< Yohana 12 >
1 Siku sita kabla ya Pasaka, Yesu alienda Bethania, alipokuwapo Lazaro, yeye ambaye alimfufua kutoka katika wafu.
Asi týden před Velikonocemi se Ježíš vrátil do Betanie, kde žil vzkříšený Lazar.
2 Basi wakamwandalia chakula cha jioni huko, na Martha akamtumikia, wakati huo Lazaro alikuwa mmoja wapo wa wale walioketi chakulani pamoja na Yesu.
Na Ježíšovu počest připravili večeři. Marta obsluhovala a u stolu seděl i Lazar.
3 Kisha Mariamu akachukua ratli ya manukato yaliyotengenezwa kwa nardo safi, yenye thamani kubwa, akampaka Yesu miguuni, na kumfuta miguu kwa nywele zake; nyumba yote ilijaa harufu ya manukato.
Marie vzala nádobku s drahým olejem, který byl vyroben z pravého nardu. Pomazala jím Ježíšovy nohy a utřela mu je svými vlasy. Vůně nardu naplnila celý dům.
4 Yuda Iskariote, mmoja wa wale wanafunzi wake, ambaye ndiye atakayemsaliti Yesu, akasema,
Jeden z Ježíšových učedníků – Jidáš Iškariotský, který ho pak zradil, nesouhlasil s počínáním Marie. Řekl jí:
5 “Kwanini manukato haya yasingeuzwa kwa dinari mia tatu na wakapewa maskini?”
„Proč tak vzácný olej raději neprodáš? Vždyť by na něj musel dělník pracovat celý rok. Utržené peníze se mohly rozdat chudým.“
6 Naye aliyasema hayo, si kwa kuwahurumia maskini, bali kwa sababu alikuwa mwizi: yeye ndiye aliyeshika mfuko wa fedha na alikuwa anachukua baadhi ya vilivyowekwa humo kwa ajili yake mwenyewe.
Jidáš to neřekl ze soucitu s chudými, ale proto, že byl zloděj. Staral se o společnou pokladnu, avšak často si z ní něco přisvojil.
7 Yesu alisema, “Mwache aweke alicho nacho kwa ajili ya siku ya maziko yangu.
Ježíš mu k tomu řekl: „Nech ji, připravila mne tím na můj pohřeb.
8 Maskini mtakuwa nao siku zote; lakini hamtakuwa nami siku zote.”
Chudé budete mít mezi sebou stále, ale já už tu s vámi dlouho nebudu.“
9 Basi umati mkubwa wa Wayahudi walipata kujua ya kuwa Yesu yuko huko, nao wakaja, si kwa ajili ya Yesu tu, ila wamwone na Lazaro ambaye Yesu alimfufua kutoka katika wafu.
Poutníci v Jeruzalémě se brzo dověděli o Ježíšově pobytu v Betanii. Ve velkých zástupech se za ním vypravili. Nepřitahoval je však jenom Ježíš, ale chtěli spatřit i vzkříšeného Lazara.
10 Nao wakuu wa makuhani wakafanya shauri ili wamue Lazaro;
Přední židovští kněží se proto usnesli, že odstraní i Lazara,
11 maana kwa ajili yake wengi katika Wayahudi walienda zao na wakamwamini Yesu.
protože byl přesvědčivým dokladem Ježíšovy moci. Mnoho lidí kvůli němu věřilo.
12 Na siku ya pili yake umati mkubwa walikuja kwenye sikukuu. Waliposikia ya kuwa Yesu anakuja Yerusalemu,
Příštího dne se po Jeruzalémě rozkřiklo, že do města přichází Ježíš. Shromáždil se velký dav lidí a šli ho vítat.
13 walichukua matawi ya miti ya mitende na kutoka nje kwenda kumlaki na wakapiga kelele, “Hosana! Amebarikiwa yeye ajaye kwa jina la Bwana, Mfalme wa Israeli.”
Natrhali palmové ratolesti a nadšeně volali: „Sláva Ježíši! Ať žije Mesiáš! Ať žije náš Král!“
14 Yesu alimpata mwana-punda akampanda; kama vile ilivyoandikwa,
Ježíš k nim přijel na oslátku a tak se naplnila předpověď dávného izraelského proroka:
15 “Usiogope, binti Sayuni; tazama, Mfalme wako anakuja, amepanda mwana-punda.”
„Neboj se, Jeruzaléme. Tvůj král se blíží, přijíždí na oslátku.“(Ježíšovi učedníci si tehdy tuto souvislost neuvědomili.
16 Wanafunzi wake hawakuyaelewa mambo haya hapo kwanza; lakini Yesu alipotukuzwa, ndipo walipokumbuka ya kuwa mambo haya aliandikiwa yeye na ya kwamba wametenda mambo haya kwake.
