zebulun chenna gamgei chu Sarid na ahung kipan ahi.
11 Mpaka wao ulipanda upande wa magharibi kuelekea Marala na ukaigusa Dabeshethi, na kisha ukasonga kuelekea kijito kilichokuwa mkabala na Yokineamu.
Hichea konchun lhumlamma achen Maralah ahopan Dabbeesheth akhokhellin Jokneam vadungneo lang ajonnin ahi.
12 Kutoka Saridi mpaka ulizunguka upande wa mashariki kuelekea mashariki na ulienda hadi mpaka wa Kislothi Tabori. Kutoka hapo uliendelea hadi Daberathi na kisha ulipanda hata Yafia.
Sarid napat chun agamgihi gamchom jep'a akiheijin, Kishloth-tabor gamgi lang nisolamma nisa hungsodoh nalam ajontai. Chuin Deberath lang ajon kitnin, Japhia langa akilhung touve,
13 Kutoka hapo ulipita katika upande wa mashariki mwa Gathi Heferi, na kisha ukafika Ethikazini, baadaye ulienda hadi Rimoni na kisha ukageuka kuelekea Nea.
Japhia patchun nisolam ahin lhahin nisa hungsodoh jina Gath-hepher gal Eth-kazin geijin ahung kilhung paiyin chuin Rimmon channin akilhung doh peh in Neah lang jonin ahung kiheikon tai.
14 Mpaka ulizunguka kueleka kaskazini ukafika Hanathoni na ulikomea katika bonde la Ifta Eli.
Abanin sahlamma agamgi chu Hannathon langa akiheijin Iphtah-el phaiya abeitai.
15 Mkoa huu ulijumuisha miji ya Katathi, Nahalali, Shimroni, Idala, na Bethlehemu. Kulikuwa na miji kumi na miwili, pamoja na vijiji vyake.
Khopi hochu Kattath ahin, Nahalal ahin, Shimron ahin, Idalah ahin, chuleh Bethlehem toh ahi, khopi somleni toh akhoneo jousetoh ahithai.
16 Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Zabuloni, waliopewa kwa kufuatana na koo zao - miji pamoja na vijiji vyake.
Hichenghi Zebulun chate chan agam goulo ahin ainsung dungjui uva khopi hicheng toh akhoneo jouse toh chantha ahiuve.
17 Upigaji kura wa nne uliangukia kwa Isakari, na waligawiwa kufuatana na koo zao.
Ali channa gamloding chan kipe chu Issachar phung mite le asunga abahkhai ho ahiuve.
18 Eneo lao lilijumuisha Jezreelli, Kesuloothi, Shunemu,
Agamgi hopsunga chun Jezreel jong, Kesul’loth jong Shunem jong.
19 Hafaraimu, Shioni, na Anaharathi.
Hapharaim jong Shion jong Anaharath jong,
20 Pia ilijumuisha miji ya Rabithi, Kishioni, Ebezi,
Rabbith jong Kishion jong Ebez jong,
21 Remethi, Enganimu, Enihada, na Bethipazezi.
Remeth, En-gannim jong En-haddah jong, Beth-pazzez jong ahopdoh tai,
22 Mpaka wao ulifika Tabor, Shahazuma, na Bethi Shemeshi, na ukakomea katika Yordani. Ilikuwa ni miji kumi na sita, pamoja na vijiji vyake.
Agamgi chun Tabor jong Shahazuman jong chle Beth-shemesh jong ahopan, Jordan vadungah chun agamgi abeitai. Khopi somlegup toh akhoneo jouse toh ahiye.
23 Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Isakari, na walipewa kufuatana na koo zao - miji pamoja na vijiji vyake.
Hiche hi Issachar chate phung miho goulo achandio ahin, ainsung dungjuijin khopi chujat chutoh khoneo chengse toh achantha taove.
24 Upigaji wa kura ya tano uliangukia kwa kabila la Asheri, na walipewa kwa koo zao.
Anga channa gamloding chan kipe chu Asher phung mite le asunga abahkhai ho ahiuve.
