< Yoshua 18 >

1 Kisha kusanyiko lote la watu wa Israeli walikusanyika pamoja hapo Shilo. Walilijenga hema la kukutania hapo na waliishinda nchi mbele yao.
Israel ca rhoek loh rhaengpuei la Shiloh ah boeih tingtun uh. Te ah te tingtunnah dap te a khueh uh tih amamih mikhmuh ah khohmuen te a khoem.
2 Kulikuwa na makabila saba miongoni mwa watu wa Israeli ambayo yalikuwa bado hayajapewa urithi wao.
Tedae Israel ca rhoek khuikah koca parhih loh amamih kah rho a dang mueh la om pueng.
3 Yoshua aliwaambia watu wa Israeli, “Je mtaacha mpaka lini katika kuingia nchi ambayo Yahweh, Mungu wa baba zenu, amewapeni ninyi?
Te dongah Israel ca rhoek taengah Joshua loh, “Na pa rhoek kah BOEIPA Pathen loh nangmih taengah m'paek khohmuen te dang ham neh pang ham la mevaeng due lae na tiing uh eh.
4 Chagueni ninyi wenyewe watu watatu kutoka katika kila kabila, na nitawatuma. Wataenda na kuipeleleza nchi juu na chini. Wataandika maelezo pamoja na maelekezo kuhusu urithi wao, na kisha watarudi kwangu.
Namamih ham te koca khuikah hlang pathum ah tuek uh lamtah amih te ka tueih eh. Te vaengah thoo uh saeh lamtah khohmuen te hip saeh. Te phoeiah a kawng te amamih kah rho tarhing la daek uh saeh lamtah kai taengla ha kun uh saeh.
5 Wataigawanya nchi katika sehemu saba. Yuda itasalia katika eneo lao upande wa kusini, na nyumba ya Yusufu itaendelea katika himaya yao katika upande wa kaskazini.
Khoyo te parhih la boe uh lamtah tuithim kah amah khorhi ah Judah loh om saeh. Tlangpuei kah amah khorhi ah Joseph imko om van saeh.
6 Mtaigawanya nchi katika sehemu saba na kisha mtaniletea maelezo hayo hapa kwangu. Nami nitapiga kura kwa ajili yenu hapa mbele za Yahweh Mungu wetu.
Te phoeiah khohmuen kawng nangmih loh khoyo parhih la na daek uh te ka taengla hang kuen uh. Te vaengah mamih kah BOEIPA Pathen mikhmuh ah hmulung te nangmih ham ka thuinuet eh.
7 Walawi hana sehemu miongoni mwenu, kwa kuwa ukuhani wa Yahweh ni urithi wao. Makabila ya Gadi, Rubeni na nusu ya kabila la Manase wameshapokea urithi wao ng'ambo ya Yordani. Huu ni urithi ambao Musa mtumishi wa Yahweh aliwapa wao.
Tedae Levi ham khoyo tah nangmih lakli ah nuet boel saeh. BOEIPA khosoihbi te anih kah rho la om coeng. Gad, Reuben neh Manasseh koca hlangvang long tah BOEIPA kah sal Moses loh amih taengah a paek Jordan khocuk kah rhalvangan ah ni amamih kah rho te a dang uh coeng,” a ti nah.
8 Hivyo, watu waliinuka na wakaenda. Yoshua akawaamuru wale walioenda kuandika maelezo ya nchi, akisema, “Pandeni juu na mshuke chini katika nchi na andikeni maelezo kuhusu nchi na kisha mrejee kwangu. Nitapiga kura kwa ajili yenu hapa mbele za Yahweh huko Shilo.
Te dongah hlang rhoek te thoo uh tih a caeh uh vaengah khohmuen kawng daek ham aka cet rhoek te Joshua loh a uen tih, “Cet uh lamtah khohmuen te hip uh laeh. A kawng te daek uh lamtah kai taengla ham mael puei uh. Te vaengah Shiloh kah BOEIPA mikhmuh ah he hmulung te nangmih ham ka naan eh,” a ti nah.
