< Yohana 19 >

1 Basi Pilato alimchukua Yesu na kumchapa.
येको पर पिलातुस न यीशु ख कोड़ा सी पीटवायो।
2 Wale maaskari wakasokota miiba na kutengeneza taji. Wakaiweka juu ya kichwa cha Yesu na kumvalisha vazi la rangi ya zambarau.
सिपाहियों न काटा को मुकुट गूथ क ओकी मुंड पर रख्यो, अऊर ओख जामुनी कपड़ा पहिनायो,
3 Wakamjia na kusema, “Wewe mfalme wa Wayahudi! na kisha kumpiga kwa mikono yao.
अऊर ओको जवर आय-आय क कहन लग्यो, “हे यहूदियों को राजा, प्रनाम!” अऊर ओख थापड़ भी मारयो।
4 Kisha Pilato alitoka nje na kuwaambia watu, “Tazama nawaleteeni huyu mtu kwenu ili mjue kwamba mimi sikuona hatia yoyote ndani yake.”
तब पिलातुस न फिर बाहेर निकल क लोगों सी कह्यो, “देखो, मय ओख तुम्हरो जवर फिर बाहेर लाऊं हय; ताकि तुम जानो कि मय ओको म कुछ भी दोष नहीं पाऊ।”
5 Kwa hiyo Yesu akatoka nje; alikuwa amevaa taji ya miiba na vazi la zambarau. Ndipo Pilato akawaambia, “Tazameni mtu huyu hapa!”
तब यीशु काटा को मुकुट अऊर जामुनी कपड़ा पहिन्यो हुयो बाहेर निकल्यो; अऊर पिलातुस न उन्को सी कह्यो, “देखो, यो आदमी!”
6 Kwa hiyo wakati kuhani mkuu na wakuu walipomwona Yesu, wakapiga kelele wakisema, “Msulubishe, msulubishe.” Pilato akawaambia, “Mchukueni ninyi wenyewe mkamsulubishe, kwa kuwa mimi sioni hatia ndani yake.”
जब मुख्य याजकों अऊर पहरेदारों न ओख देख्यो, त चिल्लाय क कह्यो, “ओख क्रूस पर चढ़ाव, क्रूस पर!” पिलातुस न उन्को सी कह्यो, “तुमच ओख ले क क्रूस पर चढ़ावो, कहालीकि मय ओको म कोयी दोष नहीं पाऊ।”
7 Wayahudi wakamjibu Pilato, “Sisi tunayo sheria, na kwa sheria hiyo inampasa kufa kwa sababu yeye alijifanya kuwa mwana wa Mungu.”
यहूदियों न ओख उत्तर दियो, “हमरी भी व्यवस्था हय अऊर ऊ व्यवस्था को अनुसार ऊ मारयो जान को लायक हय, कहालीकि ओन अपनो आप ख परमेश्वर को टुरा होन को दावा करयो हय।”
8 Pilato aliposikia maneno haya alizidi kuogopa,
जब पिलातुस न या बात सुनी त अऊर भी डर गयो।
9 akaingia Praitorio tena na kumwambia Yesu, “Wewe unatoka wapi? Hata hivyo, Yesu hakumjibu.
अऊर फिर राजभवन को अन्दर गयो अऊर यीशु सी कह्यो, “तय कित को आय?” पर यीशु न ओख कुछ भी उत्तर नहीं दियो।
10 Kisha Pilato akamwambia, “Je, wewe huongei na mimi? Je, wewe hujui kuwa mimi nina mamlaka ya kukufungua na mamlakaya kukusulubisha?”
येको पर पिलातुस न ओको सी कह्यो, “मोरो सी कहाली नहीं बोलय? का तय नहीं जानय कि तोख छोड़ देन को अधिकार मोख हय, अऊर तोख क्रूस पर चढ़ान को भी मोख अधिकार हय।”
11 Yesu akamjibu, “Usingekuwa na nguvu dhidi yangu kama usingepewa toka juu. Kwa hiyo, mtu aliyenitoa kwako ana dhambi kubwa.”
यीशु न उत्तर दियो, “यदि तोख ऊपर सी नहीं दियो जातो, त तोरो मोरो पर कुछ अधिकार नहीं होतो; येकोलायी जेन मोख तोरो हाथ पकड़वायो हय ओको पाप बहुत जादा हय।”
12 Kutokana na jibu hili, Pilato akataka kumwacha huru, lakini Wayahudi wakapiga kelele wakisema, “Kama utamwacha huru basi wewe si rafiki wa Kaisari: Kila ajifanyaye kuwa mfalme hunena kinyume cah kaisari.”
