< Yona 1 >

1 Ndipo neno la Bwana lilimjia Yona mwana wa Amittai, kusema,
Torej Gospodova beseda je prišla k Jonu, Amitájevemu sinu, rekoč:
2 “Simama uende Ninawi, mji kuu, na ukapaze sauti dhidi yake, kwa sababu uovu wao umeinuka mbele yangu.”
»Vstani, pojdi v Ninive, to veliko mesto in kliči zoper njega, kajti njihova zlobnost je prišla predme.«
3 Lakini Yona akaondoka kukimbia kutoka mbele ya Bwana na kwenda Tarshishi. Akatelemka mpaka Yafa na akaona melikebu inayokwenda Tarshishi. Kwa hiyo alilipa nauli na akapanda melikebu kwenda nayo Tarishishi, mbali na uwepo wa Yahweh.
Toda Jona se je dvignil, da pred Gospodovo prisotnostjo zbeži v Taršíš in je odšel dol v Jopo in našel ladjo, ki je šla v Taršíš. Tako je plačal njeno voznino in odšel dol vanjo, da gre z njimi v Taršíš, proč od Gospodove prisotnosti.
4 Lakini Bwana akatuma upepo mkubwa juu ya bahari, ikawa tufani juu ya bahari. Hivi karibuni ikaonekana kwamba meli ilikuwa inataka kuvunjika.
Toda Gospod je na morje odposlal velik veter in tam na morju je bil mogočen vihar, tako da je ladjo hotel zlomiti.
5 Wale baharia waliogopa sana na kila mtu alilia kwa mungu wake mwenyewe. Wakatupa mizigo bahari iliyokuwa merikebuni ili kuifungua. Yona alikuwa ameshuka hapa pande za ndani ya melikebu, naye alikuwa amelala huko usingizi.
Potem so bili mornarji prestrašeni in vsak je klical k svojemu bogu in odvrgli [so] blago, ki je bilo na ladji, v morje, da jo olajšajo. Jona pa je odšel dol med ladijske boke in legel ter trdno zaspal.
6 Basi nahoza akamwendea akamwambia, “kwa nini unalala? Amka! ukamwombe mungu wako! Labda mungu wako atatutambua na hatutapotea.”
Tako je kapitan prišel k njemu in mu rekel: »Kaj ti misliš, oh zaspanec? Vstani, kliči k svojemu Bogu, če je tako, da bo Bog mislil na nas, da se ne pogubimo.«
7 Wote wakaambiana, 'Njoni, tupige kura, ili tujue ni nani ndiye sababu ya mabaya haya yanayotupata.' Basi wakapiga kura, na kura ikaangukia kwa Yona.
In rekli so vsak svojemu tovarišu: »Pridimo in mečimo žrebe, da bomo lahko izvedeli zaradi čigavega vzroka je nad nami to zlo.« Tako so metali žrebe in žreb je padel na Jona.
8 Kisha wakamwambia Yona, “Tafadhali tuambie ni nani ndiye sababu ya mabaya haya yanayotupata. Unafanya kazi gani, na umetoka wapi? Nchi yako ni ipi, na kutoka kwa watu wa kabila gani?”
Potem so mu rekli: »Povej nam, prosimo te, zaradi čigavega vzroka je nad nami to zlo. Kakšen je tvoj poklic? In od kod prihajaš? Katera je tvoja dežela? In iz katerega ljudstva si?«
9 Yona akawaambia, Mimi ni Mhebrania; Nami namuogopa Bwana, Mungu wa mbinguni, aliyeifanya bahari na nchi kavu.
Rekel jim je: »Jaz sem Hebrejec in se bojim Gospoda, Boga nebes, ki je naredil morje in kopno zemljo.«
10 Ndipo watu hao waliogopa zaidi, wakamwambia Yona, Ni jambo gani hili ulilolifanya? Kwa maana hao watu walijua kwamba alikuwa akikimbia mbele ya Bwana, kwa sababu alikuwa amewaambia.
Potem so bili ljudje silno prestrašeni in mu rekli: »Zakaj si to storil?« Kajti ljudje so vedeli, da je pobegnil izpred Gospodovega obličja, ker jim je povedal.
11 Ndipo wakamwambia Yona, Tukufanyie nini ili bahari iweze kutulia? Kwa maana bahari ilikuwa imechafuka zaidi na zaidi.
Potem so mu rekli: »Kaj naj ti storimo, da se nam morje lahko umiri?« Kajti morje se je maščevalo in bilo viharno.
12 Yona akawaambia, “Nikamateni na nitupeni baharini. Kisha bahari itatulia kwa ajili yenu, kwa maana najua kwamba ni kwa sababu yangu kwamba tufani hii kubwa iwapate.”
Rekel jim je: »Vzemite me in me vrzite v morje. Tako se vam bo morje umirilo, kajti vem, da je zaradi mene ta veliki vihar nad vami.«
13 Hata hivyo, watu hao wavuta makasia kwa bidii ili kurudi nchi kavu, lakini hawakuweza kufanya hivyo kwa sababu bahari ilikuwa imechafuka zaidi dhidi yao.
Kljub temu so možje trdo veslali, da jo privedejo k obali, toda niso mogli, kajti morje se je maščevalo in bilo viharno proti njim.
14 Basi wakamwomba Bwana, wakasema, Tunakuomba, Bwana, tunakuomba, usiache tuangamize kwa sababu ya maisha ya mtu huyu; wala usituwekee hatia ya kufa kwake, kwa kuwa wewe, Bwana, umefanya kama ulivyopenda.
Zato so klicali h Gospodu in rekli: »Rotimo te, oh Gospod, rotimo te, naj se ne pogubimo zaradi življenja tega moža in ne položi na nas nedolžne krvi, kajti ti, oh Gospod, si storil, kakor ti je ugajalo.«
15 Basi wakamchukua Yona wakamtupa baharini, nayo bahari ikaacha kuchafuka.
Tako so vzeli Jona in ga vrgli v morje in morje je odnehalo od svojega besnenja.
16 Ndipo watu wale wakamuogopa Bwana sana. Wakamtolea dhabihu Bwana na kuweka nadhiri.
Potem so se možje silno zbali Gospoda in Gospodu darovali klavno daritev in naredili zaobljube.
17 Bwana alikuwa ameandaa samaki mkubwa kummeza Yona, na Yona alikuwa ndani ya tumbo lasamaki siku tatu na usiku wa tatu.
Torej Gospod je pripravil veliko ribo, da je pogoltnila Jona. In Jona je bil v ribjem trebuhu tri dni in tri noči.

< Yona 1 >