< Yohana 19 >

1 Basi Pilato alimchukua Yesu na kumchapa.
Amalalu, Bailade da Yesu lale, amola ea sia: beba: le dadi gagui dunu da Yesu fegasuga fananu.
2 Wale maaskari wakasokota miiba na kutengeneza taji. Wakaiweka juu ya kichwa cha Yesu na kumvalisha vazi la rangi ya zambarau.
Dadi gagui dunu ilia da aya: gaga: nomei nodomene, habuga hamone, Yesu Ea dialuma da: iya figisi. Ilia da yoi abula ida: iwane gala Ema idiniginisi.
3 Wakamjia na kusema, “Wewe mfalme wa Wayahudi! na kisha kumpiga kwa mikono yao.
Yesu leloba amogawi misini, ilia amane sia: i, “Yu Hina Bagade! Mae bogole, esaloma!” Amalalu, ilia da Ea odagi loboga fai.
4 Kisha Pilato alitoka nje na kuwaambia watu, “Tazama nawaleteeni huyu mtu kwenu ili mjue kwamba mimi sikuona hatia yoyote ndani yake.”
Bailade da bu gadili asili, dunu huluane ilima amane sia: i, “Dilia! Amo dunu dili huluane ba: ma: ne, na da guiguda: oule misunu. E bogoma: ne wadela: i hou hamoi amo na da hamedafa ba: i, amo dilia ba: mu.”
5 Kwa hiyo Yesu akatoka nje; alikuwa amevaa taji ya miiba na vazi la zambarau. Ndipo Pilato akawaambia, “Tazameni mtu huyu hapa!”
Amasea, Yesu da aya: gaga: nomei habuga Ea dialuma da: iya ligisi, yoi abula idiniginisi, gadili misi. Bailade da ilima amane sia: i, “Ba: ma: ! Dunu da amo!”
6 Kwa hiyo wakati kuhani mkuu na wakuu walipomwona Yesu, wakapiga kelele wakisema, “Msulubishe, msulubishe.” Pilato akawaambia, “Mchukueni ninyi wenyewe mkamsulubishe, kwa kuwa mimi sioni hatia ndani yake.”
Be gobele salasu ouligisu dunu amola Debolo Diasu sosodo aligisu dunu, ilia da Yesu ba: beba: le, amane halale sia: i, “Bulufalegeiga fuga: ma! Bulufalegeiga fuga: ma!” Bailade da ilima amane sia: i, “Defea! Dilisu lale, bulufalegeiga fuga: ma! E medomu bai na da hamedafa ba: sa.”
7 Wayahudi wakamjibu Pilato, “Sisi tunayo sheria, na kwa sheria hiyo inampasa kufa kwa sababu yeye alijifanya kuwa mwana wa Mungu.”
Dunu huluane bu adole i, “E da Gode Egefe amo Ea sia: beba: le, ninia sema dedei defele E da bogomu da defea.”
8 Pilato aliposikia maneno haya alizidi kuogopa,
Amo sia: nababeba: le, Bailade da bu baligiliwane beda: i.
9 akaingia Praitorio tena na kumwambia Yesu, “Wewe unatoka wapi? Hata hivyo, Yesu hakumjibu.
E da bu ea diasu ganodini golili sa: ili, Yesuma adole ba: i, “Di da habidili misila: ?” Be Yesu da bu hame adole i.
10 Kisha Pilato akamwambia, “Je, wewe huongei na mimi? Je, wewe hujui kuwa mimi nina mamlaka ya kukufungua na mamlakaya kukusulubisha?”
Bailade da Ema amane sia: i, “Abuli nama hame sia: sa? Dia se iasu diasu logo doasima: ne o di bulufalegeiga fuga: ma: ne amo hamoma: ne na da gasa gala. Amo Di da hame dawa: bela: ?”
11 Yesu akamjibu, “Usingekuwa na nguvu dhidi yangu kama usingepewa toka juu. Kwa hiyo, mtu aliyenitoa kwako ana dhambi kubwa.”
Yesu E bu adole i, “Gode da amo ouligisu hou dima iabeba: le fawane, di da amo gasa gagusa. Amaiba: le, eno dunu amo da Na medomusa: dawa i, amo ea wadela: i hou da dia wadela: i hou baligi dagoi.”
