< Yoshua 15 >
1 Ugawanaji wa nchi kwa kabila la watu wa Yuda, walipewa kwa kufuatana na koo zao, kutoka upande wa kusini hadi mpaka wa Edomu, pamoja na nyika ya Sini iliyokuwa mbali sana kuelekea kusini.
Juudan jälkeläisten sukukunta, heidän sukunsa, saivat arpaosansa etelästä, Edomin rajaan ja Siinin erämaahan päin, etäisintä etelää myöten.
2 Mpaka wao wa upande wa kusini ulianzia mwisho wa Bahari ya Chumvi, kutoka ghuba iliyokabili upande wa kusini.
Heidän eteläinen rajansa alkaa Suolameren päästä, sen eteläisimmästä pohjukasta,
3 Mpaka wao mwingine ulielekea upande wa kusini wa mlima wa Akrabimu na kupita kuelekea Sini, na kupanda upande wa Kadeshi Barnea, karibu na Hezroni, hadi Addari mahali ambapo ulipinda kuelekea Karika.
jatkuu Skorpionisolan eteläpuolitse, kulkee Siiniin, nousee Kaades-Barnean eteläpuolitse, kulkee Hesroniin, nousee Addariin ja kääntyy Karkaan päin.
4 Ulipita katika Azimoni, kuelekea kijito cha Misri, na mwisho ulikuwa katika bahari. Huu ulikuwa ni mpaka wa kusini.
Edelleen se kulkee Asmoniin ja jatkuu Egyptin puroon; sitten raja päättyy mereen. Tämä olkoon teidän eteläinen rajanne.
5 Mpaka wa mashariki ulikuwa ni Bahari ya Chumvi, katika mdomo wa Yordani. Mpaka wa upande wa kasikazini ulianzia katika ghuba ya bahari katika mdomo wa Yordani.
Itäisenä rajana on Suolameri Jordanin suuhun saakka. Pohjoinen raja alkaa siitä meren pohjukasta, jossa on Jordanin suu.
6 Ulielekea mpaka Bethi Hogla na ulipita kaskazini mwa Bethi Araba. Kisha ulipanda hata JIwe la Bohani mwana wa Rubeni.
Sieltä raja nousee Beet-Hoglaan ja kulkee Beet-Araban pohjoispuolitse; edelleen raja nousee Boohanin, Ruubenin pojan, kiveen.
7 Basi mpaka ule ulienda hadi Debiri kutoka katika bonde la Akori, kuelekea upande wa kasikazini, kuendelea hadi Giligali, ambayo iko mkabala na mlima Adumimu, iliyo upande wa kusini wa bonde. Kisha mpaka uliendelea hata katika chemichemi za Eni Shemeshi na kufika Eni Rogeli.
Sitten raja nousee Debiriin Aakorin laaksosta ja kääntyy pohjoiseen päin Gilgalia kohti, joka on vastapäätä puron eteläpuolella olevaa Adummimin solaa; sitten raja kulkee Een-Semeksen veteen ja päättyy Roogelin lähteeseen.
8 kisha mpaka ulishuka hadi bonde la Beni Hinomu kuelekea upande wa kusini wa mji wa Wayebusi ( ambao ni Yerusalemu). Kisha ulipanda hata katika mlima ulio juu ya bonde la Hinomu, katika upande wa magharibi, ulio mwishoni mwa bonde la Refaimu katika upande wa kasikazini.
Edelleen raja nousee Ben-Hinnomin laaksoon, Jebusilaiskukkulan, se on Jerusalemin, eteläpuolitse. Sitten raja nousee sen vuoren laelle, joka on vastapäätä Hinnomin laaksoa, lännessä päin, Refaimin tasangon pohjoisessa laidassa.
9 Kisha mpaka ulitanuka kutoka katika kilele cha milima hata chemichemi ya Nefutoa, na ulipanda kutoka hapo kuelekea miji ya Mlima Efroni. Kisha mpaka ulipiga kona kuelekea Baala ( ambao ndio Kiriathi Yearimu).
