< Yohana 9 >
1 Wakati, kama Yesu alipokuwa akipita, alimwona mtu kipofu tangu kuzaliwa kwake.
Linu Jesu habahitite, nabona mukwame yabazalwa nalimuhofu.
2 Wanafunzi wake wakamwuliza, “Rabi, nani aliyetenda dhambi, mtu huyu au wazazi wake, hata azaliwe kipofu?”
Barutwana bakwe chibamubuza, “Muruti, babatendi chive njibani, uzu mukwame kapa bazazi bakwe, habazalwa nalimuhofu?”
3 Yesu akawajibu, “Siyo huyu mtu wala wazazi wake waliotenda dhambi, bali kazi za Mungu zipate kufunuliwa kupitia kwake.
Jesus abetabi, “Kenakuti uzu mukwame aba tendi chive nandi bazazi bakwe “kono kuti mitendo ya Ireeza ibungutulwe chali.
4 Tunapaswa kufanya kazi zake yeye aliyenituma wakati bado ni mchana. Usiku waja wakati ambapo hakuna atakayeweza kufanya kazi.
Tutameha kutenda mitendo yozo yabanitumi nichili musihali. Masiku akezite mweyonako kakwina yeti nawole kusebeza.
5 Wakati niwapo ulimwenguni, mimi ni nuru ya ulimwengu.”
Hanichina muchisi, njime nisele lyechinu chisi.
6 Baada ya Yesu kusema maneno haya, alitema kwenye ardhi, alifanya tope kwa mate, na akampaka yule mtu machoni na lile tope.
Jesu hamana kuwamba izi zintu, naswila hansi, kutenda itope chamate, imi nasinga itope hamenso akwe.
7 Akamwambia, nenda kaoge katika kisima cha Siloam (Inayotafsiriwa kama 'aliyetumwa').” Kwa hiyo huyo mtu alienda, akanawa, na akarudi, anaona.
Nichati kwali, “Yenda, kasambe muchihumbi cha Siloe (Itoloka kuti: kutumwa.” Hakwinabulyo mukwame naliyendela, nakasamba, imi nakabola chobona.
8 Majirani wa yule mtu na wale waliomuona mwanzo kama mwombaji walisema, Je! huyu siye yule mtu aliyekuwa akikaa na kuomba?” wengine walisema, “Ni yeye.”
Hahabulyo bababambene nozo mukwame nabana babamuboni nali mukumbili babali kuwamba kuti, “Uzu kanjiyena yaba kuikalanga na kumbila?”
9 Na wengine walisema, “Hapana, bali anafanana naye.” Lakini alikuwa akisema, “Ni mimi.”
Balikene nibati, “Nji yena” Bamwi nibati, “Nanta, kono uboneka ubu njeye.” imi iye chati, “Njime.”
10 Wakamwambia, “Sasa macho yako yalifunguliwaje?”
Nibati kwali, “Linuhe menso ako ayeluki bule?”
11 Alijibu, mtu aitwaye Yesu alifanya tope na kupaka macho yangu na kuniambia, 'Nenda Siloam ukanawe.' Kwa hiyo nilienda, na nikanawa, na nikapata kuona tena.”
Netaba, mukwame yo sumpwa Jesu watenda itope ni kunisunga amenso angu imi nati kwangu, 'Yende kwa Siloe mi uka sambe,' Chobulyo chinayenda imi ninakasamba imi ninatanga kubona.”
12 Wakamwambia, “Yuko wapi?” Alijibu, “Sijui.”
Nibati kwali, “Winahi iye?” Netaba nati, “kanizi.”
13 Wakampeleka yule mtu aliyewahi kuwa kipofu kwa Mafarisayo.
Nibaleta mukwame yaba kubanga chihofu ku Mafalisi.
14 Nayo ilikuwa siku ya Sabato wakati Yesu alipotengeneza tope na kuyafumbua macho yake.
Linu ibali izuba lye nsabata ilyo Jesu aba tendi itope heyalula menso akwe.
15 Ndipo tena Mafarisayo wakamwuliza alipataje kuona. Aliwaambia, “Aliweka tope katika macho yangu, nikanawa, na sasa naweza kuona.”
