< Yohana 19 >

1 Basi Pilato alimchukua Yesu na kumchapa.
پس پیلاطس عیسی را گرفته، تازیانه زد.۱
2 Wale maaskari wakasokota miiba na kutengeneza taji. Wakaiweka juu ya kichwa cha Yesu na kumvalisha vazi la rangi ya zambarau.
و لشکریان تاجی از خار بافته برسرش گذاردند و جامه ارغوانی بدو پوشانیدند۲
3 Wakamjia na kusema, “Wewe mfalme wa Wayahudi! na kisha kumpiga kwa mikono yao.
ومی گفتند: «سلام‌ای پادشاه یهود!» و طپانچه بدومی زدند.۳
4 Kisha Pilato alitoka nje na kuwaambia watu, “Tazama nawaleteeni huyu mtu kwenu ili mjue kwamba mimi sikuona hatia yoyote ndani yake.”
باز پیلاطس بیرون آمده، به ایشان گفت: «اینک او را نزد شما بیرون آوردم تا بدانیدکه در او هیچ عیبی نیافتم.»۴
5 Kwa hiyo Yesu akatoka nje; alikuwa amevaa taji ya miiba na vazi la zambarau. Ndipo Pilato akawaambia, “Tazameni mtu huyu hapa!”
آنگاه عیسی با تاجی از خار و لباس ارغوانی بیرون آمد. پیلاطس بدیشان گفت: «اینک آن انسان.»۵
6 Kwa hiyo wakati kuhani mkuu na wakuu walipomwona Yesu, wakapiga kelele wakisema, “Msulubishe, msulubishe.” Pilato akawaambia, “Mchukueni ninyi wenyewe mkamsulubishe, kwa kuwa mimi sioni hatia ndani yake.”
و چون روسای کهنه و خدام او را دیدند، فریاد برآورده، گفتند: «صلیبش کن! صلیبش کن!» پیلاطس بدیشان گفت: «شما او را گرفته، مصلوبش سازید زیرا که من در او عیبی نیافتم.»۶
7 Wayahudi wakamjibu Pilato, “Sisi tunayo sheria, na kwa sheria hiyo inampasa kufa kwa sababu yeye alijifanya kuwa mwana wa Mungu.”
یهودیان بدو جواب دادند که «ما شریعتی داریم و موافق شریعت ماواجب است که بمیرد زیرا خود را پسر خداساخته است.»۷
8 Pilato aliposikia maneno haya alizidi kuogopa,
پس چون پیلاطس این را شنید، خوف بر اوزیاده مستولی گشت.۸
9 akaingia Praitorio tena na kumwambia Yesu, “Wewe unatoka wapi? Hata hivyo, Yesu hakumjibu.
باز داخل دیوانخانه شده، به عیسی گفت: «تو از کجایی؟» اما عیسی بدوهیچ جواب نداد.۹
10 Kisha Pilato akamwambia, “Je, wewe huongei na mimi? Je, wewe hujui kuwa mimi nina mamlaka ya kukufungua na mamlakaya kukusulubisha?”
پیلاطس بدو گفت: «آیا به من سخن نمی گویی؟ نمی دانی که قدرت دارم تو راصلیب کنم و قدرت دارم آزادت نمایم؟»۱۰
11 Yesu akamjibu, “Usingekuwa na nguvu dhidi yangu kama usingepewa toka juu. Kwa hiyo, mtu aliyenitoa kwako ana dhambi kubwa.”
عیسی جواب داد: «هیچ قدرت بر من نمی داشتی اگر از بالا به تو داده نمی شد. و از این جهت آن کس که مرا به تو تسلیم کرد، گناه بزرگتردارد.»۱۱
12 Kutokana na jibu hili, Pilato akataka kumwacha huru, lakini Wayahudi wakapiga kelele wakisema, “Kama utamwacha huru basi wewe si rafiki wa Kaisari: Kila ajifanyaye kuwa mfalme hunena kinyume cah kaisari.”
