< Yoshua 12 >

1 Basi hawa ndio wafalme wa nchi, ambao watu wa Israeli walishindwa. Waisraeli walichukua miliki ya nchi katika upande wa mashariki mwa Yordani sehemu ambako jua huchomoza, kutoka bonde la Mto Arnoni hadi Mlima Hermoni, na nchi yote ya Araba kuelekea kusini.
ESTOS son los reyes de la tierra que los hijos de Israel hirieron, y cuya tierra poseyeron de la otra parte del Jordán al nacimiento del sol, desde el arroyo de Arnón hasta el monte Hermón, y toda la llanura oriental:
2 Sihoni, mfalme wa Waamori, aliishi katika Heshiboni. Alitawala kutoka Aroeri, ambayo iko juu ya bonde la Arnoni kutoka katikati ya bonde, na nusu ya Geleadi kushuka mpaka Mto Yaboki katika mpaka wa Waamori.
Sehón rey de los Amorrheos, que habitaba en Hesbón, y señoreaba desde Aroer, que está á la ribera del arroyo de Arnón, y desde en medio del arroyo, y la mitad de Galaad, hasta el arroyo Jaboc, el término de los hijos de Ammón;
3 Sihoni pia alitawala juu ya Araba mpaka Bahari ya Kinerethi, kwenda mashariki, kuelekea Bahari ya Araba (Bahari ya Chumvi) upande wa mashariki, hadi huko Bethi Yeshimothi na upande wa kusini, kuelekea chini ya miteremko wa Mlima Pisiga.
Y desde la campiña hasta la mar de Cinneroth, al oriente; y hasta la mar de la llanura, el mar Salado, al oriente, por el camino de Beth-jesimoth; y desde el mediodía debajo de las vertientes del Pisga.
4 Ogu, mfalme wa Bashani, mmoja kati ya mabaki ya Rephaimu, aliyeishi huko Shatarothi na Edrei.
Y los términos de Og rey de Basán, que había quedado de los Rapheos, el cual habitaba en Astaroth y en Edrei,
5 Alitawala juu ya Mlima Hermoni, Saleka, na Bahani yote, hadi mpaka wa watu wa Geshuri na Wamakathi, na nusu ya Gleadi, hadi kufika mpaka wa Sihohi, mfalme wa Heshboni.
Y señoreaba en el monte de Hermón, y en Salca, y en todo Basán hasta los términos de Gessuri y de Maachâti, y la mitad de Galaad, término de Sehón rey de Hesbón.
6 Musa mtumishi wa Yahweh, na watu wa Israeli walikuwa wamewashinda, na Musa mtumishi wa Yahweh aliwapa nchi kama mali ya Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase.
A estos hirieron Moisés siervo de Jehová y los hijos de Israel; y Moisés siervo de Jehová dió aquella tierra en posesión á los Rubenitas, Gaditas, y á la media tribu de Manasés.
7 Hawa ndio wafalme wa nchi ambayo Yoshua na watu wa Israeli waliwashinda katika upande wa magharibi mwa mto Yordani, kutoka Baali Gadi katika bonde karibu na Lebanoni hadi Mlima Halaki karibu na Edom. Yoshua aliyapa nchi makabila ya Israeli ili yaimiliki.
Y estos son los reyes de la tierra que hirió Josué con los hijos de Israel, de esta parte del Jordán al occidente, desde Baal-gad en el llano del Líbano hasta el monte de Halac que sube á Seir; la cual tierra dió Josué en posesión á las tribus de Israel, conforme á sus repartimientos;
8 Aliwapa nchi ya milima, tambarare, Araba, sehemu za milima, nyika na Negevu, nchi ya Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi.
En montes y en valles, en llanos y en vertientes, al desierto y al mediodía; el Hetheo, y el Amorrheo, y el Cananeo, y el Pherezeo, y el Heveo, y el Jebuseo.
9 Wafalme hawa walikuwa ni mfalme wa Yeriko, mfalme wa Ai iliyo karibu na Betheli,
El rey de Jericó, uno: el rey de Hai, que está al lado de Beth-el, otro:
10 mfalme wa Yerusalemu, mfalme wa Enaimu,
El rey de Jerusalem, otro: el rey de Hebrón, otro:
11 mfalme wa Yarmuthi, mfalme wa Lakishi,
El rey de Jarmuth, otro: el rey de Lachîs, otro:
12 mfalme wa Egloni, mfalme wa Gezeri,
El rey de Eglón, otro: el rey de Gezer, otro:
13 mfalme wa Debiri, mfalme wa Gederi,
El rey de Debir, otro: el rey de Geder, otro:
14 mfalme wa Horima, mfalme wa Aradi,
El rey de Horma, otro: el rey de Arad, otro:
15 mfalme wa Libna, mfalme wa Adula,
El rey de Libna, otro: el rey de Adullam, otro:
16 mfalme wa Makeda, mfalme wa Betheli,
El rey de Maceda, otro: el rey de Beth-el, otro:
17 mfalme wa Tapua, mfalme wa Heferi,
El rey de Tappua, otro: el rey de Hepher, otro:
18 mfalme wa Afeki, mfalme wa Lasharoni,
El rey de Aphec, otro: el rey de Lasarón, otro:
19 mfalme wa Madoni, mfalme wa Hazori,
El rey de Madón, otro: el rey de Hasor, otro:
20 mfalme wa Shimroni - Meroni, mfalme wa Akshafu.
El rey de Simrom-meron, otro: el rey de Achsaph, otro:
21 mfalme wa Taanaki, mfalme wa Megido,
El rey de Taanach, otro: el rey de Megiddo, otro:
22 mfalme wa Kedeshi, mfalme wa Jokineamu katika Karmeli,
El rey de Chêdes, otro: el rey de Jocneam de Carmel, otro:
23 mfalme wa Dori katika Nafutali Dori, mfalme Goyimu katika Giligali, na
El rey de Dor, de la provincia de Dor, otro: el rey de Gentes en Gilgal, otro:
24 mfalme Tiriza. Hesabu ya wafalme ilikuwa ni thelathini na moja kwa ujumla wake.
El rey de Tirsa, otro: treinta y un reyes en todo.

< Yoshua 12 >