< Yoshua 15 >

1 Ugawanaji wa nchi kwa kabila la watu wa Yuda, walipewa kwa kufuatana na koo zao, kutoka upande wa kusini hadi mpaka wa Edomu, pamoja na nyika ya Sini iliyokuwa mbali sana kuelekea kusini.
Lupan acn se itukyang nu sin sou nukewa in sruf lal Judah pa ac akkalemyeyuk inge: Acn se inge tufoki som nu epang, fahla nwe sun yen mwesis Zin, su pa inge masrol nu Edom.
2 Mpaka wao wa upande wa kusini ulianzia mwisho wa Bahari ya Chumvi, kutoka ghuba iliyokabili upande wa kusini.
Masrol nu eir fahla eir in Meoa Misa,
3 Mpaka wao mwingine ulielekea upande wa kusini wa mlima wa Akrabimu na kupita kuelekea Sini, na kupanda upande wa Kadeshi Barnea, karibu na Hezroni, hadi Addari mahali ambapo ulipinda kuelekea Karika.
fahla nu eir in Innek In Utyak Nu Akrabbim lac nu Zin, ac fahla pacna nu eir in acn Kadesh Barnea, alukela Hezron ac utyak nu Addar, ac kuhfla nu Karka,
4 Ulipita katika Azimoni, kuelekea kijito cha Misri, na mwisho ulikuwa katika bahari. Huu ulikuwa ni mpaka wa kusini.
ac fahla nu Azmon, ac ukwala infacl srisrik oan inmasrol nu Egypt nwe ke sun Meoa Mediterranean. Pa ingan saflaiyen masrol se inge, su masrol eir lun acn lal Judah.
5 Mpaka wa mashariki ulikuwa ni Bahari ya Chumvi, katika mdomo wa Yordani. Mpaka wa upande wa kasikazini ulianzia katika ghuba ya bahari katika mdomo wa Yordani.
Ac masrol nu kutulap an pa Meoa Misa, utyak na nwe kapin Infacl Jordan. Masrol nu epang mutawauk insacn,
6 Ulielekea mpaka Bethi Hogla na ulipita kaskazini mwa Bethi Araba. Kisha ulipanda hata JIwe la Bohani mwana wa Rubeni.
tutafla nu lucng nu Beth Hoglah, ac fahsr nu epang nu fin ngarngar su tu ngeti nu Infahlfal Jordan. Na utyak twe sun Eot lal Bohan (su wen natul Reuben),
7 Basi mpaka ule ulienda hadi Debiri kutoka katika bonde la Akori, kuelekea upande wa kasikazini, kuendelea hadi Giligali, ambayo iko mkabala na mlima Adumimu, iliyo upande wa kusini wa bonde. Kisha mpaka uliendelea hata katika chemichemi za Eni Shemeshi na kufika Eni Rogeli.
liki Infahlfal in Ongoiya utyak nu Debir, na kuhfla nu epang in Gilgal su oan tulanang Innek In Utyak Nu Adummim su oan eir nu infahlfal uh. Na fahla na nwe sun unon in kof se Enshemesh, ac fahla nu Enrogel,
8 kisha mpaka ulishuka hadi bonde la Beni Hinomu kuelekea upande wa kusini wa mji wa Wayebusi ( ambao ni Yerusalemu). Kisha ulipanda hata katika mlima ulio juu ya bonde la Hinomu, katika upande wa magharibi, ulio mwishoni mwa bonde la Refaimu katika upande wa kasikazini.
ac utyak sasla Infahlfal Hinnom nu eir in sisken eol uh, su siti lun mwet Jebus pangpang Jerusalem oan we. Na masrol sac utyak pacna nu lucng nu fin tohktok layen roto ke Infahlfal Hinnom, safla layen epang ke Infahlfal Rephaim.
9 Kisha mpaka ulitanuka kutoka katika kilele cha milima hata chemichemi ya Nefutoa, na ulipanda kutoka hapo kuelekea miji ya Mlima Efroni. Kisha mpaka ulipiga kona kuelekea Baala ( ambao ndio Kiriathi Yearimu).
