< Yoshua 17 >

1 Na huu ndio mgao wa nchi kwa ajili ya kabila la Manase (aliyekuwa mzaliwa wa kwanza wa Yusufu), ambayo ilikuwa kwa ajili ya Makiri, mzaliwa wa kwanza wa Manase, ambaye alikuwa ni baba wa Gilieadi. Watoto wa Makiri walipewa nchi ya Gileadi na Bashani, kwasababu Makiri alikuwa ni mtu wa vita.
Ja arpa lankesi Manassen sukukunnalle, sillä hän oli Josephin esikoinen, ja se lankesi Makirille Manassen esikoiselle, Gileadin isälle; sillä hän oli jalo sotamies, sentähden sai hän Gileadin ja Basanin.
2 Nchi iliyobaki iligawiwa kwa kabila la Manase, walipewa kwa koo zao, ambazo ni Abi Ezeri, Heleki, Asrieli, Shekemu, Heferi, na Shemida. Hawa walikuwa ni watoto wa kiume wa Manase mwana wa Yusufu, waliwakilishwa na koo zao.
Muille Manassen lapsille myös lankesi arpa heidän sukukuntainsa jälkeen: Abieserin lapsille, Helekin lapsille, Asrielin lapsille, Sekemin lapsille, Hepherin lapsille ja Semidan lapsille. Nämät ovat Manassen Josephin pojan lapset, jotka olivat miehenpuolet heidän suvuissansa.
3 Basi Zelofehadi mwana wa Heferi mwana wa Gileadi mwana wa Makiri mwana wa Manase hakuwa na watoto wa kiume, bali alikuwa na watoto wa kike tu. Na majina ya binti zake yalikuwa Mahila, Noa, Hogla, Milka na Tirsa.
Mutta Zelophkadilla Hepherin pojalla, Gileadin pojan, Makirin pojan, Manassen pojan, ei ollut yhtään poikaa, vaan tyttäriä; ja nämät ovat hänen tytärtensä nimet: Makla ja Noa, Hogla, Milka ja Tirtsa.
4 Walimwendea Eliazeri kuhani, Yoshua mwana wa Nuni, na viongozi na wakasema, “Yahweh alimwagiza Musa atupatie urithi wetu pamoja na kaka zetu.” Hivyo, kwa kuzingatia agizo la Yahweh, aliwapa wanawake hao urithi miongoni mwa ndugu za baba yao.
Ja he menivät papin Eleatsarin ja Josuan Nunin pojan ja ylimmäisten tykö, ja sanoivat: Herra käski Moseksen antaa meille perinnön meidän veljeimme sekaan; ja hän antoi myös heille perinnön heidän isänsä veljein sekaan, Herran käskyn jälkeen.
5 Manase alipewa sehemu kumi za nchi katika Gileadi na Bashani, ambayo iko upande mwingine wa Yordani,
Mutta Manasselle tuli kymmenen osaa, paitsi Gileadin ja Basanin maata, jotka ovat tuolla puolella Jordania;
6 kwasababu ya binti za Manase walipokea urithi pamona na watoto wake wa kiume. Nchi ya Gileadi iligawanywa kwa kabila la Manase lililosalia.
Sillä Manassen tyttäret saivat perinnön hänen poikainsa seassa; ja Gileadin maa oli annettu muille Manassen pojille.
7 Eneo la Manase lilianzia Asheri hadi Mikimethathi, ambayo iko mashariki mwa Shekemu. Kisha mpaka ulienda upande wa kusini kwa wale walioishi karibu na chemichemi ya Tapua.
Ja Manassen raja oli Asserista Mihmetatiin asti, joka on Sikemin edessä, ja menee ulos oikian käden puoleen niihin asti, kuin asuivat EnTapuassa.
8 ( Nchi ya Tapua ilikuwa ni miliki ya Manase, lakini mji wa Tapua katika mpaka wa Manase ilikuwa ni mali ya kabila la Efraimu.)
Tapuan maa tuli Manasselle, mutta Tapua Manassen rajalla Ephraimin lapsille.
9 Kisha mpaka ulishuka kuelekea kijito cha Kana. Miji hii kusini mwa kijito miongoni mwa miji ya Manase ilikuwa ni mali ya Efraimu. Mpaka wa Manase ulikuwa upande wa kaskazini wa kijito, na ulikomea katika
Sitte tulee se alas NahalKanaan asti etelään päin velikaupungeita, jotka Ephraimin omat ovat, Manassen kaupunkien seassa. Mutta pohjan puolesta ovat Manassen rajat ojaan asti, ja niiden ääret ovat meren tykönä,
10 bahari. Na nchi iliyokuwa upande wa kusini ilikuwa ni ya Efraimu, na nchi iliyo upande wa Kasikazini ilikuwa ni ya Manase; bahari ilikuwa ndoi mpaka. Kwa upande wa kaskazini ulifika hata Asheri, na upande wa mashariki, Isakari.
