< Yohana 10 >

1 Amin, Amini nawaambieni, yule asiyeingia kwa kupitia mlango wa zizi la kondoo, lakini anapanda kwa njia nyingine, mtu huyo ni mwizi na mnyang'anyi.
Yesu akavajovela, “Chakaka nikuvajovela, mundu yoyoha yula mweangayingila muchivaya cha mambelele kwa kupitila pamlyangu uvaha nambu iholota na kuyingila kwa pandu pangi, mwenuyo ndi muhiji na mnyagaji.
2 Yeye aingiaye mlangoni ni mchungaji wa kondoo.
Nambu mundu yula mweiyingila kupitila mlyangu, mwenuyo ndi mdimaji wa mambelele.
3 Kwake mlinzi wa mlango humfungulia. Kondoo waisikia sauti yake na huwaita kondoo zake kwa majina yao na kuwatoa nje.
Mlonda wa mlyangu wa chivaya akumdindulila mlyangu mdimaji. Na mambelele giyuwana lwami lwa mdimaji, namwene akugakemela kwa mahina gavi kila limonga na kugawusa kuvala.
4 Atakapowatoa nje hao walio wake, huwatangulia, na kondoo humfuata, kwa sababu wanaijua sauti yake.
Akamala kugawusa kuvala, mwene akugalongolela kulongolo, na mambelele gakumlanda, ndava gakulumanya lwami lwaki.
5 Hawatamfuata mgeni lakini badala yake watamuepuka, kwa sababu hawazijui sauti za wageni.”
Nambu gakumlanda lepi myehe, ndi gakumtila ndava nakulumanya lwami lwaki.”
6 Yesu alisema mfano huu kwao, lakini hawakuyaelewa mambo haya ambayo alikuwa akisema kwao.
Yesu avajovili kwa luhumu ulu, nambu vene vamanyili lepi cheaganili kuvajovela.
7 Yesu akasema nao tena, “Amini, amini, nawaambia, Mimi ni mlango wa kondoo.
Hinu Yesu akajova kavili, chakaka nikuvajovela nene ndi mlyangu wa chivaya cha mambelele.
8 Wote walionitangulia ni wezi na wanyang'anyi, lakini kondoo hawakuwasikiliza.
Voha vevanilongolili nene, ndi vahiji na vanyagaji, na mambelele nakuvayuwanila.
9 Mimi ni mlango. Yeyote aingiaye kupitia kwangu, ataokolewa; ataingia ndani na kutoka, naye atajipatia malisho.
Nene ndi mlyangu. Mweiyingila munjila yangu yati isanguliwa, yati iyingila na kuhuma na kupewa chakulya.
10 Mwizi haji isipokuwa kuiba, kuua, na kuangamiza. Nimekuja ili kwamba wapate uzima na wawe nao tele.
Mhiji ibwela muni ayivayi, na kukoma na kuhalabisa. Nene nibwelili muni mupatayi wumi wa chakaka weumemili.
11 Mimi ni mchungaji mwema. Mchungaji mwema huutoa uhai wake kwa ajili ya kondoo.
Nene ndi mdimaji mbwina. Mdimaji mbwina ajitendekili hati kufwa ndava ya mambelele gaki.
12 Mtumishi aliyeajiriwa, na siyo mchungaji, ambaye kondoo si mali yake, huwaona mbwa mwitu wakija na huwaacha na kuwakimbia kondoo.
Mhenga lihengu wa luhuna mdimaji lepi, mambelele gaki lepi. Peiwona libwa la kudahi libwela. Ileka mambelele na kutila, kangi libwa la kudahi likamula na kugapechengana.
13 Na mbwa mwitu huwakamata na kuwatawanya. Hukimbia kwa sababu ni mtumishi wa kuajiriwa na hawajali kondoo.
Mundu mwenuyo itila na iyangalila lepi mambelele, ndava mwene ndi mundu wa luhuna ndu.
14 Mimi ni mchungaji mwema, na ninawajua walio wangu, nao walio wangu wananijua mimi.
Nene ndi mdimaji mbwina nigamanyili mambelele gangu, na mambelele gegavi gangu ganimanyili.
15 Baba ananijua, nami namjua Baba, nami nautoa uhai wangu kwa ajili ya kondoo.
Ngati Dadi cheanimanyili nene, na nene chenimmanyili Dadi. Niwusa wumi wangu hati kufwa ndava ya mambelele.
16 Ninao kondoo wengine ambao si wa zizi hili. Hao pia, yanipasa kuwaleta, nao wataisikia sauti yangu ili kwamba pawepo na kundi moja na mchungaji mmoja.
Kangi nivii na mambelele gangi ga chivaya ichi lepi. Yikunigana mewa kugaleta, na gene yati giyuwana lwami lwangu, yati kwivya na msambi umonga na mdimaji mmonga.
