< Yoshua 14 >

1 Maeneo haya ya nchi ambayo watu wa Israeli waliyapokea kama urithi wao katika nchi ya Kanaani. Urith huu uligawanywa kwao na Eliazeri kuhani, na Yoshua mwana wa Nuni, na viongozi wa makabila ya mababu wa familia zao kati ya watu wa Israeli.
زمینهای تصرف شدهٔ کنعان، بین نه قبیله و نیم به حکم قرعه تقسیم شد، چون خداوند به موسی دستور داده بود که زمینها به حکم قرعه تقسیم شوند. العازار کاهن، یوشع و رؤسای قبایل بنی‌اسرائیل این قرعه‌کشی را انجام دادند.
2 Urithi wao ulichaguliwa kwa kupiga kura kwa makabila tisa na nusu, kama vile Yahweh alivyoagiza kwa mkono wa Musa.
3 Kwa kuwa Musa alikuwa amewapa urithi makabila mawili na nusu ng'ambo ya Yordani, lakini Walawi hawakupewa urithi wowote.
موسی قبلاً زمینهای سمت شرقی رود اردن را به دو قبیله و نیم داده بود. (قبیلهٔ یوسف شامل دو قبیله به نامهای منسی و افرایم بود. قبیلهٔ لاوی نیز گرچه به طور کلی از زمین محروم بود، ولی شهرهایی برای سکونت و چراگاههایی برای چرانیدن حیوانات به ایشان داده شد.)
4 Kabila la Yusufu kwa uhalisia yalikuwa makabila mawili, Manase na Efraimu. Na hakuna sehemu yoyote ya urithi waliyopewa Walawi katika nchi, lakini walipewa miji ya kuishi ndani yake pamoja na sehemu ya malisho ya mifugo yao na kwa ajili ya riziki zao.
5 Watu wa Israeli walifanya hivyo kama vile Yahweh alivyomwagiza Musa, basi waliiganywa nchi.
پس تقسیم زمین، مطابق دستورهایی که خداوند به موسی داده بود، انجام گرفت.
6 Kisha kabila la Yuda lilikuja kwa Yoshua huko Giligali. Kalebu mwana wa Yefune Mkenizi, akamwambia,”Unajua kile Yahweh alichomwambia Musa mtu wa Mungu juu yako na mimi huko Barnea.
روزی عده‌ای از مردان قبیلهٔ یهودا به جلجال نزد یوشع آمدند. یکی از آنها که کالیب، پسر یَفُنه قَنِزی بود، از یوشع پرسید: «آیا به خاطر داری وقتی در قادش برنیع بودیم، خداوند دربارهٔ من و تو به موسی چه گفت؟
7 Nilikuwa na umri wa miaka arobani wakati Musa mtumishi wa Yahweh aliponituma kutoka Kadeshi Barnea kuipeleleza nchi. Nilimletea taarifa tena kama nilivyotakiwa kufanya katika moyo wangu.
در آن زمان من چهل ساله بودم. موسی خدمتگزار خداوند ما را از قادش برنیع به سرزمین کنعان فرستاد تا وضع آنجا را بررسی کنیم. من آنچه را که حقیقت داشت به او گزارش دادم،
8 Lakini ndugu zangu walioenda pamoja nami waliifanya mioyo ya watu iyeyuke kwa woga. Lakini mimi nilimfuata Yahweh kabisa.
اما برادران دیگر که با من آمده بودند، قوم را از رفتن به کنعان ترسانیدند. ولی چون من خداوند، خدای خود را پیروی می‌کردم،
9 Musa aliapa katika siku hiyo akisema, “Hakika nchi ambayo miguu yako imetembea juu yake itakuwa urithi wako na kwa watoto wako milele, kwasababu umemfuata kabisa Yahweh Mungu wangu.
موسی به من قول داد زمینی که قدم در آن گذاشته‌ام تا ابد از آن من و فرزندانم باشد.
10 Tazama! sasa, Yahweh amenihifadhi hai kwa miaka hii arobaini na tano, kama alivyosema - tangu kipindi kile Yahweh alivyomwambia Musa neno hili, wakati huo Waisraeli walikuwa wakitembea jangwani. Tazama! sasa katika siku hii ya leo nina miaka themanini na mitano.
حال چنانکه می‌بینی، از آن هنگام که در بیابان سرگردان بودیم تاکنون که چهل و پنج سال از آن می‌گذرد خداوند مرا زنده نگاه داشته است. با اینکه هشتاد و پنج سال از عمرم می‌گذرد
11 Bado hata siku hii ya leo nina nguvu kama nilivyokuwa katika siku ile ambayo Musa alinituma. Nguvu zangu za sasa ni sawa na nguvu zangu za kipindi kile, kwa ajili ya vita na kwa kwenda na kwa kuja.
هنوز مانند زمانی که موسی ما را برای بررسی سرزمین کنعان فرستاد، سالم و قوی هستم و می‌توانم باز مثل گذشته سفر کنم و با دشمنان بجنگم!
12 Sasa basi, nipe nchi hii ya milima, ambayo Yahweh aliniahidi katika siku hiyo. Kwa kuwa ulisikia katika siku hiyo kuwa Wanakimu walikuwa huko katika miji yenye ngome. Itakuwa kwamba Yahweh atakuwa pamoja nami na ya kwamba nitawafukuzia mbali, kama vile Yahweh alivyosema.”
پس اکنون کوهستانی را که خداوند وعده‌اش را به من داده است، به من بده. بدون شک به خاطر می‌آوری وقتی برای بررسی اوضاع به کنعان رفته بودیم، عناقی‌های غول‌آسا در آن کوهستان زندگی می‌کردند و شهرهای ایشان بزرگ و حصاردار بود؛ اما به یاری خداوند، من آنها را از آنجا بیرون خواهم راند، همان‌طور که خداوند فرموده است.»
13 Kisha Yoshua alimbariki Kalebu mwana wa Yefune na alimpa Hebroni kama urithi wake.
یوشع کالیب را برکت داد و حبرون را به او بخشید، زیرا کالیب از صمیم دل خداوند، خدای اسرائیل را پیروی کرده بود. حبرون تا امروز نیز از آن کالیب می‌باشد.
14 Hivyo Hebroni ikawa urithi wa Kalebu mwana wa Yefune Mkenizi hata leo, kwasababu alimfuata kabisa Yahweh, Mungu wa Israeli.
15 Basi, jina la Hebroni hapo mwanzo lilikuwa ni Kiriathi Arba ( Arba ambaye alikuwa ni mtu mkuu miongoni mwa Wanakim). Kisha nchi ikawa na raha bila vita.
(پیش از آن حبرون، قریهٔ اربع نامیده می‌شد. اربع نام بزرگترین دلاور عناقی‌ها بود.) در این زمان، در سرزمین کنعان صلح برقرار بود.

< Yoshua 14 >