< Yona 3 >
1 Neno la Bwana likamjia Yona mara ya pili, akisema,
I doðe rijeè Gospodnja Joni drugi put govoreæi:
2 “Ondoka, uende Ninawi, mji ule mkubwa, na uhubiri ujumbe ule ambao nitakuagiza.”
Ustani, i idi u Nineviju grad veliki, i propovijedaj mu ono što ti ja kažem.
3 Basi Yona akaondoka akaenda Niniawi kwa kutii neno la Bwana. Sasa Ninawi ilikuwa mji mkubwa sana, ilikuwa safari ya siku tatu.
I ustav Jona otide u Nineviju po rijeèi Gospodnjoj; a Ninevija bješe grad vrlo velik, tri dana hoda.
4 Yona akaanza kuingia ndani ya mji, na baada ya safari ya siku, akapaza sauti, akasema, “Katika siku arobaini Ninawi itaangamizwa.”
I Jona poèe iæi po gradu jedan dan hoda, i propovijeda i reèe: jošte èetrdeset dana, pa æe Ninevija propasti.
5 Watu wa Ninawi walimwamini Mungu na wakatangaza kufunga. Wote hwakavaa nguo za magunia, kutoka aliyemkubwa hata mdogo.
I Ninevljani povjerovaše Bogu, i oglasiše post, i obukoše se u kostrijet od najveæega do najmanjega.
6 Mapema habari zilimfikia mfalme wa Ninawi. Akasimama kutoka kiti chake cha enzi, akavua vazi lake, akajivika magunia, akaketi katika majivu.
Jer kad doðe ta rijeè do cara Ninevijskoga, on usta sa svojega prijestola, i skide sa sebe svoje odijelo, i obuèe se u kostrijet i sjede u pepeo.
7 Alitoa tangazo ambalo lilsemalo, “katika mji wa Ninawi, kwa mamlaka ya mfalme na wakuu wake, msiruhusu mtu wala mnyama, ng'ombe wala kundi, asionje kitu chochote. Wao wasile wala kunywe maji.
I proglasi se i kaza se po Nineviji po zapovijesti carevoj i knezova njegovijeh govoreæi: ljudi i stoka, goveda i ovce da ne okuse ništa, ni da pasu ni da piju vode.
8 Lakini watu na wanyama wawe wamefunikwa kwa magunia na walie kwa sauti kubwa kwa Mungu. Kila mtu ageuke na kuacha njia yake mbaya na kutoka katika udhalimu uliyopo mikononi mwake.
Nego i ljudi i stoka da se pokriju kostrijeæu, i da prizivaju Boga jako, i da se vrati svaki sa svoga zloga puta i od nepravde koja mu je u ruku.
9 Nani anajua? Mungu anaweza kurejea na kubadili mawazo yake na kuacha ghadhabu yake kali ili tusiangamie.”
Ko zna, eda se povrati i raskaje Bog i povrati se od ljutoga gnjeva svojega, te ne izginemo.
10 Mungu akaona yale waliyoyafanya, wakaziacha njia zao mbaya. Kwa hiyo Mungu alibadili mawazo yake juu ya adhabu aliyowaambia angewafanyia, nae hakufanya hivyo.
I Bog vidje djela njihova, gdje se vratiše sa zloga puta svojega; i raskaja se Bog oda zla koje reèe da im uèini, i ne uèini.