Tämän vuoren laelta raja kaartuu Neftoahin veden lähteelle ja jatkuu Efronin vuoren kaupunkeihin, ja sitten raja kaartuu Baalaan, se on Kirjat-Jearimiin.
10 Baadaye mpaka ulizunguka kuelekea magharibi mwa Baala kukabili Mlima Seiri, na kupita kufuata upande wa Mlima wa Yearimu katika upande wa kasikazini (ambao ndio Kesaloni), ulienda chini hadi Bethi Shemeshi na kuvuka hata ng'ambo ya Timna.
Baalasta raja kääntyy länteen päin Seirin vuoreen, kulkee Jearimin vuoren kukkulan, se on Kesalonin, pohjoispuolitse, laskeutuu Beet-Semekseen ja kulkee sitten Timnaan.
11 Mpaka uliendelea karibu na mlima wa kasikazini mwa mlima wa Ekroni, na kisha ukakata kona kuzunguka Shikeroni na kupita kuelekea sambasamba na Mlima Baala, kutoka hapo uliendelea hadi Yabneeli. Mpaka ule ulikomea katika bahari.
Edelleen raja jatkuu Ekronin kukkulaan, pohjoiseen päin; sitten raja kaartuu Sikkeroniin, kulkee Baala-vuoreen ja jatkuu Jabneeliin; sitten raja päättyy mereen.
12 Mpaka wa magharibi ulikuwa Bahari Kuu na katika ukanda wa pwani yake. Huu ndio mpaka uliozunguka kabila la Yuda, ukoo kwa ukoo.
Ja läntisenä rajana on Suuri meri; se on rajana. Nämä ovat Juudan jälkeläisten, heidän sukukuntiensa, rajat yltympäri.
13 Katika kulitunza agizo la Yahweh kwa Yoshua, Yoshua alimpa Kalebu mwana wa Yefune mgao wa nchi ya. miongoni mwa kabila la Yuda, alimgawia nchi Kiriathi Arba, ambayo ndio Hebroni (Arba alikuwa ni baba wa Anaki).
Mutta Kaalebille, Jefunnen pojalle, Joosua antoi, niinkuin Herra oli häntä käskenyt, osuuden Juudan jälkeläisten keskuudessa, Kirjat-Arban, anakilaisten isän Arban kaupungin, se on Hebronin.
14 Kalebu aliwafukuzia mbali wana watatu wa Anaki: Sheshai, Ahimani na Talmai, wazawa wa Anaki.
Ja Kaaleb karkoitti sieltä kolme anakilaista, Anakin jälkeläiset Seesain, Ahimanin ja Talmain,
15 Alipanda kutoka pale kinyume cha wenyeji wa Debiri (Debiri hapo mwanzo iliitwa Kiriathi Seferi).
ja lähti sieltä Debirin asukkaita vastaan; mutta Debirin nimi oli muinoin Kirjat-Seefer.
16 Kalebu akasema, “Mtu atakayeishambulia Kiriathi Seferi na kuiteka, nitampa binti yangau, Akisa, awe mke wake.
Silloin Kaaleb sanoi: "Joka voittaa ja valloittaa Kirjat-Seeferin, sille minä annan tyttäreni Aksan vaimoksi".
17 Wakati huo Othinieli mwana wa Kenazi, kaka yake na Kalebu, aliuteka mji, na Kalebu alimpatia Akisa, binti yake awe mke wake.
Niin Otniel, Kenaan, Kaalebin veljen, poika, valloitti sen; ja hän antoi tälle tyttärensä Aksan vaimoksi.
18 Mara baada ya hayo, Akisa alienda kwa Othinieli na alimsihi amwombe baba yake shamba. Na mara aliposhuka kutoka katika punda wake, Kalebu alimwambia Akisa, “Unataka nini?”
