< Yoshua 15 >

1 Ugawanaji wa nchi kwa kabila la watu wa Yuda, walipewa kwa kufuatana na koo zao, kutoka upande wa kusini hadi mpaka wa Edomu, pamoja na nyika ya Sini iliyokuwa mbali sana kuelekea kusini.
Ainsi le lot des enfants de Juda, selon leur parenté, fut celui-ci: Depuis la frontière d’Edom, le désert de Sin contre le midi, jusqu’à l’extrémité de la contrée australe.
2 Mpaka wao wa upande wa kusini ulianzia mwisho wa Bahari ya Chumvi, kutoka ghuba iliyokabili upande wa kusini.
Le commencement de ce pays est à la pointe de la mer très salée, et à cette langue de mer qui regarde le midi;
3 Mpaka wao mwingine ulielekea upande wa kusini wa mlima wa Akrabimu na kupita kuelekea Sini, na kupanda upande wa Kadeshi Barnea, karibu na Hezroni, hadi Addari mahali ambapo ulipinda kuelekea Karika.
Et il sort contre la montée du Scorpion, et passe à Sina; puis, monte vers Cabesbarné, et parvient à Esron, montant vers Addar, et faisant le tour de Carcaa,
4 Ulipita katika Azimoni, kuelekea kijito cha Misri, na mwisho ulikuwa katika bahari. Huu ulikuwa ni mpaka wa kusini.
Et de là traversant Asémona, et arrivant jusqu’au torrent d’Egypte, et ses limites seront la grande mer: ce seront là ses confins du côté méridional.
5 Mpaka wa mashariki ulikuwa ni Bahari ya Chumvi, katika mdomo wa Yordani. Mpaka wa upande wa kasikazini ulianzia katika ghuba ya bahari katika mdomo wa Yordani.
Mais à l’orient, le commencement sera la mer très salée jusqu’à l’extrémité du Jourdain, et tout ce qui regarde vers l’aquilon, depuis la langue de mer jusqu’au même fleuve du Jourdain.
6 Ulielekea mpaka Bethi Hogla na ulipita kaskazini mwa Bethi Araba. Kisha ulipanda hata JIwe la Bohani mwana wa Rubeni.
Sa frontière monte à Beth-Hagla, et passe de l’aquilon à Beth-Araba, montant vers la pierre de Boën, fils de Ruben,
7 Basi mpaka ule ulienda hadi Debiri kutoka katika bonde la Akori, kuelekea upande wa kasikazini, kuendelea hadi Giligali, ambayo iko mkabala na mlima Adumimu, iliyo upande wa kusini wa bonde. Kisha mpaka uliendelea hata katika chemichemi za Eni Shemeshi na kufika Eni Rogeli.
S’étendant jusqu’aux frontières de Débéra, de la vallée d’Achor, contre l’aquilon, regardant Galgala qui est vis-à-vis de la montée d’Adommim, du côté austral du torrent; elle passe les eaux qui sont appelées Fontaine du Soleil, et se termine à la Fontaine du Rogel.
8 kisha mpaka ulishuka hadi bonde la Beni Hinomu kuelekea upande wa kusini wa mji wa Wayebusi ( ambao ni Yerusalemu). Kisha ulipanda hata katika mlima ulio juu ya bonde la Hinomu, katika upande wa magharibi, ulio mwishoni mwa bonde la Refaimu katika upande wa kasikazini.
Elle monte aussi par la vallée du fils d’Ennom du côté du Jébuséen au midi, c’est-à-dire de Jérusalem: et de là montant jusqu’au sommet de la montagne, qui est contre Géennom, à l’occident, à l’extrémité de la vallée des Raphaïm, contre l’aquilon,
9 Kisha mpaka ulitanuka kutoka katika kilele cha milima hata chemichemi ya Nefutoa, na ulipanda kutoka hapo kuelekea miji ya Mlima Efroni. Kisha mpaka ulipiga kona kuelekea Baala ( ambao ndio Kiriathi Yearimu).