9 Watu walienda na walitembea juu na chini katika nchi na wakaandika maelezo kuihusu nchi hiyo juu ya gombo kwa miji yake katika sehemu saba, kwa kutaja miji, kila mmoja katika sehemu moja. Kisha wakarudi kwa Yoshua katika kambi huko Shilo.
Te vaengah hlang rhoek te cet uh tih kho takuem la pawk uh. Khopuei rhoek te cabu dongah khoyo parhih la a daek uh tih Shiloh rhaehhmuen kah Joshua taengla mael uh.
10 Kisha Yoshua akapiga kura kwa ajili yao huko Shilo mbele za Yahweh. Na hapo Yoshua akaigawa nchi kwa watu wa Israeli, kila kabila lilipewa sehemu ya nchi.
Te dongah Shiloh kah BOEIPA mikhmuh ah amih ham hmulung te Joshua loh a yueh pah tih amamih boelnah bangla Israel ca rhoek ham khohmuen te Joshua loh pahoi a tael pah.
11 Katika kabila la Benyamini, ugawanaji wa nchi ulifanyika kwa kupewa kwa koo zao. Eneo la nchi waliyopewa lilikuwa kati ya wazawa wa Yuda na wazawa wa Yusufu.
Benjamin ca rhoek te amah koca kah hmulung a naan vaengah amah huiko tarhing ah amih kah khorhi te hmulung loh Judah ca rhoek neh Joseph ca rhoek laklo ah a nan.
12 Katika upande wa kusini, mpaka wao ulianzia katika Yordani. Mpaka ulipanda hata sehemu ya juu kaskazini mwa Yeriko, na kisha ukapita katikati ya nchi ya milima upande wa magharibi. Huko ukafika hadi nyika ya Bethi Aveni.
Amih kah khorhi te Jordan kah tlangpuei kaep ah om. Tlangpuei ah Jerikho tlanghlaep ah khorhi te luei tih khotlak tlang la yoeng. Te phoeiah a hmoi te cet cet tih Bethaven khosoek la pawk.
13 Kutoka hapo mpaka ulipita upande wa kusini katika mwelekeo wa Luzi (sehemu ile ile inayoitwa Betheli). Kisha mpaka ukashuka chini hata Atarothi Adda, karibu na mlima uliolekea kusini mwa Bethi Horoni.
Te lamkah khorhi te Luz la, Luz tlanghlaep tuithim la, Bethel la kat tih tlang ah Atarothaddar khorhi, tuithim ah Bethhoron yung la suntla thuk.
14 Kisha mpaka ukaendelea upande mwingine: katika upande wa magharibi uligeukia upande wa kusini, ulienda mbele kuukabili mlima ulio ng'ambo ya Bethi Horoni. Mpaka huu ulikomea huko Kiriathi Baali ( ambao ndio Kiriathi Yearimu), mji ambao ulikuwa ni wa kabila la Yuda. Na huu ndio ulikuwa ni mpaka katika upande wa magharibi.
Te phoeiah khorhi aka hooi te tlang lamkah tuithim tuipuei kil a hil tih tuithim kah Bethhoron imdan la, cet, cet bal tih a hmoi loh tuipuei kil, Judah ca rhoek kah khopuei Kiriathbaal [Kiriathjearim] la pawk.
15 Katika upande wa kusini, mpaka ulianzia nje tu ya Kiriathi Yearimu. Mpaka uliendelea kutoka Efroni hata chemichemi ya maji ya Neftoa.
Tuithim saa ah Kiriathjearim ngoe lamkah te tuipuei rhi ah a khuen tih Nephtoah tuisih tui ah pawk.