12 Kutokana na jibu hili, Pilato akataka kumwacha huru, lakini Wayahudi wakapiga kelele wakisema, “Kama utamwacha huru basi wewe si rafiki wa Kaisari: Kila ajifanyaye kuwa mfalme hunena kinyume cah kaisari.”
Amo sia: nababeba: le, Bailade da Yesu Ea se iasu diasu logo doasima: ne, logo hogoi helei. Be dunu huluane bu bagadewane halale sia: i, “E masa: ne di da sia: sea, di da Sisa ea na: iyado hame ganumu. Nowa da e da Hina Bagade sia: sa, e da Sisa ema ha lai.”
13 Pilato alipoyasikia maneno haya, akamleta Yesu nje kisha akakaa kwenye kiti cha hukumu mahali pale panapojulikana kama sakafu, lakini kwa Kiebrania, Gabatha.
Amo sia: nababeba: le, Bailade da Yesu gadili oule asili, ea fofada: su fisuga fi. Amo sogebi dio amo “Igi Fa: i.” (Hibulu sia: da Ga: bada.)
14 Siku ya maandalizi ya pasaka ilipofika, panapo muda wa saa ya sita. Pilato akawaambia Wayahudi, “Tazameni mfalme wenu huyu hapa!”
Amoha da esomogoa, Baligisu Lolo Nasu esoga. Bailade da dunu huluane ilima amane sia: i, “Dilia Hina Bagade da goea.”
15 Wakapiga kelele, “Mwondoshe, mwondoshe, msulubishe!” Pilato akawaambia, “Je, nimsulubishe mfalme wenu?” Naye Kuhani mkuu akajibu, “Sisi hatuna mfalme isipokuwa Kaisari.”
Ilia bu halale sia: i, “E medoma! E medoma! Bulufalegeiga fuga: ma!” Bailade da ilima adole ba: i, “Na da dilia Hina Bagade bulufalegeiga fuga: mu da defeala: ?” Gobele salasu ouligisu dunu ilia da bu adole i, “Ninia hina bagade da afae fawane - Sisa!”
16 Ndipo Pilato alipomtoa Yesu kwao ili asulibiwe.
Amalalu, Bailade da Yesu bulufalegeiga fuga: musa: , ilima i dagoi.
17 Nao wakamchukua Yesu, naye akatoka, hali ameubeba msalaba wake mwenyewe mpaka kwenye eneo liitwalo fuvu la kichwa, kwa Kihebrania huitwa Golgotha.
Amaiba: le, ilia da Yesu lale oule asi. E da bulufalegei gisawane asili sogebi ea dio amo “Dialuma Gasa Sogebi,” amoga doaga: i. (Hibulu sia: amo sogebi ea dio da Gologoudia).
18 Ndipo walipomsulibisha Yesu, pamoja naye wanaume wawili, mmoja upende huu na mwingine upande huu, na Yesu katikati yao.
Amoga ilia da Yesu bulufalegeiga fuga: i. Dunu aduna eno, afae da ea lobodafadili, eno da ea lobo fofadidili, ili bulufalegeiga fuga: i.
19 Kisha Pilato akaandika alama na kuiwekwa juu ya msalaba. Hapo paliandikwa: YESU MNAZARETH, MFALME WA WAYAHUDI.
Bailade da meloa dedene, ea dadi gagui dunu ilia da bulufalegeiga gosagisi. E amane dedei “Yesu Na: salede dunu. Yu dunu ilia Hina Bagade!”
20 Wengi wa Wayahudi waliisoma alama hiyo kwani mahali pale aliposulibishwa Yesu palikuwa karibu na mji. Alama hiyo iliadikwa kwa Kiebrania, kwa Kirumi na kwa Kiyunani.
Yesu Ea bulufalegei sogebi da Yelusaleme gadeneiba: le, dunu bagohame da amo dedei idi. Dedei da Hibulu sia: , Louma sia: amola Galigi sia: , amoga dedene legei.
21 Kisha wakuu wa makuhani wa Wayahudi wakamwambia Pilato, “Usiandike, 'Mfalme wa Wayahudi; bali yeye alisema mimi ni mfalme wa Wayahudi.”
Gobele salasu ouligisu dunu ilia Bailadema amane sia: i, “Yu dunu ilia Hina Bagade mae dedema! Be ‘Amo dunu da ‘Na da Yu dunu ilia Hina Bagade E sia: i,’ amo fawane dedema!”
22 Naye Pilato akawajibu, “Niliyoandika nimeandika.”
Be Bailade da bu adole i, “Amo na dedei, na da dedei dagoi!”