و از آن وقت پیلاطس خواست او راآزاد نماید، لیکن یهودیان فریاد برآورده، می‌گفتند که «اگر این شخص را رها کنی، دوست قیصر نیستی. هر‌که خود را پادشاه سازد، برخلاف قیصر سخن گوید.»۱۲
13 Pilato alipoyasikia maneno haya, akamleta Yesu nje kisha akakaa kwenye kiti cha hukumu mahali pale panapojulikana kama sakafu, lakini kwa Kiebrania, Gabatha.
پس چون پیلاطس این را شنید، عیسی رابیرون آورده، بر مسند حکومت، در موضعی که به بلاط و به عبرانی جباتا گفته می‌شد، نشست.۱۳
14 Siku ya maandalizi ya pasaka ilipofika, panapo muda wa saa ya sita. Pilato akawaambia Wayahudi, “Tazameni mfalme wenu huyu hapa!”
ووقت تهیه فصح و قریب به ساعت ششم بود. پس به یهودیان گفت: «اینک پادشاه شما.»۱۴
15 Wakapiga kelele, “Mwondoshe, mwondoshe, msulubishe!” Pilato akawaambia, “Je, nimsulubishe mfalme wenu?” Naye Kuhani mkuu akajibu, “Sisi hatuna mfalme isipokuwa Kaisari.”
ایشان فریاد زدند: «او را بر دار، بر دار! صلیبش کن!» پیلاطس به ایشان گفت: «آیا پادشاه شما رامصلوب کنم؟» روسای کهنه جواب دادند که «غیر از قیصر پادشاهی نداریم.»۱۵
16 Ndipo Pilato alipomtoa Yesu kwao ili asulibiwe.
آنگاه او را بدیشان تسلیم کرد تا مصلوب شود. پس عیسی را گرفته بردند۱۶
17 Nao wakamchukua Yesu, naye akatoka, hali ameubeba msalaba wake mwenyewe mpaka kwenye eneo liitwalo fuvu la kichwa, kwa Kihebrania huitwa Golgotha.
و صلیب خودرا برداشته، بیرون رفت به موضعی که به جمجمه مسمی بود و به عبرانی آن را جلجتا می‌گفتند.۱۷
18 Ndipo walipomsulibisha Yesu, pamoja naye wanaume wawili, mmoja upende huu na mwingine upande huu, na Yesu katikati yao.
او را در آنجا صلیب نمودند و دو نفر دیگررا از این طرف و آن طرف و عیسی را در میان.۱۸
19 Kisha Pilato akaandika alama na kuiwekwa juu ya msalaba. Hapo paliandikwa: YESU MNAZARETH, MFALME WA WAYAHUDI.
وپیلاطس تقصیرنامه‌ای نوشته، بر صلیب گذارد؛ ونوشته این بود: «عیسی ناصری پادشاه یهود.»۱۹
20 Wengi wa Wayahudi waliisoma alama hiyo kwani mahali pale aliposulibishwa Yesu palikuwa karibu na mji. Alama hiyo iliadikwa kwa Kiebrania, kwa Kirumi na kwa Kiyunani.
واین تقصیر نامه را بسیاری از یهود خواندند، زیراآن مکانی که عیسی را صلیب کردند، نزدیک شهربود و آن را به زبان عبرانی و یونانی و لاتینی نوشته بودند.۲۰
21 Kisha wakuu wa makuhani wa Wayahudi wakamwambia Pilato, “Usiandike, 'Mfalme wa Wayahudi; bali yeye alisema mimi ni mfalme wa Wayahudi.”
