< Yohana 4 >

1 Basi Yesu alipofahamu kuwa Mafarisayo wamesikia kuwa Yesu alikuwa anafuasa na kuwabatiza zaidi ya Yohana,
Linu aho Jesu heziva kuti Mafarisi vava zuwi kuti avali kupanga ni kukoloveza valutiwa vangi kuhita Johani
2 (ingawa Yesu mwenyewe alikuwa habatizi ila wanafunzi wake),
(nangati kuti Jesu iye mwine kena avali kukoloveza, kono ivali valutiwa vakwate),
3 alitoka Judea na akaenda Galilaya.
chazwa mwa Judeya ni kuvola hape kwa Galileya.
4 Hivyo ilikuwa muhimu kupitia Samaria.
Kono ivali iswanero kwali ku hita mwa Samariya.
5 Na akafika kwenye mji wa Samaria, unaoitwa Sikari, karibu na eneo ambalo Yakobo alimpa mwanae Yusufu.
Cwale cha keza mwi toropo ya Samariya, i sumpwa Sychari, hembali ni chivaka chevu icho Jakovo ava here kumwane Josefa.
6 Na kisima cha Yakobo kilikuwa hapo. Yesu alikuwa amechoka kwa ajili ya safari na akakaa karibu na kisima. Ilikuwa muda wa mchana.
Chisima cha Jakovo puchivena aho. Jesu avali kukatere kuzwa ku musipiri wakwe ni kwiza ha chisima. Chi ivali kuchutire kwinako ye chitengu zana.
7 Mwanamke Msamaria alikuja kuteka maji, na Yesu akamwambia, “Nipe maji ninywe.”
Mukulwakazi wa Musamariya ava kezi kuku teka menzi, mi Jesu cha wamba kwali, “Nihe ku menzi ni nywe.”
8 Kwa sababu wanafunzi wake walikuwa wameenda zao mjini kununua chakula.
Kakuti valutwana vakwe vavali kuyendente mukati ke toropo kuku wula zilyo.
9 Yule mwanamke akamwambia, “Inakuaje wewe Myahudi, kuniomba mimi mwanamke Msamaria, kitu cha kunywa?” Kwa sababu Wayahudi hawachangamani na Wasamaria.
Yaho mukulwakazi wa Musamariya chata kwali, “Kuwoleka vule kuti iwe, kuva Mujunda, ukumbira ime, kuva mukulwakazi wa Musamariya, kuchimwi cho kunywa?” Kakuli Majunda kavana cho kupanga ni Masamariya.
10 Yesu akamjibu, “Kama ungelijua karama ya Mungu, na yule anayekuambia 'Nipe maji, ' ungelimwomba, na angelikupa maji ya uzima.”
Jesu che tava ni kumuta, “Kambe we ziva impo ya Ireeza, mi jeni uzu yo wamba kwako, 'Unihe cho kunwa; ni wa wola kumu kumbira, mi na wola kukuha, menzi a hala.”
11 Mwanamke akajibu, “Bwana hauna ndoo ya kuchotea, na kisima ni kirefu. Utayapata wapi Maji ya Uzima?
Mukulwakazi chata kwali, “Mukwame, kawina chitekiso imi isima litungite. Ena kuhi cwale kowina menzi a hala?
12 Je wewe ni mkuu, kuliko baba yetu Yakobo, ambaye alitupa kisima hiki, na yeye mwenyewe na watoto wake pamoja na mifugo yake wakanywa maji ya kisima hiki?”
Kena umu kando, iwe, kuhita ishetu Jakovo, uzo ava tuhi chisima ni kunya mwateni iye mwine, nivane vulyo ni ñombe zavo?