23 Baada ya askari kumsulibisha Yesu, walichukua mavazi yake na kuyagawa katika mafungu manne, kila askari fungu moja, vivyo hivyo na kanzo, Sasa ile kanzu haikuwa imeshonwa bali ilkuwa imefumwa yote tokea juu.
Ilia da Yesu bulufalegeiga dabagala: i dagoiba: le, dadi gagui dunu da Ea abula liligi huluane lale, biyaduyale agoane momogili, lai dagoi. Ea abuladafa, amo da disimusa: hame nodomei, afae fawane amuli.
24 Kisha wakasemezana wao kwa wao, “Tusiipasue, bali tupigeni kura ili kuona itakuwa ya nani.” Hili lilitokea ili lile andiko litimizwe, lile lisemalo waligawanya nguo zangu, na vazi langu wakalipigia kura.”
Dadi gagui dunu ilia gilisili sia: dasu, “Amo gadelale sagomu da defea hame. Dunu afae da amo lama: ne, ninia amoga ululuale hedemu.” Gode Sia: da amane dedei dialu, “Na idiniginisi liligi huluane ilia afafale sagoi. Na abula lama: ne ilia da amoga ululuale hedei,” amo sia: da dafawane doaga: i dagoi ba: i.
25 Askari walifanya mambo haya. Mama yake Yesu, dada wa mama yake, Mariamu mke wa Kleopa na Mariamu Magdalena - wanawake hawa walikuwa wamesimama karibu na msalaba wa Yesu.
Yesu Ea ame, Ea ame eya Meli (Galiouba: se idua) amola Meli Ma: gadala, ilia da Yesu Ea bulufalegei bai amo gadenene lelu.
26 Yesu alipomwona mama yake pamoja na yule mwanafunzi aliyempenda wakisimama karibu, akamwambia mama yake, “Mwanamke, tazama, ona mwanao huyu hapa!”
Yesu da Ea ame amola Ea dogolegei na: iyado ado ba: su dunu, ela lelebe ba: loba, Ea amema amane sia: i, “Ame! Diagofe goea!”
27 Kisha akamwambia yule mwanfunzi, “Tazama, huyu hapa mama yako. “Tokea saa hiyo yule mwanafunzi akamchukua kwenda nyumbani kwake.
Amalalu, Ea ado ba: su dunuma E amane sia: i, “Dia ame goea!” Amalalu, amoganini amo ado ba: su dunu da Yesu Ea ame, amo ea diasuga ouligisu.
28 Baada ya hilo, Hali Yesu akijua kuwa yote yamekwisha kumalizika ili kutimiza maandiko, akasema, “Naona kiu.”
Ea hawa hamosu huluane da dagoi, amo Yesu E dawa: i galu. Gode Sia: Dedei dafawaneyale hamoma: ne, E amane sia: i, “Na hano hanai galebe!”
29 Chombo kilichokuwa kimejaa Siki kilikuwa kimewekwa pale, kwa hiyo wakaweka sifongo iliyojaa siki juu ya ufito wa hisopo, wakamwekea mdomoni mwake.
Ofodo amogawi dialu. Amo da waini hano amoga nabai galu. Amalalu, ilia da waini nasu amo ganodini abula gele, “hisobe” daguluga gosagili, Yesu moma: ne, Ea lafiga olelei.
30 Naye Yesu alipoionja hiyo, akasema, “Imekwisha.” Kisha akainamisha kichwa chake, akaikabidhi roho yake.
Waini hano nanu, Yesu amane sia: i, “Defea! Amo da dagoi!” Amalalu, E da Ea dialuma fili sa: ili, bogoi dagoi.
31 Kwa vile ilikuwa ni wakati wa maandalio, na kwa sababu miili haikutakiwa kubaki juu ya msalaba wakati wa Sabato (kwa kuwa Sabato ilikuwa siku ya muhimu), wayahudi walimwomba Pilato kuwa miguu yao wale wliokuwa wamesulibishwa ivunjwe, na kwamba miili yao ishushwe.
Amo eso da Falaida: i eso, aya da Sa: bade eso (Baligisu Lolo Nasu Sa: bade eso) galu. Amaiba: le bogoi da: i hodo da bulufalegeiga udigili dialumu, Yu ouligisu dunu ilia da higa: i galu. Sema ilia da sia: su. Amaiba: le, bulufalegeiga fuga: i dunu ilia emo gasa fili, bulufalegei amoga fadegale fasima: ne, amo ilia da Bailadema amane sia: i.
