< Yoshua 12 >

1 Basi hawa ndio wafalme wa nchi, ambao watu wa Israeli walishindwa. Waisraeli walichukua miliki ya nchi katika upande wa mashariki mwa Yordani sehemu ambako jua huchomoza, kutoka bonde la Mto Arnoni hadi Mlima Hermoni, na nchi yote ya Araba kuelekea kusini.
이스라엘 자손이 요단 저편 해 돋는 편 곧 아르논 골짜기에서 헤르몬 산까지의 동방 온 아라바를 점령하고 그 땅에서 쳐 죽인 왕들은 이러하니라
2 Sihoni, mfalme wa Waamori, aliishi katika Heshiboni. Alitawala kutoka Aroeri, ambayo iko juu ya bonde la Arnoni kutoka katikati ya bonde, na nusu ya Geleadi kushuka mpaka Mto Yaboki katika mpaka wa Waamori.
헤스본에 거하던 아모리 사람의 왕 시혼이라 그 다스리던 땅은 아르논 골짜기 가에 있는 아로엘에서부터 골짜기 가운데 성읍과 길르앗 절반 곧 암몬 자손의 지경 얍복 강까지며
3 Sihoni pia alitawala juu ya Araba mpaka Bahari ya Kinerethi, kwenda mashariki, kuelekea Bahari ya Araba (Bahari ya Chumvi) upande wa mashariki, hadi huko Bethi Yeshimothi na upande wa kusini, kuelekea chini ya miteremko wa Mlima Pisiga.
또 동방 아라바 긴네롯 바다까지며 또 동방 아라바의 바다 곧 염해의 벧여시못으로 통한 길까지와 남편으로 비스가 산록까지며
4 Ogu, mfalme wa Bashani, mmoja kati ya mabaki ya Rephaimu, aliyeishi huko Shatarothi na Edrei.
또 르바의 남은 족속으로서 아스다롯과 에브레이에 거하던 바산 왕 옥이라
5 Alitawala juu ya Mlima Hermoni, Saleka, na Bahani yote, hadi mpaka wa watu wa Geshuri na Wamakathi, na nusu ya Gleadi, hadi kufika mpaka wa Sihohi, mfalme wa Heshboni.
그 치리하던 땅은 헤르몬 산과 살르가와 온 바산과 및 그술 사람과 마아가 사람의 지경까지의 길르앗 절반이니 헤스본 왕 시혼의 지경에 접한 것이라
6 Musa mtumishi wa Yahweh, na watu wa Israeli walikuwa wamewashinda, na Musa mtumishi wa Yahweh aliwapa nchi kama mali ya Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase.
여호와의 종 모세와 이스라엘 자손이 그들을 치고 여호와의 종 모세가 그 땅을 르우벤 사람과 갓 사람과 므낫세 반 지파에게 기업으로 주었더라
7 Hawa ndio wafalme wa nchi ambayo Yoshua na watu wa Israeli waliwashinda katika upande wa magharibi mwa mto Yordani, kutoka Baali Gadi katika bonde karibu na Lebanoni hadi Mlima Halaki karibu na Edom. Yoshua aliyapa nchi makabila ya Israeli ili yaimiliki.
여호수아와 이스라엘 자손이 요단 이편 곧 서편 레바논 골짜기의 바알갓에서부터 세일로 올라가는 곳 할락 산까지에서 쳐서 멸한 왕들은 이러하니 (그 땅을 여호수아가 이스라엘의 구별을 따라 그 지파에게 기업으로 주었으니
8 Aliwapa nchi ya milima, tambarare, Araba, sehemu za milima, nyika na Negevu, nchi ya Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi.
곧 산지와 평지와 아라바와 경사지와 광야와 남방 곧 헷 사람과 아모리 사람과 가나안 사람과 브리스 사람과 히위 사람과 여부스 사람의 땅이라)
9 Wafalme hawa walikuwa ni mfalme wa Yeriko, mfalme wa Ai iliyo karibu na Betheli,
하나는 여리고 왕이요 하나는 벧엘 곁의 아이 왕이요
10 mfalme wa Yerusalemu, mfalme wa Enaimu,
하나는 예루살렘 왕이요 하나는 헤브론 왕이요 하나는 야르뭇 왕이요
11 mfalme wa Yarmuthi, mfalme wa Lakishi,
하나는 라기스 왕이요
12 mfalme wa Egloni, mfalme wa Gezeri,
하나는 에글론 왕이요 하나는 게셀 왕이요
13 mfalme wa Debiri, mfalme wa Gederi,
하나는 드빌 왕이요 하나는 게델 왕이요
14 mfalme wa Horima, mfalme wa Aradi,
하나는 호르마 왕이요 하나는 아랏 왕이요
15 mfalme wa Libna, mfalme wa Adula,
하나는 립나 왕이요 하나는 아둘람 왕이요
16 mfalme wa Makeda, mfalme wa Betheli,
하나는 막게다 왕이요 하나는 벧엘 왕이요
17 mfalme wa Tapua, mfalme wa Heferi,
하나는 답부아 왕이요 하나는 헤벨 왕이요
18 mfalme wa Afeki, mfalme wa Lasharoni,
하나는 아벡 왕이요 하나는 랏사론 왕이요
19 mfalme wa Madoni, mfalme wa Hazori,
하나는 마돈 왕이요 하나는 하솔 왕이요
20 mfalme wa Shimroni - Meroni, mfalme wa Akshafu.
하나는 시므론 므론 왕이요 하나는 악삽 왕이요
21 mfalme wa Taanaki, mfalme wa Megido,
하나는 다아낙 왕이요 하나는 므깃도 왕이요
22 mfalme wa Kedeshi, mfalme wa Jokineamu katika Karmeli,
하나는 게데스 왕이요 하나는 갈멜의 욕느암 왕이요
23 mfalme wa Dori katika Nafutali Dori, mfalme Goyimu katika Giligali, na
하나는 돌의 높은 곳의 돌 왕이요 하나는 길갈의 고임 왕이요
24 mfalme Tiriza. Hesabu ya wafalme ilikuwa ni thelathini na moja kwa ujumla wake.
하나는 디르사 왕이라 도합 삼십일 왕이었더라

< Yoshua 12 >