< Yona 2 >

1 Kisha Yona akamwomba Bwana Mungu wake kutoka katika tumbo la samaki.
And he prayed Jonah to Yahweh God his from [the] inward parts of the fish.
2 Akasema, Nimemwita Bwana juu ya shida yangu naye akanijibu; kutoka tumbo la Kuzimu nililia kwa msaada! Uliisikia sauti yangu. (Sheol h7585)
And he said I called from distress of me to Yahweh and he answered me from [the] belly of Sheol I cried for help you heard voice my. (Sheol h7585)
3 Ulikuwa umenitupa ndani ya kina, ndani ya moyo wa bahari, na maji yaliyonizunguka; mawimbi yako yote na gharika yalipita juu yangu.
And you have thrown me [the] deep in [the] heart of [the] seas and a river it surrounds me all breakers your and waves your over me they have passed.
4 Nikasema, 'Nimefukuzwa mbele ya macho yako; lakini nitaangalia tena juu ya hekalu lako takatifu. '
And I I said I have been driven away from before eyes your nevertheless I will repeat to look to [the] temple of holiness your.
5 Maji yalifunika kunizunguka karibu na shingo yangu; kina kilinizunguka; mwani ukakizinga kichwa changu.
They have encompassed me waters to [the] neck [the] deep it surrounds me rush[es] [is] wrapped round to head my.
6 Nilikwenda chini ya milima; nchi na baa zake zimefungwa juu yangu milele. Lakini wewe umeinua uhai wangu shimoni, Bwana, Mungu wangu!
To extremities of mountains I went down the earth bars its [were] behind me for ever and you brought up from [the] pit life my O Yahweh God my.
7 Wakati nafsi yangu ilipozimia ndani yangu, nikamwita Bwana; basi sala yangu ilikujia, katika hekalu lako takatifu.
When fainted away on me life my Yahweh I remembered and it came to you prayer my to [the] temple of holiness your.
8 Wote ambao huzingatia miungu isiyofaa hukataa uaminifu wako wao wenyewe.
[those who] pay regard Vanities of nothingness loyalty their they abandon.
9 Lakini mimi, nitakuchinjia kwa sauti ya shukrani; Nitayatimiza yale niliyoapa. Wokovu hutoka kwa Bwana!
And I with a voice of thanksgiving I will sacrifice to you [that] which I have vowed I will fulfill rescue [belongs] to Yahweh.
10 Kisha Bwana akanena na samaki, akamtapika Yona juu ya nchi kavu.
And he spoke Yahweh to the fish and it vomited up Jonah to the dry land.

< Yona 2 >