32 Ndipo askari walipokuja na kuvunja miguu ya mtu wa kwanza na wa pili aliyekuwa amesulibiwa pamoja na Yesu.
Amalalu, dadi gagui dunu da asili, musa: dunu ea emo gasa fili, asili eno dunu, ea emo gasa fi. Amo dunu ela da Yesu, gilisili bulufalegeiga fuga: i dagoi ba: i.
33 Walipomfikia Yesu, walimkuta tayari alikuwa amekwisha kufa, kwa hiyo hawakuvunja miguu yake.
Be Yesuma doaga: le, E da bogoi dagoi ba: loba, ilia da Ea emo gasa hame fi.
34 Hata hivyo, mmoja wa askari alimchoma Yesu ubavuni kwa mkuki, na mara yakatoka maji na damu.
Be dadi gagui dunu afae da Yesu ea afo goge agei amoga sone, maga: me amola hano ahoanebe ba: i.
35 Naye aliyeona hili ametoa ushuhuda, na ushuhuda wake ni wa kweli. Yeye anajua kuwa alichokisema ni cha kweli ili nanyi pia muamini.
(Na, amo hou ba: su dunu, dilia huluane dafawaneyale dawa: ma: ne, amo hou olelesa. Na olelei da dafawane na dawa: )
36 Mambo haya yalikuwa ili lile neno lililonenwa lipate kutimia, “Hakuna hata wake mmoja utakaovunjwa.”
Amo hou da Gode Sia: Dedei dafawaneyale dawa: ma: ne misi. Sia: dedei diala, amane, “Ilia da Ea gasa hamedafa fimu!”
37 Tena andiko lingine husema, “Watamtazama yeye waliyemchoma”
Gode Ea Sia: eno dedei diala, “Dunu amo da E soi dagoi, ilia E ba: lalumu.”
38 Baada ya mambo haya Yusufu wa Arimathaya, kwa vile alikuwa mwanafunzi wa Yesu, lakini kwa siri kwa kuwaogopa Wayahudi, alimwomba Pilato kwamba auchukue mwili wa Yesu. Naye Pilato akampa ruhusa. Kwa hiyo Yusufu akaja kuuondoa mwili wa Yesu.
Amalalu, Yousefe, A:limadia dunu, e da Yesu Ea da: i hodo lamusa: , Bailadema adole ba: i. (Yousefe da Yesu ea fa: no bobogesu dunu esalu. Be e da Yu ouligisu dunu ilima beda: iba: le, wamowane fa: no bobogelalu.) Bailade da Yousefe e da Yesu Ea da: i hodo lamu da defea sia: i. Amaiba: le, Yousefe da Yesu Ea da: i hodo lale, gaguli asi.
39 Naye Nicodemo ambaye hapo awali alimfuata Yesu usiku naye akaja. Yeye alileta mchanganyiko wa manemane na udi, yapata uzito wa ratili mia moja.
Nigoudimase (e da musa: gasia Yesuma masu dunu), e da30 gilougala: me agoane gabusiga: manoma legesu liligi aguni, Yousefe sigi asi.
40 Kwa hiyo wakauchukua mwili wa Yesu wakaufanga kwenye sanda ya kitani na pamoja na yale manukato, kama ilivyokuwa desturi ya wayahudi wakati wa kuzika.
Amo dunu aduna, Yesu Ea da: i hodo lale, abulaga sosone, Yu dunu ilia bogoi ouligisu hou defele, gabusiga: manoma legei.
41 Mahali ambapo Yesu alisulibiwa kulikuwa na bustani; ndani ya ile bustani kulikuwa na kaburi jipya ambalo hakuna mtu alikuwa amawahi kuzikwa humo.
Yesu Ea bogoi sogebi amogai da ifabi galu. Amo ganodini gaheabolo bogoi gele gelabo dogoi dialu (amo ganodini bogoi hodo da hamedafa sali).
42 Basi, kwa kuwa ilikuwa siku ya maandalio kwa Wayahudi, na kwa vile lile kaburi lilikuwa karibu, basi wakamlaza Yesu ndani yake.
Amo gele gelabo da gadeneiba: le, amola aya da Sa: bade eso amo ilia dawa: beba: le, ela da amo ganodini Yesu Ea da: i hodo sali.

< Yohana 19 >