< Yohana 15 >
1 Mimi ni mzabibu wa huu kweli, na baba yangu ni mkulima wa mzabibu.
Unene ni muzabibu nua tai, nu tata nuane ingi mulimi nua mizabibu.
2 Kila tawi ndani yangu ambalo halizai tunda, na husafisha kila tawi ambalo huzaa tunda huliondoa ili kwamba liweze kuzaa zaidi.
Kila itambi mukati ane niiza shanga lipaa i nkali wi lihenguila, ni kila itambi ni llipaa inkali wilelyaa iti kina lihume kupa ikilo.
3 Ninyi tayari mmekuwa safi kwa sababu ya ujumbe ambao nimekwisha waambia.
Unyenye yakondaa kutula mielu kunsoko a lukani naza nakondyaa kumutambuila.
4 Mkae ndani yangu, na mimi ndani yenu. Kama tawi lisivyoweza kuzaa peke yake lisipo kuwa katika mzabibu, kadhalika nayi, msipo kaa ndani yangu.
Mikie mukati ane, nu nene mukati anyu. Anga itambi ni shanga lihumile kupaa ling'wene, anga lihite kutula mu muzabibu, ga ni iti unyenye, anga muhite kikie mukati ane.
5 Mimi ni mzabibu; ninyi ni matawi. Adumuye ndani yangu na mimi ndani yake, mtu huyu huzaa matunda mengi, kwa kuwa pasipo mimi hamuwezi kufanya jambo lolote.
Unene ingi ni muzabibu; unyenye mi ntambi. Nuikiie mukati ane nu nene mu kati akwe, muntu uyu wipezaa nkali idu, kunsoko anga ize shanga nene shanga muhuile kituma ikani lihi.
6 Ikiwa mtu yeyote hatasalia ndani yangu, atatupwa kama tawi na kukauka; watu hukusanya matawi na kuyatupa katika moto, na kuteketea.
Anga itule muntu wihi shanga ukusaga mukati ane, ukugung'wa anga itambi nukuma; antu ilingiila i ntambi nu kugumila mu moto, nu kulimila.
7 Ikiwa mtadumu ndani yangu, na kama maneno yangu yakidumu ndani yenu, ombeni lolote mtakalo, nanyi mtafanyiwa.
Anga itule mukikie mukati ane, hangi anga imakani ane ikie mukati anyu, lompi lihi ni muloilwe, nu nyenye mukutendelwa.
8 Katika hili baba yangu ametukuzwa, kwamba mnazaa matunda mengi na kwamba ni wanafunzi wangu.
Mu ili uTata nuane ukuigwe, kina mipezaa nkali idu ni kina ingi mi amanyisigwa ane.
9 Kama baba yangu alivyonipenda mimi, mimi pia nimewapenda ninyi; dumuni katika pendo langu.
Anga uTata nuane nai undoilwe unene, Ga nu nene namulowaa unyenye; ikii mu ulowa nuane.
10 Ikiwa mtashika amri zangu, mtadumu katika pendo langu kama nilivyo shika amri za baba yangu na kudumu katika pendo lake.
Anga itule mikaamba i malagiilyo ane, mukikie mu ulowa nuane anga ni mambiie i malagiilyo ang'wa Tata nu ane nu kikie mu ulowa nuakwe.
11 Nimesema mambo haya kwenu ili kwamba furaha yangu iwe ndani yenu na ili kwamba furaha yenu ifanyike kuwa timilifu.
Ni maligitilye i makani aya kitalanyu iti kina iloeelya nilane litule mukati anyu ni iti kina iloeelya ni lanyu litulike kutula likondaniie.
12 Hii ndiyo amri yangu, kwamba mpendane ninyi kwa ninyi kama nilivyo wapenda ninyi.
Ili lilo ilagiilyo nilane, kina milowe unyenye ku nyenye anga nai numuloilwe unyenye.
13 Hakuna mtu aliye na upendo mkuu kuliko huu, kwamba ayatoe maisha yake kwa ajiliya rafiki zake.
Kutili u muntu nukete u ulowa ukulu kukila uwu, kina walupumye u likalo nu lakwe ku nsoko a ahumba uya.
14 Ninyi ni rafiki zangu ikiwa mtafanya yale niwaagizayo.
Unyenye mi ahumba iane anga itule mukituma ayo ni neenda mulagiilya.
15 Siwaiti watumwa, kwa kuwa mtumwa hajui kile afanyacho bwana wake. Nimewaita ninyi marafiki, kwa sababu nimewajulisheni mambo yote ambayo nimesikia kutoka kwa Baba.
