< Yoshua 12 >
1 Basi hawa ndio wafalme wa nchi, ambao watu wa Israeli walishindwa. Waisraeli walichukua miliki ya nchi katika upande wa mashariki mwa Yordani sehemu ambako jua huchomoza, kutoka bonde la Mto Arnoni hadi Mlima Hermoni, na nchi yote ya Araba kuelekea kusini.
Voici les rois que battirent les enfants d’Israël, et dont ils possédèrent la terre au-delà du Jourdain, vers le levant, depuis le torrent d’Arnon jusqu’à la montagne d’Hermon, et toute la contrée orientale qui regarde le désert.
2 Sihoni, mfalme wa Waamori, aliishi katika Heshiboni. Alitawala kutoka Aroeri, ambayo iko juu ya bonde la Arnoni kutoka katikati ya bonde, na nusu ya Geleadi kushuka mpaka Mto Yaboki katika mpaka wa Waamori.
Séhon, roi des Amorrhéens qui habita à Hésébon, et qui régna depuis Aroer, qui est située sur le bord du torrent d’Arnon, au milieu de la vallée, et dans la moitié de Galaad jusqu’au torrent de Jaboc, qui est la frontière des enfants d’Ammon;
3 Sihoni pia alitawala juu ya Araba mpaka Bahari ya Kinerethi, kwenda mashariki, kuelekea Bahari ya Araba (Bahari ya Chumvi) upande wa mashariki, hadi huko Bethi Yeshimothi na upande wa kusini, kuelekea chini ya miteremko wa Mlima Pisiga.
Et depuis le désert jusqu’à la mer du Cénéroth contre l’οrient, et jusqu’à la mer du désert, qui est la mer très salée, vers le côté oriental, par la voie qui mène à Bethsimoth; et depuis la partie australe qui est au-dessous d’Asédoth, jusqu’à Phasga.
4 Ogu, mfalme wa Bashani, mmoja kati ya mabaki ya Rephaimu, aliyeishi huko Shatarothi na Edrei.
Les limites d’Og, roi de Basan, qui était des restes des Raphaïm, et qui habita à Astaroth et à Edraï, et qui régna à la montagne d’Hermon, à Salécha et dans tout le Basan, s’étendaient jusqu’aux frontières
5 Alitawala juu ya Mlima Hermoni, Saleka, na Bahani yote, hadi mpaka wa watu wa Geshuri na Wamakathi, na nusu ya Gleadi, hadi kufika mpaka wa Sihohi, mfalme wa Heshboni.
De Gessuri, de Machati et de la moitié de Galaad: frontières de Séhon, roi d’Hésébon.
6 Musa mtumishi wa Yahweh, na watu wa Israeli walikuwa wamewashinda, na Musa mtumishi wa Yahweh aliwapa nchi kama mali ya Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase.
Moïse, serviteur du Seigneur, et les enfants d’Israël battirent ces rois, et Moïse livra leur terre en possession aux Rubénites, aux Gadites et à la demi-tribu de Manassé.
7 Hawa ndio wafalme wa nchi ambayo Yoshua na watu wa Israeli waliwashinda katika upande wa magharibi mwa mto Yordani, kutoka Baali Gadi katika bonde karibu na Lebanoni hadi Mlima Halaki karibu na Edom. Yoshua aliyapa nchi makabila ya Israeli ili yaimiliki.
Voici les rois du pays que battirent Josué et les enfants d’Israël au-delà du Jourdain, du côté occidental, depuis Baalgad dans la campagne du Liban jusqu’à la montagne dont une partie s’élève vers Séir: et Josué le donna en possession aux tribus d’Israël, à chacune sa part,
8 Aliwapa nchi ya milima, tambarare, Araba, sehemu za milima, nyika na Negevu, nchi ya Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi.
Tant au milieu des montagnes, que dans la plaine et la campagne. Dans Asédoth, dans le désert et au midi, étaient l’Héthéen et l’Amorrhéen, le Chananéen et le Phérézéen, l’Hévéen et le Jébuséen:
9 Wafalme hawa walikuwa ni mfalme wa Yeriko, mfalme wa Ai iliyo karibu na Betheli,
Un roi de Jéricho, un roi de Haï, laquelle est à côté de Béthel,
10 mfalme wa Yerusalemu, mfalme wa Enaimu,
Un roi de Jérusalem, un roi d’Hébron,
11 mfalme wa Yarmuthi, mfalme wa Lakishi,
Un roi de Jérimoth, un roi de Lachis,
12 mfalme wa Egloni, mfalme wa Gezeri,
Un roi d’Eglon, un roi de Gazer,
13 mfalme wa Debiri, mfalme wa Gederi,
Un roi de Dabir, un roi de Gader,
14 mfalme wa Horima, mfalme wa Aradi,
Un roi d’Herma, un roi d’Héred,
15 mfalme wa Libna, mfalme wa Adula,
Un roi de Lebna, un roi d’Odullam,
16 mfalme wa Makeda, mfalme wa Betheli,
Un roi de Macéda, un roi de Béthel,
17 mfalme wa Tapua, mfalme wa Heferi,
Un roi de Taphua, un roi d’Opher,
18 mfalme wa Afeki, mfalme wa Lasharoni,
Un roi d’Aphec, un roi de Saron,
19 mfalme wa Madoni, mfalme wa Hazori,
Un roi de Madon, un roi d’Asor,
20 mfalme wa Shimroni - Meroni, mfalme wa Akshafu.
Un roi de Séméron, un roi d’Achsaph,
21 mfalme wa Taanaki, mfalme wa Megido,
Un roi de Thénac, un roi de Mageddo,
22 mfalme wa Kedeshi, mfalme wa Jokineamu katika Karmeli,
Un roi de Cadès, un roi de Jachanan du Carmel,
23 mfalme wa Dori katika Nafutali Dori, mfalme Goyimu katika Giligali, na
Un roi de Dor, et de la province de Dor, un roi des nations de Galgal,
24 mfalme Tiriza. Hesabu ya wafalme ilikuwa ni thelathini na moja kwa ujumla wake.
Un roi de Thersa: en tout, trente-un rois.