< Yohana 4 >
1 Basi Yesu alipofahamu kuwa Mafarisayo wamesikia kuwa Yesu alikuwa anafuasa na kuwabatiza zaidi ya Yohana,
Basi Yesu bho amanyili kujha Mafarisayo bhap'eliki kujha Yesu ajhele ni bhafuasi ni kubhabatisya zaidi jha Yohana,
2 (ingawa Yesu mwenyewe alikuwa habatizi ila wanafunzi wake),
(ingabhwa Yesu muene abatisighe lepi bali bhanafunzi bha muene),
3 alitoka Judea na akaenda Galilaya.
abhoki Yudea ni kulota Galilaya.
4 Hivyo ilikuwa muhimu kupitia Samaria.
Hivyo jhajhele muhimu kup'etela Samaria.
5 Na akafika kwenye mji wa Samaria, unaoitwa Sikari, karibu na eneo ambalo Yakobo alimpa mwanae Yusufu.
Ni kufika ku mji ghwa Samaria, ghwaghwikutibhwa Sikari, karibu ni lieneo ambalyo Yakobo ampelili mwanamunu Yusufu.
6 Na kisima cha Yakobo kilikuwa hapo. Yesu alikuwa amechoka kwa ajili ya safari na akakaa karibu na kisima. Ilikuwa muda wa mchana.
Ni kisima kya Yakobo kyajhele apu. Yesu ajhele atondili kwa ndabha jha safuari ni kutama karibu ni kisima. Ghwajhele muda ghwa pamusi.
7 Mwanamke Msamaria alikuja kuteka maji, na Yesu akamwambia, “Nipe maji ninywe.”
N'dala n'samaria ahidili kunegha masi, ni Yesu akan'jobhela, “Nipelayi masi ninyuayi.”
8 Kwa sababu wanafunzi wake walikuwa wameenda zao mjini kununua chakula.
Kwa ndabha bhanafunzi bha muene bhalotili kumjini kuh'emela kya kulya.
9 Yule mwanamke akamwambia, “Inakuaje wewe Myahudi, kuniomba mimi mwanamke Msamaria, kitu cha kunywa?” Kwa sababu Wayahudi hawachangamani na Wasamaria.
N'dala y'ola akan'jobhela, “Jhijhabhuli bhebhe Myahudi, kunisoma nene masi n'dala N'samaria, khenu kya kunywa?” Kwandabha Bhayahudi bhichangamana lepi ni Bhasamaria.
10 Yesu akamjibu, “Kama ungelijua karama ya Mungu, na yule anayekuambia 'Nipe maji, ' ungelimwomba, na angelikupa maji ya uzima.”
Yesu akan'jibu, “Kama ngaumanyi karama jha K'yara, ni jhola jhaikujobhela 'Nipelayi masi,' ngaun'somili, na ngaakupelili masi gha uzima.”
11 Mwanamke akajibu, “Bwana hauna ndoo ya kuchotea, na kisima ni kirefu. Utayapata wapi Maji ya Uzima?
N'dala akajibu, “Bwana ujhelepi ni lidoo lya kuneghela, ni kisima kitali. Ghwibeta kughakabha ndaku masi gha uzima?
12 Je wewe ni mkuu, kuliko baba yetu Yakobo, ambaye alitupa kisima hiki, na yeye mwenyewe na watoto wake pamoja na mifugo yake wakanywa maji ya kisima hiki?”
Je bhebhe ndo mbaha, kuliko dadi jhitu Yakobo, ambajhe atupelili kisima ekhe ni muene ni bhanamunu pamonga ni mifugo ghya muene kunywa masi gha kisima ekhe?”
13 Yesu akajibu, “Yeyote anywae maji haya atapata kiu tena,
Yesu akajibu, “Jhejhioha jha ibetakunywa masi agha ibetakukabha kiu kabhele,
14 lakini yeye atakaye kunywa maji nitakayompa hatapata kiu tena. Badala yake maji nitakayompa yatakuwa chemchemi inayobubujika hata milele.” (aiōn , aiōnios )
lakini muene jha nibetakumpela nene masi anyuayi ibetalepi kukabha kiu kabhele. Badala yiake masi gha nibetakumpela ghibetakujha chemichemi jhajhibubujika hata milele.” (aiōn , aiōnios )
15 Yule mwanamke akamwambia, “Bwana, nayaomba maji hayo ili nisipate kiu, na nisihangaike kuja hapa kuchota maji.”
N'dala jhola akan'jobhela, “Bwana, nikaghas'oma masi aghu ili nisikabhi kiu kabhele, na nisihangaiki kuhida apa kunenga masi.”