Elle passe depuis le sommet de la montagne jusqu’à la fontaine de Nephtoa, et arrive jusqu’aux bourgs de la montagne d’Ephron; elle incline ensuite vers Baala, qui est Cariathiarim, c’est-à-dire. Ville des Forêts;
10 Baadaye mpaka ulizunguka kuelekea magharibi mwa Baala kukabili Mlima Seiri, na kupita kufuata upande wa Mlima wa Yearimu katika upande wa kasikazini (ambao ndio Kesaloni), ulienda chini hadi Bethi Shemeshi na kuvuka hata ng'ambo ya Timna.
Elle tourne de Baala contre l’occident jusqu’à la montagne de Séïr, passe au côté de la montagne de Jarim, vers l’aquilon, à Cheslon, descend à Bethsamès, et passe à Thamna;
11 Mpaka uliendelea karibu na mlima wa kasikazini mwa mlima wa Ekroni, na kisha ukakata kona kuzunguka Shikeroni na kupita kuelekea sambasamba na Mlima Baala, kutoka hapo uliendelea hadi Yabneeli. Mpaka ule ulikomea katika bahari.
Elle parvient contre la partie septentrionale d’Accaron, par le côté, incline ensuite vers Séchrona, passe la montagne de Baala, parvient jusqu’à Jebnéel, et se termine contre l’occident par la grande mer.
12 Mpaka wa magharibi ulikuwa Bahari Kuu na katika ukanda wa pwani yake. Huu ndio mpaka uliozunguka kabila la Yuda, ukoo kwa ukoo.
Telles sont les limites des enfants de Juda, de tous côtés, selon leur parenté.
13 Katika kulitunza agizo la Yahweh kwa Yoshua, Yoshua alimpa Kalebu mwana wa Yefune mgao wa nchi ya. miongoni mwa kabila la Yuda, alimgawia nchi Kiriathi Arba, ambayo ndio Hebroni (Arba alikuwa ni baba wa Anaki).
Mais à Caleb, fils de Jéphoné, Josué donna en partage, au milieu des enfants de Juda, Cariath-Arbé du père d’Enac, la même qu’Hébron.
14 Kalebu aliwafukuzia mbali wana watatu wa Anaki: Sheshai, Ahimani na Talmai, wazawa wa Anaki.
Et Caleb extermina de cette ville les trois enfants d’Enac, Sésaï, Ahiman et Tholmaï, de la race d’Enac.
15 Alipanda kutoka pale kinyume cha wenyeji wa Debiri (Debiri hapo mwanzo iliitwa Kiriathi Seferi).
Et montant de là, il vint vers les habitants de Dabir, qui auparavant était appelée Cariath-Sépher, c’est-à-dire Ville des lettres.
16 Kalebu akasema, “Mtu atakayeishambulia Kiriathi Seferi na kuiteka, nitampa binti yangau, Akisa, awe mke wake.
Et Caleb dit: Celui qui attaquera Cariath-Sépher, et la prendra, je lui donnerai Axa, ma fille, pour femme.
17 Wakati huo Othinieli mwana wa Kenazi, kaka yake na Kalebu, aliuteka mji, na Kalebu alimpatia Akisa, binti yake awe mke wake.
Othoniel, fils de Cénez et jeune frère de Caleb, la prit, et Caleb lui donna sa fille Axa pour femme.
18 Mara baada ya hayo, Akisa alienda kwa Othinieli na alimsihi amwombe baba yake shamba. Na mara aliposhuka kutoka katika punda wake, Kalebu alimwambia Akisa, “Unataka nini?”
Axa, lorsqu’ils allaient ensemble, fut engagée par son mari à demander à son père un champ; or, elle soupira pendant qu’elle était montée sur l’âne; alors Caleb: Qu’as-tu? lui dit-il.
