< Yoshua 14 >

1 Maeneo haya ya nchi ambayo watu wa Israeli waliyapokea kama urithi wao katika nchi ya Kanaani. Urith huu uligawanywa kwao na Eliazeri kuhani, na Yoshua mwana wa Nuni, na viongozi wa makabila ya mababu wa familia zao kati ya watu wa Israeli.
Canaan gamsunga Eleazer thempupa leh Nun chapa Joshua chuleh apu apau, insung lhah dungjuija Israel chate phung jousea lamkai hon Israel chate goulo dia ana hoppeh u, Israel chaten jong akisan cheh agoulo’u gamsung cheh chu hichenghi ahi.
2 Urithi wao ulichaguliwa kwa kupiga kura kwa makabila tisa na nusu, kama vile Yahweh alivyoagiza kwa mkono wa Musa.
Israel phungkole akeh khat gam kihop dingdolla Pakaiyin Mose thu anapeh bang bangin agoulo diu gamchan chu vang kisana kihom anahi.
3 Kwa kuwa Musa alikuwa amewapa urithi makabila mawili na nusu ng'ambo ya Yordani, lakini Walawi hawakupewa urithi wowote.
Israel phungni le phung kehkhat vang chu Mose in agoulo diuva Jordan vadung gallama gam anapehsa ahitai, Levi phungmite chu Israel lah a gouloding gam apeh lou mong mong ahi.
4 Kabila la Yusufu kwa uhalisia yalikuwa makabila mawili, Manase na Efraimu. Na hakuna sehemu yoyote ya urithi waliyopewa Walawi katika nchi, lakini walipewa miji ya kuishi ndani yake pamoja na sehemu ya malisho ya mifugo yao na kwa ajili ya riziki zao.
Chujongleh Joseph Chate chu phungni akisouvin, Manasseh le Ephraim ahi, Levite vangchu gamsunga amaho chanding gam akipepon, achenna diu khopi mai ail eh gancha vahna diu hamhing gamtoh athilkeo u maimaibou ahi.
5 Watu wa Israeli walifanya hivyo kama vile Yahweh alivyomwagiza Musa, basi waliiganywa nchi.
Pakaiyin Mose ahilla athupeh bang bangin Israel chaten abolsoh keiyin gam akihom tauve.
6 Kisha kabila la Yuda lilikuja kwa Yoshua huko Giligali. Kalebu mwana wa Yefune Mkenizi, akamwambia,”Unajua kile Yahweh alichomwambia Musa mtu wa Mungu juu yako na mimi huko Barnea.
Gilgal achun Judah chate thalheng in miphabep Kenizz mi kitipa, Jephunneh Chapa Caleb lamkai nan ahung kitol touvin, Joshua jah a chun hitin aseiyin, “Kadesh Barnea kiti munna chu keile nang chungchang thudolla Pakaiyin Pathenmi Mose jaha ipi anaseipeh geldoh in.
7 Nilikuwa na umri wa miaka arobani wakati Musa mtumishi wa Yahweh aliponituma kutoka Kadeshi Barnea kuipeleleza nchi. Nilimletea taarifa tena kama nilivyotakiwa kufanya katika moyo wangu.
Pakai lhacha Mose Kadesh-barnea muna konna Cannan gam velhidia eina sol chun keima kum somli kana lhingtai, hichea chun keiman kalungsunga kahet chanchu Mose henga thu kahin lhutnin ahi.
8 Lakini ndugu zangu walioenda pamoja nami waliifanya mioyo ya watu iyeyuke kwa woga. Lakini mimi nilimfuata Yahweh kabisa.
Ahinla kachepi khompi kasopiho chun gamptep gam jotlutding chu mipi lungthim asulhadeh jeng un ahi, ahinlah keivangin Pakai ka Pathen chu lungthim pumpin kajui lhum keijin ahi.
9 Musa aliapa katika siku hiyo akisema, “Hakika nchi ambayo miguu yako imetembea juu yake itakuwa urithi wako na kwa watoto wako milele, kwasababu umemfuata kabisa Yahweh Mungu wangu.
Hijeh chun hiche nikho chun, Mose akihahsel in aseitan ahi,”Tahbehin nakengphang achotphana muntinchu aitih a nangle nachilhahte goullo dinga nachan ding ahi, ajeh chu nangin Pakai ka Pathen chu najuilhum keiyin ahi” einatin ahi.
10 Tazama! sasa, Yahweh amenihifadhi hai kwa miaka hii arobaini na tano, kama alivyosema - tangu kipindi kile Yahweh alivyomwambia Musa neno hili, wakati huo Waisraeli walikuwa wakitembea jangwani. Tazama! sasa katika siku hii ya leo nina miaka themanini na mitano.
“Tun vetan, Pakiyin aseibang bangin Israel gamthip gamma akitolle laiya Pakiyin Mose jah a hiche thu anaseija pat tuphat geihin keima eihing hoinalaiyin, tuhin kum somgetlenga kalhingtai.
11 Bado hata siku hii ya leo nina nguvu kama nilivyokuwa katika siku ile ambayo Musa alinituma. Nguvu zangu za sasa ni sawa na nguvu zangu za kipindi kile, kwa ajili ya vita na kwa kwenda na kwa kuja.
Tuni geihin Mose’n gamvea einasol lai bangin katha ahat nalaiyin, hichepetna katha hat bang bangin kahat nalaiyin, galkon theileh gallamkaithei kahi nalaije.
12 Sasa basi, nipe nchi hii ya milima, ambayo Yahweh aliniahidi katika siku hiyo. Kwa kuwa ulisikia katika siku hiyo kuwa Wanakimu walikuwa huko katika miji yenye ngome. Itakuwa kwamba Yahweh atakuwa pamoja nami na ya kwamba nitawafukuzia mbali, kama vile Yahweh alivyosema.”
Chuti ahiyeh chun Chuche nikhoa Pakaiyin eina teppeh bang bangchun hiche molkhu neipetan. Gamvellhi ichelai’juva thupitah a khopi kul kigetkhum ho sunga cheng Anak chilhah hochu nahen ahi. Ahiyeng vang'in Pakaiyin eiumpileh Aman aseibang banga ama hokhu kajoa kanodoh ding ahi,” ati.
13 Kisha Yoshua alimbariki Kalebu mwana wa Yefune na alimpa Hebroni kama urithi wake.
Hitichun Jephunneh Chapa Caleb chu Joshua’n phatthei aboh in ama chantum dingin Hebron chu anapetan ahi.
14 Hivyo Hebroni ikawa urithi wa Kalebu mwana wa Yefune Mkenizi hata leo, kwasababu alimfuata kabisa Yahweh, Mungu wa Israeli.
Hitihin, Hebron chu Jephunneh Chapa Caleb le achilhahte achengden tauvin ahi, ajeh chu aman Israel Pakai Pathen chu anajuilhum keijin ahi.
15 Basi, jina la Hebroni hapo mwanzo lilikuwa ni Kiriathi Arba ( Arba ambaye alikuwa ni mtu mkuu miongoni mwa Wanakim). Kisha nchi ikawa na raha bila vita.
(Tumasang chun Hebron hi Kiriath-arba ana kitin ahi. Hichehi Anak chilhah galhat penpa Arba minna kisah ahi) Hitichun gamleiset chu galdouna a kon in anakicholdotan ahi.

< Yoshua 14 >