येको पर पिलातुस न ओख छोड़ देनो चाह्यो, पर यहूदियों न चिल्लाय-चिल्लाय क कह्यो, “यदि तय येख छोड़ देजो, त तोरी भक्ति कैसर को तरफ नहीं। जो कोयी अपनो आप ख राजा बनावय हय ऊ कैसर को सामना करय हय।”
13 Pilato alipoyasikia maneno haya, akamleta Yesu nje kisha akakaa kwenye kiti cha hukumu mahali pale panapojulikana kama sakafu, lakini kwa Kiebrania, Gabatha.
या बात सुन क पिलातुस यीशु ख बाहेर लायो अऊर ऊ जागा एक “चबूतरा” होतो जो इब्रानी म “गब्बता” कहलावय हय, अऊर उत न्याय-आसन पर बैठ्यो।
14 Siku ya maandalizi ya pasaka ilipofika, panapo muda wa saa ya sita. Pilato akawaambia Wayahudi, “Tazameni mfalme wenu huyu hapa!”
यो फसह को त्यौहार की तैयारी को दिन होतो, अऊर छे घंटा को लगभग होतो। तब ओन यहूदियों सी कह्यो, “देखो तुम्हरो राजा!”
15 Wakapiga kelele, “Mwondoshe, mwondoshe, msulubishe!” Pilato akawaambia, “Je, nimsulubishe mfalme wenu?” Naye Kuhani mkuu akajibu, “Sisi hatuna mfalme isipokuwa Kaisari.”
पर हि चिल्लायो, “लिजाव! लिजाव! ओख क्रूस पर चढ़ाव!” पिलातुस न उन्को सी कह्यो, “का मय तुम्हरो राजा ख क्रूस पर चढ़ाऊ?” मुख्य याजकों न उत्तर दियो, “कैसर ख छोड़ हमरो अऊर कोयी राजा नहीं।”
16 Ndipo Pilato alipomtoa Yesu kwao ili asulibiwe.
तब ओन ओख उन्को हाथ सौंप दियो ताकि यीशु क्रूस पर चढ़ायो जाये।
17 Nao wakamchukua Yesu, naye akatoka, hali ameubeba msalaba wake mwenyewe mpaka kwenye eneo liitwalo fuvu la kichwa, kwa Kihebrania huitwa Golgotha.
तब हि यीशु ख ले गयो, अऊर ऊ अपनो क्रूस उठायो हुयो ऊ जागा तक बाहेर गयो, जो “खोपड़ी की जागा” कहलावय हय अऊर इब्रानी म “गुलगुता।”
18 Ndipo walipomsulibisha Yesu, pamoja naye wanaume wawili, mmoja upende huu na mwingine upande huu, na Yesu katikati yao.
उत उन्न ओख अऊर ओको संग अऊर दोय आदमियों ख क्रूस पर चढ़ायो, एक ख इत अऊर एक ख उत, अऊर बीच म यीशु ख।
19 Kisha Pilato akaandika alama na kuiwekwa juu ya msalaba. Hapo paliandikwa: YESU MNAZARETH, MFALME WA WAYAHUDI.
पिलातुस न एक दोष-पत्र लिख क क्रूस पर लगाय दियो, अऊर ओको म यो लिख्यो हुयो होतो, “यीशु नासरी, यहूदियों को राजा।”
20 Wengi wa Wayahudi waliisoma alama hiyo kwani mahali pale aliposulibishwa Yesu palikuwa karibu na mji. Alama hiyo iliadikwa kwa Kiebrania, kwa Kirumi na kwa Kiyunani.
यो दोष–पत्र बहुत सो यहूदियों न पढ़्यो, कहालीकि ऊ जागा जित यीशु क्रूस पर चढ़ायो गयो होतो जो नगर को जवर होतो; अऊर पत्र इब्रानी अऊर लतीनी अऊर यूनानी भाषा म लिख्यो हुयो होतो।
21 Kisha wakuu wa makuhani wa Wayahudi wakamwambia Pilato, “Usiandike, 'Mfalme wa Wayahudi; bali yeye alisema mimi ni mfalme wa Wayahudi.”
