< Yona 1 >
1 Ndipo neno la Bwana lilimjia Yona mwana wa Amittai, kusema,
and to be word LORD to(wards) Jonah son: child Amittai to/for to say
2 “Simama uende Ninawi, mji kuu, na ukapaze sauti dhidi yake, kwa sababu uovu wao umeinuka mbele yangu.”
to arise: rise to go: went to(wards) Nineveh [the] city [the] great: large and to call: call out upon her for to ascend: rise distress: evil their to/for face: before my
3 Lakini Yona akaondoka kukimbia kutoka mbele ya Bwana na kwenda Tarshishi. Akatelemka mpaka Yafa na akaona melikebu inayokwenda Tarshishi. Kwa hiyo alilipa nauli na akapanda melikebu kwenda nayo Tarishishi, mbali na uwepo wa Yahweh.
and to arise: rise Jonah to/for to flee Tarshish [to] from to/for face LORD and to go down Joppa and to find fleet to come (in): come Tarshish and to give: pay wages her and to go down in/on/with her to/for to come (in): come with them Tarshish [to] from to/for face LORD
4 Lakini Bwana akatuma upepo mkubwa juu ya bahari, ikawa tufani juu ya bahari. Hivi karibuni ikaonekana kwamba meli ilikuwa inataka kuvunjika.
and LORD to cast spirit: breath great: large to(wards) [the] sea and to be tempest great: large in/on/with sea and [the] fleet to devise: devise to/for to break
5 Wale baharia waliogopa sana na kila mtu alilia kwa mungu wake mwenyewe. Wakatupa mizigo bahari iliyokuwa merikebuni ili kuifungua. Yona alikuwa ameshuka hapa pande za ndani ya melikebu, naye alikuwa amelala huko usingizi.
and to fear [the] mariner and to cry out man: anyone to(wards) God his and to cast [obj] [the] article/utensil which in/on/with fleet to(wards) [the] sea to/for to lighten from upon them and Jonah to go down to(wards) flank [the] ship and to lie down: lay down and to sleep
6 Basi nahoza akamwendea akamwambia, “kwa nini unalala? Amka! ukamwombe mungu wako! Labda mungu wako atatutambua na hatutapotea.”
and to present: come to(wards) him chief [the] pilot and to say to/for him what? to/for you to sleep to arise: rise to call: call to to(wards) God your perhaps to think [the] God to/for us and not to perish
7 Wote wakaambiana, 'Njoni, tupige kura, ili tujue ni nani ndiye sababu ya mabaya haya yanayotupata.' Basi wakapiga kura, na kura ikaangukia kwa Yona.
and to say man: anyone to(wards) neighbor his to go: come! and to fall: allot allotted and to know in/on/with which/that to/for who? [the] distress: evil [the] this to/for us and to fall: allot allotted and to fall: allot [the] allotted upon Jonah
8 Kisha wakamwambia Yona, “Tafadhali tuambie ni nani ndiye sababu ya mabaya haya yanayotupata. Unafanya kazi gani, na umetoka wapi? Nchi yako ni ipi, na kutoka kwa watu wa kabila gani?”
and to say to(wards) him to tell [emph?] please to/for us in/on/with in which to/for who? [the] distress: evil [the] this to/for us what? work your and from where? to come (in): come what? land: country/planet your and where? from this people you(m. s.)
9 Yona akawaambia, Mimi ni Mhebrania; Nami namuogopa Bwana, Mungu wa mbinguni, aliyeifanya bahari na nchi kavu.
and to say to(wards) them Hebrew I and [obj] LORD God [the] heaven I afraid which to make [obj] [the] sea and [obj] [the] dry land
10 Ndipo watu hao waliogopa zaidi, wakamwambia Yona, Ni jambo gani hili ulilolifanya? Kwa maana hao watu walijua kwamba alikuwa akikimbia mbele ya Bwana, kwa sababu alikuwa amewaambia.
and to fear [the] human fear great: large and to say to(wards) him what? this to make: do for to know [the] human for from to/for face LORD he/she/it to flee for to tell to/for them
11 Ndipo wakamwambia Yona, Tukufanyie nini ili bahari iweze kutulia? Kwa maana bahari ilikuwa imechafuka zaidi na zaidi.
and to say to(wards) him what? to make: do to/for you and be quiet [the] sea from upon us for [the] sea to go: continue and to rage
12 Yona akawaambia, “Nikamateni na nitupeni baharini. Kisha bahari itatulia kwa ajili yenu, kwa maana najua kwamba ni kwa sababu yangu kwamba tufani hii kubwa iwapate.”
and to say to(wards) them to lift: raise me and to cast me to(wards) [the] sea and be quiet [the] sea from upon you for to know I for in/on/with which/that to/for me [the] tempest [the] great: large [the] this upon you
13 Hata hivyo, watu hao wavuta makasia kwa bidii ili kurudi nchi kavu, lakini hawakuweza kufanya hivyo kwa sababu bahari ilikuwa imechafuka zaidi dhidi yao.
and to dig [the] human to/for to return: return to(wards) [the] dry land and not be able for [the] sea to go: continue and to rage upon them
14 Basi wakamwomba Bwana, wakasema, Tunakuomba, Bwana, tunakuomba, usiache tuangamize kwa sababu ya maisha ya mtu huyu; wala usituwekee hatia ya kufa kwake, kwa kuwa wewe, Bwana, umefanya kama ulivyopenda.
and to call: call to to(wards) LORD and to say Please! LORD not please to perish in/on/with soul: life [the] man [the] this and not to give: put upon us blood innocent for you(m. s.) LORD like/as as which to delight in to make: do
15 Basi wakamchukua Yona wakamtupa baharini, nayo bahari ikaacha kuchafuka.
and to lift: raise [obj] Jonah and to cast him to(wards) [the] sea and to stand: stand [the] sea from rage his
16 Ndipo watu wale wakamuogopa Bwana sana. Wakamtolea dhabihu Bwana na kuweka nadhiri.
and to fear: revere [the] human fear great: large [obj] LORD and to sacrifice sacrifice to/for LORD and to vow vow
17 Bwana alikuwa ameandaa samaki mkubwa kummeza Yona, na Yona alikuwa ndani ya tumbo lasamaki siku tatu na usiku wa tatu.
and to count LORD fish great: large to/for to swallow up [obj] Jonah and to be Jonah in/on/with belly [the] fish three day and three night