Linu hape Mafalisi chiba mubuza mwaba bonene. Nati kubali, “Wabika itope hamenso angu, naka samba imi hanu chini bona.”
16 Baadhi ya Mafarisayo wakasema, “Mtu huyu hajatoka kwa Mungu kwa sababu haishiki Sabato.” Wengine walisema, “Inawezekanaje mtu mwenye dhambi kufanya ishara kama hizo?” Kwa hiyo kukawa na mgawanyiko kati yao.
Balikene ku Bafilisi nibati, “Uzu mukwame kazwi kwa Ireeza mukuti kechilili Insabata.” Bamwi nibati, “Kwiza buti kuti mukwame wina chive atende imakazo zisika aha?” Chobulyo ni kwaba ni kuliyaba mukati kabo.
17 Ndipo walipomwuliza yule kipofu tena, “Unasemaje juu yake kwa sababu aliyafungua macho yako?” Kipofu akasema, “Ni nabii.”
Chobulyo nibabuza mukwame wechihofu hape, “Utinzi kuamana naye mukuti njobeyalulwa menso kwali?” Mukwame wechihofu nati, “mutanikizi.”
18 Hata wakati huu Wayahudi hawakumwamini kwamba alikuwa kipofu naye amepata kuona mpaka walipowaita wazazi wake yeye aliyepata kuona.
Nangaho Majuda kanababazumini kuti ibali chihofu yabeyalulwa menso ulukusikila habasumpa bazazi bakwe yasanaabali kubona.
19 Waliwauliza wazazi, Je, huyu ni mtoto wenu mnayesema alizaliwa kipofu? amewezaje sasa kuona?”
Nibabuza bazazi bakwe, “Uzu nji mwanenu wamuswisu imutakuti abazalwa nali chihofu? Kwiza buti kuti linu abone?”
20 Hivyo wazazi wake wakamjibu, “Tunajua kuwa huyu ni mtoto wetu na kwamba alizaliwa kipofu.
Chobulyo bazazi bakwe babetabi, “Twizi kuti uzu nji mwanetu wamuswisu nikuti aba zalwa neli chihofu.
21 Jinsi gani sasa anaona, hatujui, na yeye aliyemfumbua macho yake, hatumjui. Mwulizeni yeye. Ni mtu mzima. Anaweza kujieleza mwenyewe.”
Mukubezili kuti abone hanu katwizi, ni yabeyaluli menso akwe katwizi. Mumubuze, mukulwana. Uwola kuliwambilila iye mwine.”
22 Wazazi wake walisema mambo haya, kwa sababu waliwaogopa Wayahudi. Kwa vile Wayahudi walikuwa wamekubaliana tayari kuwa, ikiwa yeyote atakiri kuwa Yesu ni Kristo, atatengwa na Sinagogi.
Bazazi bakwe babawambi izi zintu, mukuti babakutite Majuda. Mukuti Majuda chiba babazuminzene kale kuti iye yete alizumine kuti nji Kreste mubamuhindikile kunze yamasinagoge.
23 Kwa sababu hii, wazazi wake walisema, “Ni mtu mzima, mwulizeni yeye.”
Chebaka lyezi, bazazi bakwe nibati, “Mukulwana, mumubuze.”
24 Kwa hiyo kwa mara ya pili, walimwita yule mtu aliyewahi kuwa kipofu na kumwambia, “Mpe Mungu utukufu. Tunajua kwamba mtu huyu ni mwenye dhambi.”
Mukuti chibabahitite tobole nibasumpa mukwame yabakubanga chihofu ni chibati kwali, “Uhe ikanya kwa Ireeza. Twizi kuti uzu mukwame mutendi wazive.”
25 Ndipo yule mtu alijibu, “Awe ni mwenye dhambi, mimi sijui. Kitu kimoja ninachokijua: nilikuwa kipofu, na sasa ninaona.”
Linu uzo mukwame netaba, “Kanizi nandi mutendi wazive. Chimwi chinizi: Nibali nimuhofu, imi hanu chinibona.”
26 Ndipo walipomwambia, “Amekufanyia nini? Aliyafumbuaje macho yako?”
Kuzwaho nibamuti, “Chinzi chabatendi kwako? Abeyalula buti menso ako?”
