< Yoshua 16 >

1 Nchi waliyopewa kabila la Yusufu ilianzia katika Yordani huko Yeriko, mashariki mwa chemichemi za Yeriko, kupitia nyikani, kupanda kutoka Yeriko kupitia nchi ya milima ya Betheli.
Kurada Yusufoğulları'na düşen toprakların sınırları, doğuda Eriha sularının doğusundan, Eriha'daki Şeria Irmağı'ndan başlayarak çöle geçiyor, Eriha'dan Beytel'in dağlık bölgesine çıkıyor,
2 Kisha uliendelea kutoka Betheli hadi Luzi na kupita hata Atarothi, iliyo miliki ya Waarkiti.
Beytel'den Luz'a geçerek Arklılar'ın sınırına, Atarot'a uzanıyordu.
3 Kisha ilishuka chini upande wa magharibi kuelekea himaya ya Wayafuleti, hadi kufika miliki ya Loweri Bethi Horoni, na kisha iliendelea hadi Gezeri; na ilikomea katika bahari.
Sınır batıda Yafletliler'in topraklarına, Aşağı Beythoron bölgesine, oradan da Gezer'e iniyor ve Akdeniz'de son buluyordu.
4 Ilikuwa ni kwa njia hii makabila ya Yusufu, yaani Manase na Efraimu yalipata urithi wao.
Böylece Yusuf'un soyundan gelen Manaşşe ve Efrayim paylarını almış oldular.
5 Eneo la kabila la Efraimu ambalo lilikuwa limegawanya kwa koo zao lilikuwa kama ifuatavyo: mpaka wa urithi wao katika upande wa mashariki ulikuwa Atarothi Ada uliopanda kuelekea Bethi Horoni ya juu,
Boy sayısına göre Efrayimoğulları'na pay olarak verilen toprakların sınırları, doğuda Atrot-Addar'dan yukarı Beythoron'a kadar uzanarak
6 na kutoka pale uliendelea hadi katika bahari. Kutoka Mikimethathi katika upande wa Kasikazini ulipinda upande wa mashariki kuelkea Taanathi Shilo na kupita ng'ambo yake katika upande wa mashariki kukabili Yanoa.
Akdeniz'e varıyordu. Sınır kuzeyde Mikmetat'ta doğuya, Taanat-Şilo'ya dönüyor, kentin doğusundan geçip Yanoah'a uzanıyor,
7 Kisha ulishuka kutoka Yanoa hadi Atarothi na hata Naara, na kisha ukafika Yeriko, na kuishia katika Yordani.
buradan Atarot ve Naara'ya iniyor, Eriha'yı aşarak Şeria Irmağı'na ulaşıyordu.
8 Kutoka Tapua, mpaka uliendelea katika upande wa magharibi hata kijito cha Kana na ulikomea katika bahari. Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Efraimu, uliogawanywa katika koo zao,
Sınır Tappuah'tan batıya, Kana Vadisi'ne uzanıp Akdeniz'de son buluyordu. Boy sayısına göre Efrayimoğulları oymağının payı buydu.
9 pamoja na miji yao iliyochaguliwa kwa ajili ya kabila la Efraimu iliyokuwa ndani ya urithi wa kabila la Manase - miji yote pamoja na vijiji vyao.
Ayrıca Manaşşeoğulları'na düşen payda da Efrayimoğulları'na ayrılan kentler ve bunlara bağlı köyler vardı.
10 Lakini hawakuwafukuza Wakanaani walioishi katika Gezeri, hivyo basi Wakanaani wanaishi ndani ya Efraimu hadi leo, lakini watu hawa walifanywa kuwa watumwa.
Ne var ki, Efrayimoğulları Gezer'de yaşayan Kenanlılar'ı buradan sürmediler. Kenanlılar bugüne kadar Efrayimoğulları arasında yaşayıp onlara ücretsiz hizmet etmek zorunda kaldılar.

< Yoshua 16 >