< Yohana 20 >

1 Mapema siku ya kwanza ya juma, kungali bado giza, Mariamu Magdalena alikuja kaburini; akaliona lile jiwe limeondolewa kaburini.
Lukela hamba kucha Dominika, kwakona chitita, Maliya mkolonjinji wa Magidala akahamba kulitinda, na kulola liganga liwusiwi pamlyangu wa litinda.
2 Kwa hiyo akakimbia mbio kwenda kwa Simon Petro na kwa yule mwanafunzi mwingine ambaye Yesu alimpenda, kisha akawaambia, “wamemchukua Bwana kaburini, nasi hatujui kule walikomlaza.”
Hinu, akajumba kuhamba kwa Simoni Petili na yula muwuliwa yungi, Yesu mwamganili, akavajovela, “Vamuwusili Bambu mulitinda, nakumanya kwevamvikili.”
3 Kisha Petro na yule mwanafunzi mwingine wakatoka, kuelekea kaburini.
Petili na muwuliwa yungi yula vakahamba kulitinda.
4 Wote walipiga mbio kwa pamoja; yule mwanafunzi mwingine alikimbia kwa kasi zaidi ya Petro nakufika kaburini wa kwanza.
Voha vavili, vakajumba kuhamba, yungi yula ajumbili kanyata neju kuliku Petili, akalongolela kuhika kulitinda.
5 Akasimama na kisha kuangalia kaburini; akaiona ile sanda ya kitani imelala, lakini hakuingia ndani.
Peagundimi na kulingulila, ayiwene nyula ya msopi, nambu nakuyingila mugati.
6 Kisha Simon Petro naye akafika akaingia ndani ya Kaburi. Akaiona ile sanda ya kitani imelala pale
Simoni Petili namwene, akabwela akumulanda akayingila mu litinda, mwenumo ayiwene nyula za msopi zila,
7 na ile leso iliyokuwa kichwani pake haikuwa imelala pamoja na zile sanda za kitani bali ilikuwa imelala pembeni peke yake.
chitambala chevamtindisili Yesu kumutu chila. Chitambala chenicho nakuvikwa pamonga na nyula ya msopi yeniyo, muni chagunyiwi na kuvikwa pandu pene.
8 Ndipo yule mwanafunzi mwingine naye alipoingia ndani ya kaburi; akaona na kuamini.
Kangi muwuliwa yungi yula mwealongolili kuhika kulitinda, akayingila mugati akalola na kusadika.
9 Kwa kuwa hadi wakati huo walikuwa bado hawajayajua maandiko kwamba ilimlazimu Yesu afufuke tena katika wafu.
Vavi vakona kumanya, Mayandiku Gamsopi gegijova Yamganili kuyuka.
10 Kisha wanafunzi wakaenda tena nyumbani kwao.
Hinu, Vawuliwa vala vakawuya kunyumba.
11 Hata hivyo, Mariamu alikuwa amesimama kaburini akilia, alivyokuwa akiendelea kulia alisimama kisha akatazama kaburini.
Maliya ayimili kuvala ya litinda, kuni ivemba. Na peayendalili kuvemba, avi mukugundama na kulingulila mu litinda,
12 Akaona malaika wawili wenye sura nyeupe wamekaa mmoja kichwani na mwingine miguuni mahali ambapo Yesu alikuwa amelala.
avawene Vamitumu va kunani kwa Chapanga vavili vevawalili nyula za msopi vatamili pala peyavili higa ya Yesu mmonga kumutu na yungi kumagendelu.
13 Nao wakamwambia, “Mwanamke, kwa nini unalia?” Naye akawaambia, “Ni kwa sababu wamemchukua Bwana wangu, nami sijui walikomweka.”
Vamitumu vala vakamkota, “Mau, ndava kyani wivemba?” “Maliya akavajovela, vamtoli Bambu wangu nakumanya kwevamvikili!”
14 Alipokwisha sema hayo, aligeuka na kumwona Yesu akiwa amesimama. Lakini hakutambua kama huyo alikuwa Yesu.
Maliya peamalili kujova genago, ang'anamwiki mumbele, amuwene Yesu ayimili penapo, nambu amanyili lepi kuvya ndi Yesu.
15 Naye Yesu akamwambia, “Mama, kwa nini unalia? Unamtafuta nani?” Naye huku akidhani kuwa ni mtunza bustani akamwambia, “Bwana, kama ni wewe uliyemchukua, niambie ulikomweka, nami nitamchukua.”
Yesu akamkota, “Mau, ndava kyani uvemba? Ukumlonda yani?” Maliya, akahololela kuvya mwenuyo myimilila lidimba, akamjovela, “Mtopeswa, ngati veve umtolili nijovela kweumvikili, na nene yati nikumtola.”
16 Yesu akamwambia, “Mariamu.” Naye akageuka mwenyewe na kumwambia kwa Kiaramu, “Raboni,” yaani hii ni kusema, “Mwalimu.”
Yesu akamjovela, “Maliya!” Mwene Maliya akang'anamuka, akamjovela kwa Chiebulania, “Laboni.” Mana yaki “Muwula.”
17 Yesu akamwambia, “Usiniguse, kwani bado sijapaa kwenda kwa baba; bali uende kwa ndugu zangu ukawaambie kuwa nitapaa kwenda kwa Baba yangu ambaye pia ni Baba yenu, Mungu wangu na Mungu wenu.”
