< Yoshua 10 >
1 Ikawa Adonizedeki, mfalme wa Yerusalemu, alisikia kuwa Yoshua ameiteka Ai na ameiteketeza kabisa, kama alivyokwisha kufaya huko Yeriko na mfalme wake. Na alisikia jinsi ambavyo watu wa Gibeoni walivyofanya amani na watu wa Israeli na walikuwa wanaishi miongoni mwao.
А кад чу Адониседек цар јерусалимски да је Исус узео Гај и раскопао га као што је учинио с Јерихоном и његовим царем, тако да је учинио и с Гајем и његовим царем, и да су Гаваоњани учинили мир с Израиљем и стоје усред њих,
2 Watu wa Yerusalemu waliogopa sana kwasababu Gibeoni ulikuwa mji mkubwa, kama mmoja wa miji ya kifalme. Ilikuwa kubwa kuliko Ai, na watu wake wote walikuwa ni mashujaa wenye nguvu.
Уплаши се врло; јер Гаваон беше велик град као какав царски град, и беше већи од Гаја, и сви људи у њему беху храбри.
3 Hivyo Adonizedeki, mfalme wa Yerusalemu, alituma ujumbe kwa Hohamu, mfalme wa Hebroni, na kwa Piramu, mfalme wa Yarimuthi, na kwaYafia, mfalme wa Lakishi, na kwa Debiri, mfalme wa Eguloni:
Зато посла Адониседек цар јерусалимски к Оаму цару хевронском и к Пираму цару јармутском и к Јафији цару лахиском и к Давиру цару јеглонском, и поручи:
4 “Njooni kwangu na mnisaidie. Tuishambulie Gibeoni kwasababu wamefanya amani na Yoshua pamoja na watu wa Israeli.
Ходите к мени, и помозите ми да ударимо на Гаваон, јер учини мир с Исусом и са синовима Израиљевим.
5 Wafalme watano wa Waamori; mfalme wa Yerusalemu, mfalme wa Hebroni, mfalme wa Yarimuthi, mfalme wa Lakishi, na mfalme wa Eguloni walikwea, wao pamoja na majeshi yao yote. Walipanga sehemu yao kinyume na Wagibeoni na waliwashambulia.
И скупи се и пође пет царева аморејских, цар јерусалимски, цар хевронски, цар јармутски, цар лахиски, цар јеглонски, они и сва војска њихова, и ставши у логор под Гаваоном почеше га бити.
6 Watu wa Gibeoni walituma ujumbe kwa Yoshua na kwa jeshi huko Giligali. Walisema, “Upesi! Msiuondoa mkono wenu kutoka kwa watumishi wenu. Kwaeni mje haraka na mtuokoe. Mtusaide, maana wafalme wote wa Waamori wanaoishi katika nchi ya milima wamekusanyika kwa pamoja ili watushambulie.
Тада Гаваоњани послаше к Исусу у логор у Галгал и рекоше: Немој дигнути руку својих са слуга својих; ходи брзо к нама, избави нас и помози нам, јер се скупише на нас сви цареви аморејски који живе у горама.
7 “Yoshua alipanda kutoka Giligali, yeye na watu wote wa vita pamoja naye, na watu wote wapiganaji.
И изађе Исус из Галгала, он и с њим сав народ што беше за бој, сви јунаци.
8 Yahweh akamwambia Yoshua, “Usiwaogope. Nimewatiwa wote katika mkono wako. Hakuna hata mmoja wao atakayeweza kuzuia mashambulizi yako.”
И Господ рече Исусу: Не бој их се; јер их дадох теби у руке, ниједан их се неће одржати пред тобом.
9 Baada ya kutembea usiku kucha kutoka Giligali, ghafla Yoshua aliwafikilia.
И Исус удари на њих изненада, ишавши целу ноћ од Галгала,
10 Na Yahweh alichanganya maadui mbele za Israeli - ambao waliwaua mauaji makubwa mno huko Gibeoni, na wale waliowafuata njiani iendayo Bethi Horoni, nao waliuwaua katika njia iendayo Azeka na Makeda.
И смете их Господ пред Израиљем, који их љуто поби код Гаваона, па их потера путем како се иде у Вет-Орон, и секоше их до Азике и до Макиде.
