< Yona 4 >

1 Lakini hili lilimchukiza Yona naye akakasirika.
Men det tog Jonas saare fortrydeligt op, og han blev vred.
2 Basi Yona akamwomba Bwana akasema, “Ee, Bwana, hiya sio yale niliyosema wakati niliporudi katika nchi yangu? Ndiyo maana nilifanya haraka na kujaribu kukimbia Tarshishi-kwa sababu nilijua kuwa wewe ni Mungu mwenye neema, mwenye huruma, si meingi wa hasira, mwingi kwa uaminifu, na hughairi maafa.
Saa bad han til HERREN og sagde: »Ak, HERRE! Var det ikke det, jeg tænkte, da jeg endnu var hjemme i mit Land? Derfor vilde jeg ogsaa før fly til Tarsis; jeg vidste jo, at du er en naadig og barmhjertig Gud, langmodig og rig paa Miskundhed, og at du angrer det onde.
3 Kwa hiyo sasa, Bwana, nakuomba, uniondoe uhai wangu, kwa maana ni bora kwangu kufa kuliko kuishi.”
Saa tag nu, HERRE, mit Liv; thi jeg vil hellere dø end leve.«
4 Bwana akasema, Je, ni vema kwamba umekasirika?”
Men HERREN sagde: »Er det med Rette, du er vred?«
5 Kisha Yona akaondoka mjini akaketi upande wa mashariki wa jiji. Huko alifanya makao na akaketi chini yake katika kivuli ili aweze kuona mji utakuwaje.
Saa gik Jonas ud og slog sig ned østen for Byen; der byggede han sig en Løvhytte og satte sig i Skygge under den for at se, hvorledes det gik Byen.
6 Bwana Mungu aliandaa mmea na kuukuza juu ya Yona ili uwe kivuli juu ya kichwa chake ili kupunguza dhiki yake. Yona alikuwa na furaha kubwa kwa sababu ya mmea.
Da bød Gud HERREN en Olieplante skyde op over Jonas og skygge over hans Hoved for at tage hans Mismod, og Jonas glædede sig højligen over den.
7 Lakini Mungu aliandaa mdudu kulipopambazuka asubuhi iliyofuata. Alishambulia mmea na mmea ukapooza.
Men ved Morgengry næste Dag bød Gud en Orm stikke Olieplanten, saa den visnede;
8 Ikawa wakati jua lilipochomoza asubuhi, Mungu aliandaa upepo mkali wa mashariki. Pia, jua lilipiga kichwa cha Yona na akaanguka. Kisha Yona alitamani kufa. Akajiambia, “Ni bora kwangu kufa kuliko kuishi.”
og da Solen stod op, rejste Gud en glødende Østenstorm, og Solen stak Jonas i Hovedet, saa han vansmægtede og ønskede sig Døden, idet han tænkte: »Jeg vil hellere dø end leve.«
9 Kisha Mungu akamwambia Yona, “Je, ni vema wewe kuwa na hasira juu ya mmea?” Yona akasema, Ni vyema kuwa nimekasirika hata kufa.
Men Gud sagde til Jonas: »Er det med Rette, du er vred for Olieplantens Skyld?« Han svarede: »Ja, med Rette er jeg saa vred, at jeg kunde tage min Død derover.«
10 Bwana akasema, Umeuhurumia mmea, ambao haukuufanyia kazi wala haukukua. Uliomea katika usiku na kufa usiku.
Da sagde HERREN: »Du ynkes over Olieplanten, som du ingen Møje har haft med eller opelsket, som blev til paa een Nat og gik ud paa een Nat.
11 Kwa hiyo mimi, haikunipassa kuuhurumia Ninawi, mji mkuu, ambalo kuna watu zaidi ya mia na ishirini elfu ambao hawajui tofauti kati ya mkono wao wa kulia na mkono wao wa kushoto, na pia ng'ombe wengi?
Og jeg skulde ikke ynkes over Nineve, den store Stad med mer end tolv Gange 10 000 Mennesker, som ikke kan skelne højre fra venstre, og meget Kvæg.«

< Yona 4 >