< Yoshua 17 >
1 Na huu ndio mgao wa nchi kwa ajili ya kabila la Manase (aliyekuwa mzaliwa wa kwanza wa Yusufu), ambayo ilikuwa kwa ajili ya Makiri, mzaliwa wa kwanza wa Manase, ambaye alikuwa ni baba wa Gilieadi. Watoto wa Makiri walipewa nchi ya Gileadi na Bashani, kwasababu Makiri alikuwa ni mtu wa vita.
Ždrijebom je dopao i dio plemenu Manašeovu, jer je Manaše bio prvenac Josipov. Makiru, prvencu Manašeovu, ocu Gileadovu - bijaše on ratnik bez premca - pripade Gilead i Bašan.
2 Nchi iliyobaki iligawiwa kwa kabila la Manase, walipewa kwa koo zao, ambazo ni Abi Ezeri, Heleki, Asrieli, Shekemu, Heferi, na Shemida. Hawa walikuwa ni watoto wa kiume wa Manase mwana wa Yusufu, waliwakilishwa na koo zao.
Dobili su svoj dio i ostali sinovi Manašeovi po svojim porodicama: sinovi Abiezerovi, sinovi Helekovi, sinovi Asrielovi; sinovi Šekemovi, sinovi Heferovi i sinovi Šemidini. To su muški potomci Manašea, sina Josipova, po svojim porodicama.
3 Basi Zelofehadi mwana wa Heferi mwana wa Gileadi mwana wa Makiri mwana wa Manase hakuwa na watoto wa kiume, bali alikuwa na watoto wa kike tu. Na majina ya binti zake yalikuwa Mahila, Noa, Hogla, Milka na Tirsa.
A Selofhad, sin Hefera, sina Gileada, sina Makira, sina Manašeova, nije imao sinova nego samo kćeri. Evo im imena: Mahla, Noa, Hogla, Milka i Tirsa.
4 Walimwendea Eliazeri kuhani, Yoshua mwana wa Nuni, na viongozi na wakasema, “Yahweh alimwagiza Musa atupatie urithi wetu pamoja na kaka zetu.” Hivyo, kwa kuzingatia agizo la Yahweh, aliwapa wanawake hao urithi miongoni mwa ndugu za baba yao.
One dođoše pred svećenika Eleazara i pred Jošuu, sina Nunova, i pred glavare govoreći: “Jahve je zapovjedio Mojsiju da se i nama dade baština među našom braćom.” I dadoše im po Jahvinoj zapovijedi baštinu među braćom njihova oca.
5 Manase alipewa sehemu kumi za nchi katika Gileadi na Bashani, ambayo iko upande mwingine wa Yordani,
Tako je dopalo Manašeu deset dijelova, povrh gileadske i bašanske zemlje, koje su s onu stranu Jordana.
6 kwasababu ya binti za Manase walipokea urithi pamona na watoto wake wa kiume. Nchi ya Gileadi iligawanywa kwa kabila la Manase lililosalia.
Kćeri Manašeove dobiše baštinu među njegovim sinovima, a zemlja gileadska pripala je drugim sinovima Manašeovim.
7 Eneo la Manase lilianzia Asheri hadi Mikimethathi, ambayo iko mashariki mwa Shekemu. Kisha mpaka ulienda upande wa kusini kwa wale walioishi karibu na chemichemi ya Tapua.
Međa je Manašeova išla od Ašera do Mikmetata, koji leži nasuprot Šekemu, a zatim zavijala desno prema Jašibu na izvoru Tapuahu.
8 ( Nchi ya Tapua ilikuwa ni miliki ya Manase, lakini mji wa Tapua katika mpaka wa Manase ilikuwa ni mali ya kabila la Efraimu.)
Pokrajina Tapuah pripadaše Manašeu, ali sam Tapuah na međi Manašeovoj pripadaše sinovima Efrajimovim.
9 Kisha mpaka ulishuka kuelekea kijito cha Kana. Miji hii kusini mwa kijito miongoni mwa miji ya Manase ilikuwa ni mali ya Efraimu. Mpaka wa Manase ulikuwa upande wa kaskazini wa kijito, na ulikomea katika
Međa je silazila do potoka Kane. Južno od potoka bili su i ovi gradovi što su Efrajimovim sinovima pripadali između Manašeovih gradova; a zemlja se Manašeova nalazila na sjeveru i izbijala na more.