Liki acn sacn sifilpa fahla na nwe ke unon in kof Nephtoah, ac fahla nu in siti uh apkuran nu ke eol Ephron, na kuhfla nu Baalah (ku Kiriath Jearim),
10 Baadaye mpaka ulizunguka kuelekea magharibi mwa Baala kukabili Mlima Seiri, na kupita kufuata upande wa Mlima wa Yearimu katika upande wa kasikazini (ambao ndio Kesaloni), ulienda chini hadi Bethi Shemeshi na kuvuka hata ng'ambo ya Timna.
ac fahsr rauni acn Baalah nu roto ac fahla nu acn tohktok in Edom, sifil fahsr nu epang in eol Jearim (ku Chesalon), na tufokla nu Beth Shemesh ac nu Timnah.
11 Mpaka uliendelea karibu na mlima wa kasikazini mwa mlima wa Ekroni, na kisha ukakata kona kuzunguka Shikeroni na kupita kuelekea sambasamba na Mlima Baala, kutoka hapo uliendelea hadi Yabneeli. Mpaka ule ulikomea katika bahari.
Masrol uh fahla epang in Fineol Ekron, na forla fahsr nu Shikkeron, alukela Fineol Baalah, ac som nu Jamnia. Safla ke Meoa Mediterranean,
12 Mpaka wa magharibi ulikuwa Bahari Kuu na katika ukanda wa pwani yake. Huu ndio mpaka uliozunguka kabila la Yuda, ukoo kwa ukoo.
su pa ingan masrol nu roto uh. Pa ingan masrol ma akkalemye lupan facl su mwet in sruf lal Judah elos muta we.
13 Katika kulitunza agizo la Yahweh kwa Yoshua, Yoshua alimpa Kalebu mwana wa Yefune mgao wa nchi ya. miongoni mwa kabila la Yuda, alimgawia nchi Kiriathi Arba, ambayo ndio Hebroni (Arba alikuwa ni baba wa Anaki).
In oana ke LEUM GOD El tuh fahk nu sel Joshua, sie ipin facl sin Judah tuh itukyang nu sel Caleb, wen natul Jephunneh, in sruf lal Judah. El eis acn Hebron, siti sel Arba, papa tumal Anak.
14 Kalebu aliwafukuzia mbali wana watatu wa Anaki: Sheshai, Ahimani na Talmai, wazawa wa Anaki.
Ac Caleb el lusla tulik natul Anak liki siti sac (sou lulap lal Sheshai ac Ahiman ac Talmai.)
15 Alipanda kutoka pale kinyume cha wenyeji wa Debiri (Debiri hapo mwanzo iliitwa Kiriathi Seferi).
Na el som liki acn sac, ac mweuni mwet muta in Debir (tuh pangpang siti se inge meet Kiriath Sepher).
16 Kalebu akasema, “Mtu atakayeishambulia Kiriathi Seferi na kuiteka, nitampa binti yangau, Akisa, awe mke wake.
Caleb el fahk, “Nga ac fah eisalang Achsah, acn nutik, elan payuk sin mukul se ma ac ku in mweuni ac sruokya acn Kiriath Sepher.”
17 Wakati huo Othinieli mwana wa Kenazi, kaka yake na Kalebu, aliuteka mji, na Kalebu alimpatia Akisa, binti yake awe mke wake.
Othniel, wen natul Kenaz su ma lel Caleb, el sruokya siti sac. Na Caleb el eisalang Achsah, acn natul, tuh elan mutan kial Othniel.
18 Mara baada ya hayo, Akisa alienda kwa Othinieli na alimsihi amwombe baba yake shamba. Na mara aliposhuka kutoka katika punda wake, Kalebu alimwambia Akisa, “Unataka nini?”
In len in marut laltal, Othniel el kwafe sel Achsah elan siyuk sie ipin acn sin papa tumal. Na ke Achsah el srola liki donkey natul, Caleb el siyuk sel lah mea el lungse.