Yesu akamjovela, “Kotoka kunikamula, nakona kuhamba kunani kwa Dadi. Nambu hamba kwa valongo vangu uvajovela, nihamba kunani kwa Dadi wangu na Dadi winu, Chapanga wangu na Chapanga winu.”
18 Mariamu Magdalena akaja kuwaambia wanafunzi, “Nimemwona Bwana,” na kwamba amemwambia mambo haya.
Maliya wa Magidala, akahamba kuvajovela mambu gala vawuliwa, kuvya amuwene Bambu, ndi amjovili genago.
19 Na ilipokuwa jioni, siku hiyo, siku ya kwanza ya juma, na milango ikiwa imefungwa mahali wanafunzi walipokuwapo kwa kuwahofia Wayahudi, Yesu alikuja na kusimama katikati yao na kuwaambia, “Amani iwe kwenu.”
Yavili kimihi ya ligono lenilo la Dominika. Vawuliwa vakonganiki pamonga mugati ya nyumba, kuni milyangu yavi yidindiwi, ndava ya kuvayogopa vachilongosi va Vayawudi. Yesu akabwela, akayima pagati yavi, akavajovela, “Uteke uvya na nyenye!”
20 Alipokwisha sema haya akawaonesha mikono yake na ubavu wake. Nao wanafunzi walipomwona Bwana walifurahi.
Peamali kujova genago, akavalangisa mawoko gaki na luvafu lwaki. Ndi vawuliwa venavo vakasangaluka neju kumlola Bambu.
21 Kisha Yesu akawaambia tena, “Amani iwe nanyi. Kama vile Baba alivyonituma mimi, vivyo hivyo nami nawatuma ninyi.”
Yesu akavajovela kavili, “Uteke uvya na nyenye! Ngati Dadi cheanitumili nene, na nene nikuvatuma nyenye.”
22 Yesu alipokwisha sema hayo, akawavuvia akawaambia, Pokeeni Roho Mtakatifu.
Peamali kujova genago, akavapulila na kuvajovela, “Mpokela Mpungu Msopi.
23 Yeyote mmsameheye dhambi, wamesamehewa; na wale mtakaowafungia watafungiwa.”
Vandu vemukuvalekekesa kumbudila Chapanga kwavi, yati vilekekeswa, na vandu mwavangalekekesa, yati vilekekeswa lepi.”
24 Thomaso, mmoja wa wale kumi na wawili, aliyeitwa Didimas, hakuwa na wanafunzi wenzake Yesu alipokuja.
Tomasi mmonga wa vawuliwa kumi na vavili vala, mweikemiwa mapaha, avi lepi pamonga nawu lukumbi Yesu peabweli.
25 Wale wanafunzi wengine waka mwambia baadaye, “Tumemwona Bwana.” Naye akawambia, “Kama sitaona alama za misumari katika mikono yake, na kuweka vidole vyangu kwenye hizo alama, na pia kuweka mkono wangu kwenye ubavu wake sitaamini.”
Vawuliwa vangi vala, vakamjovela, “Timuwene Bambu.” Tomasi akavajovela, “Ngati nakugawona mavamba ga misumali mu mawoko gaki na kuvika lukonji lwangu mu mavamba ago na kuvika chiwoko changu muluvafu lwaki, yati nisadika lepi.”
26 Baada ya siku nane wanafunzi walikuwa chumbani tena, naye Thomaso alikuwa pamoja nao. Wakati milango ilipokuwa imefungwa Yesu alisimama katikati yao. na akasema, “Amani na iwe nanyi.”
Magono nane gegagelekili, vawuliwa vavi pamonga mugati mula, na Tomasi namwene avi. Milyangu yavi hidindiwi, nambu Yesu akabwela, akayima pagati yavi, akajova, “Uteke uvya na nyenye!”
27 Kisha akamwambia Thomaso, leta kidole chako na uone mikono yangu; leta hapa mikono yako na uweke kwenye ubavu wangu; wala usiwe asiyeamini bali aaminiye.”
Kangi akamjovela Tomasi, “Vika lukonji lwaku ulola mawoko gangu, leta chiwoko chaku mu luvafu lwangu. Leka mtahu, nambu usadikayi!”
28 Naye Thomaso akajibu na kumwambia, “Bwana wangu na Mungu wangu.”
Tomasi akamyangula, “Bambu wangu na Chapanga wangu!”
29 Yesu akamwambia, Kwa kuwa umeniona, umeamini. Wamebarikiwa wao wanaoamini, pasipokuona.”
Yesu akavajovela, “Ndava uniwene nene ndi usadiki, vamotisiwa vala vanganiwona nambu vanisadiki.”
30 Kisha Yesu alifanya ishara nyingi mbele ya wanafunzi, ambazo hazijawahi kuandikwa katika kitabu hiki;
Yesu akitili gachinamtiti gangi gamahele, palongolo ya vawuliwa vaki, nambu gayandikwi lepi muchitabu ichi.
31 bali hizi zimeandikwa ili kwamba muweze kuamini kwamba Yesu ndiye Kristo, mwana wa Mungu, na kwamba muaminipo muwe na uzima katika jina lake.
Nambu zenizi zeziyandikwi, muni mpata kusadika kuvya Yesu ndi Kilisitu Msangula, Mwana wa Chapanga, ndava ya kusadika mpata na wumi kwa liina laki.

< Yohana 20 >