< Yohana 13 >
1 Sasa kabla ya sikukuu ya pasaka, kwa sababu Yesu alifahamu kuwa saa yake imefika ambayo atatoka katika dunia hii kwenda kwa baba, akiwa amewapenda watu wake ambao walikuwa duniani, aliwapenda upeo.
Ceitakhai pawi a pha hoeh nah, Jisuh teh het talaivan heh ceitakhai vaiteh a na Pa koe cei hane tueng a pha toe tie a panue. Ahni ni het talaivan kaawm e a taminaw a lungpataw dawkvah, apout totouh a lungpataw.
2 Na ibilisi alikuwa amewekwa tayari katika moyo wa Yuda Isikariote, mwana wa simoni, kumsaliti Yesu.
Tangmin bu a ca awh lahun nah kahraimathout ni Simon capa, Judah Isakarot e a lungthung vah Jisuh pahnawt hanelah pouknae yo a la poe toe.
3 Yesu alifahamu kuwa baba ameweka vitu vyote katika mikono yake na kwamba ametoka kwa Mungu na alikuwa anakwenda tena kwa Mungu.
Pa ni bangpuengpa hai ama kut dawk koung a poe tie hoi ama teh Cathut koehoi ka tho ni teh Cathut koe bout ka cei han toe tie hai Jisuh ni a panue.
4 Aliamka chakulani na akatandika chini vazi lake la nje. Kisha alichukua taulo na akajifunga mwenyewe.
Tangmin bu vennae koehoi a thaw teh, angkidung a rading, hnica hah a la teh a keng dawk a kâyeng.
5 Kisha akatia maji katika bakuli na akaanza kuwaosha miguu wanafunzi wake na kuwafuta na taulo ambayo alijifunga yeye mwenyewe.
Hathnukkhu, tui kawlung dawk a hlun teh a hnukkâbangnaw e khok a pâsu pouh teh hnica hoi a hui pouh.
6 Akaja kwa Simoni Petro, na Petro akamwambia, “Bwana, Unataka kuniosha miguu yangu?”
Telah hoi Simon Piter koe a pha toteh, ahni ni Bawipa nang ni kaie ka khok hah na pâsu han maw atipouh.
7 Yesu akajibu na kumwambia, “Nifanyalo hulijui sasa, lakini utaelewa baadaye.”
Jisuh nihai, nang ni atu kai bangmaw ka sak tie na panuek hoeh, atototeh na panue han, atipouh.
8 Petro akamwambia, “Hutaniosha miguu yangu kamwe.” Yesu akamjibu, “Ikiwa sitakuosha, hutakuwa na sehemu pamoja nami.” (aiōn )
Piter nihaiyah, Bawipa nang ni kaie ka khok pâsu hanh atipouh. Jisuh ni, kai ni ka pâsu hoehpawiteh nang teh kai hoi kâkuetnae awm mahoeh, atipouh. (aiōn )
9 Simoni Petro akamwambia, “Bwana, usinioshe miguu yangu tuu, bali pia na mikono na kichwa changu.”
Simon Piter ni hai pawiteh ka khok dueng pâsu hanh, ka kut hoi ka lû pueng hai pâsu, atipouh.
10 Yesu akamwambia, “Yeyote ambaye amekwisha kuoga haitaji kuoga isipokuwa miguu yake, na amekuwa safi mwili wake wote; ninyi mmekuwa safi, lakini si nyote.”
Jisuh nihai, tui ka kamhluk tangcoung e ni teh a khok dueng doeh pâsu han a ngai. A tak teh a thoung. Nangmanaw teh na thoung awh ei, buet touh teh thoung hoeh, atipouh.
11 Kwa kuwa Yesu alijua yule atakaye msaliti; hii ndiyo sababu alisema, si nyote mmekuwa safi.”
Bawipa ni ama ka pahnawt hane a panue dawkvah, nangmouh thung dawk buet buet touh na thoung hoeh ti a deingainae doeh.
12 Wakati Yesu alipokuwa amewaosha miguu yao na akiisha chukua vazi lake na kukaa tena, aliwaambia, “Je Mnaelewa kile ambacho nimewafanyia?
Jisuh ni a khoknaw be a pâsu pouh hnukkhu, angkidung bout a kho teh a tahung. Kai ni ka sak e hah na thai panuek awh maw, telah a pacei.