Shanga kumitanga atugwa, ku nsoko u mutugwa shanga ulingile iko nuitumaa u mukulu nuakwe. Numitangile unyenye ahumba iane. ku nsoko namukumuila i makani ihi naiza nigulye kupuma kung'wa Tata.
16 Hamkunichagua mimi, bali mimi niliwachagua ninyi na kuwaweka mwende mazae matunda, na tunda lenu lipate kukaa. Hii liko hivi ili kwamba chochote muombacho kwa Baba kwa jina langu, atawapeni.
Shanga ai muniholanilye unene, ila unene ai numuholanilye unyenye nu kumuika mulongole mupe inkali, ni nkali yanyu ilije kikie. Ili likoli iti kina kihi ni mukulompa kung'wa Tata ku lina ni lane, ukuminkiilya.
17 Mambo haya ninawaagiza, kwamba mpendane kila mtu na mwenzake.
Makani aya kumulagiilya, kina milowe kila muntu nu muya.
18 Kama ulimwengu utawachukia, mjuwe kwamba ulinichukia mimi kabla haujawachukia ninyi.
Anga ize u unkumbigulu ukumubipilwa, mulinge kina ai umbipiwe unene ze ikili kumubipilwa unyenye.
19 Kama mngekuwa wa ulimwengu, ulimwengu ungewapenda kama wa kwao; Lakini kwa sababau ninyi sio wa ulimwengu na kwa sababu niliwachagua kutoka katika ulimwengu, ni kwa ajili hii ulimwengu huwachukia.
Anga aza mutule mia unkumbigulu, u unkumbigulu aza uzee mulowa anga mia kitalao; Kuiti ku nsoko shanga mia unkumbigulu hangi kunsoko ai numuholanilye kupuma mu unkumbigulu, ingi kunsoko ili u unkumbigulu wimubipilwa.
20 Kumbukeni neno ambalo niliwaambia, 'Mtumwa si mkuu kuliko bwana wake.' Ikiwa walinitesa mimi, watawateseni ninyi pia; Kama walishika neno langu, wangelishika la kwenu pia.
Kimbukiilyi ikani naiza numutambuie, 'uMutugwa shanga mukulu kukila umukulu nuakwe, 'Anga itule ai anagilye unene, akumaja nu nyenye ga; Anga izee ai a ambile u lukani nulane, ai azee amba nulu nulanyu ga.
21 Watawatendeeni mambo haya yote kwa ajili ya jina langu kwa sababu hawamjui yule aliyenituma.
Akumutendeela makani aya ihi kunsoko a lina ni lane kunsoko shanga amulingile uyo numulagiiye.
22 Kama nisingekuja na kuwaambia waambia, wasingalikuwa wamefanya dhambi; lakini sasa hawana udhuru kwa dhambi yao.
Anga aza itule shanga aza nzile nu kuatambuila, shanga ai azeetula itumile u mulandu; kuiti itungili agila u winegi ku milandu ao.
23 Anichukiaye mimi humchukia Baba pia.
Nuimbipilwaa unene wimubipilwaa nu Tata ga.
24 Ikiwa sijafanya kazi miongoni mwao ambayo hapana mmoja aliyeifanya, wangelikuwa hawana dhambi; lakini sasa wamefanya yote mawili wameona na wamenichukia mimi na Baba yangu.
Anga itule shanga nitumile u mulimo mukati ao naiza kutili nung'wi nai witumile, ai azeetula agila u mulandu; kuiti itungili itumile ihi abiili ihengile hangi ambipiwe unene nu Tata nuane.
25 Hili linatokea ili kwamba neno litimie ambalo limeandikwa katika sheria yao: 'Wananichukia mimi bila sababu.'
Ili likupumila iti kunsoko lukani lukondaniile naiza lukilisigwe mi ilagiilyo ni lao; 'Ambipiwe unene bila nsoko.'
26 Wakati mfariji amekuja, ambaye nitamtuma kwenu kutoka kwa Baba, huyu ndiye, Roho wa kweli, ambaye anatokea kwa Baba, atanishuhudia.
Itungo u mupooelya nuazaa, naiza numulagiiye kitalanyu kupuma kung'wa Tata, uyu yuyo, Ng'wau ng'welu nua tai, naiza ukupembelya kung'wa Tata, ukunkuiila. Ga nu nyenye muku nkuiila kunsoko matulaa palung'wi nu nene puma ung'wandyo.
27 Ninyi pia mnanishuhudia kwa sababu mmekuwa pamoja nami tangu mwanzo.