11 Na walipokuwa wakikimbia mbio kutoka kwa Waisraeli, chini ya mlima kutoka Bethi Horoni, Yahweh alitupa mawe makubwa kutoka mbinguni juu yao wote katika njia iendayo Azeka, nao wakafa. Watu waliouawa kwa mawe walikuwa ni wengi zaidi kuliko wale waliouawa kwa upanga wa watu wa Israeli.
А кад бежаху испред Израиља и беху низ врлет вет-оронску, баци Господ на њих камење велико из неба дори до Азике, те гињаху: и више их изгибе од камења градног него што их побише синови Израиљеви мачем.
12 Kisha Yoshua akamwambia Yahweh katika siku ambayo Yahweh aliwapa watu wa Israeli ushindi dhidi ya Waamori. Hiki ndicho Yoshua alichosema kwa Yahweh mbele ya Israeli. “Jua lisimame katika Gibeoni, na mwezi, usimame katika bonde la Aijaloni.”
Тада проговори Исус Господу онај дан кад Господ предаде Аморејца синовима Израиљевим, и рече пред синовима Израиљевим: Стани сунце над Гаваоном, и месече над долином елонском.
13 Jua lilisimama, na mwezi ukaacha kwenda mpaka taifa lilipolipiza kisasi dhidi ya maadui zao. Je hili halikuandikwa katika Kitabu cha Yashari? Jua lilikaa katikati ya anga; halilkuzama kwa siku nzima hivi.
И стаде сунце и устави се месец, докле се не освети народ непријатељима својим. Не пише ли то у књизи Истинитог? И стаде сунце насред неба и не наже к западу скоро за цео дан.
14 Haijawahi kutokea siku nyingine kama hiyo kabla au baada yake, wakati Yahweh alipotii sauti ya mtu. Kwa kuwa Yahweh alikuwa akifanya vita badala ya Israeli.
И не би таквог дана ни пре ни после, да Господ послуша глас човечји, јер Господ војева за Израиља.
15 Yoshua na Israeli yote pamoja naye walirudi kambini huko Giligali.
И врати се Исус и сав Израиљ с њим у логор у Галгал.
16 Basi wale wafalme watano walikuwa wametoroka na kujificha wao wenyewe katika pango huko Makeda.
А оних пет царева утекоше и сакрише се у пећину код Макиде.
17 Taarifa zilimfikia Yoshua kusema, “Wafalme watano wamepatikana wamejificha katika pango huko Makeda!”
И дође глас Исусу: Нађе се пет царева сакривених у пећини код Макиде.
18 Yoshua akasema, “Viringisheni mawe makubwa katika mlango wa pango na muweke wanajeshi hapo ili kuwalinda.
А Исус рече: Привалите велико камење на врата пећине, и наместите људе код ње да их чувају.
19 Msibaki na kukaa nyie wenyewe. Bali wafuatilieni maadui zenu na kuwashumbulia kutokea kwa nyuma. Msiwaruhusu kuingia katika miji yao, kwa kuwa Yahweh Mungu wenu amewatia katika mkono wenu.”
А ви не стојте, него гоните непријатеље своје и бијте остатак њихов, не дајте им да уђу у градове своје, јер вам их даде у руке Господ Бог ваш.
20 Yoshua na wana Waisraeli walikuwa wamemaliza kuwaua kwa mauaji makubwa sana, mpaka pale walipokuwa wameteketezwa kabisa; watu wachache tu walipona waliotoroka walifika miji ya ngome.
А кад Исус и синови Израиљеви престаше бити их у боју врло великом, разбивши их сасвим, а који их осташе живи, утекоше у тврде градове,
21 Kisha jeshi lote lilirudi kwa Yoshua likiwa na amani katika kambi huko Makeda. Na hakuna hata mmoja aliyethubutu kusema hata neno moja kinyume na watu wa Israeli.
Врати се сав народ здраво у логор к Исусу у Макиду, и нико не маче језиком својим на синове Израиљеве, ни на једног.
22 Kisha Yoshua akasema, “Fungueni mlango wa pango, watoeni nje na waleteni kwangu hawa wafalme watano.”
Тада рече Исус: Отворите врата од оне пећине, и изведите к мени оних пет царева из пећине.
