< Yoshua 15 >
1 Ugawanaji wa nchi kwa kabila la watu wa Yuda, walipewa kwa kufuatana na koo zao, kutoka upande wa kusini hadi mpaka wa Edomu, pamoja na nyika ya Sini iliyokuwa mbali sana kuelekea kusini.
The land that was allotted to the tribe of Judah was divided among its clans. That land extended south along the border of the Edom region, as far as the Zin Desert.
2 Mpaka wao wa upande wa kusini ulianzia mwisho wa Bahari ya Chumvi, kutoka ghuba iliyokabili upande wa kusini.
The southern border of the land that was allotted to the tribe of Judah started at the south end of the Dead Sea [and extended west].
3 Mpaka wao mwingine ulielekea upande wa kusini wa mlima wa Akrabimu na kupita kuelekea Sini, na kupanda upande wa Kadeshi Barnea, karibu na Hezroni, hadi Addari mahali ambapo ulipinda kuelekea Karika.
It extended south of Scorpion Pass to Zin [Desert], and from there west to a place south of Kadesh-Barnea, past Hezron [town], to Addar [town], and from there it turned [northwest] to Karka [town].
4 Ulipita katika Azimoni, kuelekea kijito cha Misri, na mwisho ulikuwa katika bahari. Huu ulikuwa ni mpaka wa kusini.
From there it continued to Azmon, and from there to the dry riverbed on the border of Egypt, and from there [west] to the [Mediterranean] Sea. That was the southern border.
5 Mpaka wa mashariki ulikuwa ni Bahari ya Chumvi, katika mdomo wa Yordani. Mpaka wa upande wa kasikazini ulianzia katika ghuba ya bahari katika mdomo wa Yordani.
The eastern border of the land of the tribe of Judah was the Dead Sea, and it extended [north] to [where the Jordan River ends at] the Dead Sea.
6 Ulielekea mpaka Bethi Hogla na ulipita kaskazini mwa Bethi Araba. Kisha ulipanda hata JIwe la Bohani mwana wa Rubeni.
The northern border started where the Jordan River ends at the Dead Sea. It extended [north] to Beth-Hoglah [town], and from there it extended north of Beth-Arabah [town] to the [big] stone [set up by] Reuben’s son Bohan.
7 Basi mpaka ule ulienda hadi Debiri kutoka katika bonde la Akori, kuelekea upande wa kasikazini, kuendelea hadi Giligali, ambayo iko mkabala na mlima Adumimu, iliyo upande wa kusini wa bonde. Kisha mpaka uliendelea hata katika chemichemi za Eni Shemeshi na kufika Eni Rogeli.
From there the border continued west through Achor Valley to Debir [city]. From there it turned north to Gilgal [city]. Gilgal is north of the road that goes through Adummim Pass, on the south side of the valley. From Gilgal the border extended west to the springs at En-Shemesh, and from there to En-Rogel.
8 kisha mpaka ulishuka hadi bonde la Beni Hinomu kuelekea upande wa kusini wa mji wa Wayebusi ( ambao ni Yerusalemu). Kisha ulipanda hata katika mlima ulio juu ya bonde la Hinomu, katika upande wa magharibi, ulio mwishoni mwa bonde la Refaimu katika upande wa kasikazini.
From there it extended through Ben-Hinnom Valley, south of the city where the Jebus people-group lived. (That city is now named Jerusalem.) From there the border extended to the top of the hill on the west side of Hinnom Valley, at the northern end of the valley where the Repha [giants] lived.
9 Kisha mpaka ulitanuka kutoka katika kilele cha milima hata chemichemi ya Nefutoa, na ulipanda kutoka hapo kuelekea miji ya Mlima Efroni. Kisha mpaka ulipiga kona kuelekea Baala ( ambao ndio Kiriathi Yearimu).
From there the border extended [northwest] to Nephtoah Spring, and from there to the cities near Ephron Mountain. From there the border extended [west] toward Baalah, which is now named Kiriath-Jearim.