19 Akisa akamjibu, “Nifanyie neema. Kwa kuwa umeshanipa nchi ya Negevu, nipe pia baadhi ya chemichemi za maji.” Na Kalebu alimpa chemichemi ya juu na chemichemi ya chini.
Na Achsah el topuk, “Nga lungse kutu acn ma oasr lufin kof we, mweyen acn ma kom ase nu sik acn na pao.” Na Caleb el sang nu sel unon in kof lucng ac ten.
20 Huu ulikuwa ndio urithi wa kabila la Yuda, waliopewa kufuatana na koo zao.
Pa inge acn ma sou in sruf lun Judah elos eis tuh in ma lalos.
21 Miji iliyo mali ya kabila la Yuda katika upande wa kusini, kuelekea mpaka wa Edomu, ilikuwa ni Kabzeeli, Eda, Yaguri,
Siti lalos inge, su oan loeslana nu eir apkuran nu ke masrol nu Edom pa Kabzeel, Eder, Jagur,
22 Kina, Dimona, Adada,
Kinah, Dimonah, Adadah,
23 Kadeshi, Hazor, Ithinani,
Kedesh, Hazor, Ithnan,
24 Zifu, Telemu, Bealothi.
Ziph, Telem, Bealoth,
25 Hazori Hadata, Keriothi Hezroni (mji huu ulijulikana kama Hazori),
Hazor Hadattah, Kerioth Hezron (ku Hazor),
26 Amamu, shema, Molada,
Amam, Shema, Moladah,
27 Hazari Gada, Heshimoni, Bethi Peleti,
Hazar Gaddah, Heshmon, Bethpelet,
28 Hazari Shuali, Beerisheba, Biziothia.
Hazar Shual, Beersheba, Biziothiah,
29 Baala, Limu, Ezemu,
Baalah, Iim, Ezem,
30 Eltoladi, Kesili, Horma,
Eltolad, Chesil, Hormah,
31 Ziklagi, Madimana, Sansana,
Ziklag, Madmannah, Sansannah,
32 Lebaothi, Shilihimu, Aini, na Rimoni. Miji hii ilikuwa ishirini na tisa kwa ujumla, kujumlisha na vijiji vyake.
Lebaoth, Shilhim, Ain, ac Rimmon — siti longoul eu nufon, wi inkul nukewa ma raunela siti inge.
33 Katika nchi iliyo chini ya mlima upande wa magharibi, kulikuwa na miji ya Eshtaoli, Zora, Ashina,
Ac siti su oan pe eol uh pa Eshtaol, Zorah, Ashnah,
34 Zanaoa, Eni Ganimu, Tapua, Enamu,
Zanoah, Engannim, Tappuah, Enam,
35 Yarmuthi, Adulamu, Soko, Azeka,
Jarmuth, Adullam, Socoh, Azekah,
36 Shaaraimu, Adithaimu, na Gedera ( ambayo ndio Gederothaimu). Hesabu ya miji hii ilikuwa ni kumi na nne, pamoja na vijiji vyao.
Shaaraim, Adithaim, Gederah, ac Gederothaim — siti singoul akosr nufon, wi inkul nukewa ma raunela siti inge.
37 Zena, Hadasha, Migidagadi,
Oayapa Zenan, Hadashah, Migdalgad,
38 Dileani, Mizipa, Yokitheeli,
Dilean, Mizpah, Joktheel,
39 Lakishi, Bozikathi, Egloni.
Lachish, Bozkath, Eglon,
40 Kaboni, Lahmamu, Kitilishi,
Cabbon, Lahmam, Chitlish,
41 Gederothi, Bethi Dagoni, Naama, Makeda. Hesabu ya miji hii ilikuwa kumi na sita, kujumlisha na vijiji vyao.
Gederoth, Bethdagon, Naamah, ac Makkedah — siti singoul onkosr nufon wi inkul nukewa ma raunela siti inge.
42 Libna, Etheri, Ashani,
Ac oayapa Libnah, Ether, Ashan,
43 Ifuta, Ashina, Nezibu,
Iphtah, Ashnah, Nezib,
44 Keila, Akizibu, na Maresha. Hii ilikuwa ni miji tisa, kujumlisha na vijiji vyao.
Keilah, Achzib, ac Mareshah — siti eu nufon wi inkul nukewa ma raunela siti inge.