23 Walifanya kama Yoshua alivyosema. Waliwaleta wafalme watano kutoka katika pango - mfalme wa Yerusalemu, mfalme wa Hebroni, mfalme wa Yarmuthi, mfalme wa Lakishi na mfalme wa Egloni.
И учинише тако, и изведоше к мени оних пет царева из пећине: цара јерусалимског, цара хевронског, цара јармутског, цара лахиског, цара јеглонског.
24 Na walipowaleta wafalme kwa Yoshua, alimwita kila mtu wa Israeli, na aliwaambia maakida wa wanajeshi waliokuwa wameenda vitani pamoja naye “Kanyageni miguu yenu juu ya shingo zao.” Basi walikuja na kukanyaga miguu yao juu ya shingo zao.
А кад изведоше те цареве к Исусу, сазва Исус све људе Израиљце, и рече војводама од војске који беху ишли с њим: Приступите и станите ногама својим на вратове овим царевима. И они приступише и стадоше им на вратове ногама својим.
25 Kisha akawaambia, 'Msiogope wala kufadhaika. uwe na moyo mkuu na jasiri. Na hiki ndicho Mungu atakachokifanya kwa maadui wenu wote ambao mtapigana nao'.
А Исус им рече: Не бојте се и не плашите се; будите слободни и храбри, јер ће тако учинити Господ свим непријатељима вашим на које завојштите.
26 Kisha Yoshua akawashambulia na kuwaua wafalme. Aliwatundika wote watano juu ya miti. Waliwatundika juu ya miti hata jioni.
Потом их поби Исус и погуби их, и обеси их на пет дрвета, и осташе висећи на дрветима до вечера.
27 Ilipokuwa jioni, Yoshua alitoa maagizo, nao waliwashusha chini ya miti na kisha wakawatupa katika pango ambalo walikuwa wamejificha wao wenyewe. Waliweka mawe makubwa juu ya mlango wa pango. Mawe hayo yapo pale hadi leo hii.
А о заходу сунчаном заповеди Исус те их скидоше с дрвета и бацише их у пећину, у коју се беху сакрили, и метнуше велико камење на врата пећине, које оста онде до данас.
28 Na kwa namna hii, katika siku hiyo Yoshua aliuteka mji wa Makeda na aliwaua watu wote huko kwa upanga, pamoja na mfalme wake. Aliwateketeza wote kabisa pamoja na kila kiumbe hai kilichokuwa huko. Hakuna hata mmoja aliyesalia. Alichomfanyia mfalme wa Makeda ni sawa sawa na kile alichokuwa amemfanyia mfalme wa Yeriko.
Истог дана узе Исус и Макиду, и све у њој исече оштрим мачем, и цара њеног и њих поби, све душе које беху у њој, не остави ниједног живог; и учини с царем макидским као што учини с царем јерихонским.
29 Yoshua na Israeli wote waliipita Makeda na kufika Libna. Na huko waliingia katika vita dhidi ya Libna.
Потом оде Исус и сав Израиљ с њим из Макиде у Ливну, и стаде бити Ливну.
30 Yahweh pia aliitia katika mkono wa Israeli pamoja na mfalme wake. Yoshua alishambulia kila kiumbe hai ndani yake kwa upanga. Hakuacha hai hata mtu mmoja. Alichomfanyia mfalme ni sawa sawa na kile alichokuwa amemfanyia mfalme wa Yeriko.
Па и њу предаде Господ у руке Израиљу и цара њеног; и исече све оштрим мачем, све душе које беху у њој, не остави у њој ниједног живог; и учини с царем њеним као што учини с царем јерихонским.
31 Baadaye Yoshua na Israeli wote pamoja naye walipanda kutoka Libna na kwenda Lakishi. Alipiga kambi karibu yake na wakafanya vita dhidi yake.
Потом оде Исус и сав Израиљ с њим из Ливне на Лахис, и стаде у логор пред њим, и стаде га бити.
32 Yahweh aliitia Lakishi katika mkono wa Israeli. Yoshua aliiteka katika siku ya pili. Alishambulia kwa upanga kilia kiumbe hai kilichokuwa ndani yake, kama vile aliyokuwa amefanya huko Libna.