پس روسای کهنه یهود به پیلاطس گفتند: «منویس پادشاه یهود، بلکه که او گفت منم پادشاه یهود.»۲۱
22 Naye Pilato akawajibu, “Niliyoandika nimeandika.”
پیلاطس جواب داد: «آنچه نوشتم، نوشتم.»۲۲
23 Baada ya askari kumsulibisha Yesu, walichukua mavazi yake na kuyagawa katika mafungu manne, kila askari fungu moja, vivyo hivyo na kanzo, Sasa ile kanzu haikuwa imeshonwa bali ilkuwa imefumwa yote tokea juu.
پس لشکریان چون عیسی را صلیب کردند، جامه های او را برداشته، چهار قسمت کردند، هرسپاهی را یک قسمت؛ و پیراهن را نیز، اما پیراهن درز نداشت، بلکه تمام از بالا بافته شده بود.۲۳
24 Kisha wakasemezana wao kwa wao, “Tusiipasue, bali tupigeni kura ili kuona itakuwa ya nani.” Hili lilitokea ili lile andiko litimizwe, lile lisemalo waligawanya nguo zangu, na vazi langu wakalipigia kura.”
پس به یکدیگر گفتند: «این را پاره نکنیم، بلکه قرعه بر آن بیندازیم تا از آن که شود.» تا تمام گردد کتاب که می‌گوید: «در میان خود جامه های مرا تقسیم کردند و بر لباس من قرعه افکندند.» پس لشکریان چنین کردند.۲۴
25 Askari walifanya mambo haya. Mama yake Yesu, dada wa mama yake, Mariamu mke wa Kleopa na Mariamu Magdalena - wanawake hawa walikuwa wamesimama karibu na msalaba wa Yesu.
و پای صلیب عیسی، مادر او و خواهر مادرش مریم زن، کلوپا ومریم مجدلیه ایستاده بودند.۲۵
26 Yesu alipomwona mama yake pamoja na yule mwanafunzi aliyempenda wakisimama karibu, akamwambia mama yake, “Mwanamke, tazama, ona mwanao huyu hapa!”
چون عیسی مادرخود را با آن شاگردی که دوست می‌داشت ایستاده دید، به مادر خود گفت: «ای زن، اینک پسر تو.»۲۶
27 Kisha akamwambia yule mwanfunzi, “Tazama, huyu hapa mama yako. “Tokea saa hiyo yule mwanafunzi akamchukua kwenda nyumbani kwake.
و به آن شاگرد گفت: «اینک مادر تو.» و در همان ساعت آن شاگرد او را به خانه خودبرد.۲۷
28 Baada ya hilo, Hali Yesu akijua kuwa yote yamekwisha kumalizika ili kutimiza maandiko, akasema, “Naona kiu.”
و بعد چون عیسی دید که همه‌چیز به انجام رسیده است تا کتاب تمام شود، گفت: «تشنه‌ام.»۲۸
29 Chombo kilichokuwa kimejaa Siki kilikuwa kimewekwa pale, kwa hiyo wakaweka sifongo iliyojaa siki juu ya ufito wa hisopo, wakamwekea mdomoni mwake.
و در آنجا ظرفی پر از سرکه گذارده بود. پس اسفنجی را از سرکه پر ساخته، و بر زوفا گذارده، نزدیک دهان او بردند.۲۹
30 Naye Yesu alipoionja hiyo, akasema, “Imekwisha.” Kisha akainamisha kichwa chake, akaikabidhi roho yake.
چون عیسی سرکه راگرفت، گفت: «تمام شد.» و سر خود را پایین آورده، جان بداد.۳۰
31 Kwa vile ilikuwa ni wakati wa maandalio, na kwa sababu miili haikutakiwa kubaki juu ya msalaba wakati wa Sabato (kwa kuwa Sabato ilikuwa siku ya muhimu), wayahudi walimwomba Pilato kuwa miguu yao wale wliokuwa wamesulibishwa ivunjwe, na kwamba miili yao ishushwe.
