< Yoshua 16 >

1 Nchi waliyopewa kabila la Yusufu ilianzia katika Yordani huko Yeriko, mashariki mwa chemichemi za Yeriko, kupitia nyikani, kupanda kutoka Yeriko kupitia nchi ya milima ya Betheli.
Žreb Jožefovih otrok je padel od Jordana pri Jerihi, do vode Jerihe na vzhodu, k divjini, ki gre gor od Jerihe, čez goro Betel
2 Kisha uliendelea kutoka Betheli hadi Luzi na kupita hata Atarothi, iliyo miliki ya Waarkiti.
in gre iz Betela v Luz in gre vzdolž do meja Arkičanov k Atarótu
3 Kisha ilishuka chini upande wa magharibi kuelekea himaya ya Wayafuleti, hadi kufika miliki ya Loweri Bethi Horoni, na kisha iliendelea hadi Gezeri; na ilikomea katika bahari.
in se spusti zahodno, k pokrajini Jaflétovcev, do pokrajine spodnjega Bet Horóna in do Gezerja in njeni izhodi so pri morju.
4 Ilikuwa ni kwa njia hii makabila ya Yusufu, yaani Manase na Efraimu yalipata urithi wao.
Tako sta Jožefova otroka, Manáse in Efrájim, vzela svojo dediščino.
5 Eneo la kabila la Efraimu ambalo lilikuwa limegawanya kwa koo zao lilikuwa kama ifuatavyo: mpaka wa urithi wao katika upande wa mashariki ulikuwa Atarothi Ada uliopanda kuelekea Bethi Horoni ya juu,
Meja Efrájimovih sinov, glede na njihove družine, je bila takšna, torej meja njihove dediščine na vzhodni strani je bil Atrót Adár, do gornjega Bet Horóna
6 na kutoka pale uliendelea hadi katika bahari. Kutoka Mikimethathi katika upande wa Kasikazini ulipinda upande wa mashariki kuelkea Taanathi Shilo na kupita ng'ambo yake katika upande wa mashariki kukabili Yanoa.
in meja je šla ven proti morju v Mihmetát na severni strani in meja je šla naokoli proti vzhodu v Taanát Šilo in šla poleg njega na vzhodu do Janóaha
7 Kisha ulishuka kutoka Yanoa hadi Atarothi na hata Naara, na kisha ukafika Yeriko, na kuishia katika Yordani.
in se spustila od Janóaha k Atarótu in k Naári in prišla k Jerihi in izšla pri Jordanu.
8 Kutoka Tapua, mpaka uliendelea katika upande wa magharibi hata kijito cha Kana na ulikomea katika bahari. Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Efraimu, uliogawanywa katika koo zao,
Meja je potekala od Tapúaha proti zahodu, k reki Kano in njeni izhodi so bili pri morju. To je dediščina rodu Efrájimovih otrok po njihovih družinah.
9 pamoja na miji yao iliyochaguliwa kwa ajili ya kabila la Efraimu iliyokuwa ndani ya urithi wa kabila la Manase - miji yote pamoja na vijiji vyao.
Oddvojena mesta za Efrájimove otroke so bila med dediščino Manásejevih otrok, vsa mesta z njihovimi vasmi.
10 Lakini hawakuwafukuza Wakanaani walioishi katika Gezeri, hivyo basi Wakanaani wanaishi ndani ya Efraimu hadi leo, lakini watu hawa walifanywa kuwa watumwa.
Niso pa pregnali Kánaancev, ki so prebivali v Gezerju, temveč so Kánaanci prebivali med Efrájimci do današnjega dne in služili podvrženi plačevanju davka.

< Yoshua 16 >