< Yoshua 12 >
1 Basi hawa ndio wafalme wa nchi, ambao watu wa Israeli walishindwa. Waisraeli walichukua miliki ya nchi katika upande wa mashariki mwa Yordani sehemu ambako jua huchomoza, kutoka bonde la Mto Arnoni hadi Mlima Hermoni, na nchi yote ya Araba kuelekea kusini.
Ovo su zemaljski kraljevi što su ih pobijedili Izraelci i osvojili njihovu zemlju s onu stranu Jordana k istoku, od potoka Arnona do gore Hermona, sa svom Arabom na istoku:
2 Sihoni, mfalme wa Waamori, aliishi katika Heshiboni. Alitawala kutoka Aroeri, ambayo iko juu ya bonde la Arnoni kutoka katikati ya bonde, na nusu ya Geleadi kushuka mpaka Mto Yaboki katika mpaka wa Waamori.
Sihon, kralj amorejski, koji je stolovao u Hešbonu; njegovo se kraljevstvo protezalo od Aroera, koji leži na rubu doline potoka Arnona, sredinom doline i polovinom Gileada pa do potoka Jaboka, gdje je graničilo s Amoncima;
3 Sihoni pia alitawala juu ya Araba mpaka Bahari ya Kinerethi, kwenda mashariki, kuelekea Bahari ya Araba (Bahari ya Chumvi) upande wa mashariki, hadi huko Bethi Yeshimothi na upande wa kusini, kuelekea chini ya miteremko wa Mlima Pisiga.
i na istoku mu bila Araba do Keneretskog mora s jedne strane i sve do Arabskog ili Slanog mora prema Bet Haješimotu; i dalje na jugu do obronaka Pisge.
4 Ogu, mfalme wa Bashani, mmoja kati ya mabaki ya Rephaimu, aliyeishi huko Shatarothi na Edrei.
Međašio s njime Og, kralj bašanski, jedan od posljednjih Refaimaca; stolovao je u Aštarotu i Edreju.
5 Alitawala juu ya Mlima Hermoni, Saleka, na Bahani yote, hadi mpaka wa watu wa Geshuri na Wamakathi, na nusu ya Gleadi, hadi kufika mpaka wa Sihohi, mfalme wa Heshboni.
A vladao je gorom Hermonom i Salkom, čitavim Bašanom sve do gešurske i maakadske međe te drugom polovinom Gileada sve do granice Sihona, kralja hešbonskoga.
6 Musa mtumishi wa Yahweh, na watu wa Israeli walikuwa wamewashinda, na Musa mtumishi wa Yahweh aliwapa nchi kama mali ya Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase.
Mojsije, sluga Jahvin, i sinovi Izraelovi sve su ih pobili i predao je Mojsije, sluga Jahvin, tu zemlju u posjed plemenu Rubenovu i Gadovu plemenu te polovini plemena Manašeova.
7 Hawa ndio wafalme wa nchi ambayo Yoshua na watu wa Israeli waliwashinda katika upande wa magharibi mwa mto Yordani, kutoka Baali Gadi katika bonde karibu na Lebanoni hadi Mlima Halaki karibu na Edom. Yoshua aliyapa nchi makabila ya Israeli ili yaimiliki.
A ovo su zemaljski kraljevi što su ih pobijedili Jošua i sinovi Izraelovi s ovu stranu Jordana k zapadu, od Baal Gada u libanonskoj ravnici pa do gore Halaka, koja se diže prema Seiru, a tu je zemlju Jošua dao u baštinu plemenima Izraelovim prema njihovim dijelovima,
8 Aliwapa nchi ya milima, tambarare, Araba, sehemu za milima, nyika na Negevu, nchi ya Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi.
u Gorju, u Šefeli, u Arabi i po obroncima, u Pustinji te u Negebu: zemlju hetitsku, amorejsku i kanaansku, perižansku, hivijsku i jebusejsku:
9 Wafalme hawa walikuwa ni mfalme wa Yeriko, mfalme wa Ai iliyo karibu na Betheli,
jerihonski kralj, jedan; kralj Aja kod Betela, jedan;
10 mfalme wa Yerusalemu, mfalme wa Enaimu,
jeruzalemski kralj, jedan; hebronski kralj, jedan;
11 mfalme wa Yarmuthi, mfalme wa Lakishi,
jarmutski kralj, jedan; lakiški kralj, jedan;
12 mfalme wa Egloni, mfalme wa Gezeri,
eglonski kralj, jedan; gezerski kralj, jedan;
13 mfalme wa Debiri, mfalme wa Gederi,
debirski kralj, jedan; gederski kralj, jedan;
14 mfalme wa Horima, mfalme wa Aradi,
hormski kralj, jedan; aradski kralj, jedan;
15 mfalme wa Libna, mfalme wa Adula,
kralj Libne, jedan; adulamski kralj, jedan;
16 mfalme wa Makeda, mfalme wa Betheli,
makedski kralj, jedan; betelski kralj, jedan;
17 mfalme wa Tapua, mfalme wa Heferi,
kralj Tapuaha, jedan; heferski kralj, jedan;
18 mfalme wa Afeki, mfalme wa Lasharoni,
afečki kralj, jedan; šaronski kralj, jedan;
19 mfalme wa Madoni, mfalme wa Hazori,
madonski kralj, jedan; hasorski kralj, jedan;
20 mfalme wa Shimroni - Meroni, mfalme wa Akshafu.
šimron-meronski kralj, jedan; ahšafski kralj, jedan;
21 mfalme wa Taanaki, mfalme wa Megido,
tanaački kralj, jedan; megidski kralj, jedan;
22 mfalme wa Kedeshi, mfalme wa Jokineamu katika Karmeli,
kedeški kralj, jedan; kralj Jokneama na Karmelu, jedan;
23 mfalme wa Dori katika Nafutali Dori, mfalme Goyimu katika Giligali, na
dorski kralj u pokrajini dorskoj, jedan; gojski kralj u Gilgalu, jedan;
24 mfalme Tiriza. Hesabu ya wafalme ilikuwa ni thelathini na moja kwa ujumla wake.
tirški kralj, jedan. U svemu trideset i jedan kralj.