< Yoshua 12 >

1 Basi hawa ndio wafalme wa nchi, ambao watu wa Israeli walishindwa. Waisraeli walichukua miliki ya nchi katika upande wa mashariki mwa Yordani sehemu ambako jua huchomoza, kutoka bonde la Mto Arnoni hadi Mlima Hermoni, na nchi yote ya Araba kuelekea kusini.
Questi sono i re del paese, che gli Israeliti sconfissero e del cui territorio entrarono in possesso, oltre il Giordano, ad oriente, dal fiume Arnon al monte Ermon, con tutta l'Araba orientale.
2 Sihoni, mfalme wa Waamori, aliishi katika Heshiboni. Alitawala kutoka Aroeri, ambayo iko juu ya bonde la Arnoni kutoka katikati ya bonde, na nusu ya Geleadi kushuka mpaka Mto Yaboki katika mpaka wa Waamori.
Sicon, re degli Amorrei che abitavano in Chesbon; il suo dominio cominciava da Aroer, situata sul margine della valle del torrente Arnon, incluso il centro del torrente, e comprendeva la metà di Gàlaad fino al torrente Iabbok, lungo il confine dei figli di Ammon
3 Sihoni pia alitawala juu ya Araba mpaka Bahari ya Kinerethi, kwenda mashariki, kuelekea Bahari ya Araba (Bahari ya Chumvi) upande wa mashariki, hadi huko Bethi Yeshimothi na upande wa kusini, kuelekea chini ya miteremko wa Mlima Pisiga.
e inoltre l'Araba fino alla riva orientale del mare di Kinarot e fino alla riva orientale dell'Araba, cioè il Mar Morto, in direzione di Bet-Iesimot e più a sud, fin sotto le pendici del Pisga.
4 Ogu, mfalme wa Bashani, mmoja kati ya mabaki ya Rephaimu, aliyeishi huko Shatarothi na Edrei.
Inoltre Og, re di Basan, proveniente da un residuo di Refaim, che abitava in Astarot e in Edrei,
5 Alitawala juu ya Mlima Hermoni, Saleka, na Bahani yote, hadi mpaka wa watu wa Geshuri na Wamakathi, na nusu ya Gleadi, hadi kufika mpaka wa Sihohi, mfalme wa Heshboni.
dominava le montagne dell'Ermon e Salca e tutto Basan sino al confine dei Ghesuriti e dei Maacatiti, inoltre metà di Gàlaad sino al confine di Sicon re di Chesbon.
6 Musa mtumishi wa Yahweh, na watu wa Israeli walikuwa wamewashinda, na Musa mtumishi wa Yahweh aliwapa nchi kama mali ya Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase.
Mosè, servo del Signore, e gli Israeliti li avevano sconfitti e Mosè, servo del Signore, ne diede il possesso ai Rubeniti, ai Gaditi e a metà della tribù di Manàsse.
7 Hawa ndio wafalme wa nchi ambayo Yoshua na watu wa Israeli waliwashinda katika upande wa magharibi mwa mto Yordani, kutoka Baali Gadi katika bonde karibu na Lebanoni hadi Mlima Halaki karibu na Edom. Yoshua aliyapa nchi makabila ya Israeli ili yaimiliki.
Questi sono i re del paese che Giosuè e gli Israeliti sconfissero, al di qua del Giordano ad occidente, da Baal-Gad nella valle del Libano fino al monte Calak, che sale verso Seir, e di cui Giosuè diede il possesso alle tribù di Israele secondo le loro divisioni,
8 Aliwapa nchi ya milima, tambarare, Araba, sehemu za milima, nyika na Negevu, nchi ya Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi.
sulle montagne, nel bassopiano, nell'Araba, sulle pendici, nel deserto e nel Negheb: gli Hittiti, gli Amorrei, i Cananei, i Perizziti, gli Evei e i Gebusei:
9 Wafalme hawa walikuwa ni mfalme wa Yeriko, mfalme wa Ai iliyo karibu na Betheli,
il re di Gerico, uno; il re di Ai, che è presso Betel, uno;
10 mfalme wa Yerusalemu, mfalme wa Enaimu,
il re di Gerusalemme, uno; il re di Ebron, uno;
11 mfalme wa Yarmuthi, mfalme wa Lakishi,
il re di Iarmut, uno; il re di Lachis, uno;
12 mfalme wa Egloni, mfalme wa Gezeri,
il re di Eglon, uno; il re di Ghezer, uno;
13 mfalme wa Debiri, mfalme wa Gederi,
il re di Debir, uno; il re di Gheder, uno;
14 mfalme wa Horima, mfalme wa Aradi,
il re di Corma, uno; il re di Arad, uno;
15 mfalme wa Libna, mfalme wa Adula,
il re di Libna, uno; il re di Adullam, uno;
16 mfalme wa Makeda, mfalme wa Betheli,
il re di Makkeda, uno; il re di Betel, uno;
17 mfalme wa Tapua, mfalme wa Heferi,
il re di Tappuach, uno; il re di Efer, uno;
18 mfalme wa Afeki, mfalme wa Lasharoni,
il re di Afek, uno; il re di Sarom, uno;
19 mfalme wa Madoni, mfalme wa Hazori,
il re di Madon, uno; il re di Cazor, uno;
20 mfalme wa Shimroni - Meroni, mfalme wa Akshafu.
il re di Simron-Meroon, uno; il re di Acsaf, uno;
21 mfalme wa Taanaki, mfalme wa Megido,
il re di Taanach, uno; il re di Meghiddo, uno;
22 mfalme wa Kedeshi, mfalme wa Jokineamu katika Karmeli,
il re di Kades, uno; il re di Iokneam del Carmelo, uno;
23 mfalme wa Dori katika Nafutali Dori, mfalme Goyimu katika Giligali, na
il re di Dor, sulla collina di Dor, uno; il re delle genti di Gàlgala, uno;
24 mfalme Tiriza. Hesabu ya wafalme ilikuwa ni thelathini na moja kwa ujumla wake.
il re di Tirza, uno. In tutto trentun re.

< Yoshua 12 >