10 Baadaye mpaka ulizunguka kuelekea magharibi mwa Baala kukabili Mlima Seiri, na kupita kufuata upande wa Mlima wa Yearimu katika upande wa kasikazini (ambao ndio Kesaloni), ulienda chini hadi Bethi Shemeshi na kuvuka hata ng'ambo ya Timna.
Then the border extended further west to Seir Mountain. Then it continued [southwest] along the north side of Jearim Mountain, which is also named Kesalon, to Beth-Shemesh [city]. From there it extended [northwest] past Timnah [city],
11 Mpaka uliendelea karibu na mlima wa kasikazini mwa mlima wa Ekroni, na kisha ukakata kona kuzunguka Shikeroni na kupita kuelekea sambasamba na Mlima Baala, kutoka hapo uliendelea hadi Yabneeli. Mpaka ule ulikomea katika bahari.
to the hill north of Ekron [city]. From there it extended [west] to Shikkeron [town] and past Baalah Mountain to Jabneel [town], then [northwest] to the [Mediterranean] Sea.
12 Mpaka wa magharibi ulikuwa Bahari Kuu na katika ukanda wa pwani yake. Huu ndio mpaka uliozunguka kabila la Yuda, ukoo kwa ukoo.
The western border of the land that was allotted to the tribe of Judah was the Mediterranean Sea. All the clans of Judah lived inside those borders.
13 Katika kulitunza agizo la Yahweh kwa Yoshua, Yoshua alimpa Kalebu mwana wa Yefune mgao wa nchi ya. miongoni mwa kabila la Yuda, alimgawia nchi Kiriathi Arba, ambayo ndio Hebroni (Arba alikuwa ni baba wa Anaki).
Yahweh commanded Joshua to give part of the land for the tribe of Judah to Caleb. So he gave to Caleb Kiriath-Arba [city], which is now named Hebron. (Arba was the ancestor of the Anak people-group.)
14 Kalebu aliwafukuzia mbali wana watatu wa Anaki: Sheshai, Ahimani na Talmai, wazawa wa Anaki.
Caleb forced the three clans of the Anak people-group to leave Hebron. Those were the Sheshai, Ahiman, and Talmai clans.
15 Alipanda kutoka pale kinyume cha wenyeji wa Debiri (Debiri hapo mwanzo iliitwa Kiriathi Seferi).
Then Caleb left there and went to fight against the people living in Debir [city], which was previously named Kiriath-Sepher.
16 Kalebu akasema, “Mtu atakayeishambulia Kiriathi Seferi na kuiteka, nitampa binti yangau, Akisa, awe mke wake.
Caleb said, “If someone attacks [the people in] Kiriath-Sepher and captures their city, I will give my daughter Acsah to him to be his wife.”
17 Wakati huo Othinieli mwana wa Kenazi, kaka yake na Kalebu, aliuteka mji, na Kalebu alimpatia Akisa, binti yake awe mke wake.
Othniel, the son of Caleb’s brother Kenaz, captured the city. So Caleb gave his daughter to him.
18 Mara baada ya hayo, Akisa alienda kwa Othinieli na alimsihi amwombe baba yake shamba. Na mara aliposhuka kutoka katika punda wake, Kalebu alimwambia Akisa, “Unataka nini?”
When Caleb’s daughter married Othniel, she told him to ask her father to give her a field. Then Acsah went to talk with her father Caleb. As she got down from her donkey, Caleb asked her, “Do you want something?”
19 Akisa akamjibu, “Nifanyie neema. Kwa kuwa umeshanipa nchi ya Negevu, nipe pia baadhi ya chemichemi za maji.” Na Kalebu alimpa chemichemi ya juu na chemichemi ya chini.
Acsah replied, “Yes, I want you to do something for me. You have given me some land in the southern part of Canaan, [but there is no water there]. So please give me some [land that has] springs.” So Caleb gave her the upper and lower springs [near Hebron].