16 Yesu akamwambia, “Nenda kamwite mumeo, kisha urudi.”
Yesu akan'jobhela, “Lotayi kan'kutayi n'gosibhu, kisha kerebhutayi.”
17 Mwanamke akamwambia, “Sina mume.” Yesu akajibu, “Umesema vyema, 'Sina mume;'
N'dala akan'jobhela, “Nijhelepi ni n'gosi.” Yesu akajibu, “Ujobhili kinofu, 'Nijhelepi n'gosi;'
18 kwa maana umekuwa na wanaume watano, na mmoja ambaye unaye sasa sio mume wako. Katika hili umesema kweli!”
kwa maana ujhele ni bhagosi bhahanu, ni mmonga ambajhe ujhe naku henu n'gosibhu lepi. Kwa e'le ujobhi bhukweli!”
19 Mwanamke akamwambia, “Bwana naona yakuwa wewe ni nabii.
N'dala akan'jobhela, “Bwana nibhona kujha bhebhe ndo nabii.
20 Baba zetu waliabudu katika mlima huu. Lakini ninyi mwasema ya kuwa Yerusalemu ndiyo sehemu ambayo watu wanapaswa kuabudu.”
Bha dadijhitu bhaabuduili pa kid'onda ekhe. Lakini muenga mwijobha kujha Yerusalemu ndiyo sehemu ambajho bhanu bhilondeka kuabudu.”
21 Yesu akamjibu, “Mwanamke, niamini, wakati unakuja ambapo hamtamwabudu Baba katika mlima huu au Yerusalemu.
Yesu akan'jibu, “N'dala, niaminiayi, wakati wihida ambapo mwibetalepi kumwabudu dadi pa kid'onda ekhe au Yerusalemu.
22 Ninyi watu mwaabudu kile msichokijua, lakini sisi twaabudu tunachokijua, kwa sababu wokovu watoka kwa Wayahudi.”
Muenga bhanu mwiabudu khila kyamukimanyi lepi, lakini tete twiabudu kyatukimanyili, kwa ndabha bhwokovu bhwihoma kwa bhayahudi.”
23 Hatahivyo, wakati unakuja, na sasa upo hapa, wakati waabuduo kweli watamwabudu Baba katika roho na kweli, kwa sababu Baba anawatafuta watu wa namna hiyo kuwa watu wake wanao mwabudu.
Hata ivyo, wakati ihida, na henu ujhele apa, wakati bhabhiabudu kweli bhibeta kumwabudu Dadi mu roho ni kweli, kwa ndabha Dadi akabhalonda bhanu bha namna ejhu kujha bhanu bha muene bhabhikamwabudu.
24 Mungu ni Roho, na wale wanaomwabudu wanapaswa kumwabudu kwa roho na kweli.”
K'yara ndo roho, ni bhala bhobhakamwabudu bhilondeka kumwabudu kwa roho ni kweli.”
25 Mwanamke akamwambia, “Ninajua kuwa Masihi anakuja, (aitwaye Kristo). Huyo atakapokuja atatwambia yote.”
N'dala akan'jobhela, “Nimanyili kujha Masihi ihida, (jhaikutibhwa Kristu). Ojhu pa ibetakuhida ibetakutujobhela ghoha.”
26 Yesu akamwambia, “Mimi unayesema nami ndiye.”
Yesu akan'jobhela, “Nene jhaghwijobha nani ndo nene.”
27 Wakati huo huo wanafunzi wake wakarudi. Nao walishangaa kwa nini alikuwa akizungumza na mwanamke, lakini hakuna aliyethubutu kumuuliza, “Unataka nini?” au “Kwa nini unazungumza naye?”