13 Yesu akajibu, “Yeyote anywae maji haya atapata kiu tena,
Jesu che tava ni kumu ta, “Yense yo nwa kwaya menzi mwa fwe inyota hape,
14 lakini yeye atakaye kunywa maji nitakayompa hatapata kiu tena. Badala yake maji nitakayompa yatakuwa chemchemi inayobubujika hata milele.” (aiōn g165, aiōnios g166)
kono yense yo nwa kumenzi awo ite ni muhe kate na fwe inyota hape. Nihakuli, menzi ete ni muhe muave chisima chamezi mwali, kuvuvira ku vuhalo vusa mani.” (aiōn g165, aiōnios g166)
15 Yule mwanamke akamwambia, “Bwana, nayaomba maji hayo ili nisipate kiu, na nisihangaike kuja hapa kuchota maji.”
Mukulwakazi chati kwali, “Mukwame, unihe aya menzi iri kuli nisiye ni kufwanga inyonta mi nisiye niku kezanga kunu kuku teka menzi.”
16 Yesu akamwambia, “Nenda kamwite mumeo, kisha urudi.”
Jesu chata kwali, “Yende, kasupe mwihyenu, mi ukavole kunu.”
17 Mwanamke akamwambia, “Sina mume.” Yesu akajibu, “Umesema vyema, 'Sina mume;'
Mukulwakazi chetava ni kumuti, “Kanina mukwame.”Jesu chetava, “Wina hande mukuwamba,”Kanina mwihyetu;
18 kwa maana umekuwa na wanaume watano, na mmoja ambaye unaye sasa sio mume wako. Katika hili umesema kweli!”
kakuti uva vire ni vakwame vakuma ha minwe ye yanza, mi nozu yo wina naye hanu kanji mwihyenu. Chiwa wamba che niti.”
19 Mwanamke akamwambia, “Bwana naona yakuwa wewe ni nabii.
Mukulwakazi cha wamba kwali, “Mukwame, Ni vona kuti umu porofita.
20 Baba zetu waliabudu katika mlima huu. Lakini ninyi mwasema ya kuwa Yerusalemu ndiyo sehemu ambayo watu wanapaswa kuabudu.”
Veshetu vavali kulaperera heli irundu, kono inwe muwamba kuti Jerusalema je chivaka uko vantu vaswanera ku laperela.”
21 Yesu akamjibu, “Mwanamke, niamini, wakati unakuja ambapo hamtamwabudu Baba katika mlima huu au Yerusalemu.
Jesu chata kwali, “Uni zumine, mwanakazi, kuti i hola i kezite aho kamulapere Tayo kamba heli rundu kamba mwa Jerusalema.
22 Ninyi watu mwaabudu kile msichokijua, lakini sisi twaabudu tunachokijua, kwa sababu wokovu watoka kwa Wayahudi.”
Inwe mulapera icho chimusezi. I swe tulapera chi twizi, kakuti ipuluso i zwirira kuMajuda.
23 Hatahivyo, wakati unakuja, na sasa upo hapa, wakati waabuduo kweli watamwabudu Baba katika roho na kweli, kwa sababu Baba anawatafuta watu wa namna hiyo kuwa watu wake wanao mwabudu.
Niha kuva vulyo, I hola ikezite, imi ina hanu, aho valaperi ve niti kava lapere Tayo muluhuho ni mwi niti, kakuli Tayo u kwete kulola vantu vaswana vulyo kuva valaperi vakwe.
24 Mungu ni Roho, na wale wanaomwabudu wanapaswa kumwabudu kwa roho na kweli.”
Ireeza luhuho, mi vantu vamulapera vaswanera kumu lapera muluhuho ni mwi niti.”
25 Mwanamke akamwambia, “Ninajua kuwa Masihi anakuja, (aitwaye Kristo). Huyo atakapokuja atatwambia yote.”
Mukulwakazi chati kwali, “Ni izi kuti Mesiya ukezite (uzo usupiwa Keresite). A ho hasana kakeze, keze a tutoloke zintu zonse kwetu.”
26 Yesu akamwambia, “Mimi unayesema nami ndiye.”
Jesu chamuta, “Jeme uzu, yo kwete kuwamba kwako.”
27 Wakati huo huo wanafunzi wake wakarudi. Nao walishangaa kwa nini alikuwa akizungumza na mwanamke, lakini hakuna aliyethubutu kumuuliza, “Unataka nini?” au “Kwa nini unazungumza naye?”
