< Yohana 16 >
1 Nimewaambia mambo haya ili msiweze kukwazwa.
«Hambe, jaman itsh t keew it imnetiyatse it giwawok'owa etaatniye.
2 Watawatoa nje ya masinagogi; hakika saa inakuja ambayo kila atakayewaua atafikiri kuwa anafanya kazi njema kwa ajili ya Mungu.
Ayhudiyots Ik' k'oni mootse kishder iti gishitno, mank'o itn ud'itu jamwots dab́ Ik'osh bofinirwok'o boosh bí arit aawo weetwe.
3 Watawatendea mambo haya kwa sababu hawamfahamu Baba wala hawanifahamu mimi.
Hanowere bok'alir nihono taano bodanawotsene.
4 Nimewaambia mambo haya ili kwamba wakati ukifika wa haya kutokea, mnaweza kuyakumbuka na jinsi nilivyowaambia muweze wao. Sikuwaambia kuhusu mambo haya tangu mwanzo kwa sababu nilikuwa pamoja nanyi.
Han itsh tkeewiriye bíaawo b́bodor itsh eeg tkeewtsok'o gaw itdekishe.» Jaman haniyere shin itsh keewo tk'aziye itnton t teshtsotsne.
5 Japokuwa, sasa naenda kwa yule aliyenituma; lakini hakuna kati yenu anayeniuliza, “Unaenda wapi?”
«Andmó taan woshtsok amishee, b́wotiyalor ititse ‹Eewke niameti› err taan aatitwo aaliye.
6 Kwa sababu nimesema maneno haya kwenu, huzuni imejaa mioyoni mwenu.
Jaman itsh t keewtsotse it nibo shiyanon s'eenwtsere.
7 Hata hivyo, nawaambia ukweli: ni vyema kwenu nikiondoka; kwa maana nisipoondoka, mfariji hatakuja kwen; lakini nikienda ntamtuma kwenu.
Taamó arikon aroniye itsh tietiriye, ti amo itsh k'anefe, taa amo t k'azal kup'shitwo itook waratse, taa tiamalmó bín itsh deyitwe.
8 Akija, huyo mfariji ataubitisha ulimwengu kuhusiana na dhambi, kuhusiana na haki na kuhusiana na hukumu.
Bí b́woor morri jangosh, kááw woti jango, angshi jangosho datsatsi ashuwotsi wok'asitwe.
9 Kuhusiana na dhambi, kwa sababu hawakuniamini mimi,
Morri jango b́ kitsitiye taan amano bok'azirwoshe.
10 kuhusiana na haki, kwa sababu naenda kwa baba, na hamtaniona tena;
Kááw woti jango kish b́ kitsitiye niho maants tiametwonat haniye haniyak taan bek'o it k'azetwoshe,
11 na kuhusiana na hukumu kwa sababu mkuu wa ulimwengu huu amehukumiwa.
Angshi jango kish b́kitsit datsan keewtsoats angshetsoshe.
12 Ninayo mengi ya kuwaambia, lakini hamtayaelewa sasa.
«Itsh t keewitwo andoor ay keewo detsfe, ernmó and itatse b́mangiti,
13 Lakini, yeye, Roho wa kweli, akija, atawaongoza katika kweli yote; kwa kuwa hataongea kwa ajili yake mwenyewe; lakini yoyote atakayoyasikia, atayasema mambo hayo; na atayadhihirisha kwenu mambo yatakayokuja.
Arik wotts Shayiro b́ woor ar jamo maants itn jishitwe. Bí b́ keewitwo b́ shishtsoni bako b́tokk woto b́ k'aztsotse bí shinomaants wotit keewo itsh keewitwe.
14 Yeye atanitukuza mimi, kwa sababu atayachukua mambo yangu na atayatangaza kwenu.
Tik wottsotse de'er itsh b́keitwotse taan mangitwe.
15 Vitu vyote alivyonavyo Baba ni vyangu; kwa hiyo, nimesema kwamba Roho atachukua mambo yangu na atayadhihirisha kwenu.
Nihok wotts jamo tikee, ‹Tik wottso de'er itsh keewitwe› ti et manshe.
16 Bado muda mfupi, hamtaniona tena; na baada ya muda mfupi tena, mtaniona.”
«Muk'i it teshiyakon taan be'atste, ando muk'i it teshiyakon taan bek'etute.»
17 Baadhi ya wanafunzi wake wakaambizana, “Ni nini anachotuambia, “muda mfupi, na hamtaniona tena,' na, kisha, mda mfupi mtaniona,' na, 'kwa sababu naenda kwa Baba?”
B́ danifwotsitse ik ikwots, «Han, ‹Muk'i b́ teshihakon taan be'atste, ando muk'i it teshihakon taan bek'etute, ando aani nihomaants ametuwe› b́ etiru keewo eebi?» ett boatsatseyo bo aateyi.
18 Kwa hiyo wakasema, “Ni kitu gani anachosema, 'Bado mda mfupi'? Hatujui asemavyo.”
«Eshe han ‹Muk'i b́teshihakon› bí etiru keewo eebi? B́ keewiru keewo danatsone» ett anansh dek't́ boaateyi.