19 Akisa akamjibu, “Nifanyie neema. Kwa kuwa umeshanipa nchi ya Negevu, nipe pia baadhi ya chemichemi za maji.” Na Kalebu alimpa chemichemi ya juu na chemichemi ya chini.
Et elle répondit: Accorde-moi une grâce: c’est une terre située au midi et aride, que tu m’as donnée, ajoutes-y une terre arrosée. Caleb lui en donna une arrosée en haut et en bas.
20 Huu ulikuwa ndio urithi wa kabila la Yuda, waliopewa kufuatana na koo zao.
Telle est la possession de la tribu des enfants de Juda, selon leur parenté.
21 Miji iliyo mali ya kabila la Yuda katika upande wa kusini, kuelekea mpaka wa Edomu, ilikuwa ni Kabzeeli, Eda, Yaguri,
Et aux extrémités de la terre des enfants de Juda, le long des frontières d’Edom, au midi, étaient les villes: Cabséel, Eder, Jagur,
22 Kina, Dimona, Adada,
Cina, Dimona, Adada,
23 Kadeshi, Hazor, Ithinani,
Cadès, Asor, Jethnam,
24 Zifu, Telemu, Bealothi.
Ziph, Télem, Baloth,
25 Hazori Hadata, Keriothi Hezroni (mji huu ulijulikana kama Hazori),
Asor la nouvelle, Carioth, Hesron, qui est la même qu’Asor,
26 Amamu, shema, Molada,
Amam, Sama, Molada,
27 Hazari Gada, Heshimoni, Bethi Peleti,
Asergadda, Hassémon, Bethphélet,
28 Hazari Shuali, Beerisheba, Biziothia.
Hasersual, Bersabée, Baziothia,
29 Baala, Limu, Ezemu,
Baala, Jim, Esem,
30 Eltoladi, Kesili, Horma,
Eltholad, Césil, Harma,
31 Ziklagi, Madimana, Sansana,
Sicéleg, Médéména, Sensenna,
32 Lebaothi, Shilihimu, Aini, na Rimoni. Miji hii ilikuwa ishirini na tisa kwa ujumla, kujumlisha na vijiji vyake.
Lébaoth, Sélim, Aen et Remmon: en tout vingt-neuf villes et leurs villages;
33 Katika nchi iliyo chini ya mlima upande wa magharibi, kulikuwa na miji ya Eshtaoli, Zora, Ashina,
Et dans les plaines: Estaol, Saréa, Aséna,
34 Zanaoa, Eni Ganimu, Tapua, Enamu,
Zanoé, Engannim, Taphua, Enaïm,
35 Yarmuthi, Adulamu, Soko, Azeka,
Jérimoth, Adullam, Socho, Azéca,
36 Shaaraimu, Adithaimu, na Gedera ( ambayo ndio Gederothaimu). Hesabu ya miji hii ilikuwa ni kumi na nne, pamoja na vijiji vyao.
Saraïm, Adithaïm, Gédéra, et Gédérothaïm: quatorze villes et leurs villages;
37 Zena, Hadasha, Migidagadi,
Sanam, Hadassa, Magdalgad,
38 Dileani, Mizipa, Yokitheeli,
Déléan, Masépha, Jecthel,
39 Lakishi, Bozikathi, Egloni.
Lachis, Bascath, Eglon,
40 Kaboni, Lahmamu, Kitilishi,
Chebbon, Léhéman, Céthlis,
41 Gederothi, Bethi Dagoni, Naama, Makeda. Hesabu ya miji hii ilikuwa kumi na sita, kujumlisha na vijiji vyao.
Gidéroth, Bethdagon, Naama et Macéda: seize villes et leurs villages;
42 Libna, Etheri, Ashani,
Labana, Ether, Asan,
43 Ifuta, Ashina, Nezibu,
Jephtha, Esna, Nésib,
44 Keila, Akizibu, na Maresha. Hii ilikuwa ni miji tisa, kujumlisha na vijiji vyao.
Ceïla, Achzib et Marésa: neuf villes et leurs villages;
45 Ekroni, pamoja na miji na vijiji vyake vinavyoizunguka;
Accaron avec ses bourgs et ses petits villages,
46 kutoka Ekroni kuelekea Bahari Kuu, makazi yote ambayo yalikuwa karibu na Ashidodi, pamoja na vijiji vyake.