Heyo inako valutwana vakwe chivaka vola. Hanu vavali ku komoketwe chinzi havali kuwamba ni mwanakazi, kono kakwina ava wambi, “Usaka nzi?”kamba “Chinzi hau wamba naye?”
28 Hivyo mwanamke akauacha mtungi wake na akaenda mjini na akawambia watu,
Cwale mukulwakazi chasiya i hemere lyakwe, ni kuvola mwi toropo, ni kuwamba kuvantu,
29 “Njooni mwone mtu aliyeniambia mambo yangu yote niliyoyatenda, je yawezekana akawa ndiye Kristo?”
“Mwize, muvone mukwame wani wambira zintu zonse ziniva pangi. Uzu uswanera kuva iye Keresite, iwola kuva?”
30 Wakatoka mjini wakaja kwake.
Chiva siya itoporopo ni kukeza kwali.
31 Wakati wa mchana wanafunzi wake walimsihi wakisema, “Rabi kula chakula.”
Mwinako zana, varutwana vavali kumukumbira, nivati, “Rabbi, Lye.”
32 lakini yeye aliwambia, “Mimi ninacho chakula msichokijua ninyi.”
Kono cha wamba kuvali, “Nina zilyo zo kulya inzo zimusezi chazo.”
33 Wanafunzi wakaambizana, hakuna aliyemletea kitu chochotekula,”Je walileta?”
Cwale varutwana chiva wambolisana kuvali vene, “Kakwina zumwi wa muletera zokulya, vamu letera?”
34 Yesu akawambia, “Chakula changu ni kufanya mapenzi yake yeye aliyenituma na kutimiza kazi yake.
Jesu cha wamba kuvali, “Zilyo zangu ku panga itato yakwe uzo yava kani tumi ni kumana musevezi wa kwe.
35 Je, hamsemi, 'Bado miezi mitano na mavuno yatakuwa tayari?' Ninawambieni tazameni mashamba yalivyo tayari kwa mavuno!
Kamu wambi kuti, 'Kwina myezi imwi yone mi ikutulo jese ikeze'? Ni wamba kwenu, mulole kwi wulu ni kuvone mawa, kakuli chi alitukiseze kusizwa!
36 Yeye avunaye hupokea mishahara na kukusanya matunda kwa ajili ya uzima wa milele, ili kwamba yeye apandaye naye avunaye wafurahi pamoja. (aiōnios g166)
Uzo yo kwete kusiza u tambula i tuwero ni kukunganya misero yo vuhalo vusa mani, iri kuti uzo yo vyala nozo yo sinza va sangwe hamwina. (aiōnios g166)
37 Kwa kuwa msemo huu ni wa kweli, 'Mmoja apanda na mwingine avuna.'
Mowu muwambiro, 'Yenke ubyala, mi zumwi usinza; vuniti.
38 Niliwatuma kuvuna ambacho hamkukihangaikia, Wengine wamefanya kazi na ninyi mmeingia katika furaha ya kazi yao.”
Ni va mitumi kuku sinza inzo zisina muva severezi. Vamwi vava sevezi, mi muvengiri mumi sevezi yavo.”
39 Wasamaria wengi katika mji ule walimwani kwa sababu ya taarifa ya yule mwanamke aliyekuwa akishuhudia, “Aliyeniambia mambo yote niliyoyafanya.”
Vungi bwa Masamariya mowuna muleneñi chiva zumina kwali vakeñi che vaka lyue ñusa lyo mukulwakazi lya paka, “Wani wambira zintu zonse izo zini vapangi.”
40 Hivyo Wasamaria walipokuja walimsihi akae pamoja nao na akakaa kwao kwa siku mbili.
Cwale Masamariya hava keza kwali, chiva muvuza kwikala navo, mi ave kali kwateni mazuva overe.
41 Na wengi zaidi wakamwamini kwa sababu ya neno lake.
Mi vungi vomwi vuva zumini chevaka lya manzwi akwe.
42 Wakamwambia yule mwanamke, “Tunaamini sio tu kwa maneno yako, kwa sababu sisi wenyewe tumesikia, na sasa twafahamu kuwa hakika yeye ni mwokozi wa ulimwengu.”