16 Kisha mpaka ulishuka chini hadi mpaka wa mlima ambao ulikuwa mkabala ya bonde la Beni Hinomu, ambalo lililokuwa katika upande wa kaskazini mwishoni mwa bonde la Refaimu. Kisha ulishuka chini kuelekea bonde la Hinomu, sehemu ya kusini mwa mteremko wa Wayebusi, na uliendelea kushuka chini hadi Eni Rogeli.
Te phoeiah khorhi kolrhawk rhaldan ah tlang yung la, Rapha kol ah tlangpuei la suntla tih tuithim ah Jebusi tlanghlaep kolrhawk la a rhum phoeiah Enrogel la pawk.
17 Ulizunguka upande wa kaskazini, kuelekea mwelekeo wa Eni Shemeshi, na kutoka hapa ulienda hadi Gelilothi, ambao ulikuwa mkabala na mwinuko wa Adumimu. Kisha ulishuka chini kuelekea Jiwe la Bohani mwana wa Rubeni.
Te phoeiah tlangpuei la hooi uh tih Enshemesh te a paan phoeiah Adummim kham dan kah Geliloth la pawk tih Reuben koca rhoek kah Bohan lungnu la suntla thuk.
18 Ulipita kuelekea upande wa kaskazini wa bega la Bethi Araba na chini kuelekea Araba.
Tlangpuei ah kolken rhaldan kah tlanghlaep la cet bal tih kolken la pawk.
19 Mpaka ulipita hadi upande wa bega la kaskazini la Bethi Hogla. Mpaka ulikome katika ghuba ya kaskazini mwa Bahari ya Chumvi, katika upande wa kusini mwishoni mwa Yordani. Huu ulikuwa ni mpaka wa upande wa kusini.
Te phoeiah khorhi te tlangpuei ah Bethhoglah tlanghlaep la kat. Khorhi kah a hmoi a hmoi tah tlangpuei kah lungkaeh tuili longken ah khaw, tuithim rhi ah khaw Jordan tuikung ah om phai.
20 Yordani ulikuwa mpaka wake katika upande wa mashariki. Na huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Benyamini, na walipewa kwa kila ukoo wao, mpaka baada ya mpaka, kwa kuizunguka nchi yote.
Jordan loh khothoeng ben ah Benjamin koca rhoek kah rho te amah cako ham rhilung neh a suem pah.
21 Kwa hiyo sasa miji ya kabila la Benyamini kufuatana na koo zao ilikuwa ni Yeriko,
Te dongah Benjamin ca rhoek kah amah cako ah, Jerikho, Bethhoglah, Emekkeziz,
22 Bethi Hogla, Emeki Kezizi, Bethi Araba, Zemaraimu, Betheli,
Betharabah, Zemaraim, Bethel,
23 Avimu, Para, Ofra,
Avim, Parah, Ophrah,
24 Kefari Amoni, Ofini, na Geba. Ilikuwa ni miji kumi na miwili, pamoja na vijiji vyake.
Kepharammoni, Kepharammoni neh Ophni, Geba, khopuei hlai nit neh amih vangca rhoek,
25 Kulikuwa pia na miji ya Gibeoni, Rama, Beerothi,
Gibeon, Ramah, Beeroth,
26 Mizpe, Kefira, Moza,
Mizpeh, Kephirah, Mozah,
27 Rekemu, Iripeeli, Tarala,
Rekem, Irpeel, Taralah te amih koca rhoek kah khopuei la om.
28 Zela, Haelefu, Yebusi (ambao ndio Yerusalemu), Gibea, na Kiriathi. Kulikuwa na miji kumi na nne, pamoja na vijiji vyake. Huu ulikuwa ni urithi wa Benyamini kufuatana na koo zao.
Zelahhaeleph neh Jebusi, Jerusalem, Gibeah khorha kah, khopuei hlai li neh vangca rhoek te Benjamin koca rhoek neh amah cako kah rho la om.

< Yoshua 18 >