Wakati bhobhuobhu bhanafunzi bha muene bhakakerebhuka. Ni bhene bhakasyangala kwa ndabha jhakiki alongeleghe ni n'dala, lakini ajhelepi jhaathubutu ili kun'kota, “Ghwilonda kiki?” au “Kwa ndabha jhakiki ghwilonda nakhu?”
28 Hivyo mwanamke akauacha mtungi wake na akaenda mjini na akawambia watu,
Naha n'dala akabhuleka pala kibhegha kya masi ni kulota kumjini ni kubhajobhela bhanu,
29 “Njooni mwone mtu aliyeniambia mambo yangu yote niliyoyatenda, je yawezekana akawa ndiye Kristo?”
“Muhidayi mundangayi munu jha anijobhili mambo gha nene ghoha ghanighabhombili, je jhibhwesekana kujha ndo Kristu?”
30 Wakatoka mjini wakaja kwake.
Bhakabhoka ku mjini bhakahida kwa muene.
31 Wakati wa mchana wanafunzi wake walimsihi wakisema, “Rabi kula chakula.”
Wakati ghwa pamusi bhanafunzi bha muene bhakan'sihi bhakajobha, “Rabi lyajhi kyakulya.”
32 lakini yeye aliwambia, “Mimi ninacho chakula msichokijua ninyi.”
lakini muene abhajobhili, “Nene ni jhele ni kyakulya kya mukimanyilepi muenga.”
33 Wanafunzi wakaambizana, hakuna aliyemletea kitu chochotekula,”Je walileta?”
Bhanafunzi bhakajobhesana, ajhelepi munu jha andetili khenu kyokyoha kulya, “Je bhalatili?”
34 Yesu akawambia, “Chakula changu ni kufanya mapenzi yake yeye aliyenituma na kutimiza kazi yake.
Yesu akabhajobhela, “Kyakulya kya nene ndo kubhomba mapenzi gha muene jha anitumili ni kutimisya mbombo jha muene.
35 Je, hamsemi, 'Bado miezi mitano na mavuno yatakuwa tayari?' Ninawambieni tazameni mashamba yalivyo tayari kwa mavuno!
Je, mwijobhalepi, 'Jhakhona miesi mihanu ni mavuno ghibetakujha tayari?' Nikabhajobhela mulangayi mig'onda kyaghijha tayari kwa mavuno!
36 Yeye avunaye hupokea mishahara na kukusanya matunda kwa ajili ya uzima wa milele, ili kwamba yeye apandaye naye avunaye wafurahi pamoja. (aiōnios )
Muene jhaivuna ipokela mishahara ni kukusanya matunda kwa ndabha jha bhusima bhwa milele, ili kwamba muene jha ipanda ni jha ivuna bhahobhelelayi pamonga. (aiōnios )
37 Kwa kuwa msemo huu ni wa kweli, 'Mmoja apanda na mwingine avuna.'
Kwa kujha msemo obho ni wa bhukweli, 'Mmonga ipanda ni jhongi ivuna.'
38 Niliwatuma kuvuna ambacho hamkukihangaikia, Wengine wamefanya kazi na ninyi mmeingia katika furaha ya kazi yao.”
Nikabhatumili kuvuna ambakyo mkakihangaikili lepi, bhangi bhabhombili mbombo ni muenga mujhingili mu furaha jha kazi jha bhene.”
39 Wasamaria wengi katika mji ule walimwani kwa sababu ya taarifa ya yule mwanamke aliyekuwa akishuhudia, “Aliyeniambia mambo yote niliyoyafanya.”
Bhasamaria bhingi mu mji bhola bha mwamini kwa ndabha jha taarifa jha n'dala jhola jhaashuhudili, “Jhaanijobhili mambo ghoha ghanighabhombili.”
40 Hivyo Wasamaria walipokuja walimsihi akae pamoja nao na akakaa kwao kwa siku mbili.
Hivyo bhasamaria bho bhahidili bhan'sokili atamayi naku na atamili kwa bhene kwa magono mabhele.
41 Na wengi zaidi wakamwamini kwa sababu ya neno lake.
Ni bhingi zaidi bhakajhanda kumwamini kwa ndabha jha lilobhi lya muene.
