< Yoshua 12 >

1 Basi hawa ndio wafalme wa nchi, ambao watu wa Israeli walishindwa. Waisraeli walichukua miliki ya nchi katika upande wa mashariki mwa Yordani sehemu ambako jua huchomoza, kutoka bonde la Mto Arnoni hadi Mlima Hermoni, na nchi yote ya Araba kuelekea kusini.
Ja nämät ovat maan kuninkaat, jotka Israelin lapset löivät, ja ottivat heidän maansa tuolla puolella Jordania, auringon nousemista päin, Arnonin ojasta Hermonin vuoreen asti, ja kaikki lakeudet itään päin:
2 Sihoni, mfalme wa Waamori, aliishi katika Heshiboni. Alitawala kutoka Aroeri, ambayo iko juu ya bonde la Arnoni kutoka katikati ya bonde, na nusu ya Geleadi kushuka mpaka Mto Yaboki katika mpaka wa Waamori.
Sihon Amorilaisten kuningas, joka asui Hesbonissa ja hallitsi Aroerista, joka on Arnonin ojan reunalla, ja keskellä ojaa, ja puolen Gileadia Jabbokin ojaan asti, joka on Ammonin lasten raja,
3 Sihoni pia alitawala juu ya Araba mpaka Bahari ya Kinerethi, kwenda mashariki, kuelekea Bahari ya Araba (Bahari ya Chumvi) upande wa mashariki, hadi huko Bethi Yeshimothi na upande wa kusini, kuelekea chini ya miteremko wa Mlima Pisiga.
Ja lakeutta Kinneretin mereen asti itään päin, ja korven mereen, Suolaiseen mereen itään päin, BetJesimotin tietä myöten, ja lounaasta alaspäin lähelle Asdot Pisgaa;
4 Ogu, mfalme wa Bashani, mmoja kati ya mabaki ya Rephaimu, aliyeishi huko Shatarothi na Edrei.
Siihen myös Ogin Basanin kuninkaan maan rajat, joka vielä jäänyt oli uljaista, ja asui Astarotissa ja Edreissä,
5 Alitawala juu ya Mlima Hermoni, Saleka, na Bahani yote, hadi mpaka wa watu wa Geshuri na Wamakathi, na nusu ya Gleadi, hadi kufika mpaka wa Sihohi, mfalme wa Heshboni.
Ja hallitsi Hermonin vuorella, Salkassa ja koko Basanissa, Gessurin ja Maakatin maan rajoihin, ja puolen Gileadia, joka Sihonin Hesbonin kuninkaan maan raja oli.
6 Musa mtumishi wa Yahweh, na watu wa Israeli walikuwa wamewashinda, na Musa mtumishi wa Yahweh aliwapa nchi kama mali ya Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase.
Moses Herran palvelia ja Israelin lapset löivät heitä; ja Moses Herran palvelia antoi sen Rubenilaisille, Gadilaisille ja puolelle Manassen sukukunnalle omaisuudeksi.
7 Hawa ndio wafalme wa nchi ambayo Yoshua na watu wa Israeli waliwashinda katika upande wa magharibi mwa mto Yordani, kutoka Baali Gadi katika bonde karibu na Lebanoni hadi Mlima Halaki karibu na Edom. Yoshua aliyapa nchi makabila ya Israeli ili yaimiliki.
Nämät ovat maan kuninkaat, jotka Josua löi ja Israelin lapset tällä puolella Jordania länteen päin, BaalGadista Libanonin vuorenlakeudella, sileään vuoreen, joka ulottuu Seiriin, jonka Josua Israelin sukukunnille antoi omaisuudeksi itsekullekin osansa jälkeen,
8 Aliwapa nchi ya milima, tambarare, Araba, sehemu za milima, nyika na Negevu, nchi ya Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi.
Vuorilla, laaksoissa, lakeudella, vetten tykönä, korvessa, ja lounaan puolessa: Hetiläiset, Amorilaiset, Kanaanealaiset, Pheresiläiset, Heviläiset ja Jebusilaiset;
9 Wafalme hawa walikuwa ni mfalme wa Yeriko, mfalme wa Ai iliyo karibu na Betheli,
Jerihon kuningas, yksi; Ain kuningas, joka BetElin sivussa on, yksi;
10 mfalme wa Yerusalemu, mfalme wa Enaimu,
Jerusalemin kuningas, yksi; Hebronin kuningas, yksi;
11 mfalme wa Yarmuthi, mfalme wa Lakishi,
Jarmutin kuningas, yksi; Lakiksen kuningas, yksi;
12 mfalme wa Egloni, mfalme wa Gezeri,
Eglonin kuningas, yksi; Geserin kuningas, yksi;
13 mfalme wa Debiri, mfalme wa Gederi,
Debirin kuningas, yksi; Gederin kuningas, yksi;
14 mfalme wa Horima, mfalme wa Aradi,
Horman kuningas, yksi; Aradin kuningas, yksi;
15 mfalme wa Libna, mfalme wa Adula,
Libnan kuningas, yksi; Adullamin kuningas, yksi;
16 mfalme wa Makeda, mfalme wa Betheli,
Makkedan kuningas, yksi; BetElin kuningas, yksi;
17 mfalme wa Tapua, mfalme wa Heferi,
Tapuan kuningas, yksi; Hepherin kuningas, yksi;
18 mfalme wa Afeki, mfalme wa Lasharoni,
Aphekin kuningas, yksi; Lassaronin kuningas, yksi;
19 mfalme wa Madoni, mfalme wa Hazori,
Madonin kuningas, yksi; Hatsorin kuningas, yksi;
20 mfalme wa Shimroni - Meroni, mfalme wa Akshafu.
SimronMeronin kuningas, yksi; Aksaphin kuningas, yksi;
21 mfalme wa Taanaki, mfalme wa Megido,
Taanakin kuningas, yksi; Megiddon kuningas, yksi;
22 mfalme wa Kedeshi, mfalme wa Jokineamu katika Karmeli,
Kedeksen kuningas, yksi; Jokneamin kuningas Karmelin tykönä, yksi;
23 mfalme wa Dori katika Nafutali Dori, mfalme Goyimu katika Giligali, na
DornaphatDorin kuningas, yksi, ja pakanain kuningas Gilgalissa, yksi;
24 mfalme Tiriza. Hesabu ya wafalme ilikuwa ni thelathini na moja kwa ujumla wake.
Tirtsan kuningas, yksi. Ne kaikki ovat yksineljättäkymmentä kuningasta.

< Yoshua 12 >