И Господ предаде Лахис у руке Израиљу, и он га узе сутрадан, и исече све оштрим мачем, све душе што беху у њему, исто онако како учини с Ливном.
33 Kisha Horamu, mfalme wa Gezeri alikwea ili kuisaida Lakishi. Yoshua alimshambulia yeye na jeshi lake mpaka pale ambapo hapakuwa na mtu hata mmoja aliyesalia.
Тада дође Орам цар гезерски у помоћ Лахису; али поби Исус њега и народ његов да не оста ниједан жив.
34 Baada ya hapo, Yoshua na Israeli wote walitoka Lakishi na kwenda Egloni. Walipiga kambi karibu yake na kisha wakafanya vita dhidi yake,
Потом пође Исус и сав Израиљ с њим из Лахиса на Јеглон, и ставши у логор према њему ударише на њ;
35 na siku hiyo hiyo wakaiteka. Waliupiga kwa upanga na waliteketeza kila mtu ndani yake kama vile Yoshua alivyofanya huko Lakishi.
И узеше га исти дан, и исекоше све оштрим мачем; све душе што беху у њему поби тај дан исто онако како учини с Лахисом.
36 Kisha Joshua na Israeli wote wakatoka Egloni na kwenda Hebroni. Wakainua vita dhidi yake.
Потом се подиже Исус и сав Израиљ с њим из Јеглона на Хеврон, и стадоше га бити;
37 Waliuteka mji na kuwaua kwa upanga watu wote ndani yake pamoja na mfalme wake, kujumuisha na vijiji vyote vilivyoizunguka. Waliteketeza kabisa kila kiumbe hai ndani yake, hawakuacha hata mtu mmoja aliyesalia, ni sawa sawa na vile Yoshua alivyoitenda Egloni. Aliiteketeza kabisa, na kila kiumbe hai ndani yake.
И узеше га и исекоше оштрим мачем, и цара његовог и све градове његове, све душе што беху у њима; не остави ниједног живог исто онако како учини с Јеглоном; затре га са свим душама што беху у њему.
38 Baada ya hapo, Yoshua alirudi pamoja na jeshi lote la Israeli pamoja naye, wakasafiri kwenda Debiri na kufanya vita dhidi yake.
Потом се обрати Исус и сав Израиљ с њим на Давир, и стаде га бити;
39 Aliuteka mji na mfalme wake, pamoja na vijiji vyake vya jirani. Waliwaua wote kwa upanga na waliteketeza kila kiumbe hai ndani yake. Joshua hakuacha hata mmoja hai, kama alivyokuwa amefanya kwa Hebroni na mfalme wake, na kama alivyokuwa amefanya kwa Libna na mfalme wake.
И узе га и цара његовог и све градове његове, и исекоше их оштрим мачем и згубише све душе што беху у њима; не остави ниједног живог; као што учини с Хевроном, тако учини с Давиром и царем његовим, и као што учини с Ливном и царем њеним.
40 Yoshua aliishinda nchi yote, nchi ya milima, Negevu, nchi, nchi ya tambarare na nchi ya miteremko. Hakuna hata mfalme moja aliyebaki hai kati ya wafalme wake wote. Kwa kweli aliteketeza kila kiumbe hai, kama ambavyo Yahweh, Mungu wa Israeli alivyomwaagiza.
Тако поби Исус сву земљу, горе и јужну страну и равнице и долине, и све цареве њихове; не остави ниједног живог, него све душе живе згуби, као што беше заповедио Господ Бог Израиљев.
41 Yoshua aliwaua kwa upanga kutoka Kadeshi Barnea hadi Gaza, na nchi yote ya Gosheni hata Gibeoni.
И поби их Исус од Кадис-Варније до Газе, и сву земљу госенску до Гаваона.
42 Yoshua aliwateka wafalme wote hawa na nchi zao kwa wakati mmoja, kwasababu Yahweh, Mungu wa Israeli, alipigana kwa ajili ya Israeli.
А све те цареве и земљу њихову узе Исус уједанпут; јер Господ Бог Израиљев војеваше за Израиља.
43 Baada ya hayo Yoshua na Waisraeli wote pamoja naye, walirudi katika kambi huko Gilgali.
Потом се врати Исус и сав Израиљ с њим у логор у Галгал.