42 Wakamwambia yule mwanamke, “Tunaamini sio tu kwa maneno yako, kwa sababu sisi wenyewe tumesikia, na sasa twafahamu kuwa hakika yeye ni mwokozi wa ulimwengu.”
bhakan'jobhela muene n'dala, “Tunaamini sio tu kwa maneno yak0o, kwa ndabha twebhene tup'eliki, ni henu tumanyili kujha hakika muene ndo mwokozi ghwa bhulimwengu.”
43 Baada ya siku hizo mbili, akaondoka na kuelekea Galilaya.
Baada jha magono aghu mabhele, akabhoka ni kulota Galilaya.
44 Kwa sababu yeye mwenyewe alikuwa ametangaza kuwa nabii hana heshima katika nchi yake mwenyewe.
Kwandabha muene atangasili kujha nabii ajhelepi ni heshima mu hali jha muene.
45 Alipokuja kutoka Galilaya, Wagalilaya walimkaribisha. Walikuwa wameona mambo yote aliyoyafanya Yerusalemu kwenye sikukuu, kwa sababu na wao pia walikuwa wamehudhuria kwenye sikukuu.
Bho ahidili kuh'oma Galilaya, Bhagalilaya bhakan'karibisya. Bhabhuene mambo ghoha gha aghabhombili Yerusalemu ku sikukuu, kwa ndabha ni bhene pia bhahuzulili ku sikukuu.
46 Alikuja tena Kana ya Galilaya huko alikoyabadilisha maji kuwa divai. Palikuwa na ofisa ambaye mwana wake alikuwa ni mgonjwa huko Kapernaumu.
Ahidili kabhele Kana jha Galilaya okhu aghabadilisi masi kujha divai. Pajhele ni ofisa ambajhe mwana munu ajhele n'tamu okhu Kapernaumu.
47 Aliposikia kuwa Yesu alitoka Judea na kwenda Galilaya, alienda kwa Yesu na kumsihi atelemke amponye mwanawe, ambaye alikuwa karibu kufa.
Bho ap'eliki Yesu ah'omili Yudea ni kulota Galilaya, akalota kwa Yesu ni kun'sihi aselelayi amponesi mwanamunu, ambajhe ajhele karibu kufwa.
48 Ndipo Yesu akamwambia, “Ninyi msipoona ishara na maajabu hamwezi kuamini.
Ndipo Yesu akan'jobhela, “Muenga mukabelayi kubhona ishara ni maajabu mwibhwesya lepi kuamini.
49 Kiongozi akasema, “Bwana shuka chini kabla mwanangu hajafa.”
Nndongosi akajobha, “Bwana selelayi pasi kabla mwanabhangu kufwa.”
50 Yesu akamwambia, “Nenda mwanao ni mzima.” Yule mtu akaamini neno alilolisema Yesu na akaenda zake.
Yesu akan'jobhela, “Lotayi mwanabhu mzima.” Munu jhola akaamini lilobhi lyaalijobhili Yesu ni kwilotela.
51 Alipokuwa akishuka, watumishi wake walimpokea na kumwambia mwana wake alikuwa mzima.
Bho iselela, bhatumishi bha muene bhakampokelela ni kun'jobhela mwanamunu ajhe n'sima.
52 Hivyo akawauliza ni muda gani alipata nafuu. Wakajibu, “Jana muda wa saa saba homa ilipomwacha.”
Hivyo akabhakhota ndo mda bholoki ghwa kabhili nafuu. Bhakajibu, “Golo muda ghwa saa saba homa jhagudeme.”
53 Ndipo baba yake akatambua kuwa ni muda ule ule Yesu aliosema, “Mwana wako ni mzima.” Hivyo yeye na familia yake wakaamini.
Ndipo dadimunu akamanya kujha ndo muda bholabhola Yesu pa ajobhili, “Mwana ghwa jhobhi ndo n'sima.” Hivyo muene ni familia jha muene bhakaamini.
54 Hii ilikuwa ni ishara ya pili aliyoifanya Yesu alipotoka Yudea kwenda Galilaya.
Ejhe jhajhele ndo ishara jha bhubhele jhaajhibhombili Yesu bhoahomili Yudea kul'ota Galilaya.