< Yona 2 >
1 Kisha Yona akamwomba Bwana Mungu wake kutoka katika tumbo la samaki.
Og Jonas bad til Herren sin Gud fra Fiskens Liv,
2 Akasema, Nimemwita Bwana juu ya shida yangu naye akanijibu; kutoka tumbo la Kuzimu nililia kwa msaada! Uliisikia sauti yangu. (Sheol )
og han sagde: Jeg raabte til Herren ud af min Angest, og han svarede mig; jeg, skreg fra Dødsrigets Skød, du hørte min Røst. (Sheol )
3 Ulikuwa umenitupa ndani ya kina, ndani ya moyo wa bahari, na maji yaliyonizunguka; mawimbi yako yote na gharika yalipita juu yangu.
Du kastede mig i Dybet, midt i Havet, og Strømmen omgav mig; alle dine Vover og dine Bølger gik over mig.
4 Nikasema, 'Nimefukuzwa mbele ya macho yako; lakini nitaangalia tena juu ya hekalu lako takatifu. '
Og jeg sagde: Jeg er udstødt fra dine Øjne, men jeg skal atter skue hen til dit hellige Tempel.
5 Maji yalifunika kunizunguka karibu na shingo yangu; kina kilinizunguka; mwani ukakizinga kichwa changu.
Vandene omsluttede mig indtil Sjælen, Dybet omgav mig, Tang var viklet om mit Hoved.
6 Nilikwenda chini ya milima; nchi na baa zake zimefungwa juu yangu milele. Lakini wewe umeinua uhai wangu shimoni, Bwana, Mungu wangu!
Jeg sank ned til Bjergenes Grunde, Jordens Porte vare lukkede efter mig for evigt; men du Herre, min Gud, drog mit Liv op af Graven.
7 Wakati nafsi yangu ilipozimia ndani yangu, nikamwita Bwana; basi sala yangu ilikujia, katika hekalu lako takatifu.
Der min Sjæl i mit Indre forsmægtede, kom jeg Herren i Hu; og min Bøn kom til dig i dit hellige Tempel.
8 Wote ambao huzingatia miungu isiyofaa hukataa uaminifu wako wao wenyewe.
De, som tage Vare paa Løgnens Gøglebilleder, de have forladt ham, som er dem Miskundhed.
9 Lakini mimi, nitakuchinjia kwa sauti ya shukrani; Nitayatimiza yale niliyoapa. Wokovu hutoka kwa Bwana!
Men jeg, jeg vil med Taksigelses Røst ofre til dig, jeg vil betale det, jeg har lovet; Frelse er der hos Herren.
10 Kisha Bwana akanena na samaki, akamtapika Yona juu ya nchi kavu.
Og Herren bød Fisken, og den udspyede Jonas paa det tørre Land.