Ja kun Aksa tuli, niin hän yllytti miestänsä, että tämä pyytäisi hänen isältänsä peltomaata; ja Aksa pudottautui aasin selästä maahan. Silloin Kaaleb sanoi hänelle: "Mikä sinun on?"
19 Akisa akamjibu, “Nifanyie neema. Kwa kuwa umeshanipa nchi ya Negevu, nipe pia baadhi ya chemichemi za maji.” Na Kalebu alimpa chemichemi ya juu na chemichemi ya chini.
Niin hän vastasi: "Anna minulle jäähyväislahja, sillä sinä olet naittanut minut kuivaan maahan; anna siis minulle vesilähteitä". Silloin hän antoi hänelle Ylälähteet ja Alalähteet.
20 Huu ulikuwa ndio urithi wa kabila la Yuda, waliopewa kufuatana na koo zao.
Tämä on Juudan jälkeläisten sukukunnan, heidän sukujensa, perintöosa.
21 Miji iliyo mali ya kabila la Yuda katika upande wa kusini, kuelekea mpaka wa Edomu, ilikuwa ni Kabzeeli, Eda, Yaguri,
Juudan jälkeläisten sukukunnan etäisimmät kaupungit Edomin rajalla Etelämaassa ovat: Kabseel, Eeder, Jaagur,
23 Kadeshi, Hazor, Ithinani,
Kedes, Haasor, Jitnan,
24 Zifu, Telemu, Bealothi.
Siif, Telem, Bealot,
25 Hazori Hadata, Keriothi Hezroni (mji huu ulijulikana kama Hazori),
Haasor-Hadatta, Kerijot-Hesron, se on Haasor,
27 Hazari Gada, Heshimoni, Bethi Peleti,
Hasar-Gadda, Hesmon, Beet-Pelet,
28 Hazari Shuali, Beerisheba, Biziothia.
Hasar-Suual, Beerseba ja Bisjotja,
30 Eltoladi, Kesili, Horma,
Eltolad, Kesil, Horma,
31 Ziklagi, Madimana, Sansana,
Siklag, Madmanna, Sansanna,
32 Lebaothi, Shilihimu, Aini, na Rimoni. Miji hii ilikuwa ishirini na tisa kwa ujumla, kujumlisha na vijiji vyake.
Lebaot, Silhim, Ain ja Rimmon-kaikkiaan kaksikymmentä yhdeksän kaupunkia kylineen.
33 Katika nchi iliyo chini ya mlima upande wa magharibi, kulikuwa na miji ya Eshtaoli, Zora, Ashina,
Alankomaassa: Estaol, Sora, Asna,
34 Zanaoa, Eni Ganimu, Tapua, Enamu,
Saanoah, Een-Gannim, Tappuah, Eenam,
35 Yarmuthi, Adulamu, Soko, Azeka,
Jarmut, Adullam, Sooko, Aseka,
36 Shaaraimu, Adithaimu, na Gedera ( ambayo ndio Gederothaimu). Hesabu ya miji hii ilikuwa ni kumi na nne, pamoja na vijiji vyao.
Saaraim, Aditaim, Gedera ja Gederotaim-neljätoista kaupunkia kylineen;
37 Zena, Hadasha, Migidagadi,
Senan, Hadasa, Migdal-Gaad,
38 Dileani, Mizipa, Yokitheeli,
Dilan, Mispe, Jokteel,
39 Lakishi, Bozikathi, Egloni.
Laakis, Boskat, Eglon,
40 Kaboni, Lahmamu, Kitilishi,
Kabbon, Lahmas, Kitlis,
41 Gederothi, Bethi Dagoni, Naama, Makeda. Hesabu ya miji hii ilikuwa kumi na sita, kujumlisha na vijiji vyao.
Gederot, Beet-Daagon, Naema ja Makkeda-kuusitoista kaupunkia kylineen;
42 Libna, Etheri, Ashani,
Libna, Eter, Aasan,
43 Ifuta, Ashina, Nezibu,
Jiftah, Asna, Nesib,
44 Keila, Akizibu, na Maresha. Hii ilikuwa ni miji tisa, kujumlisha na vijiji vyao.
Kegila, Aksib ja Maaresa-yhdeksän kaupunkia kylineen;
45 Ekroni, pamoja na miji na vijiji vyake vinavyoizunguka;
Ekron ja sen tytärkaupungit ja kylät;
46 kutoka Ekroni kuelekea Bahari Kuu, makazi yote ambayo yalikuwa karibu na Ashidodi, pamoja na vijiji vyake.
