< Yoshua 18 >

1 Kisha kusanyiko lote la watu wa Israeli walikusanyika pamoja hapo Shilo. Walilijenga hema la kukutania hapo na waliishinda nchi mbele yao.
And alle the sones of Israel weren gaderid in Silo, and there thei `settiden faste the tabernacle of witnessing; and the lond was suget to hem.
2 Kulikuwa na makabila saba miongoni mwa watu wa Israeli ambayo yalikuwa bado hayajapewa urithi wao.
Sotheli seuene linagis of the sones of Israel dwelliden, that hadden not yit takun her possessiouns.
3 Yoshua aliwaambia watu wa Israeli, “Je mtaacha mpaka lini katika kuingia nchi ambayo Yahweh, Mungu wa baba zenu, amewapeni ninyi?
To whiche Josue seide, Hou longe faden ye `bi cowardise, `ethir slouthe, and entren not to welde the lond, which the Lord God of youre fadris yaf to you?
4 Chagueni ninyi wenyewe watu watatu kutoka katika kila kabila, na nitawatuma. Wataenda na kuipeleleza nchi juu na chini. Wataandika maelezo pamoja na maelekezo kuhusu urithi wao, na kisha watarudi kwangu.
Chese ye of ech lynage thre men, that Y sende hem, and thei go, and cumpasse the lond; and that thei discryue `the lond bi the noumbre of ech multitude, and brynge to me that, that ye han discriued.
5 Wataigawanya nchi katika sehemu saba. Yuda itasalia katika eneo lao upande wa kusini, na nyumba ya Yusufu itaendelea katika himaya yao katika upande wa kaskazini.
Departe ye the lond to you in to seuene partis; Judas be in hise termes at the south coost, and `the hows of Joseph at the north;
6 Mtaigawanya nchi katika sehemu saba na kisha mtaniletea maelezo hayo hapa kwangu. Nami nitapiga kura kwa ajili yenu hapa mbele za Yahweh Mungu wetu.
discryue ye `the myddil lond bitwixe hem in to seuene partis; and thanne ye schulen come to me, that Y sende lot to you here bifor youre Lord God;
7 Walawi hana sehemu miongoni mwenu, kwa kuwa ukuhani wa Yahweh ni urithi wao. Makabila ya Gadi, Rubeni na nusu ya kabila la Manase wameshapokea urithi wao ng'ambo ya Yordani. Huu ni urithi ambao Musa mtumishi wa Yahweh aliwapa wao.
for the part of Leuytis is not among you, but the preesthod of the Lord, this is the eritage `of hem. Forsothe Gad, and Ruben, and the half lynage of Manasses hadden take now her possessiouns ouer Jordan, at the eest coost, whiche possessiouns Moises, the `seruaunt of the Lord, yaf to hem.
8 Hivyo, watu waliinuka na wakaenda. Yoshua akawaamuru wale walioenda kuandika maelezo ya nchi, akisema, “Pandeni juu na mshuke chini katika nchi na andikeni maelezo kuhusu nchi na kisha mrejee kwangu. Nitapiga kura kwa ajili yenu hapa mbele za Yahweh huko Shilo.
And whanne the men hadden rise to go, to discryue the lond, Josue comaundide to hem, and seide, Cumpasse ye the lond, and discryue it, and turne ayen to me, that Y sende lot to you here in Silo, bifore youre Lord God.
9 Watu walienda na walitembea juu na chini katika nchi na wakaandika maelezo kuihusu nchi hiyo juu ya gombo kwa miji yake katika sehemu saba, kwa kutaja miji, kila mmoja katika sehemu moja. Kisha wakarudi kwa Yoshua katika kambi huko Shilo.
And so thei yeden, and cumpassiden that lond, and departiden `in to seuene partis, writynge in a book; and thei turneden ayen to Josue, in to the castels in Silo.
10 Kisha Yoshua akapiga kura kwa ajili yao huko Shilo mbele za Yahweh. Na hapo Yoshua akaigawa nchi kwa watu wa Israeli, kila kabila lilipewa sehemu ya nchi.
Which Josue sente lottis bifor the Lord God in Silo, and departide the lond to the sones of Israel, in to seuene partis.
11 Katika kabila la Benyamini, ugawanaji wa nchi ulifanyika kwa kupewa kwa koo zao. Eneo la nchi waliyopewa lilikuwa kati ya wazawa wa Yuda na wazawa wa Yusufu.
And the firste lot of the sones of Beniamyn, bi her meynees, stiede, that thei schulden welde the lond bitwixe the sones of Juda and the sones of Joseph.
12 Katika upande wa kusini, mpaka wao ulianzia katika Yordani. Mpaka ulipanda hata sehemu ya juu kaskazini mwa Yeriko, na kisha ukapita katikati ya nchi ya milima upande wa magharibi. Huko ukafika hadi nyika ya Bethi Aveni.