45 Ekroni, pamoja na miji na vijiji vyake vinavyoizunguka;
Ac Ekron, wi acn ac inkul nukewa ma raunela,
46 kutoka Ekroni kuelekea Bahari Kuu, makazi yote ambayo yalikuwa karibu na Ashidodi, pamoja na vijiji vyake.
oayapa inkul ac acn nukewa ma oan apkuran nu Ashdod, Ekron me nwe ke Meoa Mediterranean.
47 Ashidodi, na miji na vijiji vyake vinavyoizunguka; Gaza na miji na vijiji vyake vinavyoizunguka; hata kufika kijito cha Misri, na kuelekea Bahari Kuu pamoja na ukanda wake wa pwani.
Ashdod ac Gaza, wi inkul ac acn nukewa ma raunela, fahla sun infacl srisrik su masrol nu Egypt, oayapa acn sisken Meoa Mediterranean.
48 Katika nchi ya milima, kuna miji ya Shamiri, Yatiri, Soko,
Pa inge siti ma oan fineol uh: Shamir, Jattir, Socoh,
49 Dana, Kiriathi Sana (ambayo ndio Debiri),
Dannah, Kiriath Sepher (ku Debir),
50 Anabu, Eshitemo, Animu,
Anab, Eshtemoa, Anim,
51 Gosheni, Holoni, na Gilo. Hii ilikuwa ni miji kumi na moja, kujumuisha na vijiji vyake.
Goshen, Holon, ac Giloh — siti singoul sie nufon, wi inkul nukewa ma raunela.
52 Arabu, Duma, Ehani,
Oayapa Arab, Dumah, Eshan,
53 Yanimu, Bethi Tapua, Afeka,
Janim, Beth Tappuah, Aphekah,
54 Humta, Kiriathi Arba (ambayo ndio Hebroni), na Ziori. Hii ilikuwa miji tisa, pamoja na vijiji vyake.
Humtah, Hebron, ac Zior — siti eu nufon wi inkul nukewa ma raunela.
55 Maoni, Karmeli, Zifu, Yuta,
Maon, Carmel, Ziph, Juttah,
56 Yezreeli, Yokdeamu, Zanoa,
Jezreel, Jokdeam, Zanoah,
57 Kaini, Gibea, na Timna. Hii ilikuwa ni miji kumi, kujumuisha na vijiji vyake.
Kain, Gibeah, ac Timnah — siti singoul wi inkul nukewa ma raunela.
58 Halhuli, Bethi Zuri, Gedori,
Halhul, Bethzur, Gedor,
59 Maarathi, Bethi Anothi, na Elitekoni. Hii ilikuwa miji sita, pamoja na vijiji vyake.
Maarath, Bethanoth, ac Eltekon. Siti onkosr wi inkul nukewa ma raunela.
60 Kiriathi Baali (ambayo ndio Kiriathi Yearimu), na Raba. Hii ilikuwa ni miji miwili, pamoja na vijiji vyake.
Kiriath Baal (ku Kiriath Jearim) ac Rabbah — siti luo wi inkul nukewa ma raunela.
61 Katika nyika, kulikuwa na miji ya Bethi Araba, Midini, Sekaka,
Siti selos yen mwesis an pa Beth Arabah, Middin, Secacah,
62 Nibushani, mji wa chumvi, na Eni Gedi. Hii ilikuwa miji, pamoja na vijiji vyao.
Nibshan, Siti Sohl, ac Engedi. Siti onkosr wi inkul nukewa ma raunela.
63 Lakini kwa Wayebusi, wenyeji wa Yerusalemu, kabila la Yuda halikuweza kuwafukuza, na hivyo, Wayebusi wanaishi pamoja na kabila la Yuda hadi leo hii.
Tuh mwet Judah elos koflana lusak mwet Jebus liki acn Jerusalem, pwanang mwet Jebus elos srakna muta inmasrlon mwet Judah nwe misenge.

< Yoshua 15 >