< Yoshua 12 >

1 Basi hawa ndio wafalme wa nchi, ambao watu wa Israeli walishindwa. Waisraeli walichukua miliki ya nchi katika upande wa mashariki mwa Yordani sehemu ambako jua huchomoza, kutoka bonde la Mto Arnoni hadi Mlima Hermoni, na nchi yote ya Araba kuelekea kusini.
Inilah raja-raja negeri yang dikalahkan oleh orang Israel dan yang negerinya diduduki mereka di seberang Yordan ke arah matahari terbit, dari sungai Arnon sampai gunung Hermon, serta seluruh Araba-Yordan ke arah timur:
2 Sihoni, mfalme wa Waamori, aliishi katika Heshiboni. Alitawala kutoka Aroeri, ambayo iko juu ya bonde la Arnoni kutoka katikati ya bonde, na nusu ya Geleadi kushuka mpaka Mto Yaboki katika mpaka wa Waamori.
yakni Sihon, raja orang Amori, yang diam di Hesybon, yang memerintah atas suatu daerah dari Aroer, yang letaknya di tepi sungai Arnon, pada pertengahan sungai itu, ditambah setengah Gilead, sampai sungai Yabok, batas daerah bani Amon,
3 Sihoni pia alitawala juu ya Araba mpaka Bahari ya Kinerethi, kwenda mashariki, kuelekea Bahari ya Araba (Bahari ya Chumvi) upande wa mashariki, hadi huko Bethi Yeshimothi na upande wa kusini, kuelekea chini ya miteremko wa Mlima Pisiga.
dan atas Araba-Yordan sampai sebelah timur danau Kinerot dan sampai sebelah timur Laut Araba, yakni Laut Asin, ke arah Bet-Yesimot dan ke arah selatan sampai kaki lereng-lereng gunung Pisga.
4 Ogu, mfalme wa Bashani, mmoja kati ya mabaki ya Rephaimu, aliyeishi huko Shatarothi na Edrei.
Selanjutnya daerah Og, raja Basan, seorang dari sisa-sisa orang Refaim. Raja ini diam di Asytarot dan di Edrei,
5 Alitawala juu ya Mlima Hermoni, Saleka, na Bahani yote, hadi mpaka wa watu wa Geshuri na Wamakathi, na nusu ya Gleadi, hadi kufika mpaka wa Sihohi, mfalme wa Heshboni.
dan memerintah atas gunung Hermon, atas Salkha dan atas seluruh Basan sampai daerah orang Gesur dan orang Maakha dan atas setengah Gilead, sampai daerah Sihon, raja Hesybon.
6 Musa mtumishi wa Yahweh, na watu wa Israeli walikuwa wamewashinda, na Musa mtumishi wa Yahweh aliwapa nchi kama mali ya Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase.
Musa, hamba TUHAN itu, beserta orang Israel, telah mengalahkan mereka, dan Musa, hamba TUHAN itu, telah memberikan daerah itu kepada orang Ruben, orang Gad dan suku Manasye yang setengah itu, menjadi milik mereka.
7 Hawa ndio wafalme wa nchi ambayo Yoshua na watu wa Israeli waliwashinda katika upande wa magharibi mwa mto Yordani, kutoka Baali Gadi katika bonde karibu na Lebanoni hadi Mlima Halaki karibu na Edom. Yoshua aliyapa nchi makabila ya Israeli ili yaimiliki.
Inilah raja negeri yang dikalahkan oleh Yosua dan oleh orang Israel di sebelah barat sungai Yordan, dari Baal-Gad di lembah gunung Libanon sampai Pegunungan Gundul, yang mendaki ke arah Seir--negeri ini diberikan Yosua kepada suku-suku Israel menjadi miliknya, menurut pembagiannya,
8 Aliwapa nchi ya milima, tambarare, Araba, sehemu za milima, nyika na Negevu, nchi ya Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi.
di Pegunungan, di Daerah Bukit, di Araba-Yordan, di Lereng Gunung, di Padang Gurun dan di Tanah Negeb, yakni di negeri orang Het, orang Amori, orang Kanaan, orang Feris, orang Hewi dan orang Yebus--:
9 Wafalme hawa walikuwa ni mfalme wa Yeriko, mfalme wa Ai iliyo karibu na Betheli,
Raja negeri Yerikho, satu; raja negeri Ai, di sebelah Betel, satu;
10 mfalme wa Yerusalemu, mfalme wa Enaimu,
raja negeri Yerusalem, satu; raja negeri Hebron, satu;
11 mfalme wa Yarmuthi, mfalme wa Lakishi,
raja negeri Yarmut, satu; raja negeri Lakhis, satu;
12 mfalme wa Egloni, mfalme wa Gezeri,
raja negeri Eglon, satu; raja negeri Gezer, satu;
13 mfalme wa Debiri, mfalme wa Gederi,
raja negeri Debir, satu; raja negeri Geder, satu;
14 mfalme wa Horima, mfalme wa Aradi,
raja negeri Horma, satu; raja negeri Arad, satu;
15 mfalme wa Libna, mfalme wa Adula,
raja negeri Libna, satu; raja negeri Adulam, satu;
16 mfalme wa Makeda, mfalme wa Betheli,
raja negeri Makeda, satu; raja negeri Betel, satu;
17 mfalme wa Tapua, mfalme wa Heferi,
raja negeri Tapuah, satu; raja negeri Hefer, satu;
18 mfalme wa Afeki, mfalme wa Lasharoni,
raja negeri Afek, satu; raja negeri Lasaron, satu;
19 mfalme wa Madoni, mfalme wa Hazori,
raja negeri Madon, satu; raja negeri Hazor, satu;
20 mfalme wa Shimroni - Meroni, mfalme wa Akshafu.
raja negeri Simron Meron, satu; raja negeri Akhsaf, satu;
21 mfalme wa Taanaki, mfalme wa Megido,
raja negeri Taanakh, satu; raja negeri Megido, satu;
22 mfalme wa Kedeshi, mfalme wa Jokineamu katika Karmeli,
raja negeri Kedesh, satu; raja negeri Yokneam di dekat gunung Karmel, satu;
23 mfalme wa Dori katika Nafutali Dori, mfalme Goyimu katika Giligali, na
raja negeri Dor di tanah bukit Dor, satu; raja negeri Goyim di Galilea, satu;
24 mfalme Tiriza. Hesabu ya wafalme ilikuwa ni thelathini na moja kwa ujumla wake.
raja negeri Tirza, satu; jadi jumlah semua raja itu, tiga puluh satu orang.

< Yoshua 12 >