तब यहूदियों को मुख्य याजकों न पिलातुस सी कह्यो, “‘यहूदियों को राजा’ मत लिख पर यो कि ‘ओन कह्यो, मय यहूदियों को राजा आय।’”
22 Naye Pilato akawajibu, “Niliyoandika nimeandika.”
पिलातुस न उत्तर दियो, “मय न जो लिख दियो, ऊ लिख दियो।”
23 Baada ya askari kumsulibisha Yesu, walichukua mavazi yake na kuyagawa katika mafungu manne, kila askari fungu moja, vivyo hivyo na kanzo, Sasa ile kanzu haikuwa imeshonwa bali ilkuwa imefumwa yote tokea juu.
जब सिपाही यीशु ख क्रूस पर चढ़ाय चुक्यो, त ओको कपड़ा ले क चार भाग करयो, हर सिपाही लायी एक भाग, अऊर कुरता भी लियो, पर कुरता बिना सीयो ऊपर सी खल्लो तक बुन्यो हुयो होतो
24 Kisha wakasemezana wao kwa wao, “Tusiipasue, bali tupigeni kura ili kuona itakuwa ya nani.” Hili lilitokea ili lile andiko litimizwe, lile lisemalo waligawanya nguo zangu, na vazi langu wakalipigia kura.”
येकोलायी उन्न आपस म कह्यो, “हम येख नहीं फाड़बो, पर येख पर चिट्ठी डालबो कि यो कोन्को होयेंन।” यो येकोलायी भयो कि पवित्र शास्त्र म जो कह्यो गयो ऊ पूरो हो, “उन्न मोरो कपड़ा आपस म बाट लियो अऊर मोरो कपड़ा पर चिट्ठी डाली।” सैनिकों न असोच करयो।
25 Askari walifanya mambo haya. Mama yake Yesu, dada wa mama yake, Mariamu mke wa Kleopa na Mariamu Magdalena - wanawake hawa walikuwa wamesimama karibu na msalaba wa Yesu.
सैनिकों न असोच करयो। यीशु को क्रूस को जवर ओकी माय, अऊर ओकी माय की बहिन, क्लोपास की पत्नी मरियम, अऊर मरियम मगदलीनी खड़ी होती।
26 Yesu alipomwona mama yake pamoja na yule mwanafunzi aliyempenda wakisimama karibu, akamwambia mama yake, “Mwanamke, tazama, ona mwanao huyu hapa!”
जब यीशु न अपनी माय, अऊर ऊ चेला ख जेकोसी ऊ प्रेम रखत होतो जवर खड़ो देख्यो त अपनी माय सी कह्यो, “हे नारी, देख, यो तोरो बेटा आय।”
27 Kisha akamwambia yule mwanfunzi, “Tazama, huyu hapa mama yako. “Tokea saa hiyo yule mwanafunzi akamchukua kwenda nyumbani kwake.
तब ओन चेला सी कह्यो, “या तोरी माय आय।” अऊर उच समय सी ऊ चेला ओख अपनो घर ले गयो।
28 Baada ya hilo, Hali Yesu akijua kuwa yote yamekwisha kumalizika ili kutimiza maandiko, akasema, “Naona kiu.”
येको बाद यीशु न यो जान क कि अब सब कुछ पूरो भय गयो, येकोलायी कि शास्त्र म जो कह्यो गयो ऊ पूरो होय, कह्यो, “मय प्यासो हय।”
29 Chombo kilichokuwa kimejaa Siki kilikuwa kimewekwa pale, kwa hiyo wakaweka sifongo iliyojaa siki juu ya ufito wa hisopo, wakamwekea mdomoni mwake.
उत सिरका सी भरयो हुयो एक बर्तन रख्यो होतो, येकोलायी उन्न सिरका सी गिलो करयो हुयो स्पंज ख जूफा पर रख क ओको मुंह सी लगायो।
30 Naye Yesu alipoionja hiyo, akasema, “Imekwisha.” Kisha akainamisha kichwa chake, akaikabidhi roho yake.
जब यीशु न ऊ सिरका पियो अऊर आत्मा म दु: खी भयो, अऊर कह्यो, “पूरो भयो।” अऊर मुंड झुकाय क जीव छोड़ दियो।
31 Kwa vile ilikuwa ni wakati wa maandalio, na kwa sababu miili haikutakiwa kubaki juu ya msalaba wakati wa Sabato (kwa kuwa Sabato ilikuwa siku ya muhimu), wayahudi walimwomba Pilato kuwa miguu yao wale wliokuwa wamesulibishwa ivunjwe, na kwamba miili yao ishushwe.