10 bahari. Na nchi iliyokuwa upande wa kusini ilikuwa ni ya Efraimu, na nchi iliyo upande wa Kasikazini ilikuwa ni ya Manase; bahari ilikuwa ndoi mpaka. Kwa upande wa kaskazini ulifika hata Asheri, na upande wa mashariki, Isakari.
Područje s juga pripadalo je Efrajimu, na sjeveru Manašeu, a more im bi međa; na sjeveru su graničili s Ašerom, a s Jisakarom na istoku.
11 Pia katika Isakari na katika Asheri, Manase alimiliki Bethi Shani na vijiji vyake, Ibleamu na vijiji vyake, wenyeji wa Dori na vijiji vyake, wenyeji wa Endori na vijiji vyake, wenyeji wa Taanaki na vijiji vyake, na wenyeji wa Megido na vijiji vyake (na mji wa tatu ni Nafethi).
Manašeu pripadahu u Jisakaru i Ašeru: Bet-Šean sa svojim selima, Jibleam sa svojim selima, stanovnici Dora sa svojim selima, stanovnici En-Dora sa svojim selima, stanovnici Taanaka sa svojim selima, stanovnici Megida sa svojim selima; dakle: tri područja.
12 Lakini kabila la Manase halikuweza kuimiliki miji hiyo, kwa kuwa Wakanaani waliendelea kuishi katika nchi hii.
Ali Manašeovi sinovi nisu mogli osvojiti te gradove i zato su Kanaanci ostali u tom kraju.
13 Hata wakati watu wa Israeli walipopata nguvu zaidi, hawakuwafukuzia mbali kabisa Wakanaani, bali waliwafanya kuwa watumwa.
Ali kad su ojačali sinovi Izraelovi, nametnuše Kanaancima tlaku, ali ih nisu uspjeli protjerati.
14 Kisha wazawa wa Yusufu wakamwambia Yoshua, wakisema, “Kwanini umetupa mgao mmoja wa nchi na sehemu moja kwa ajili ya urithi, kwa kuwa tuko wengi, na kwa muda wote Yahweh umetubaliriki?
Obrate se tada Josipovi sinovi Jošui i upitaju: “Zašto si nam dao u baštinu prema jednom ždrijebu, samo jedan dio, kad smo mnogobrojni i Jahve nas dosad blagoslivljao?”
15 Yoshua akawaambia, “Kama ninyi ni watu wengi katika hesabu, pandeni ninyi wenyewe katika msitu na kuisafisha nchi kwa ajili yenu wenyewe katika nchi ya Waperizi na ya Refaimu. Fanyeni hivi kwa kuwa nchi ya milima ya Efraimu ni ndogo kwenu.”
Jošua im odgovori: “Kad ste narod mnogobrojan, pođite u šumu i krčite ondje sebi zemlje u periškoj i refaimskoj krajini, ako vam je pretijesna gora Efrajimova.”
16 Wazawa wa Yusufu wakasema, “Nchi ya milima haitutoshi. Lakini Wakanaani wote wanaoishi katika bonde wana magari ya chuma, wote walio katikaBethi Shani na vijiji vyake, na wale walio katika bonde la Yezreeli.”
A sinovi Josipovi rekoše: “Gora nam ova neće biti dosta, a svi Kanaanci koji žive u ravnici imaju željezna kola, oni što su u Bet-Šeanu i selima njegovim i oni koji su u dolini jizreelskoj.”
17 Kisha Yoshua akawaambi nyumba ya Yusufu, ambao ni Efraimu na Manase, “Ninyi ni watu mlio wengi katika hesabu, na mna nguvu kubwa. Hamtakiwi kuwa na sehemu moja ya nchi mliogawiwa.
Tada odgovori Jošua domu Josipovu, i Efrajimu i Manašeu: “Vi ste brojan narod i imate silnu snagu. Zato nećeš dobiti samo jedan ždrijeb:
18 Nchi ya milima itakuwa yenu pia. Ingawa ni msitu, mtaufyeka na kuimiliki hata mipaka yake ya mbali. Mtawafukuzia mbali Wakanaani, ingawa wanayo magari ya chuma na ingawa pia wanazo nguvu.”
neka gora bude tvoja. Ako je šumovita, iskrči je pa će obronci biti posjed doma tvoga. Istjerat ćeš sigurno Kanaance ako i imaju željezna kola, ako i jesu jaki.”