پس یهودیان تا بدنها در روز سبت برصلیب نماند، چونکه روز تهیه بود و آن سبت، روز بزرگ بود، از پیلاطس درخواست کردند که ساق پایهای ایشان را بشکنند و پایین بیاورند.۳۱
32 Ndipo askari walipokuja na kuvunja miguu ya mtu wa kwanza na wa pili aliyekuwa amesulibiwa pamoja na Yesu.
آنگاه لشکریان آمدند و ساقهای آن اول ودیگری را که با او صلیب شده بودند، شکستند.۳۲
33 Walipomfikia Yesu, walimkuta tayari alikuwa amekwisha kufa, kwa hiyo hawakuvunja miguu yake.
اما چون نزد عیسی آمدند و دیدند که پیش ازآن مرده است، ساقهای او را نشکستند.۳۳
34 Hata hivyo, mmoja wa askari alimchoma Yesu ubavuni kwa mkuki, na mara yakatoka maji na damu.
لکن یکی از لشکریان به پهلوی او نیزه‌ای زد که در آن ساعت خون و آب بیرون آمد.۳۴
35 Naye aliyeona hili ametoa ushuhuda, na ushuhuda wake ni wa kweli. Yeye anajua kuwa alichokisema ni cha kweli ili nanyi pia muamini.
و آن کسی‌که دید شهادت داد و شهادت او راست است و اومی داند که راست می‌گوید تا شما نیز ایمان آورید.۳۵
36 Mambo haya yalikuwa ili lile neno lililonenwa lipate kutimia, “Hakuna hata wake mmoja utakaovunjwa.”
زیرا که این واقع شد تا کتاب تمام شودکه می‌گوید: «استخوانی از او شکسته نخواهدشد.»۳۶
37 Tena andiko lingine husema, “Watamtazama yeye waliyemchoma”
و باز کتاب دیگر می‌گوید: «آن کسی راکه نیزه زدند خواهند نگریست.»۳۷
38 Baada ya mambo haya Yusufu wa Arimathaya, kwa vile alikuwa mwanafunzi wa Yesu, lakini kwa siri kwa kuwaogopa Wayahudi, alimwomba Pilato kwamba auchukue mwili wa Yesu. Naye Pilato akampa ruhusa. Kwa hiyo Yusufu akaja kuuondoa mwili wa Yesu.
و بعد از این، یوسف که از اهل رامه وشاگرد عیسی بود، لیکن مخفی به‌سبب ترس یهود، از پیلاطس خواهش کرد که جسد عیسی رابردارد. پیلاطس اذن داد. پس آمده، بدن عیسی رابرداشت.۳۸
39 Naye Nicodemo ambaye hapo awali alimfuata Yesu usiku naye akaja. Yeye alileta mchanganyiko wa manemane na udi, yapata uzito wa ratili mia moja.
و نیقودیموس نیز که اول در شب نزدعیسی آمده بود، مر مخلوط با عود قریب به صدرطل با خود آورد.۳۹
40 Kwa hiyo wakauchukua mwili wa Yesu wakaufanga kwenye sanda ya kitani na pamoja na yale manukato, kama ilivyokuwa desturi ya wayahudi wakati wa kuzika.
آنگاه بدن عیسی را بداشته، در کفن با حنوط به رسم تکفین یهود پیچیدند.۴۰
41 Mahali ambapo Yesu alisulibiwa kulikuwa na bustani; ndani ya ile bustani kulikuwa na kaburi jipya ambalo hakuna mtu alikuwa amawahi kuzikwa humo.
و در موضعی که مصلوب شد باغی بود و درباغ، قبر تازه‌ای که هرگز هیچ‌کس در آن دفن نشده بود.۴۱
42 Basi, kwa kuwa ilikuwa siku ya maandalio kwa Wayahudi, na kwa vile lile kaburi lilikuwa karibu, basi wakamlaza Yesu ndani yake.
پس به‌سبب تهیه یهود، عیسی را در آنجاگذاردند، چونکه آن قبر نزدیک بود.۴۲

< Yohana 19 >