< Yoshua 12 >

1 Basi hawa ndio wafalme wa nchi, ambao watu wa Israeli walishindwa. Waisraeli walichukua miliki ya nchi katika upande wa mashariki mwa Yordani sehemu ambako jua huchomoza, kutoka bonde la Mto Arnoni hadi Mlima Hermoni, na nchi yote ya Araba kuelekea kusini.
And these - [are] [the] kings of the land whom they defeated [the] people of Israel and they took possession of land their on [the] other side of the Jordan [the] rising of towards the sun from [the] wadi of Arnon to [the] mountain of Hermon and all the Arabah east-ward.
2 Sihoni, mfalme wa Waamori, aliishi katika Heshiboni. Alitawala kutoka Aroeri, ambayo iko juu ya bonde la Arnoni kutoka katikati ya bonde, na nusu ya Geleadi kushuka mpaka Mto Yaboki katika mpaka wa Waamori.
Sihon [the] king of the Amorite[s] who dwelt in Heshbon [who] ruled from Aroer which [is] on [the] edge of [the] wadi of Arnon and [the] middle of the wadi and [the] half of Gilead and to Jabbok the wadi [the] border of [the] people of Ammon.
3 Sihoni pia alitawala juu ya Araba mpaka Bahari ya Kinerethi, kwenda mashariki, kuelekea Bahari ya Araba (Bahari ya Chumvi) upande wa mashariki, hadi huko Bethi Yeshimothi na upande wa kusini, kuelekea chini ya miteremko wa Mlima Pisiga.
And the Arabah to [the] sea of Kinnereth east-ward and to [the] sea of the Arabah [the] Sea of Salt east-ward [the] direction of Beth Jeshimoth and from [the] south under [the] slopes of Pisgah.
4 Ogu, mfalme wa Bashani, mmoja kati ya mabaki ya Rephaimu, aliyeishi huko Shatarothi na Edrei.
And [the] territory of Og [the] king of Bashan one of [the] remnant of the Rephaites who dwelt in Ashtaroth and in Edrei.
5 Alitawala juu ya Mlima Hermoni, Saleka, na Bahani yote, hadi mpaka wa watu wa Geshuri na Wamakathi, na nusu ya Gleadi, hadi kufika mpaka wa Sihohi, mfalme wa Heshboni.
And [who] ruled over [the] mountain of Hermon and over Salecah and over all Bashan to [the] border of the Geshurite[s] and the Maacathite[s] and [the] half of Gilead [the] border of Sihon [the] king of Heshbon.
6 Musa mtumishi wa Yahweh, na watu wa Israeli walikuwa wamewashinda, na Musa mtumishi wa Yahweh aliwapa nchi kama mali ya Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase.
Moses [the] servant of Yahweh and [the] people of Israel they defeated them and he gave it Moses [the] servant of Yahweh a possession to the Reubenite[s] and to the Gadite[s] and to [the] half of [the] tribe of Manasseh.
7 Hawa ndio wafalme wa nchi ambayo Yoshua na watu wa Israeli waliwashinda katika upande wa magharibi mwa mto Yordani, kutoka Baali Gadi katika bonde karibu na Lebanoni hadi Mlima Halaki karibu na Edom. Yoshua aliyapa nchi makabila ya Israeli ili yaimiliki.
And these [are] [the] kings of the land whom he defeated Joshua and [the] people of Israel on [the] other side of the Jordan west-ward from Baal Gad in [the] valley of Lebanon and to the mountain Halak which goes up Seir towards and he gave it Joshua to [the] tribes of Israel a possession according to divisions their.
8 Aliwapa nchi ya milima, tambarare, Araba, sehemu za milima, nyika na Negevu, nchi ya Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi.
In the hill country and in the Shephelah and in the Arabah and on the slopes and in the wilderness and in the Negev the Hittite[s] the Amorite[s] and the Canaanite[s] the Perizzite[s] the Hivite[s] and the Jebusite[s].
9 Wafalme hawa walikuwa ni mfalme wa Yeriko, mfalme wa Ai iliyo karibu na Betheli,
[the] king of Jericho one [the] king of Ai which [is] from [the] side of Beth-el one.
10 mfalme wa Yerusalemu, mfalme wa Enaimu,
[the] king of Jerusalem one [the] king of Hebron one.
11 mfalme wa Yarmuthi, mfalme wa Lakishi,
[the] king of Jarmuth one [the] king of Lachish one.
12 mfalme wa Egloni, mfalme wa Gezeri,
[the] king of Eglon one [the] king of Gezer one.
13 mfalme wa Debiri, mfalme wa Gederi,
[the] king of Debir one [the] king of Geder one.
14 mfalme wa Horima, mfalme wa Aradi,
[the] king of Hormah one [the] king of Arad one.
15 mfalme wa Libna, mfalme wa Adula,
[the] king of Libnah one [the] king of Adullam one.
16 mfalme wa Makeda, mfalme wa Betheli,
[the] king of Makkedah one [the] king of Beth-el one.
17 mfalme wa Tapua, mfalme wa Heferi,
[the] king of Tappuah one [the] king of Hepher one.
18 mfalme wa Afeki, mfalme wa Lasharoni,
[the] king of Aphek one [the] king of Sharon one.
19 mfalme wa Madoni, mfalme wa Hazori,
[the] king of Madon one [the] king of Hazor one.
20 mfalme wa Shimroni - Meroni, mfalme wa Akshafu.
[the] king of Shimron Meron one [the] king of Acshaph one.
21 mfalme wa Taanaki, mfalme wa Megido,
[the] king of Taanach one [the] king of Megiddo one.
22 mfalme wa Kedeshi, mfalme wa Jokineamu katika Karmeli,
[the] king of Kedesh one [the] king of Jokneam of Carmel one.
23 mfalme wa Dori katika Nafutali Dori, mfalme Goyimu katika Giligali, na
[the] king of Dor of Naphath of Dor one [the] king of Goyim of Gilgal one.
24 mfalme Tiriza. Hesabu ya wafalme ilikuwa ni thelathini na moja kwa ujumla wake.
[the] king of Tirzah one all [the] kings [were] thirty and one.

< Yoshua 12 >