Sillä Ephraimin maa on etelän puolella ja Manassen pohjan puolella, niin että meri on heidän rajansa, ja ulottuu Asseriin saakka pohjan puolesta, ja Isaskariin asti idän puolesta.
11 Pia katika Isakari na katika Asheri, Manase alimiliki Bethi Shani na vijiji vyake, Ibleamu na vijiji vyake, wenyeji wa Dori na vijiji vyake, wenyeji wa Endori na vijiji vyake, wenyeji wa Taanaki na vijiji vyake, na wenyeji wa Megido na vijiji vyake (na mji wa tatu ni Nafethi).
Niin oli Manassella Isaskarin ja Asserin seassa BetSean ja hänen tyttärensä, Jiblaam ja hänen tyttärensä, ja Dorin asuvaiset tyttärinensä, ja EnDorin asuvaiset tyttärinensä, ja Taanan asuvaiset tyttärinensä, Megiddon asuvaiset tyttärinensä, ja kolmas osa Naphetista.
12 Lakini kabila la Manase halikuweza kuimiliki miji hiyo, kwa kuwa Wakanaani waliendelea kuishi katika nchi hii.
Ja Manassen lapset ei voineet ajaa niiden kaupunkien asuvaisia ulos, vaan Kanaanealaiset rupesivat asumaan siinä maassa.
13 Hata wakati watu wa Israeli walipopata nguvu zaidi, hawakuwafukuzia mbali kabisa Wakanaani, bali waliwafanya kuwa watumwa.
Mutta kuin Israelin lapset vahvistuivat, tekivät he Kanaanealaiset verollisiksi, ja ei ajaneet heitä ollenkaan pois.
14 Kisha wazawa wa Yusufu wakamwambia Yoshua, wakisema, “Kwanini umetupa mgao mmoja wa nchi na sehemu moja kwa ajili ya urithi, kwa kuwa tuko wengi, na kwa muda wote Yahweh umetubaliriki?
Silloin puhuivat Josephin lapset Josualle ja sanoivat: miksi et minulle enempää antanut, kuin yhden arvan ja osan, perinnöksi, ja minä olen kuitenkin suuri kansa, niinkuin Herra on minun tähän asti siunannut?
15 Yoshua akawaambia, “Kama ninyi ni watu wengi katika hesabu, pandeni ninyi wenyewe katika msitu na kuisafisha nchi kwa ajili yenu wenyewe katika nchi ya Waperizi na ya Refaimu. Fanyeni hivi kwa kuwa nchi ya milima ya Efraimu ni ndogo kwenu.”
Niin Josua sanoi heille: ettäs olet suuri kansa, niin mene metsään ja perkaa siellä sinulles siaa, Pheresiläisten ja uljasten maalla, jos Ephraimin vuori on sinulle ahtaimmaksi.
16 Wazawa wa Yusufu wakasema, “Nchi ya milima haitutoshi. Lakini Wakanaani wote wanaoishi katika bonde wana magari ya chuma, wote walio katikaBethi Shani na vijiji vyake, na wale walio katika bonde la Yezreeli.”
Niin sanoivat Josephin lapset: ei ne vuoret meille täydy, sillä kaikilla Kanaanealaisilla, jotka asuvat maan laaksoissa, ovat rautavaunut, ja BetSeanin asuvaisilla ja hänen tyttärillänsä, ja Jisreelin laaksossa asuvaisilla.
17 Kisha Yoshua akawaambi nyumba ya Yusufu, ambao ni Efraimu na Manase, “Ninyi ni watu mlio wengi katika hesabu, na mna nguvu kubwa. Hamtakiwi kuwa na sehemu moja ya nchi mliogawiwa.
Josua puhui Josephin huoneelle, Ephraimille ja Manasselle, sanoen: sinä olet suuri ja väkevä kansa, ei sinulla pidä oleman yksi arpa.
18 Nchi ya milima itakuwa yenu pia. Ingawa ni msitu, mtaufyeka na kuimiliki hata mipaka yake ya mbali. Mtawafukuzia mbali Wakanaani, ingawa wanayo magari ya chuma na ingawa pia wanazo nguvu.”
Sillä vuori pitää myös sinun omas oleman, jossa metsää on, siellä perkaa ympärilläs, ja sinulla pitää oleman sen ääret; sillä sinä ajat Kanaanealaiset pois, vaikka heillä rautavaunut ovat, ja vaikka he väkevät ovat.

< Yoshua 17 >