< Yohana 18 >
1 Baada ya Yesu kusema maneno haya, aliondoka na wanafunzi wake kuelekea bonde la Kidron, ambako kulikuwa na bustani, ambako yeye na wanafunzi wake wakaingia ndani yake.
Baada jha Yesu kujobha malobhi agha, akabhoka ni bhanafunzi bha muene kul'otela bonde lya Kidron, ambako kwajhele ni bustani, ambako muene ni bhanafunzi bha muene bhakajhingila mugati.
2 Sasa yule Yuda, aliyetaka kumsaliti, naye alilijua eneo hilo, kwani Yesu alikuwa akienda hili eneo mara kadhaa akiwa na wanafunzi wake.
Henu Yuda, jhola jhaalondeghe kun'saliti, ni muene alimanyili lilobhi e'lu, kwani Yesu ajhele illota lieneo lela mara kadhaa ni bhanafunzi bha muene,
3 Naye Yuda, baada ya kuwa amepata kundi la maaskari na maofisa toka kwa wakuu wa makuhani, wakaja wakiwa na taa, kurunzi na silaha.
Ni muene Yuda baada jhakubhona akabhili likundi lya maaskari ni maofisa kuhomela kwa bhabhaha bha makuhani, bhakahida ni taa, kurunzi ni silaha.
4 Naye Yesu, hali akijua kila kitu kilichokuwa kikifanyika dhidi yake, alijitokeza mbele na akawauliza, “Ni nani mnayemtafuta?”
Nu muene Yesu, akajha amanyili khila khenu kyakibhombeleghe dhidi jha muene, akakitokesya pa longolo ni kubhakota, “Niani mukandonda?”
5 Nao wakamjibu, “Yesu Mnazareth.” Yesu akawaambia, “Mimi ndiye” Naye Yuda aliyemsaliti, alikuwa amesimama pamoja na wale askari.
Ni bhene bhan'jibili, “Yesu Mnazareth.” Yesu akabhajobhela, “Ndo nene” Ni muene Yuda jha an'saliti, ajhele ajhemili pamonga ni bhala askari.
6 Kwa hiyo alipowaambia, “Mimi ndiye” walirudi kinyume na kuanguka chini.
Henu bho abhajobhili, “Ndio nene” bhakerebhuiki kinyume bhakabina pasi.
7 Halafu akawauliza tena, “Ni nani mnayemtafuta? Nao wakamjibu tena “Yesu mnazareth.”
Halafu akabhakota kabhele, “Niani mukandonda? Ni bhene bhakan'jibu kabhele “Yesu mnazareth.”
8 Yesu akawajibu, “Nimekwisha kuwaambia kuwa Mimi ndiye; kwa hiyo kama mnanitafuta mimi, waacheni hawa wengine waende.”
Yesu akabhajibu, “Nimalili kubhajobhela Ndio nene; henu kama mkanilonda nene, mubhalekayi bhangi abha bhalotayi.”
9 Haya yalikuwa hivyo ili lile neno litimilike; pale aliposema; “Katika wale ulionipa, sikumpoteza hata mmoja.”
Agha ghajhele naha ili lilobhi lela litimilikayi; pa ajobhi pala; “Katika bhaukanipelili, nikanjasilepi hata mmonga.”
10 Ndipo Simon Petro, aliyekuwa na upanga, akaufuta na kumkata sikio la kulia mtumishi wa Kuhani mkuu. Na jina lake mtumishi yule lilikuwa Malko.
Ndipo Simoni Petro, jha ajhele ni upanga akaufuta ni kun'dumula mb'olokoto lya kulia n'tumishi ghwa Kuhani mbaha. Ni lihina lya muene n'tumishi jhola lya jhele Malko.
11 Yesu akamwambia Petro, “Rudisha upanga wako kwenye ala yake. Kwa nini nisikinywee kikombe kile alichonipa Baba?”
Yesu akan'jobhela Petro, “Ubhukerusiajhi upanga ghwa jhobhi mu ala jhike. Kwa ndabha jha kiki nisikinyweli kikombi khela kyaanipelili Dadi?”
