< Yohana 15 >

1 Mimi ni mzabibu wa huu kweli, na baba yangu ni mkulima wa mzabibu.
[Jesus talked to us as we were walking along. Speaking figuratively of the need for us to live in a way that God wants us to, he said], “I am like [MET] a genuine vine, [not like those Jewish leaders who do not teach the truth]. My father is like [MET] a gardener who [works to] take care of a vineyard.
2 Kila tawi ndani yangu ambalo halizai tunda, na husafisha kila tawi ambalo huzaa tunda huliondoa ili kwamba liweze kuzaa zaidi.
[Just like a gardener] cuts off the branches that bear no grapes [MET], [God gets rid of those who do not please him even though they say that they belong to him]. Those branches that bear fruit, [the gardener] trims so that they may bear more grapes. [Similarly, my Father disciplines/corrects those who live as he wants them to live].
3 Ninyi tayari mmekuwa safi kwa sababu ya ujumbe ambao nimekwisha waambia.
You are already [like] the branches [that a gardener] trims because [you have believed] the message that I have told you.
4 Mkae ndani yangu, na mimi ndani yenu. Kama tawi lisivyoweza kuzaa peke yake lisipo kuwa katika mzabibu, kadhalika nayi, msipo kaa ndani yangu.
Remain having a close relationship with me. [If you do that], I will remain having a close relationship with you. A branch [of a vine] cannot bear fruit [if it is cut off and left] by itself. To bear fruit, it must remain attached to the vine. Similarly, you cannot [live the way that God wants you to] if you do not remain united to me [MET].
5 Mimi ni mzabibu; ninyi ni matawi. Adumuye ndani yangu na mimi ndani yake, mtu huyu huzaa matunda mengi, kwa kuwa pasipo mimi hamuwezi kufanya jambo lolote.
I am [like] [MET] a vine. You are [like] [MET] the branches. All those who have a close relationship with me and with whom I have a close relationship will [do much that pleases God, like] [MET] [a vine that] bears much fruit. [Remember that] you can do nothing [HYP] [that truly pleases God] without my [help].
6 Ikiwa mtu yeyote hatasalia ndani yangu, atatupwa kama tawi na kukauka; watu hukusanya matawi na kuyatupa katika moto, na kuteketea.
[A gardener cuts off and] throws away useless branches. Then, after they dry up, [he] picks them up and throws them into a fire and burns them [SIM]. Similarly, everyone who does not remain having a close relationship with me, [God] will get rid of.
7 Ikiwa mtadumu ndani yangu, na kama maneno yangu yakidumu ndani yenu, ombeni lolote mtakalo, nanyi mtafanyiwa.
If you remain having a close relationship with me and you keep [living in accordance with] my message, you can ask [God to do] anything for you, and he will do it.
8 Katika hili baba yangu ametukuzwa, kwamba mnazaa matunda mengi na kwamba ni wanafunzi wangu.
The way my Father is honored is by your {The way you honor my Father is by} doing much that pleases him [MET], and by doing that, you will show that you are my disciples.
9 Kama baba yangu alivyonipenda mimi, mimi pia nimewapenda ninyi; dumuni katika pendo langu.
I have loved you just as [my] Father has loved me. Now keep living in [a way that is appropriate for those whom] I love.
10 Ikiwa mtashika amri zangu, mtadumu katika pendo langu kama nilivyo shika amri za baba yangu na kudumu katika pendo lake.
If you obey what I have commanded you, you will be acting in [a way that is appropriate for those whom] I love, just like I have obeyed what my Father has commanded me and I act [in a way that is appropriate for someone] whom he loves.
11 Nimesema mambo haya kwenu ili kwamba furaha yangu iwe ndani yenu na ili kwamba furaha yenu ifanyike kuwa timilifu.
I have told you these things so that you may be joyful as I [am joyful], and that you may be completely joyful.
12 Hii ndiyo amri yangu, kwamba mpendane ninyi kwa ninyi kama nilivyo wapenda ninyi.
What I am commanding you is this: Love each other just like I have loved you.
13 Hakuna mtu aliye na upendo mkuu kuliko huu, kwamba ayatoe maisha yake kwa ajiliya rafiki zake.
The best way that people can show that they love someone is to die for that person. There is no way that you can love someone in a greater way than that.
14 Ninyi ni rafiki zangu ikiwa mtafanya yale niwaagizayo.
You [show that you] are my friends if you keep doing what I have commanded you.