येकोलायी कि ऊ तैयारी को दिन होतो, यहूदियों न पिलातुस सी बिनती करी कि उन्को टांगे तोड़ दियो जाये अऊर हि उतारयो जाये, ताकि आराम दिन म हि क्रूस पर नहीं रहे, कहालीकि ऊ आराम दिन मतलब बड़ो दिन होतो।
32 Ndipo askari walipokuja na kuvunja miguu ya mtu wa kwanza na wa pili aliyekuwa amesulibiwa pamoja na Yesu.
यानेकि सैनिकों न आय क उन आदमियों म सी पहिलो आदमी को टांगे तोड़्यो तब दूसरों आदमी को भी, जो ओको संग क्रूस पर चढ़ायो गयो होतो;
33 Walipomfikia Yesu, walimkuta tayari alikuwa amekwisha kufa, kwa hiyo hawakuvunja miguu yake.
पर जब यीशु को जवर आय क देख्यो कि यो मर गयो हय, त ओकी टांगे नहीं तोड़्यो।
34 Hata hivyo, mmoja wa askari alimchoma Yesu ubavuni kwa mkuki, na mara yakatoka maji na damu.
पर सैनिकों म सी एक न बरछा सी ओको फसली म भेद्यो, अऊर ओको म सी तुरतच खून अऊर पानी निकल्यो।
35 Naye aliyeona hili ametoa ushuhuda, na ushuhuda wake ni wa kweli. Yeye anajua kuwa alichokisema ni cha kweli ili nanyi pia muamini.
जेन यो देख्यो, ओन गवाही दियो हय, अऊर ओकी गवाही सच्ची आय; अऊर ऊ जानय हय कि ऊ सच कह्य हय कि तुम भी विश्वास करो।
36 Mambo haya yalikuwa ili lile neno lililonenwa lipate kutimia, “Hakuna hata wake mmoja utakaovunjwa.”
या बाते येकोलायी भयी कि शास्त्र म जो कह्यो गयो ऊ पूरो भयो, “ओकी कोयी हड्डी तोड़्यो नहीं जायेंन।”
37 Tena andiko lingine husema, “Watamtazama yeye waliyemchoma”
फिर एक अऊर जागा पर शास्त्र म यो लिख्यो हय, “जेक उन्न भेज्यो हय, ओको पर हि नजर करेंन।”
38 Baada ya mambo haya Yusufu wa Arimathaya, kwa vile alikuwa mwanafunzi wa Yesu, lakini kwa siri kwa kuwaogopa Wayahudi, alimwomba Pilato kwamba auchukue mwili wa Yesu. Naye Pilato akampa ruhusa. Kwa hiyo Yusufu akaja kuuondoa mwili wa Yesu.
इन बातों को बाद अरिमतिया को यूसुफ न जो यीशु को चेला होतो, पर यहूदियों को डर सी या बात ख लूकायो रखत होतो, पिलातुस सी बिनती करी कि का ऊ यीशु को लाश लिजाय सकय हय। पिलातुस न ओकी बिनती सुनी, अऊर ऊ आय क ओको लाश ले गयो।
39 Naye Nicodemo ambaye hapo awali alimfuata Yesu usiku naye akaja. Yeye alileta mchanganyiko wa manemane na udi, yapata uzito wa ratili mia moja.
नीकुदेमुस भी, जो पहिले यीशु को जवर रात ख गयो होतो, पचास शेर को लगभग मिल्यो हुयो अत्तर अऊर एलवा ले आयो।
40 Kwa hiyo wakauchukua mwili wa Yesu wakaufanga kwenye sanda ya kitani na pamoja na yale manukato, kama ilivyokuwa desturi ya wayahudi wakati wa kuzika.
तब उन्न यीशु की लाश ख उठाय क यहूदियों को गाड़न की रीति को अनुसार ओख अत्तर को संग कपड़ा म लपेट्यो।
41 Mahali ambapo Yesu alisulibiwa kulikuwa na bustani; ndani ya ile bustani kulikuwa na kaburi jipya ambalo hakuna mtu alikuwa amawahi kuzikwa humo.
ऊ जागा पर जित यीशु क्रूस पर चढ़ायो गयो होतो, एक बगीचा होतो, अऊर उत एक नयी कब्र होती जेको म कभी कोयी नहीं रख्यो होतो।
42 Basi, kwa kuwa ilikuwa siku ya maandalio kwa Wayahudi, na kwa vile lile kaburi lilikuwa karibu, basi wakamlaza Yesu ndani yake.
येकोलायी यहूदियों की तैयारी को दिन को वजह उन्न यीशु ख ओको म रख्यो, कहालीकि ऊ कब्र जवर होती।

< Yohana 19 >