Chiva wamba ku mwanakazi, “Katusizumini chevaka lyezo ziwawamba, kakuti iswe tuvene chitwa muzuwa, mi twizi kuti uzu luli chovuniti jo muhazi we kanda.”
43 Baada ya siku hizo mbili, akaondoka na kuelekea Galilaya.
Hakumana awo mazuva o vere, Chazwa kwatenio ni kuya kwa Ngalileya.
44 Kwa sababu yeye mwenyewe alikuwa ametangaza kuwa nabii hana heshima katika nchi yake mwenyewe.
Kakuli Jesu iye mwina ava wambi kuti muporofita mwi kanda yakwe kakutekiwa.
45 Alipokuja kutoka Galilaya, Wagalilaya walimkaribisha. Walikuwa wameona mambo yote aliyoyafanya Yerusalemu kwenye sikukuu, kwa sababu na wao pia walikuwa wamehudhuria kwenye sikukuu.
Hacha keza mwa Galileya, Mangalileya chi vamu tambula. Vava voni zintu zonse zava pangi mwa Jerusalema ha mukiti, kakuti navo vavali kuyendete kwateni.
46 Alikuja tena Kana ya Galilaya huko alikoyabadilisha maji kuwa divai. Palikuwa na ofisa ambaye mwana wake alikuwa ni mgonjwa huko Kapernaumu.
Hanu chakeza hape mwa Kana mwa Ngalileya, umo mwava sanduli menzi i waine. Kuvena zumwi induna ili uzo mwane we chiswisu mwa Capenaume yavali kulwala.
47 Aliposikia kuwa Yesu alitoka Judea na kwenda Galilaya, alienda kwa Yesu na kumsihi atelemke amponye mwanawe, ambaye alikuwa karibu kufa.
Aho heza kuzuwa kuti Jesu ava kezi kukazwa kwa Judeya kwiza kwa Galileya, Cha yenda kwa Jesu ni kuka mukumbira kuti akeze ni kuhoza mwane we chiswisu, ya chavali kwina hafuhi ni kutokwala.
48 Ndipo Yesu akamwambia, “Ninyi msipoona ishara na maajabu hamwezi kuamini.
Jesu cwale cha wamba kwali, “Mbwita chi mwavona isupo ni makazo, kate muzumine.”
49 Kiongozi akasema, “Bwana shuka chini kabla mwanangu hajafa.”
Induna chati kwali, “Mukwame, wize kunu mwanangu naseni kufwa.”
50 Yesu akamwambia, “Nenda mwanao ni mzima.” Yule mtu akaamini neno alilolisema Yesu na akaenda zake.
Jesu chawamba kwali, “Yende. Mwanako we chiswisu uhala.”Mukwame ava zumini manzwi awo Jesu ava wambi kwali, mi chayenda kuzwa hateni.
51 Alipokuwa akishuka, watumishi wake walimpokea na kumwambia mwana wake alikuwa mzima.
Havali kushetumuka, muhikana wakwe chamu katana, nawamba kuti mwanakwe we chiswisu avali kuhala.
52 Hivyo akawauliza ni muda gani alipata nafuu. Wakajibu, “Jana muda wa saa saba homa ilipomwacha.”
Cwale chava vunza inako hatangira kuli zuwa hande. Chiva mwitava, Inzona mwinako ya musihali i fivere chiya musiya.”
53 Ndipo baba yake akatambua kuwa ni muda ule ule Yesu aliosema, “Mwana wako ni mzima.” Hivyo yeye na familia yake wakaamini.
Cwale vensi chiva lemuha kuti ivali jiyona inako ina Jesu yava wambi kwali, “Mwanako we chiswisu uhala.”Cwale iye mwine niver zuvo yakwe yonse chiva zumina.
54 Hii ilikuwa ni ishara ya pili aliyoifanya Yesu alipotoka Yudea kwenda Galilaya.
Iyi ivali ivali je makazo yo vuveri yava pangi Jesu hakazwa kwa Judeya kuya kwa Ngalileya.

< Yohana 4 >