12 Basi lile kundi la askari na jemedari, na watumishi wa Wayahudi, walimkamata Yesu na kumfunga.
Basi likundi lela lya askari ni jemedari, ni bhatumishi bha Bhayahudi, bhan'kamuili Yesu ni kun'konga.
13 Nao wakamwongoza kwanza mpaka kwa Anasi, kwani yeye alikuwa mkwe wa Kayafa, ambaye ndiye aliyekuwa Kuhani mkuu kwa mwaka huo.
Na bhene bhandonguisi mpaka kwa Anasi, kwani muene ajhele mkwe ghwa Kayafa, ambaye ajhele Kuhani mbaha kwa mwaka obhu.
14 Sasa Kayafa ndiye aliyekuwa amewapa ushauri Wayahudi ya kwamba ilimpasa mtu mmoja afe kwa ajili ya watu.
Henu Kayafa ndo abhapelili ushauri Bhayahudi jhi kujha jhilondeka munu mmonga afuayi kwa ndabha jha bhanu.
15 Simon Petro alimfuata Yesu, na vivyo hivyo mwanafunzi mwingine. Na yule mwanafunzi alikuwa akifahamika kwa kuhani mkuu, naye akaingia pamoja na Yesu katika behewa ya Kuhani mkuu;
Simoni Petro an'kesisi Yesu, mebhu ni bhanafunzi bhangi. Ni mwanafunzi jhola jha amanyikene kwa kuhani mbaha, ni muene akajhingila pamonga ni Yesu mu libehewa lya kuhani mbaha;
16 lakini Petro alikuwa amesimama nje ya mlango. Basi yule mwanafunzi aliyekuwa akifahamika kwa kuhani mkuu, alitoka nje akaenda kuongea na yule mwanamke mtumishi aliyekuwa akilinda mlango na kumwingiza Petro ndani.
lakini Petro ajhemili kwibhala kundiangu. Mwanafunzi jhola jha amanyikene kwa kuhani mbaha apitili kwibhala akalota kulongela ni n'dala jhola n'tumishi jhaalendeghe ndiangu ni kunjhingisya Petro mugati.
17 Basi yule kijakazi aliyekuwa akilinda mlango, alimwambia Petro, “Je wewe si mmoja wa wafuasi wa huyu mtu?” Naye akasema, “Mimi siye.”
Basi kijakazi jhola jha alandeghe pandiangu, an'jobhili Petro, “Je bhebhe sio ndo mmonga ghwa bhafuasi bha munu ojho?” Ni muene akajobha, “Ne lepi.”
18 Na wale watumishi na wakuu walikuwa wakisimama mahali pale; wamekoka moto wa kwa maana, kulikuwa na baridi, na hivyo walikuwa wakiota moto ili kupata joto. Naye Petro alikuwa nao, akiota moto akiwa amesimama.
Ni bhala bhatumishi ni bhabhaha bhajhemili mahali pala, bhakajha bhakosili muoto bhijhota kwa ndabha kwa jhele ni mepu, bhakajha bhijhota ili kukabha joto. Ni Petro ajhenabhu ijhota muoto ajhemili.
19 Kuhani mkuu alimhoji Yesu juu ya wanafunzi wake na mafundisho yake.
Kuhani mbaha akan'kota Yesu juu jha bhanafunzi bha muene ni mafundisu gha muene.
20 Yesu akamjbu, “Nimeuambia waziwazi ulimwengu; Mimi nilifundisha mara kwa mara kwenye masinagogi na hekaluni mahali ambapo wayahudi hukusanyika. Nami sikusema lolote katika siri.
Yesu akajibu, “Nibhujobhili waziwazi bhulimwengu; Nene nafundisi mara kwa mara mu masinagogi ni mahekalu mahali ambapo bhayahudi bhikusanyika. Nani najobhilepi lyolyoha kwa kufigha.