15 Siwaiti watumwa, kwa kuwa mtumwa hajui kile afanyacho bwana wake. Nimewaita ninyi marafiki, kwa sababu nimewajulisheni mambo yote ambayo nimesikia kutoka kwa Baba.
I will no longer call you my servants, because servants do not know [why] their masters [want them to] do things. Instead, I have said that you are my friends, because I, [acting like a friend], have revealed to you everything that my Father told me.
16 Hamkunichagua mimi, bali mimi niliwachagua ninyi na kuwaweka mwende mazae matunda, na tunda lenu lipate kukaa. Hii liko hivi ili kwamba chochote muombacho kwa Baba kwa jina langu, atawapeni.
You did not decide to become my [disciples]. Instead, I chose you, so that you would do many things that please him [MET]. The results of what you do will last [forever]. I also chose you so that [my] Father will do for you whatever you, using my authority, ask him to do [MTY].
17 Mambo haya ninawaagiza, kwamba mpendane kila mtu na mwenzake.
[I repeat what] I have commanded you: Love each other.”
18 Kama ulimwengu utawachukia, mjuwe kwamba ulinichukia mimi kabla haujawachukia ninyi.
“The people who are opposed to God will hate you. When that happens, remember that they hated me first.
19 Kama mngekuwa wa ulimwengu, ulimwengu ungewapenda kama wa kwao; Lakini kwa sababau ninyi sio wa ulimwengu na kwa sababu niliwachagua kutoka katika ulimwengu, ni kwa ajili hii ulimwengu huwachukia.
If you belonged to those who are opposed to God [MTY], they would love [you like they love] those who belong to them. But you do not belong to those who are opposed to God [MTY]. Instead, I chose you so that you would separate yourselves from [MTY] them. That is why those who are opposed to God [MTY] hate you.
20 Kumbukeni neno ambalo niliwaambia, 'Mtumwa si mkuu kuliko bwana wake.' Ikiwa walinitesa mimi, watawateseni ninyi pia; Kama walishika neno langu, wangelishika la kwenu pia.
Remember these words that I told you: ‘No servant is greater than his master.’ [That means that you, who are like my servants, cannot expect people to treat you better than they treat me]. So, since they have (persecuted me/caused me to suffer), they will (persecute you/cause you to suffer) also. If they had paid attention to the things I taught them, they would pay attention to what you teach them.
21 Watawatendeeni mambo haya yote kwa ajili ya jina langu kwa sababu hawamjui yule aliyenituma.
They will treat you like that because you [belong to] me [MTY], and because they do not know the one who sent me.
22 Kama nisingekuja na kuwaambia waambia, wasingalikuwa wamefanya dhambi; lakini sasa hawana udhuru kwa dhambi yao.
If I had not come and spoken [God’s message] to them, they would not be guilty [of rejecting me and my message]. But now [I have come and told them God’s message, so] they will have no excuse [when God judges them] for their sin.
23 Anichukiaye mimi humchukia Baba pia.
All those who hate me, [it is as though] they hate my Father as well.
24 Ikiwa sijafanya kazi miongoni mwao ambayo hapana mmoja aliyeifanya, wangelikuwa hawana dhambi; lakini sasa wamefanya yote mawili wameona na wamenichukia mimi na Baba yangu.
If I had not done among them the [miracles] that no one else ever did, they would not be guilty of the sin [of rejecting me]. But now, [although] they have seen [those miracles], they have hated both me and my Father.
25 Hili linatokea ili kwamba neno litimie ambalo limeandikwa katika sheria yao: 'Wananichukia mimi bila sababu.'
But this has happened in order that these words that have been written in their Scriptures might be fulfilled {to fulfill this that [(someone/the Psalmist]) wrote in their Scriptures}: ‘They hated me for no reason.’
26 Wakati mfariji amekuja, ambaye nitamtuma kwenu kutoka kwa Baba, huyu ndiye, Roho wa kweli, ambaye anatokea kwa Baba, atanishuhudia.
[Later] I will send to you from [my] Father the one who will (encourage/be like a legal counsel for) you. He is the Spirit [who will teach you God’s] truth. He will come from my Father. He will tell people about me.
27 Ninyi pia mnanishuhudia kwa sababu mmekuwa pamoja nami tangu mwanzo.
But you [disciples] must also tell people [about me], because you have been with me from the time when I started [my ministry] [MTY].”

< Yohana 15 >