25 Eneo lao lilijumuisha miji ya Helikathi, Hali, Beteni, Akashafu,
Agam chu Helkath jong Hali jong, Beten jong, Achshaph jong,
26 Alameleki, Amadi, na Mshali. Mpaka wa magharibi ulitanuka hadi Karmeli na Shihori Libnathi.
Allammelech jong, Amad jong chule Mishal jong ahoptai, nilhum lamma Carmel le Shihor-libnath jong ahopsoh keijin,
27 Kisha ulizunguka upande wa mashariki kueleka Bethi Dagoni na ukaenda hadi Zabuloni, na kisha ukafika katika bonde la ifutaheli, upande wa kaskazini mwa Bethemeki na Neieli. Baadaye uliendelea mbele hata Kabuli kueleka upande wa Kaskazini.
Chuin agamgi’n nisolam ajotnin, Beth-dagon geijin akilhung in, Zebulun leh Iphtahel phaicham ahopan, sahlam alhah in, Beth-emek leh Neiel geijin akilhung lut in ahi, chujouvin jong agamgi chu Cabul sahlamma achen,
28 Na kisha ulienda hadi Ebroni, Rehobu, Hammoni, na Kana, hata kufika mji mkubwa wa Sidoni.
Ebron lam, Rehob lam, Hammon lam, Kanah lam ajonnin, Sidon lengpa geijin akilhung lutne,
29 Mpaka ulirudi nyuma kuelekea Rama, na kisha ukafika kwenye mji wa Tiro uliokuwa na ngome. Baada ya hapo mpaka ulizunguka kuelekea Hosa na ulikomea katika bahari, katika mkoa wa Akizibu,
Hichun Ramah lamma agamgi chu ahung kihei kitnin Tyre khopi kulpi kikai khumchu ahinpha peh in ahi, chujouvin Hosah lam jonnin akihei kitnin chule Mediterranian twilena atangtai, Mehebel jong Achzib jong,
30 Umma, Afeki, na Rehobu. Kulikuwa na miji ishirini na miwili, pamoja na vijiji vyake.
Ummah jong, Aphek jong chuyle Rehob jong ahin, khopi somnile nitoh akhoneo jouse jong ahi.
31 Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Asheri, na waliopewa kwa koo zao - miji pamoja na vijiji vyake.
Hichehi ainsungu dungjuija Asher chate phung goulo ahin, khopi hijat leh akhoneo jousetoh ahiye.
32 Upigaji wa kura wa mara ya sita uliangukia kwa kabila la Nafutali, na walipewa kufuatana na koo zao.
Agup channa gamloding chan kipe chu Naphtali phung mite le asunga abahkhai ho ahiuve.
33 Mpaka wao ulianzia Helefu, kutoka katika mwaloni huko Zaananimu, ulipanda hadi Adaminekebu na Yabneeli, umbali kama Lakumu; na ulikomea katka Yordani.
Agamgi chu Heleph a kipat Zaanan-nim apat chule Adami-nekeb apat, Jabneel apat Lakkum chan geijin akilhung lut peh in, chuin Jordan vadunga atangtai.
34 Mpaka ule ulizunguka upande wa magharibi kuelekea Aznothi Tabori na ulipanda hadi Hukoki; uligusa Zabuloni katika upande wa kusini, na ulifika hata Asheri katika upande wa magharibi, na Yuda katika upande wa mashariki huko katika mto Yordani.
Chujouvin agamgi chu nilhum lamma akiheijin, Aznoth-tabor lam ajonnin chua kon in Hukkok lam ajonpai paijin lhanglamma Zebulun ahopan nilhum langa Asher gamgi ahopa kitnin nisolamma Jordan vadung ajuijin ahi.
35 Miji yenye ngome ilikuwa ni Zidimu, Zeri, Hammathi, Rakathi, Kinnerethi,
Kulpi kikaikhum hochu, Ziddim ahin, Zer ahin, Hammath ahin, Rakkath ahin, Kinnereth ahi.
Adamah ahin, Ramah ahin, Hazor ahin,
37 Kedeshi, Edrei, na Eni Hazori.
Kedesh ahin, Edrei ahin, En-hazor ahin,
38 Pia kulikuwa na miji ya Yironi, Migdaleli, Horemu, Bethi Anathi, na Bethi Shemeshi. Kulikuwa na miji kumi na tisa, pamoja na vijiji vyake.