21 Kwa nini mliniuliza? Waulizeni walionisikiliza juu ya kile nilichosema. Hawa watu wanajua mambo yale niliyosema.
Kwandabha jha kiki mwanikotili? Mubhakotayi bhabhanip'elekisi juu jha khela kya nikijobhili. Bhanu abha bhamanyili mambo ghala ghanighajobhili.
22 Yesu alipokwisha sema hivyo, mmoja wa wakuu aliyekuwa amesimama akampiga Yesu kwa mkono wake na kisha akasema, “Je, hivyo ndivyo inavyokupasa kumjibu kuhani mkuu?”
Yesu bho amalikujobha aghu, mmonga ghwa bhabhaha jha ajhemili akan'tobha Yesu kwa kibhoko kya muene ni kujobha, “Je, ndo jhilondeka naha kun'jibu kuhani mbaha?”
23 Naye Yesu akamjibu, “Kama nimesema jambo lolote baya basi uwe shahidi kwa ajili ya uovu, na kama nimemjibu vyema kwa nini kunipiga?
Ni Yesu akan'jibu, “Kama nijobhili lijambo lyolyoha linofu lepi basi ujhelayi shahidi kwa ndabha jha uovu, na kama nirijibili kinofu kwandabha jha kiki ukanitobha?
24 Ndipo Anasi alipompeleka Yesu kwa Kayafa kuhani mkuu akiwa amefungwa.
Ndipo Anasi ampeliki Yesu kwa Kayafa kuhani mbaha khoni akongibhu.
25 Sasa Simoni Petro alikuwa amesimama akijipasha joto mwenyewe. Halafu wale watu wakamwambia. “Je, wewe pia si mmoja wa wanaafunzi wake?” Akakana akisema “Mimi siye.”
Henu Simoni Petro akajha ajhemili ijhota muoto. Halafu bhanu bhala bhakan'jobhela. “Je, bhebhe pia si mmonga ghwa bhanafunzi bha muene?” Akabele akajobha “Nene lepi.”
26 Mmoja wa watumishi wa kuhani mkuu, ambaye alikuwa ndugu wa yule mwanaume ambaye Petro alimkata sikio, alisema, “Je si wewe niliyekuona naye kule bustanini?”
Mmonga ghwa bhatumishi bha kuhani mbaha ambajhe ajhele ndongomunu ghwa jhola jha adumulibhu mbolokhoto ni Petro akajobha, “Je sio bhebhe nikakubhwene naku ku bustani?”
27 Petro akakana tena, na mara Jogoo akawika.
Petro akabela kabhele, ni mara likongobhe likabheka.
28 Kisha wakamchukua Yesu toka kwa Kayafa mpaka kwenye Praitorio. Ilikwa asubuhi na mapema. Wao wenyewe hawakuiingia ile Praitorio ili wasije wakanajisika na kuila pasaka.
Kisha bhakan'tola Yesu kuhoma kwa Kayafa mpaka ku Praitorio. Kwajhelukhela lubhuliku. Bhabhu bhene bhaijhingi lepi jhela Praitorio ili bhasihidi bhakanajisika ni kujhilya pasaka.
29 Kwa hiyo Pilato akawaendea akisema. “Ni shitaka gani linalomhusu huyu mtu?”
Henu Pilato akabhalotela akajobha. “Lishitaka lelekhu lyalikan'husu munu ojho?”
30 Wakamjibu na kumwambia, “Kama huyu mtu asingekuwa mtenda maovu, tusingemleta kwako.”
Bhakan'jibu ni kun'jobhela, “Munu ojho nga ajhiabhombi lepi makosa ngatundetili lepi kwa bhebhe.”
31 Pilato akawaambia, “Mchukueni ninyi wenyewe, mkamhukumu kulingana na sheria yenu.” Nao Wayahudi wakamwambia, “Sheria haituruhusu sisi kumwua mtu yeyote.”
Pilato akabhajobhela, “Mun'tolayi mwejhomu, mukan'hukumuayi kul'engana ni sheria jha muenga.” Ni bhene Bhayahudi bhakan'jobhela, “Sheria jhikaturuhusu lepi tete kun'koma munu jhejhioha.”
