< Yoshua 16 >
1 Nchi waliyopewa kabila la Yusufu ilianzia katika Yordani huko Yeriko, mashariki mwa chemichemi za Yeriko, kupitia nyikani, kupanda kutoka Yeriko kupitia nchi ya milima ya Betheli.
И быша пределы сынов Иосифовых от Иордана иже ко Иерихону от восток, и восходят от Иерихона в горную пустыню в Вефиль,
2 Kisha uliendelea kutoka Betheli hadi Luzi na kupita hata Atarothi, iliyo miliki ya Waarkiti.
и исходят от Вефиля в Лузу, и преходят к пределом Ахиатарофа:
3 Kisha ilishuka chini upande wa magharibi kuelekea himaya ya Wayafuleti, hadi kufika miliki ya Loweri Bethi Horoni, na kisha iliendelea hadi Gezeri; na ilikomea katika bahari.
и прейдут к морю к пределом Иефалтимским, даже до предел Вефорона нижняго и даже до Газера, и будет исход их к морю.
4 Ilikuwa ni kwa njia hii makabila ya Yusufu, yaani Manase na Efraimu yalipata urithi wao.
И наследствоваша сынове Иосифовы Ефрем и Манассий,
5 Eneo la kabila la Efraimu ambalo lilikuwa limegawanya kwa koo zao lilikuwa kama ifuatavyo: mpaka wa urithi wao katika upande wa mashariki ulikuwa Atarothi Ada uliopanda kuelekea Bethi Horoni ya juu,
и быша пределы сынов Ефремлих по сонмом их: и быша пределы наследия их от восток Атароф и Адар, даже до Вефорона вышняго и Газары,
6 na kutoka pale uliendelea hadi katika bahari. Kutoka Mikimethathi katika upande wa Kasikazini ulipinda upande wa mashariki kuelkea Taanathi Shilo na kupita ng'ambo yake katika upande wa mashariki kukabili Yanoa.
и преходят пределы к морю в Махфоф от севера, и идут на восток во Финаф-Силом, и прейдут от восток во Ианоха,
7 Kisha ulishuka kutoka Yanoa hadi Atarothi na hata Naara, na kisha ukafika Yeriko, na kuishia katika Yordani.
и от Ианоха снидут во Атароф и в Наарафа и веси их: и приходят ко Иерихону и исходят ко Иордану,
8 Kutoka Tapua, mpaka uliendelea katika upande wa magharibi hata kijito cha Kana na ulikomea katika bahari. Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Efraimu, uliogawanywa katika koo zao,
и от Тапфу пойдут пределы к морю к водотечи Кана, и будет исход его к морю. Сие наследие племене сынов Ефремлих по сонмом их.
9 pamoja na miji yao iliyochaguliwa kwa ajili ya kabila la Efraimu iliyokuwa ndani ya urithi wa kabila la Manase - miji yote pamoja na vijiji vyao.
И грады отлученныя сыном Ефремлим посреде наследия сынов Манассииных, вси гради и веси их.
10 Lakini hawakuwafukuza Wakanaani walioishi katika Gezeri, hivyo basi Wakanaani wanaishi ndani ya Efraimu hadi leo, lakini watu hawa walifanywa kuwa watumwa.
И не погуби Ефрем Хананеа живущаго в Газере: и обиташа Хананее посреде Ефрема, дающе ему дани до днешняго дне, дондеже взыде фараон царь Египетский, и взя град, и запали его огнем: и Хананеев и Ферезеев и живущих в Газере избодоша: и даде его фараон в вено дщери своей.