And the terme of hem was ayens the north fro Jordan, and passide bi the side of Jerico of the north coost; and it stiede fro thennus ayens the west to the hilli places, and it cam to the wildirnesse of Bethauen;
13 Kutoka hapo mpaka ulipita upande wa kusini katika mwelekeo wa Luzi (sehemu ile ile inayoitwa Betheli). Kisha mpaka ukashuka chini hata Atarothi Adda, karibu na mlima uliolekea kusini mwa Bethi Horoni.
and it passide bisidis Luza to the south; thilke is Bethel; and it goith doun in to Astoroth Adar, in to the hil which is at the south of lowere Betheron; and is bowid,
14 Kisha mpaka ukaendelea upande mwingine: katika upande wa magharibi uligeukia upande wa kusini, ulienda mbele kuukabili mlima ulio ng'ambo ya Bethi Horoni. Mpaka huu ulikomea huko Kiriathi Baali ( ambao ndio Kiriathi Yearimu), mji ambao ulikuwa ni wa kabila la Yuda. Na huu ndio ulikuwa ni mpaka katika upande wa magharibi.
and cumpassith ayens the see, at the south of the hil that biholdith Betheron ayens the north; and the outgoyngis therof ben in to Cariathbaal, which is clepid also Cariathiarym, the citee of the sones of Juda; this is the greet coost ayens the see, at the west.
15 Katika upande wa kusini, mpaka ulianzia nje tu ya Kiriathi Yearimu. Mpaka uliendelea kutoka Efroni hata chemichemi ya maji ya Neftoa.
Sotheli fro the south, bi the part of Cariathiarym, the terme goith out ayens the see, and cometh til to the wel of watris of Nepthoa;
16 Kisha mpaka ulishuka chini hadi mpaka wa mlima ambao ulikuwa mkabala ya bonde la Beni Hinomu, ambalo lililokuwa katika upande wa kaskazini mwishoni mwa bonde la Refaimu. Kisha ulishuka chini kuelekea bonde la Hinomu, sehemu ya kusini mwa mteremko wa Wayebusi, na uliendelea kushuka chini hadi Eni Rogeli.
and it goith doun in to the part of the hil that biholdith the valei of the sones of Ennon, and is ayens the north coost, in the laste part of the valey of Raphaym; and Jehennon, that is, the valei of Ennon, goith doun bi the side of Jebusei, at the south, and cometh to the welle of Rogel,
17 Ulizunguka upande wa kaskazini, kuelekea mwelekeo wa Eni Shemeshi, na kutoka hapa ulienda hadi Gelilothi, ambao ulikuwa mkabala na mwinuko wa Adumimu. Kisha ulishuka chini kuelekea Jiwe la Bohani mwana wa Rubeni.
and passith to the north, and goith out to Emsemes, that is, the welle of the sunne,
18 Ulipita kuelekea upande wa kaskazini wa bega la Bethi Araba na chini kuelekea Araba.
and passith to the litle hillis that ben ayens the stiyng of Adomyn; and it goith doun to Taben Boen, that is, the stoon of Boen, sone of Ruben, and passide bi the side of the north to the feeldi places; and it goith doun in to the pleyn,
19 Mpaka ulipita hadi upande wa bega la kaskazini la Bethi Hogla. Mpaka ulikome katika ghuba ya kaskazini mwa Bahari ya Chumvi, katika upande wa kusini mwishoni mwa Yordani. Huu ulikuwa ni mpaka wa upande wa kusini.
and passith forth ayens the north to Bethagala; and the outgoyngis therof ben ayens the arm of the salteste see, fro the north, in the ende of Jordan at the south coost,
20 Yordani ulikuwa mpaka wake katika upande wa mashariki. Na huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Benyamini, na walipewa kwa kila ukoo wao, mpaka baada ya mpaka, kwa kuizunguka nchi yote.
which is the terme therof fro the eest. This is the possessioun of the sones of Beniamyn, bi her termes in cumpas, and bi her meynees;
21 Kwa hiyo sasa miji ya kabila la Benyamini kufuatana na koo zao ilikuwa ni Yeriko,
and the citees therof weren Jerico, and Bethagla, and the valei of Casis,
22 Bethi Hogla, Emeki Kezizi, Bethi Araba, Zemaraimu, Betheli,
Betharacha, and Samaraym,
23 Avimu, Para, Ofra,
and Bethel, and Anym, and Affara,
24 Kefari Amoni, Ofini, na Geba. Ilikuwa ni miji kumi na miwili, pamoja na vijiji vyake.
and Offira, the toun of Hesmona, and Offym, and Gabee, twelue citees, and `the townes of tho;
25 Kulikuwa pia na miji ya Gibeoni, Rama, Beerothi,
Gabaon, and Rama,
26 Mizpe, Kefira, Moza,
and Beroth, and Mesphe, and Caphera, and Ammosa,
27 Rekemu, Iripeeli, Tarala,
and Recem, Jarephel, and Tharela,
28 Zela, Haelefu, Yebusi (ambao ndio Yerusalemu), Gibea, na Kiriathi. Kulikuwa na miji kumi na nne, pamoja na vijiji vyake. Huu ulikuwa ni urithi wa Benyamini kufuatana na koo zao.
and Sela, Heleph, and Jebus, which is Jerusalem, Gabaath, and Cariath, fouretene citees and `the townes of tho; this is the possessioun of the sones of Beniamyn, bi her meynees.

< Yoshua 18 >