koko se alue kylineen, joka on Asdodin puolella Ekronista mereen kulkevaa rajaa;
47 Ashidodi, na miji na vijiji vyake vinavyoizunguka; Gaza na miji na vijiji vyake vinavyoizunguka; hata kufika kijito cha Misri, na kuelekea Bahari Kuu pamoja na ukanda wake wa pwani.
Asdod ja sen tytärkaupungit ja kylät; Gassa ja sen tytärkaupungit ja kylät Egyptin puroon asti. Ja Suuri meri on rajana.
48 Katika nchi ya milima, kuna miji ya Shamiri, Yatiri, Soko,
Ja vuoristossa: Saamir, Jattir, Sooko,
49 Dana, Kiriathi Sana (ambayo ndio Debiri),
Danna, Kirjat-Sanna, se on Debir;
50 Anabu, Eshitemo, Animu,
Anab, Estemo, Aanim;
51 Gosheni, Holoni, na Gilo. Hii ilikuwa ni miji kumi na moja, kujumuisha na vijiji vyake.
Goosen, Hoolon ja Giilo-yksitoista kaupunkia kylineen;
53 Yanimu, Bethi Tapua, Afeka,
Jaanum, Beet-Tappuah, Afeka,
54 Humta, Kiriathi Arba (ambayo ndio Hebroni), na Ziori. Hii ilikuwa miji tisa, pamoja na vijiji vyake.
Humta, Kirjat-Arba, se on Hebron, ja Siior-yhdeksän kaupunkia kylineen;
55 Maoni, Karmeli, Zifu, Yuta,
Maaon, Karmel, Siif, Jutta,
56 Yezreeli, Yokdeamu, Zanoa,
Jisreel, Jokdeam ja Saanoah,
57 Kaini, Gibea, na Timna. Hii ilikuwa ni miji kumi, kujumuisha na vijiji vyake.
Kain, Gibea, Timna-kymmenen kaupunkia kylineen;
58 Halhuli, Bethi Zuri, Gedori,
Halhul, Beet-Suur, Gedor,
59 Maarathi, Bethi Anothi, na Elitekoni. Hii ilikuwa miji sita, pamoja na vijiji vyake.
Maarat, Beet-Anot ja Eltekon-kuusi kaupunkia kylineen;
60 Kiriathi Baali (ambayo ndio Kiriathi Yearimu), na Raba. Hii ilikuwa ni miji miwili, pamoja na vijiji vyake.
Kirjat-Baal, se on Kirjat-Jearim, ja Rabba-kaksi kaupunkia kylineen.
61 Katika nyika, kulikuwa na miji ya Bethi Araba, Midini, Sekaka,
Ja erämaassa: Beet-Araba, Middin, Sekaka,
62 Nibushani, mji wa chumvi, na Eni Gedi. Hii ilikuwa miji, pamoja na vijiji vyao.
Nibsan, Iir-Melah ja Een-Gedi-kuusi kaupunkia kylineen.
63 Lakini kwa Wayebusi, wenyeji wa Yerusalemu, kabila la Yuda halikuweza kuwafukuza, na hivyo, Wayebusi wanaishi pamoja na kabila la Yuda hadi leo hii.
Mutta jebusilaisia, jotka asuivat Jerusalemissa, eivät Juudan jälkeläiset kyenneet karkoittamaan, ja niin jebusilaiset jäivät asumaan Juudan jälkeläisten sekaan, Jerusalemiin, aina tähän päivään asti.