< Yoshua 12 >

1 Basi hawa ndio wafalme wa nchi, ambao watu wa Israeli walishindwa. Waisraeli walichukua miliki ya nchi katika upande wa mashariki mwa Yordani sehemu ambako jua huchomoza, kutoka bonde la Mto Arnoni hadi Mlima Hermoni, na nchi yote ya Araba kuelekea kusini.
Israel ca rhoek loh khohmuen manghai a ngawn tih a khohmuen te khocuk kah Jordan rhalvangan Arnon soklong lamkah Hermon tlang, khocuk kolken boeih,
2 Sihoni, mfalme wa Waamori, aliishi katika Heshiboni. Alitawala kutoka Aroeri, ambayo iko juu ya bonde la Arnoni kutoka katikati ya bonde, na nusu ya Geleadi kushuka mpaka Mto Yaboki katika mpaka wa Waamori.
Aroer lamloh a taem a rhai tih Heshbon ah Amori manghai Sihon loh a ngol thil Arnon soklong hmoi neh soklong bangli, Gilead ngancawn neh Ammon ca rhoek kah khorhi Jabbok soklong due,
3 Sihoni pia alitawala juu ya Araba mpaka Bahari ya Kinerethi, kwenda mashariki, kuelekea Bahari ya Araba (Bahari ya Chumvi) upande wa mashariki, hadi huko Bethi Yeshimothi na upande wa kusini, kuelekea chini ya miteremko wa Mlima Pisiga.
Khocuk kah Kinnereth tuili kolken neh khocuk kah lungkaeh tuili kolken kah tuili due, Bethjeshimoth longpuei neh tuithim kah Pisgah tuibah kungdak khaw,
4 Ogu, mfalme wa Bashani, mmoja kati ya mabaki ya Rephaimu, aliyeishi huko Shatarothi na Edrei.
Ashtaroth neh Edrei ah aka ngol Rapha hlangrhuel, Bashan manghai Oga khorhi khaw,
5 Alitawala juu ya Mlima Hermoni, Saleka, na Bahani yote, hadi mpaka wa watu wa Geshuri na Wamakathi, na nusu ya Gleadi, hadi kufika mpaka wa Sihohi, mfalme wa Heshboni.
Hermon tlang neh Salkhah, Bashan pum neh Geshuri khorhi duela aka taem, Maakathi neh Heshbon manghai Sihon khorhi Gilead ngancawn te khaw a loh uh.
6 Musa mtumishi wa Yahweh, na watu wa Israeli walikuwa wamewashinda, na Musa mtumishi wa Yahweh aliwapa nchi kama mali ya Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase.
Amih te BOEIPA kah sal Moses neh Israel ca rhoek loh a tloek tih Reuben, Gad neh Manasseh koca hlangvang taengah BOEIPA kah sal Moses loh rho la a phaeng.
7 Hawa ndio wafalme wa nchi ambayo Yoshua na watu wa Israeli waliwashinda katika upande wa magharibi mwa mto Yordani, kutoka Baali Gadi katika bonde karibu na Lebanoni hadi Mlima Halaki karibu na Edom. Yoshua aliyapa nchi makabila ya Israeli ili yaimiliki.
Khohmuen manghai rhoek te Joshua neh Israel ca rhoek loh a tloek tih Jordan rhalvang khotlak ah Lebanon kolbawn Baalgad lamloh Seir la aka luei Halak tlang duela amamih boelnah bangla Israel koca rhoek te Joshua loh rho la a phaeng.
8 Aliwapa nchi ya milima, tambarare, Araba, sehemu za milima, nyika na Negevu, nchi ya Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi.
Tlang neh kolrhawk, kolken neh tuibah, khosoek neh Negev kah Khitti, Amori, Kanaan, Perizzi, Khivee neh Jebusi khaw a ngawn.
9 Wafalme hawa walikuwa ni mfalme wa Yeriko, mfalme wa Ai iliyo karibu na Betheli,
Te vaengah Jerikho manghai pakhat, Bethel kaep kah Ai manghai pakhat,
10 mfalme wa Yerusalemu, mfalme wa Enaimu,
Jerusalem manghai pakhat, Hebron manghai pakhat,
11 mfalme wa Yarmuthi, mfalme wa Lakishi,
Jarmuth manghai pakhat, Lakhish manghai pakhat,
12 mfalme wa Egloni, mfalme wa Gezeri,
Eglon manghai pakhat, Gezer manghai pakhat,
13 mfalme wa Debiri, mfalme wa Gederi,
Debir manghai pakhat, Geder manghai pakhat,
14 mfalme wa Horima, mfalme wa Aradi,
Hormah manghai pakhat Arad manghai pakhat,
15 mfalme wa Libna, mfalme wa Adula,
Libnah manghai pakhat, Adullam manghai pakhat,
16 mfalme wa Makeda, mfalme wa Betheli,
Makkedah manghai pakhat, Bethel manghai pakhat,
17 mfalme wa Tapua, mfalme wa Heferi,
Tappuah manghai pakhat, Hepher manghai pakhat,
18 mfalme wa Afeki, mfalme wa Lasharoni,
Aphek manghai pakhat, Lasharon kah manghai pakhat,
19 mfalme wa Madoni, mfalme wa Hazori,
Madon manghai pakhat, Hazor manghai pakhat,
20 mfalme wa Shimroni - Meroni, mfalme wa Akshafu.
Shimronmeron manghai pakhat, Akshaph manghai pakhat,
21 mfalme wa Taanaki, mfalme wa Megido,
Taanakh manghai pakhat, Megiddo manghai pakhat,
22 mfalme wa Kedeshi, mfalme wa Jokineamu katika Karmeli,
Kedesh manghai pakhat, Karmel kah Jokneam manghai pakhat,
23 mfalme wa Dori katika Nafutali Dori, mfalme Goyimu katika Giligali, na
Dore khamyai kah Dore manghai pakhat Gilgal kah namtom manghai pakhat,
24 mfalme Tiriza. Hesabu ya wafalme ilikuwa ni thelathini na moja kwa ujumla wake.
Tirzah manghai pakhat neh manghai boeih he sawmthum pakhat louh.

< Yoshua 12 >