27 Alijibu, “Nimekwishawaambia tayari, na nyinyi hamkusikiliza! Kwa nini mnataka kusikia tena? Nanyi hamtaki kuwa wanafunzi wake pia, sivyo?
Abetabi, namiwambila kale, imi kamutekelezi! Chinzi hamusaka kuzuwa chimwi hape? Kamusaki kuba barutwana bakwe nanwe, nandi musaka?
28 Walimtukana na kusema, “Wewe ni mwanafunzi wake, lakini sisi ni wanafunzi wa Musa.
Nichibamutuka imi nibati, “Umurutwana wakwe, imi iswe tubarutwana ba Mushe.
29 Tunajua kwamba Mungu alizungumza na Musa, lakini kwa huyu mtu, hatujui kule atokako.”
Twizi kuti Ireeza abawambi kwa Mushe, imi katwizi kuti uzu uzwa kuhi.”
30 Yule mtu akajibu na kuwaambia, “Kwa nini, hili ni jambo la kushangaza, kwamba hamjui anakotoka, na bado ameyafumbua macho yangu.
Mukwame netaba nabacho, Ichi chikomosa, kuti kamwizi kwazwa, kono abeyaluli menso angu.
31 Tunajua kuwa Mungu hawasikilizi wenye dhambi, lakini ikiwa mtu yeyote anamwabudu Mungu na hufanya mapenzi yake, Mungu humsikiliza.
Twizi kuti Ireeza katekelezi batendi bazive, kono haiba muntu ulibekite kwa Ireeza ni kutenda intato yakwe, umutekeleza.
32 Tangu kuanza kwa Ulimwengu haijawahi kamwe kusikiwa kwamba yeyote ameyafumbua macho ya mtu aliyezaliwa kipofu. (aiōn )
Kutanga kumatangilo achisi kana kubeni kuzuweka kuti kwina ichabeyaluli menso amukwame yabazalwa neli muhofu. (aiōn )
33 Ikiwa mtu huyu hakutoka kwa Mungu, asingelifanya chochote.”
Haiba uzu mukwame kazwi kwa Ireeza, kakwina chiti nabatendi.”
34 Walijibu na kumwambia, “Ulizaliwa katika dhambi kabisa, na wewe unatufundisha sisi?” Ndipo walipomfukuza kutoka katika sinagogi.
Nibamwitaba nibati, “Iwe ubazalilwa muzive kumaniniza, imi utuluta?” Hahobulyo nibamusohela kunze.”
35 Yesu alisikia kwamba wamemwondoa kwenye sinagogi. Alimpata na kumwambia, “Unamwamini Mwana wa Mtu?”
Jesu abazuwi kuti babamuhindikili hanze yesinagoge. Hamusangana nati, “Uzumina ku Mwana Muntu na?”
36 Alijibu na kusema, “Ni nani, Bwana, ili nami nipate kumwamini?”
Netaba nati, “Njeni uzo, Simwine, kokuti nizumine kwali?”
37 Yesu akamwambia, “Umeshamuona, naye unayezungumza naye ndiye.”
Jesu nati kwali, “Ubamuboni, imi njeyena yowamba nawe.”
38 Yule mtu akasema, “Bwana, Naamini.” Ndipo akamsujudia.
Mukwame nati, “Simwine, nizumina” imi namulapela.
39 Yesu akasema, “Kwa hukumu nimekuja katika Ulimwengu huu ili kwamba wale wasioona wapate kuona na wale wanaoona wawe vipofu.”
Jesu nati, “Kuatulwa chinibezili mwechinu chisi kokuti basaboni babone imi kokuti bana babona basanduke zihofu.”
40 Baadhi ya Mafarisayo waliokuwa pamoja naye wakasikia maneno hayo na kumwuliza, “Na sisi pia ni vipofu?”
Balikene ku Bafalisi babena naye babazuwi izi zintu imi nibamubuza, “Kana naswe bulyo tubahofu?”
41 Yesu akawaambia, “Kama mngelikuwa vipofu, msingelikuwa na dhambi. Hata hivyo, sasa mnasema, 'Tunaona,' dhambi yenu inakaa.”
Jesu nabati, “Haiba mubali muzihofu, nimusena mubabi ni zive, kono hanu muti, 'Tubona,' chobulyo chive chako muzishale bobulyo.