Depuis Accaron jusqu’à la mer, tout ce qui s’étend vers Azot et ses bourgades;
47 Ashidodi, na miji na vijiji vyake vinavyoizunguka; Gaza na miji na vijiji vyake vinavyoizunguka; hata kufika kijito cha Misri, na kuelekea Bahari Kuu pamoja na ukanda wake wa pwani.
Azot avec ses bourgs et ses petits villages; Gaza avec ses bourgs et ses petits villages, jusqu’au torrent d’Egypte, et la grande mer est sa limite;
48 Katika nchi ya milima, kuna miji ya Shamiri, Yatiri, Soko,
Et dans la montagne: Samir, Jéther, Socoth,
49 Dana, Kiriathi Sana (ambayo ndio Debiri),
Danna, Chariathsenna, qui est la même que Dabir,
50 Anabu, Eshitemo, Animu,
Anab, Istémo, Anim,
51 Gosheni, Holoni, na Gilo. Hii ilikuwa ni miji kumi na moja, kujumuisha na vijiji vyake.
Gosen, Olon et Gilo: onze villes et leurs villages,
52 Arabu, Duma, Ehani,
Arab, Ruma, Esaan,
53 Yanimu, Bethi Tapua, Afeka,
Janum, Beththaphua, Aphéca,
54 Humta, Kiriathi Arba (ambayo ndio Hebroni), na Ziori. Hii ilikuwa miji tisa, pamoja na vijiji vyake.
Athmatha, Cariath-Arbé, qui est la même qu’Hébron, et Sior: neuf villes et leurs villages;
55 Maoni, Karmeli, Zifu, Yuta,
Mahon, Carmel, Ziph, Jota,
56 Yezreeli, Yokdeamu, Zanoa,
Jezraël, Jucadam, Zanoë,
57 Kaini, Gibea, na Timna. Hii ilikuwa ni miji kumi, kujumuisha na vijiji vyake.
Accaïn, Gabaa et Thamna: dix villes et leurs villages.
58 Halhuli, Bethi Zuri, Gedori,
Halhul, Bessur, Gédor,
59 Maarathi, Bethi Anothi, na Elitekoni. Hii ilikuwa miji sita, pamoja na vijiji vyake.
Mareth, Béthanoth et Eltécon: six villes et leurs villages;
60 Kiriathi Baali (ambayo ndio Kiriathi Yearimu), na Raba. Hii ilikuwa ni miji miwili, pamoja na vijiji vyake.
Cariathbaal, qui est la même que Cariathiarim, ville des Forêts, et Arebba: deux villes et leurs villages;
61 Katika nyika, kulikuwa na miji ya Bethi Araba, Midini, Sekaka,
Dans le désert: Betharaba, Meddin, Sachacha,
62 Nibushani, mji wa chumvi, na Eni Gedi. Hii ilikuwa miji, pamoja na vijiji vyao.
Nebsan, la ville de sel et Eugaddi: six villes et leurs villages.
63 Lakini kwa Wayebusi, wenyeji wa Yerusalemu, kabila la Yuda halikuweza kuwafukuza, na hivyo, Wayebusi wanaishi pamoja na kabila la Yuda hadi leo hii.
Quant au Jébuséen, habitant de Jérusalem, les enfants de Juda ne purent le détruire; et le Jébuséen a habité avec les enfants de Juda dans Jérusalem jusqu’au présent jour.

< Yoshua 15 >