13 Mnaniita mimi “Mwalimu” na Bwana hii mnasema kweli, maana ndivyo nilivyo.
Kai teh nangmouh ni Bawipa, saya telah na kaw awh, hottelah ka o dawk atueng.
14 Ikiwa mimi Bwana na mwalimu, nimewaosha miguu yenu, ninyi pia imewapasa kuwaosha wenzenu miguu.
Kai teh nangmae Bawipa hoi saya lah ka o eiteh nangmae na khok ka pâsu pawiteh nangmouh teh buet touh hoi buet touh na kâpasu van awh han.
15 Kwa kuwa nimewapa mfano ili kwamba ninyi pia mfanye kama mimi nilivyo fanya kwenu.
Kai ni nangmouh koe ka sak e patetlah nangmouh ni na out awh hanelah ka sak toe.
16 Amini, Amini, nawambia, mtumwa si mkuu kuliko bwana wake; wala yule ambaye ametumwa ni mkuu kuliko yule aliye mtuma.
Atangcalah ka dei, bawi teh san hlak a talue, laicei hlak kapatounkung a talue.
17 Ikiwa unafahamu mambo haya, umebarikiwa ukiyatenda.
Hetnaw nangmouh ni na panue awh hnukkhu na tarawi awh pawiteh, nangmouh teh a yawkahawi e tami lah na o awh han.
18 Sisemi kuhusu ninyi nyote, kwa kuwa nawajua wale ambao nimewachagua - bali nasema haya ili kwamba maandiko yaweze kutimilizwa: 'Yeye alaye mkate wangu ameniinulia kisigino chake.'
Nangmouh abuemlah dei ngainae na hoeh. Ka rawi e tami teh ka panue. Hatei, kaie vaiyei ka hmawng khai e ni a khok hoi na pathui tie Cakathoung a kuep han.
19 Ninawambia hili sasa kabla halijatokea ili kwamba litakapotokea, muweze kuamini kuwa mimi NDIYE.
Hete hno a tâco hoehnahlan sut ka dei. A pha na hnin toteh kai heh ahni doeh toe tie na panue awh han.
20 “Amini, amini, nawambia, anipokeaye mimi humpokea ambaye nina mtuma, na yule anipokeaye mimi humpokea yule aliye nituma mimi.”
Lawkkatang na dei pouh awh, kai ni ka patoun e tami na dâw pawiteh kai na dâw e lah ao. Kai na ka dâw e tami teh kai na kapatounkung ka dâw e lah a o, atipouh.
21 Wakati Yesu aliposema haya, alisumbuka rohoni, alishuhudia na kusema, “Amini, amini, nawambia kwamba mmoja wenu atanisaliti.”
Jisuh ni hete lawknaw be a dei hnukkhu vah, muitha dawk a reithai laihoi, atangcalah na dei pouh awh. Nangmouh thung dawk buet touh ni kai hah na pahnawt han telah atipouh.
22 Wanafunzi wake wakatazamana, wakishangaa ni kwa ajili ya nani alizungumza.
A hnukkâbangnaw ni apimaw a deingai vaiyoe a titeh buet touh hoi buet touh a kâkhet awh.
23 Kulikuwa katika meza, mmoja wa wanafunzi wake ameegama kifuani mwa Yesu yule ambaye Yesu alimpenda.
Jisuh ni a lungpataw e a hnukkâbangnaw thung dawk buet touh teh Jisuh koe rek kahnai lah a tahung.
24 Simoni Petro alimuuliza mwanafunzi huyu na kusema, “Twambie ni yupi ambaye kwake anazungumza.”
Simon Piter ni, apimaw a deingainae pacei haw, telah hote ahnuk kâbang e koe minout a poe.
25 Mwanafunzi yule aliye egama kifuani mwa Yesu na akamwambia, “Bwana, ni nani?”
Hatdawkvah, hote ahnuk kâbang e ni Jisuh koe rek a hnai teh, Bawipa apimaw atipouh.
26 Kisha Yesu alijibu, “Ni kwake yule nitakaye chovya kipande cha mkate na kumpatia.” Hivyo alipo kuwa amechovya mkate, alimpatia Yuda mwana wa Simon Iskariote.
Jisuh ni kai ni vaiyei ka raen vaiteh ka ranup hnukkhu ka poe e ni kai teh na man sak han ati teh, vaiyei raen e hah Simon capa Judah Isakarot teh a poe.