19 Yesu aliona kuwa walitamani kumuuliza, naye akawaambia, “Mnajiuliza wenyewe kuhusu hili, nilivyosema, 'Bado muda mfupi, hamtaniona tena; na baada ya muda mfupi mtaniona'?
Iyesuswere bín aatosh bogeyirwok'o dank'rat hank'o boosh bíet, «It atsatseyo it aateyirwo, ‹Muk'i b́ teshiyakon taan be'atste, ando aani múk'ibteshiyakon taan bek'etute, › ti ettsosheya?
20 Amin, amin, nawaambia, mtalia na kuomboleza, lakini ulimwengu utashangilia, mtakuwa na huzuni lakini huzuni yenu itageuka kuwa furaha.
Ariko aron itsh etirwe, it eepetutee, kuhitutee, datsanmó genee'uwitwee, it shiyanitute, ernmó it shiyano gene'o maants woneetwe.
21 Mwanamke anakuwa na huzuni wakati anapokuwa na uchungu kwa sababu wakati wa kujifungua umefika; lakini anapojifungua mtoto, hakumbuki tena maumivu kwa sababu ya furaha yake kwamba mtoto amezaliwa duniani.
Máátsu bshuwor b shambi aawo b́bodtsotse shiyanitwaniye, bshuwihakonmó datsats na'i marmat'o bshuwetsotse bgene'utsatse tuutson bali b kic'o gawratsaniye.
22 Ninyi pia mna huzuni sasa, lakini nitawaona tena; na mioyo yenu itafurahi na hakuna atakayeweza kuiondoa furaha yenu.
Mank'o and it shiyanitute, ernmó taa aani iti bek'etwe, it mac'onwere gene'uitwe, it gene'uwere itatse dek'etwo aaliye.
23 Siku hiyo hamtaniuliza maswali. Amin, Amin, nawaambia, Mkiomba lolote kwa Baba, atawapa kwa jina langu.
«Manots aawots tiyoke eegor k'onratste, ariko arikon itsh etirwe niho tshútson it k'oniyal jam keewo itsh ímetwe.
24 Mpaka sasa hamjaomba lolote kwa jina langu; ombeni, nanyi mtapokea ili kwamba furaha yenu ikamilike.
Han b́ borfetsosh t shútson eegor ik keewo k'onrafa'atee, it k'oniyal itsh imetwe, mannowere it gene'uo s'een wotitwe.
25 Nimezungumza na ninyi kwa lugha isiyoeleweka, lakini saa inakuja ambapo sitazungumza kwa lugha isiyoeleweka lakini badala yake nitawaambia waziwazi kuhusu Baba.
«Andish b́borfetso jewron itsh keewre, haniyako jewron itsh t keeweraw aawo weetwe, ernmó niho jangosh jam keewo kishde itsh keewitwe.
26 Siku hiyo mtaomba kwa jina langu, na siwaambii kwamba nitaomba kwa Baba kwa ajili yenu;
Manots aawots tshútson k'onitute, taawere ‹Niho it jangosh k'onitwe› eraatse.
27 Kwa kuwa Baba mwenyewe anawapenda kwa sababu mmenipenda mimi na kwa sababu mmeniamini kuwa nimetoka kwa Baba.
Man eegoshe niho b́tookon iti b́shuntsoshe, nihonwere iti b́shunir taan it shuntsonat Ik'oke twatsok'o it amantsotsne.
28 Nilitoka kwa Baba na nimekuja ulimwenguni; tena, naondoka ulimwenguni na ninaenda kwa Baba”.
Nihoke keshat datsats waare, ando aaniy datsani k'ayr nihok ametuwe.»
29 Wanafunzi wake wakamwambia, “Unaona, sasa unaongea wazi wazi na hautumii mafumbo.
B́danifwotswere hank'owa boet, «Hamb! andee jewron b́woterawon shanone n keewi,
30 Sasa, tunajua kwamba unajua mambo yote, na hauhitaji mtu yoyote akuulize maswali. Kwa sababu hii tunaamini kuwa unatoka kwa Mungu.
Nee jamo n dantsok'onat nee konnwor neesh aato t'intso b́geyirawok'o and t'iwintsdek'roone, mansh Ik'oke keshat n waatsok'o amanirwone.»
31 Yesu akawajibu, “Sasa mmeamini?”
Iyesuswere boosh hank'o ett bíaaniy, «Andmó amanertya?
32 Tazama, saa inakuja, ndiyo na hakika imefika, ambapo mtatawanyika kila mmoja na kwa wa kwao mtaniacha mwenyewe. Lakini siko peke yangu kwa sababu Baba yupo nami.
It ik ikets it kaat kaaton bad'arr tiyali k'ayitk'rit sa'ato weetwe, b́ sa'atonwere andbodre, ernomó niho taanton b́wottsotse tiyaltanaliye.
33 Nawaambia mambo haya ili kwamba ndani yangu muwe na amani. Duniani mna matatizo, lakini jipeni moyo, nimeushinda ulimwengu.
Han itsh tkeewir tiats deshar jeeno it datsitwok'owa etaatniye, datsanatse it befetsosh gondbek'o itaatse'faee, ernmó shatk'ayere, taa datsani da'adek're.»