< Yoshua 12 >
1 Basi hawa ndio wafalme wa nchi, ambao watu wa Israeli walishindwa. Waisraeli walichukua miliki ya nchi katika upande wa mashariki mwa Yordani sehemu ambako jua huchomoza, kutoka bonde la Mto Arnoni hadi Mlima Hermoni, na nchi yote ya Araba kuelekea kusini.
Følgende to Konger i Landet blev overvundet af Israeliterne og deres Land taget i Besiddelse af dem, Landet østen for Jordan fra Arnonfloden til Hermonbjerget og hele Arabalavningens østre Del:
2 Sihoni, mfalme wa Waamori, aliishi katika Heshiboni. Alitawala kutoka Aroeri, ambayo iko juu ya bonde la Arnoni kutoka katikati ya bonde, na nusu ya Geleadi kushuka mpaka Mto Yaboki katika mpaka wa Waamori.
Amoriterkongen Sibon, som boede i Hesjbon og herskede fra Aroer ved Arnonflodens Bred og fra Midten af Floddalen over Halvdelen af Gilead indtil Jabbokfloden, der er Ammoniternes Grænse,
3 Sihoni pia alitawala juu ya Araba mpaka Bahari ya Kinerethi, kwenda mashariki, kuelekea Bahari ya Araba (Bahari ya Chumvi) upande wa mashariki, hadi huko Bethi Yeshimothi na upande wa kusini, kuelekea chini ya miteremko wa Mlima Pisiga.
og over Arabalavningen indtil Kionerotsøens Østside og Arabahavets, Salthavets, Østside hen imod Bet-Jesjimot og længere Syd på hen imod Egnen ved Foden af Pisgas Skrænter;
4 Ogu, mfalme wa Bashani, mmoja kati ya mabaki ya Rephaimu, aliyeishi huko Shatarothi na Edrei.
og Kong Og af Basan. som hørte til dem, der var tilbage af Refaiterne, og boede i Asjtarot og Edrei
5 Alitawala juu ya Mlima Hermoni, Saleka, na Bahani yote, hadi mpaka wa watu wa Geshuri na Wamakathi, na nusu ya Gleadi, hadi kufika mpaka wa Sihohi, mfalme wa Heshboni.
og herskede over Hermonbjerget, Salka og hele Basan indtil Gesjuriternes og Måkatiternes Landemærke og over Halvdelen af Gilead indtil Kong Sihon af Hesjbons Landemærke.
6 Musa mtumishi wa Yahweh, na watu wa Israeli walikuwa wamewashinda, na Musa mtumishi wa Yahweh aliwapa nchi kama mali ya Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase.
HERRENs Tjener Moses og Israeliterne havde overvundet dem, og HERRENs Tjener Moses havde givet Rubeniterne, Gaditerne og Manasses halve Stamme Landet i Eje.
7 Hawa ndio wafalme wa nchi ambayo Yoshua na watu wa Israeli waliwashinda katika upande wa magharibi mwa mto Yordani, kutoka Baali Gadi katika bonde karibu na Lebanoni hadi Mlima Halaki karibu na Edom. Yoshua aliyapa nchi makabila ya Israeli ili yaimiliki.
Følgende Konger i Landet blev overvundet af Josua og Israeliterne hinsides Jordan, på Vestsiden, fra Ba'al Gad i Dalen ved Libanon til det nøgne Bjergdrag, som højner sig mod Seir, og deres Land givet Israels Stammer i Eje af Josua efter deres Afdelinger,
8 Aliwapa nchi ya milima, tambarare, Araba, sehemu za milima, nyika na Negevu, nchi ya Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi.
i Bjerglandet, i Lavlandet, i Arabalavningen, på Skråningerne, i Ørkenen og i Sydlandet, Hetiterne, Amoriterne, Kana'anæerne, Perizziterne, Hivviterne og Jebusiterne:
9 Wafalme hawa walikuwa ni mfalme wa Yeriko, mfalme wa Ai iliyo karibu na Betheli,
Kongen i Jeriko een; Kongen i Aj ved Betel een;
10 mfalme wa Yerusalemu, mfalme wa Enaimu,
Kongen i Jerusalem een; Kongen i Hebron een;
11 mfalme wa Yarmuthi, mfalme wa Lakishi,
Kongen i Jarmut een; Kongen i Lakisj een;
12 mfalme wa Egloni, mfalme wa Gezeri,
Kongen i Eglon een; Kongen i Gezer een;
13 mfalme wa Debiri, mfalme wa Gederi,
Kongen i Debir een; Kongen i Geder een;
14 mfalme wa Horima, mfalme wa Aradi,
Kongen i Horma een; Kongen i Arad een;
15 mfalme wa Libna, mfalme wa Adula,
Kongen i Libna een; Kongen i Adullam een;
16 mfalme wa Makeda, mfalme wa Betheli,
Kongen i Makkeda een; Kongen i Betel een;
17 mfalme wa Tapua, mfalme wa Heferi,
Kongen i Tappua een; Kongen i Hefer een;
18 mfalme wa Afeki, mfalme wa Lasharoni,
Kongen i Afek een; Kongen i Lassjaron een;
19 mfalme wa Madoni, mfalme wa Hazori,
Kongen i Madon een; Kongen i Hazor een;
20 mfalme wa Shimroni - Meroni, mfalme wa Akshafu.
Kongen i Sjimron Meron een; Kongen i Aksjaf een;
21 mfalme wa Taanaki, mfalme wa Megido,
Kongen i Ta'anak een; Kongen i Megiddo een;
22 mfalme wa Kedeshi, mfalme wa Jokineamu katika Karmeli,
Kongen i Kedesj een; Kongen i Jokneam ved Karmel een;
23 mfalme wa Dori katika Nafutali Dori, mfalme Goyimu katika Giligali, na
Kongen i Dor ved Højdedraget Dor een; Kongen over Folkene i Galilæa een;
24 mfalme Tiriza. Hesabu ya wafalme ilikuwa ni thelathini na moja kwa ujumla wake.
Kongen i Tirza een; tilsammen en og tredive Konger.