< Yoshua 12 >
1 Basi hawa ndio wafalme wa nchi, ambao watu wa Israeli walishindwa. Waisraeli walichukua miliki ya nchi katika upande wa mashariki mwa Yordani sehemu ambako jua huchomoza, kutoka bonde la Mto Arnoni hadi Mlima Hermoni, na nchi yote ya Araba kuelekea kusini.
Éstos son los reyes de aquella tierra que los hijos de Israel derrotaron, cuyo territorio conquistaron al otro lado del Jordán, hacia el sol naciente, desde el arrollo Arnón hasta la montaña Hermón, y todo el Arabá hacia el oriente:
2 Sihoni, mfalme wa Waamori, aliishi katika Heshiboni. Alitawala kutoka Aroeri, ambayo iko juu ya bonde la Arnoni kutoka katikati ya bonde, na nusu ya Geleadi kushuka mpaka Mto Yaboki katika mpaka wa Waamori.
Sehón, rey de los amorreos, quien vivía en Hesbón y dominaba desde Aroer, que está en la orilla del arrollo Arnón, y desde la mitad del arrollo hasta Galaad, y hasta el arroyo de Jaboc, que es el límite de los hijos de Amón;
3 Sihoni pia alitawala juu ya Araba mpaka Bahari ya Kinerethi, kwenda mashariki, kuelekea Bahari ya Araba (Bahari ya Chumvi) upande wa mashariki, hadi huko Bethi Yeshimothi na upande wa kusini, kuelekea chini ya miteremko wa Mlima Pisiga.
y el Arabá hasta el mar de Cineret por el oriente, y hasta el mar del Arabá, mar de la Sal, al oriente hacia Bet-hayesimot, y al sur hasta el pie de la montaña Pisga;
4 Ogu, mfalme wa Bashani, mmoja kati ya mabaki ya Rephaimu, aliyeishi huko Shatarothi na Edrei.
y el territorio de Og, rey de Basán, uno de los que quedaba de los refaítas que vivía en Astarot y en Edrei,
5 Alitawala juu ya Mlima Hermoni, Saleka, na Bahani yote, hadi mpaka wa watu wa Geshuri na Wamakathi, na nusu ya Gleadi, hadi kufika mpaka wa Sihohi, mfalme wa Heshboni.
y dominaba en la montaña Hermón, en Salca y en todo Basán, hasta el límite del gesurita, del maaquita y la mitad de Galaad, hasta el límite de Sehón, rey de Hesbón.
6 Musa mtumishi wa Yahweh, na watu wa Israeli walikuwa wamewashinda, na Musa mtumishi wa Yahweh aliwapa nchi kama mali ya Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase.
Éstos fueron derrotados por Moisés, esclavo de Yavé, y los hijos de Israel. Moisés, esclavo de Yavé, entregó aquella tierra en posesión a los rubenitas, a los gaditas y a la media tribu de Manasés.
7 Hawa ndio wafalme wa nchi ambayo Yoshua na watu wa Israeli waliwashinda katika upande wa magharibi mwa mto Yordani, kutoka Baali Gadi katika bonde karibu na Lebanoni hadi Mlima Halaki karibu na Edom. Yoshua aliyapa nchi makabila ya Israeli ili yaimiliki.
Estos son los reyes de la tierra que Josué y los hijos de Israel derrotaron a este lado del Jordán, al occidente, desde Baal-gad en el valle del Líbano hasta la montaña de Halac, que sube a Seír. Josué la dio en posesión a las tribus de Israel según sus divisiones:
8 Aliwapa nchi ya milima, tambarare, Araba, sehemu za milima, nyika na Negevu, nchi ya Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi.
la región montañosa, la Sefela, el Arabá, las laderas, el desierto y el Neguev; el heteo, el amorreo y el cananeo, el ferezeo, el heveo y el jebuseo;
9 Wafalme hawa walikuwa ni mfalme wa Yeriko, mfalme wa Ai iliyo karibu na Betheli,
primero, el rey de Jericó, otro, el rey de Hai, que está junto a Bet-ʼEl,
10 mfalme wa Yerusalemu, mfalme wa Enaimu,
otro, el rey de Jerusalén, otro, el rey de Hebrón,
11 mfalme wa Yarmuthi, mfalme wa Lakishi,
otro, el rey de Jarmut, otro, el rey de Laquis,
12 mfalme wa Egloni, mfalme wa Gezeri,
otro, el rey de Eglón, otro, el rey de Gezer,
13 mfalme wa Debiri, mfalme wa Gederi,
otro, el rey de Debir, otro, el rey de Geder,
14 mfalme wa Horima, mfalme wa Aradi,
otro, el rey de Horma, otro, el rey de Arad,
15 mfalme wa Libna, mfalme wa Adula,
otro, el rey de Libna, otro, el rey de Adullam,
16 mfalme wa Makeda, mfalme wa Betheli,
otro, el rey de Maceda, otro, el rey de Bet-ʼEl,
17 mfalme wa Tapua, mfalme wa Heferi,
otro, el rey de Tapúa, otro, el rey de Hefer,
18 mfalme wa Afeki, mfalme wa Lasharoni,
otro, el rey de Afec, otro, el rey del Sarón,
19 mfalme wa Madoni, mfalme wa Hazori,
otro, el rey de Madón, otro, el rey de Hazor,
20 mfalme wa Shimroni - Meroni, mfalme wa Akshafu.
otro, el rey de Simrón-merón, otro, el rey de Acsaf,
21 mfalme wa Taanaki, mfalme wa Megido,
otro, el rey de Taanac, otro, el rey de Meguido,
22 mfalme wa Kedeshi, mfalme wa Jokineamu katika Karmeli,
otro, el rey de Kedes, otro, el rey de Yocneam (de la montaña Carmelo),
23 mfalme wa Dori katika Nafutali Dori, mfalme Goyimu katika Giligali, na
otro, el rey de Dor (de la región de Dor), otro, el rey de Goim (en Gilgal),
24 mfalme Tiriza. Hesabu ya wafalme ilikuwa ni thelathini na moja kwa ujumla wake.
otro, el rey de Tirsa. 31 reyes en total.