27 Na baada ya mkate, Shetani alimuingia. Kisha Yesu akamwambia, “Kile ambacho unataka kukifanya ukifanye haraka.”
Ahni teh vaiyei a ca hoi, Setan ni a thung a kâen. Jisuh ni hai na sak hane kawi hno karanglah sak leih, atipouh.
28 Sasa hakuna mtu katika meza alijua sababu ya Yesu kusema jambo hili kwake.
Bangkongmaw Jisuh ni hottelah a dei ati e cungtalah caboi kavennaw buet touh ni hai panuek awh hoeh.
29 Baadhi yao walidhani kwamba, kwa sababu Yuda alishika mfuko wa fedha, Yesu alimwambia, “Nunua vitu tunavyohitaji kwa ajili ya sikukuu,” au kwamba anapaswa kutoa kitu kwa masikini.
Bangpatet ni teh Judah Isakarot teh tangkabom ka kuen e lah ao dawkvah, pawi nah ca hane kawi ran hanlah a patoun mue ati awh. Hoeh pawiteh, karoedengnaw buetbuet touh poe hane mue Jisuh ni a dei telah a pouk awh.
30 Baada ya Yuda kupokea mkate, alitoka nje harak; na ilikuwa usiku.
Judah Isakarot teh vaiyei a ca teh a tâco. Hahoi teh kho a hmo toe.
31 Wakati Yuda alipokuwa ameondoka, Yesu alisema, “Sasa mwana wa Adam ametukuzwa, na Mungu ametukuzwa katika yeye.
Judah a cei hnukkhu, Jisuh ni atuvah tami Capa bawilen lah ao toe. Cathut teh tami Capa dawk hoi bawilen lah ao toe.
32 Mungu atamtukuza katika yeye mwenyewe, na atamtukuza haraka.
Cathut teh tami Capa koehoi a bawilennae awm pawiteh, Cathut ma roeroe ni bawilennae a kamnue sak han. Hote bawilennae teh tang a kamnue sak han.
33 Watoto wadogo, niko pamoja nanyi kitambo kidogo. Mtanitafuta, na kama nilivyowambia Wayahudi, 'Niendako, hamuwezi kuja.' sasa nawambia ninyi, pia.
Ka canaw, kai teh nangmouh hoi dongdeng doeh kaawm ti toe. Nangmouh ni kai hah na tawng awh han. Judahnaw koe ka dei e patetlah atu hai ka dei, kai ka ceinae koe nangmouh na phat thai mahoeh.
34 Ninawapa amri mpya, kwamba mpendane; kama mimi nilivyo wapenda ninyi, vivyo hivyo nanyi pia imewapasa kupendana ninyi kwa ninyi.
Nangmouh ni buet touh hoi buet touh lungkâpataw awh, kai ni lung na pataw awh e patetlah buet touh hoi buet touh lungkâpataw awh telah kâpoelawk katha na poe awh.
35 Kwa ajili ya hili watu watatambua kuwa ninyi ni wanafunzi wangu, ikiwa mna upendo kwa kila mmoja na mwingine.”
Nangmouh ni buet touh hoi buet touh lungkâpataw awh pawiteh, taminaw ni hote lungpatawnae hmawt awh vaiteh nangmouh teh ka hnuk kâbang katang lah na o tie a panue awh han, atipouh.
36 Simoni Petro alimwambia, “Bwana, unakwenda wapi?” Yesu akajibu, “Mahali ninapokwenda kwa sasa hutaweza kunifuata, lakini utanifuata baadaye.”
Simon Piter ni, Bawipa na lah maw na cei han telah a pacei. Jisuh ni kai ka cei nahane hmuen koe atu na kâbang thai mahoeh, hatei, atototeh na kâbang thai han, atipouh.
37 Petro akamwambia, “Bwana, kwa nini nisikufuate hata sasa? Mimi nitayatoa maisha yangu kwa ajili yako.”
Piter ni, Bawipa nang koe atu bangkong kâbang thai hoeh han vaw, Bawipa, nang hanlah ka hringlu ka pasoung han atipouh.
38 Yesu akajibu, “Je utayatoa maisha yako kwa ajili yangu? Amini amini nakwambia, jogoo hatawika kabla hujanikana mara tatu.”
Jisuh ni kai hanlah na hringlu na pasoung katang han maw. Lawkkatang na dei pouh. Ahlui a khawng hoehnahlan nang ni kai vai thum touh na pahnawt han.