Yiron ahin, Migdal-el ahin, Beth-anath ahin, chule Beth-shemesh ahi, khopi somleko toh khoneo chengse toh ahiye.
39 Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Nafutali, na walipewa miji pamoja na vijiji vyake kufuatana na koo zao.
Ainsung utoh kithuh bepma hichenghi Naphtali chate phung chan agamu ahi, khopi hohi ahin khoneoho ahin akisim than ahi.
40 Upigaji wa kura ya saba uliangukia kwa kabila la Dani, na walipewa kufuatana na koo zao.
Asagi channa gamloding chan kipe chu Dan phung mite le asunga abahkhai ho ahiuve.
41 Eneo lao la urithi lilijumuisha miji ya Zora, Eshitaoli, Iri Shemeshi,
Chule Dan phung chan agoulo gamchun khopi Zorah jong, Eshtaol jong Ir-shemesh jong,
42 Shaalabini, Aijaloni, na Ithila.
Shalabbin jong, Aijalon jong, Ithlah jong,
43 Vile vile lilijumuisha miji ya Eloni, Timna, Ekroni,
Elon jong Timnath jong, Ekron jong ahin,
44 Eliteke, Gibethoni, Baalathi,
Eltekah jong, Gibbethon jong, Baalath jong,
45 Yehudi, Bene - Beraki, Gathi Rimoni,
Jehud jong, Bene-berak jong, Gath-rimmon jong,
46 Me -Yarkoni, na Rakoni sambamba na eneo la karibu na Yopa.
Chule Me-jarkon le Rakkon toh Joppa to kimai ngat gamsungse sejong ahopsoh keijin ahi.
47 Ilitokea wakati mpaka wa kabila la Dani ulipowapotea, kabila la Dani waliishambulia Leshemu, wakapigana nao, na wakauteka. Waliua kila mtu kwa upanga, wakauchukua ukawa mali yao, na wakakaa ndani yake. Wakauita mji ule Dani jina la babu yao badala ya Leshemu.
Dan chaten agamsung achanlou phat uvin akon touvun Leshem khopi agasat uvin, alah jouvun chemjammin asatgam helluvin atoupha uvin asunga acheng tauve, Leshem jong chu apu apau min aputsah uvin Dan asah taove.
48 Huu ulikuwa urithi wa kabila la Dani, waliopewa kufuatana na koo zao - miji pamoja na vijiji vyake.
Hichenghi ainsung tohkham bepma Dan chate phunggoul achannu ahin, khopi hojong khoneo hojong ahithai.
49 Walipomaliza kugawana urithi wa nchi, watu wa Israeli walimpa urithi Yoshua mwana wa Nuni kutoka miongoni mwao.
Gamsung chu abih bih a gouloa chenpha dia akihopsoh helphat uvin, Israel chaten Nun chapa Joshua jong chu alah uva goulo ding gam apeovin ahi.
50 Kwa amri ya Yahweh walimpatia mji wa Timnathi Sera ambao aliuomba, ulikuwa katika nchi ya milima ya Efraimu. Aliujenga mji na akaishi huko.
Pakai thusah in Israelten Joshua chu athumpen pen khopi Timnath-serah kiti, Ephraim thinglhang gamsunga khopi chu ape taove, amanjong akhopi chu akisah phatnin chennan aneitan ahi.
51 Na huu ndio urithi ambao Eliazari kuhani, na Yoshua mwana wa Nuni, na viongozi wa makabila ya familia za mababu zao miongoni mwa watu wa Israeli, waligawa kwa kupiga kura huko Shilo, mbele za Yahweh katika mlango wa hema la kukutania. Na hivyo wakamaliza kuigawa nchi.
Eleazer thempupa leh Nun chapa Joshua chule Israel aphungkhai leh ainsung dungjui uva alamkai houvin Shiloh munna Pakai angsung laitah’a vang asan’uva anahopdoh peh naogam ahin, hichu Pakai chenna ponbuh kotpi phunga anahopmu ahiye, hitichun amahon agamchu ahomsoh taovin ahi.