20 Huu ulikuwa ndio urithi wa kabila la Yuda, waliopewa kufuatana na koo zao.
[Here is a list of the towns in] the land [that God had promised to] give to the tribe of Judah. Each clan was allotted some of the land.
21 Miji iliyo mali ya kabila la Yuda katika upande wa kusini, kuelekea mpaka wa Edomu, ilikuwa ni Kabzeeli, Eda, Yaguri,
The tribe of Judah was allotted all these towns in the southern [desert area of Canaan], near the border of the Edom [region]: Kabzeel, Eder, Jagur,
23 Kadeshi, Hazor, Ithinani,
Kedesh, Hazor, Ithnan,
24 Zifu, Telemu, Bealothi.
Ziph, Telem, Bealoth,
25 Hazori Hadata, Keriothi Hezroni (mji huu ulijulikana kama Hazori),
Hazor-Hadattah, Kerioth-Hezron (which is also named Hazor),
27 Hazari Gada, Heshimoni, Bethi Peleti,
Hazar-Gaddah, Heshmon, Beth-Pelet,
28 Hazari Shuali, Beerisheba, Biziothia.
Hazar-Shual, Beersheba, Biziothiah,
30 Eltoladi, Kesili, Horma,
Eltolad, Kesil, Hormah,
31 Ziklagi, Madimana, Sansana,
Ziklag, Madmannah, Sansannah,
32 Lebaothi, Shilihimu, Aini, na Rimoni. Miji hii ilikuwa ishirini na tisa kwa ujumla, kujumlisha na vijiji vyake.
Lebaoth, Shilhim, Ain, and Rimmon. There were 29 towns altogether and their surrounding villages.
33 Katika nchi iliyo chini ya mlima upande wa magharibi, kulikuwa na miji ya Eshtaoli, Zora, Ashina,
The tribe of Judah was allotted these towns in the [northern part of the western] foothills: Eshtaol, Zorah, Ashnah,
34 Zanaoa, Eni Ganimu, Tapua, Enamu,
Zanoah, En-Gannim, Tappuah, Enam,
35 Yarmuthi, Adulamu, Soko, Azeka,
Jarmuth, Adullam, Socoh, Azekah,
36 Shaaraimu, Adithaimu, na Gedera ( ambayo ndio Gederothaimu). Hesabu ya miji hii ilikuwa ni kumi na nne, pamoja na vijiji vyao.
Shaaraim, Adithaim, and Gederah (which is also named Gederothaim). Altogether there were 14 towns and their surrounding villages.
37 Zena, Hadasha, Migidagadi,
[The tribe of Judah was also allotted these towns in the southern part of the western foothills]: Zenan, Hadashah, Migdal-Gad,
38 Dileani, Mizipa, Yokitheeli,
Dilean, Mizpah, Joktheel,
39 Lakishi, Bozikathi, Egloni.
Lachish, Bozkath, Eglon,
40 Kaboni, Lahmamu, Kitilishi,
Cabbon, Lahmas, Kitlish,
41 Gederothi, Bethi Dagoni, Naama, Makeda. Hesabu ya miji hii ilikuwa kumi na sita, kujumlisha na vijiji vyao.
Gederoth, Beth-Dagon, Naamah, and Makkedah. There were 16 towns altogether and their surrounding villages.
42 Libna, Etheri, Ashani,
The tribe of Judah was also allotted these towns in [the central part of] the western foothills: Libnah, Ether, Ashan,
43 Ifuta, Ashina, Nezibu,
Iphtah, Ashnah, Nezib,
44 Keila, Akizibu, na Maresha. Hii ilikuwa ni miji tisa, kujumlisha na vijiji vyao.
Keilah, Aczib, and Mareshah. There were nine towns altogether, with their surrounding villages.