32 Walisema haya ili neno la Yesu litimilike, neno ambalo alikuwa amekwisha sema juu ya aina ya kifo chake.
Bhajobhili agha ili lilobhi lya Yesu litimilikayi, lilobhi ambalyo amalikujobha juu jha aina jha kifo kya kya muene.
33 Basi Pilato akaingia tena Praitorio akumwita Yesu; akamwambia, “Je, wewe ni mfalme wa Wayahudi?”
Basi Pilato akajhingila kabhele Praitorio ankutilepi Yesu; akan'jobhela, “Je, bhebhe ndo mfalme ghwa Bhayahudi?”
34 Yesu akamjibu, “Je, wewe waniuliza swali hili kwa Sababu wataka kujua au kwa sababu wengine wamekutuma ili uniulize mimi?”
Yesu an'jibili, “Je, bhebhe ukanikota lisuali e'le kwa ndabha wilonda kumanya au kwandabha bhangi bhakutumili ili unikotayi nene?”
35 Naye Pilato akamjibu, “Mimi si Myahudi, au sivyo?” Taifa lako na kuhani mkuu ndio waliokuleta kwangu; wewe umefanya nini?
Ni muene pilato akan'jibu, “Nene na Myahudi, au lepi?” Litaifa lya bhebhe ni kuhani mbaha ndo bhakuletili kwa nene; bhebhe uketili kiki?
36 Yesu akajibu; “Ufalme wangu si wa ulimwengu huu, kama ufalme wangu ungekuwa na sehemu katika ulimwengu huu watumwa wangu wangenipigania ili nisitolewe kwa wayahudi. Kwa kweli ufalme wangu hautoki hapa” Basi
Yesu akajibu; “Ufalme bhwa nene sio bhwa ulimwengu obho, kama ufalme bhwa nene ngabhujhele bhwa ulimwengu obho bhatumwa bha nene ngabhajhemili ili nisibhekibhu kwa bhayahudi. Kwa kweli ufalme bhwa nene bhwihomela lepi apa”
37 Pilato akamwambia, “Je, wewe basi u mfalme?” Yesu akajibu, “wewe ndivyo unanvyosema kuwa mimi ni mfalme, Kwa sababu hii mimi nilizaliwa na kwa sababu hii mimi nimekuja ulimwenguni ili niwe shahidi wa ile kweli. Yeyote aliye wa hiyo kweli huisikiliza sauti yangu.
Basi Pilato akan'jobhela, “Je, bhebhe wa mfalme?” Yesu akajibu, “bhebhe ndo kya wijobha kujha nene na mfalme, Kwandabha ejhe nene nahogoliki na kwandabha nene nihidili pa ulimwengu ili nijhelayi shahidi ghwa kweli jhela. Jhejhioha jha ajhele ghwa ejhu kweli akajhipelekesya sauti jha nene.
38 Pilato akamwambia, “Kweli ni nini?” Naye alipokwisha sema haya akaenda kwa Wayahudi na kuwaambia “Siona katika lolote mtu huyu.
Pilato akan'jobhela, “Kweli ndo kiki?” Ni muene bho amalikujobha agha akalota kwa Bhayahudi ni kujobha “Nikalibhona lepi likosa lyolyoha kwa munu ojho.
39 Ninyi mna utamaduni unaonifanya nimfunfungulie mfungwa mmoja wakati wa Pasaka. Je mnataka nimfungulie mfalme wa Wayahudi.”
Muenga mujhele ni utamaduni bhwa ukanifuanya nimfungulilayi mfungwa mmonga wakati wa Pasaka. Je mwilonda nibhafungulilayi mfalme ghwa Bhayahudi.”
40 Kisha walipiga kelele wakisema, siyo huyu, tufungulie Baraba.” Naye Baraba alikuwa mnyang'anyi.
Kisha bhapigili majhuegha bhakajobha, ojho lepi, tufungulilayi Baraba.” Ni muene Baraba ajhele mnyang'anyi.