Teprve po Ježíšově vzkříšení pochopili, že se tenkrát naplnilo proroctví.)
17 Basi lile kundi la watu waliokuwepo pamoja na Yesu wakati alipomwita Lazaro kutoka kaburini, wakashuhudia kwa wengine.
Ježíše doprovázelo mnoho svědků Lazarova vzkříšení. Všem o tomto divu vyprávěli,
18 Na ilikuwa kwa sababu hii pia kwamba kundi la watu walikwenda kumlaki kwasababu walisikia ya kwamba ameifanya ishara hiyo.
a tím zástup narůstal.
19 Mafarisayo wakasemezana wao kwa wao, “Tazama, sasa hamwezi kufanya lolote; tazama, ulimwengu umekwenda kwake.”
Farizejů se zmocnila panika: „Jsme ztraceni! Všichni se k němu přidávají.“
20 Sasa baadhi ya Wayunani walikuwa miongoni mwa wale waliokuwa wakienda kuabudu kwenye sikukuu.
V Jeruzalémě bylo i několik Řeků, kteří přišli oslavit velikonoční svátky spolu s Židy. Chtěli Ježíše poznat,
21 Hawa walimwendea Filipo, ambaye alitoka Bethsaida ya Galilaya, wakamwomba wakisema, “Bwana, sisi tunatamani kumwona Yesu.”
a tak poprosili o pomoc Ježíšova učedníka Filipa: „Pane, rádi bychom se setkali s tvým učitelem.“
22 Filipo akaenda akamwambia Andrea; Andrea na Filipo wakaenda na kumwambia Yesu.
Filip vyrozuměl o jejich prosbě Ondřeje a společně to sdělili Ježíšovi.
23 Yesu akawajibu akasema, “Saa imefika kwa ajili ya Mwana wa Adamu kutukuzwa.
Ježíš jim na to řekl: „Blíží se chvíle, kdy dílo Božího Syna bude dovršeno.
24 Amini, amini, nawaambia, chembe ya ngano isipoanguka katika nchi ikafa, hukaa hali iyo hiyo peke yake; bali ikifa, itazaa matunda mengi.
Pšeničné zrno, které není zaseto do země, se sice zachová, ale zůstane samo a bez užitku. Zaseté zrno odumírá, aby mohlo vzklíčit a přinést hojný užitek.
25 Yeye apendaye uhai wake ataupoteza; bali yeye auchukiaye uhai wake katika ulimemngu huu atausalimisha hata uzima wa milele. (aiōnios )
Ten, kdo hledá jen vlastní prospěch, prohraje všechno, kdo mi však dá svůj život k dispozici, bude zachráněn pro věčnost. (aiōnios )
26 Mtu yeyote akinitumikia mimi, na anifuate; nami nilipo, ndipo na mtumishi wangu atakapokuwapo. Mtu yeyote akinitumikia, Baba atamheshimu.
Svěřit mi svůj život znamená následovat důsledně mého příkladu. To znamená jít cestou radosti i utrpení. Takového služebníka si i můj Otec váží.
27 Sasa roho yangu imefadhaika: nami nisemeje? 'Baba, uniokoe katika saa hii'? Lakini ni kwa kusudi hii nimeifikia saa hii.
Nyní mne svírá úzkost. Mám říci: Otče, uchraň mne toho, co se na mne valí? Ne, tím bych zradil svoje poslání.
28 Baba, ulitukuze jina lako.” Kisha sauti ikaja kutoka mbinguni na kusema, “Nimelitukuza nami nitalitukuza tena.”
Otče, proveď svůj plán záchrany, ukaž lidem svoji slávu!“Vzápětí se z nebe ozval hlas: „Již jsem to učinil a ještě učiním.“
29 Basi mkutano uliosimama karibu naye wakasikia, wakasema ya kwamba kumekuwa ngurumo. Wengine walisema, “Malaika amesema naye.”
Ježíš v té chvíli stál uprostřed velkého davu lidí. Někteří z nich tvrdili, že zahřmělo. Jiní mínili: „To k němu mluvil anděl.“
30 Yesu akajibu na kusema, “Sauti hii haikuja kwa ajili yangu, bali kwa ajili yenu.
„Hlas, který jste slyšeli, nepromluvil kvůli mně, ale kvůli vám, “vysvětloval Ježíš.
31 Sasa hukumu ya ulimwengu huu ipo: Sasa mkuu wa ulimwngu huu atatupwa nje.
„Teď se rozhoduje o tomto světě. Satanova nadvláda nad lidmi bude zlomena.