45 Ekroni, pamoja na miji na vijiji vyake vinavyoizunguka;
The tribe of Judah was also allotted these towns [close to the Mediterranean Sea] with their surrounding villages: Ekron and the towns between Ekron and the coast, Ashdod, and Gaza. The area extended south to the dry riverbed on the border of Egypt.
46 kutoka Ekroni kuelekea Bahari Kuu, makazi yote ambayo yalikuwa karibu na Ashidodi, pamoja na vijiji vyake.
47 Ashidodi, na miji na vijiji vyake vinavyoizunguka; Gaza na miji na vijiji vyake vinavyoizunguka; hata kufika kijito cha Misri, na kuelekea Bahari Kuu pamoja na ukanda wake wa pwani.
48 Katika nchi ya milima, kuna miji ya Shamiri, Yatiri, Soko,
The tribe of Judah was also allotted these towns in [the southwest part of] the hilly region: Shamir, Jattir, Socoh,
49 Dana, Kiriathi Sana (ambayo ndio Debiri),
Dannah, Kiriath-Sannah (which is now named Debir),
50 Anabu, Eshitemo, Animu,
Anab, Eshtemoh, Anim,
51 Gosheni, Holoni, na Gilo. Hii ilikuwa ni miji kumi na moja, kujumuisha na vijiji vyake.
Goshen, Holon, and Giloh. There were eleven towns with their surrounding villages.
The tribe of Judah was also allotted these towns in [the south-central part of] the hilly region: Arab, Dumah, Eshan,
53 Yanimu, Bethi Tapua, Afeka,
Janim, Beth-Tappuah, Aphekah,
54 Humta, Kiriathi Arba (ambayo ndio Hebroni), na Ziori. Hii ilikuwa miji tisa, pamoja na vijiji vyake.
Humtah, Kiriath-Arba (which is now named Hebron), and Zior. There were nine towns altogether with their surrounding villages.
55 Maoni, Karmeli, Zifu, Yuta,
The tribe of Judah was also allotted these towns [in the southeastern part of the hilly region]: Maon, Carmel, Ziph, Juttah,
56 Yezreeli, Yokdeamu, Zanoa,
Jezreel, Jokdeam, Zanoah,
57 Kaini, Gibea, na Timna. Hii ilikuwa ni miji kumi, kujumuisha na vijiji vyake.
Kain, Gibeah, and Timnah. There were ten towns altogether with their surrounding villages.
58 Halhuli, Bethi Zuri, Gedori,
The tribe of Judah was also allotted these towns [in the central part of the hilly region]: Halhul, Beth-Zur, Gedor,
59 Maarathi, Bethi Anothi, na Elitekoni. Hii ilikuwa miji sita, pamoja na vijiji vyake.
Maarath, Beth-Anoth, and Eltekon. There were six towns altogether with their surrounding villages.
60 Kiriathi Baali (ambayo ndio Kiriathi Yearimu), na Raba. Hii ilikuwa ni miji miwili, pamoja na vijiji vyake.
The tribe of Judah was also allotted two towns [in the northern part of the hilly region], Rabbah and Kiriath-Baal (which is also named Kiriath-Jearim).
61 Katika nyika, kulikuwa na miji ya Bethi Araba, Midini, Sekaka,
The tribe of Judah was also [allotted these towns] in the desert [near the Dead Sea]: Beth-Arabah, Middin, Secacah,
62 Nibushani, mji wa chumvi, na Eni Gedi. Hii ilikuwa miji, pamoja na vijiji vyao.
Nibshan, Salt city, and En-Gedi. There were six towns altogether with their surrounding villages.
63 Lakini kwa Wayebusi, wenyeji wa Yerusalemu, kabila la Yuda halikuweza kuwafukuza, na hivyo, Wayebusi wanaishi pamoja na kabila la Yuda hadi leo hii.
[The army of the tribe of] Judah was not able to force the people of the Jebus people-group to leave Jerusalem. So the people of that group are still living among the tribe of Judah.