32 Nami nikiinuliwa juu ya nchi, nitawavuta wote kwangu.”
Tím, že za lidi zemřu, vysvobodím je z jeho tyranie a vezmu je pod svoji ochranu.“
33 Aliyanena hayo akionesha ni mauti gani atakayokufa.
34 Mkutano wakamjibu, “Sisi tumesikia katika sheria ya kwamba Kristo atadumu hata milele. Nawe wasemaje, 'Mwana Adamu lazima ainuliwe juu'? Huyu Mwana wa Mtu ni nani?” (aiōn )
„Mluvíš o smrti?“ozvalo se ze zástupu. „Vždyť Písmo říká o Mesiáši, že bude žít navždy. O kom to tedy vlastně mluvíš?“ (aiōn )
35 Basi Yesu akawaambia, “Nuru ingalipo pamoja nanyi muda kidogo. Enendeni maadamu mnayo nuru, ili kwamba giza lisije likawaweza. Yeye aendaye gizani hajui aendako.
Ježíš jim odpověděl: „Světlo vám zůstane už jen krátce. Važte si ho, dokud svítí. Jděte za světlem, jinak se ocitnete ve tmě. A beze světla ztratíte cestu.
36 Mngali mnayo nuru, iaminini nuru hiyo ili mpate kuwa wana wa nuru.” Yesu aliyasema haya na kisha akaenda zake akajificha wasimwone.
Uvěřte tomu světlu a nechte se jím naplnit, aby z vás svítilo dál, až tu nebude.“Po těchto slovech se Ježíš vzdálil a skryl se.
37 Ingawa Yesu alifanya ishara nyingi namna hiyo mbele yao, bado hawakumwamini
I když Ježíš učinil mnoho zázraků, lidé mu stejně neuvěřili
38 ili litimie neno la nabii Isaya, alilosema: “Bwana, ni nani aliyezisadiki habari zetu? Na mkono wa Bwana amefunuliwa nani?”
a tak se potvrdila slova proroka Izajáše: „Pane, kdo uvěřil našim slovům? Kdo poznal Boží moc?“
39 Ndio sababu wao hawakuamini, maana Isaya alisema tena,
Prorok Izajáš dále ukazuje, jaký důsledek Bůh vyvodil z jejich nevíry.
40 “Amewapofusha macho, na ameifanya migumu mioyo yao; wasije wakaona kwa macho yao na wakafahamu kwa mioyo yao, na wakaongoka nami nikawaponya.”
„Zaslepil jejich oči a zatvrdil srdce, takže nevidí a nechápou. Neobrátí se k Bohu, aby jim mohl pomoci.“
41 Isaya alisema maneno hayo kwa kuwa aliuona utukufu wa Yesu na akanena habari zake.
Prorok zde mluví o Mesiáši a jeho majestátu.
42 Walakini, hata wakuu wengi walimwamini Yesu; lakini kwa sababu ya Mafarisayo, hawakukiri ili wasije wakatengwa na sinagogi.
V Ježíše uvěřilo sice mnoho významných mužů, ale veřejně se k němu nepřiznali, protože se báli o své postavení.
43 Walipenda sifa za wanadamu kuliko sifa zitokazo kwa Mungu.
Záleželo jim více na lidském než na Božím hodnocení.
44 Yesu akapaza sauti na kusema, “Yeye aniaminiye mimi, haniamini mimi tu bali na yeye aliyenituma mimi,
Ježíš mluvil naléhavě k lidem: „Kdo mně věří, věří Bohu, který mne poslal.
45 naye anionaye mimi anamuona yeye aliyenituma.
Kdo mne vidí, vidí také toho, z jehož vůle přicházím.
46 Mimi nimekuja kama nuru ulimwenguni ili kila mtu aniaminiye mimi asikae gizani.
Přišel jsem na svět jako světlo, a kdo ve mne uvěří, nezůstane ve tmě.
47 Ikiwa mtu yeyote atayasikia maneno yangu lakini asiyashike, mimi simhukumu; maana sikuja ili niuhukumu ulimwengu, bali niuokoe ulimwengu.
Kdo slyší má slova a nedbá na ně, toho nesoudím. Nepřišel jsem svět soudit, ale zachránit.
48 Yeye anikataye mimi na asiyeyakubali maneno yangu, anaye amhukumuye: neno hilo nililolinena ndilo litakalomhukumu siku ya mwisho.
Kdo mne odmítá a má slova nepřijímá, ten má již svého soudce: moje slova ho budou soudit v poslední den.
49 Maana mimi sikunena kwa nafsi yangu tu. Bali ni Baba aliyenipeleka, yeye mwenyewe ameniagiza nitakayonena na nitakayosema.
Říkám jen to, čím mne Otec pověřil,
50 Nami najua ya kuwa agizo lake ni uzima wa milele; basi hayo ninenayo mimi - kama Baba alivyoniambia, ndivyo ninenavyo kwao.” (aiōnios )
a moje poselství přináší věčný život. To, co vám říkám, jsou Otcova slova.“ (aiōnios )