17 Hii ndiyo sababu Baba ananipenda: Niutoe uhai wangu halafu niutwae tena.
“Dadi akunigana ndava nikuuwusa wumi wangu muni niupokelayi kavili.
18 Hakuna auchukuaye kutoka kwangu, lakini mimi nautoa mwenyewe. Ninayo mamlaka ya kuutoa, na ninayo mamlaka ya kuutwaa pia. Nimelipokea agizo hili kutoka kwa Baba.”
Kawaka mundu mweakuninyaga wumi wangu, nambu nikuuwusa kwa kugana kwangu namwene. Nivii na uhotola wa kuuwusa wumi wangu na mewa nivii na uhotola wa kuutola kavili. Chenichi ndi Dadi cheanilagizi kukita.”
19 Mgawanyiko tena ukatokea kati ya wayahudi kwa sababu ya maneno haya.
Ndava ya malovi genago ukahumila mpechenganu kavili pagati ya Vayawudi.
20 Wengi wao wakasema, “Ana pepo na ni kichaa. Kwa nini mnamsikiliza?”
Vangi vamahele vakajova, “Mwenuyu ana mzuka! Mewa ana lupengu Ndava kyani kumyuwanila?”
21 Wengine wakasema, “Haya siyo maneno ya mtu aliyepagawa na mapepo. Pepo linaweza kufungua macho ya kipofu?”
Nambu vangi vakajova, “Malovi aga lepi ga mundu ana mzuka. Wu, mzuka uhotola kudindula mihu ga vangalola?”
22 Ndipo ikaja Sikukuu ya Kuwekwa Wakfu Yerusalemu.
Ku Yelusalemu kwenuko kwavili na mselebuko wa kukumbuka kuyibagula Nyumba ndava ya Bambu. Lukumbi lwenulo lwavi lwa mbepu.
23 Ulikuwa wakati wa baridi, na Yesu alikuwa akitembea hekaluni katika ukumbi wa Selemani.
Yesu mwene avi igenda Munyumba ya Chapanga mu libanji la Solomoni.
24 Ndipo Wayahudi walipomzunguka na kumwambia, “Mpaka lini utatuweka katika mashaka? kama wewe ni Kristo, tuambie wazi.
Vayawudi vamtindili, kumkota, “Ukutileka na maholo mbaka ndali? Ngati veve ndi Kilisitu Msangula, hinu utijovela hotohoto.”
25 Yesu akawajibu, “Nimekwisha waambia lakini hamuamini. Kazi nizifanyazo kwa jina la Baba yangu, hizo zinashuhudia juu yangu.
Yesu akavayangula, “Nivajovili, nambu nyenye nakunisadika. Mahengu genihenga nene kwa liina la Dadi wangu gilangisa nene ndi yani.
26 Hata hivyo hamuamini kwa sababu ninyi si kondoo wangu.
Nambu nyenye mwisadika lepi, ndava nyenye lepi mambelele gangu.
27 Kondoo wangu waisikia sauti yangu; Nawajua, nao wanifuata mimi.
Mambelele gangu giyuwana lwami lwangu. Nene nigamanyili na gene gakunilanda.
28 Nimewapa uzima wa milele; hawataangamia kamwe, na hakuna hata mmoja atakayewanyakuwa kutoka mkononi mwangu. (aiōn g165, aiōnios g166)
Nene nikugapela wumi wa magono goha wangali mwishu, katu vifwa lepi, na kawaka mundu mweihotola kuvanyaga kuhuma kwangu. (aiōn g165, aiōnios g166)
29 Baba yangu, aliyenipa hao, ni mkuu kuliko wengine wote, na hakuna hata mmoja aliye na uwezo wa kuwanyakua kutoka mkononi mwa Baba.
Dadi wangu ndi mkulu kuliku vyoha, na kawaka mundu wa kuhotola kuvanyaga mu mawoko ga Dadi wangu.
30 Mimi na Baba tu mmoja.”
Nene na Dadi, tavamonga.”
31 Wakabeba mawe ili wamponde tena.
Hinu, Vayawudi vakanonga maganga muni vamkomayi Yesu.
32 Yesu akawajibu, “Nimeshawaonesha kazi nyingi nzuri kutoka kwa Baba. Kwa kazi zipi kati ya hizo mnataka kuniponda mawe?”
Yesu akavajovela, “Nivalangisi mahengu gamahele kuhuma kwa Dadi. Wu, lihengu loki lelikuvakita nyenye munikoma kwa maganga?”
33 Wayahudi wakamjibu, “Hatukupondi mawe kwa kazi yoyote iliyo nzuri, lakini kwa kukufuru, kwa sababu wewe, uliye mtu, unajifanya kuwa Mungu.”
Vayawudi vakamyangula, “Tikukoma lepi kwa maganga ndava ya mahengu gabwina gehuhengili, nambu ndava ukumliga Chapanga, veve wa mundu ndu nambu ukujikita wa Chapanga.”
34 Yesu akawajibu, “Haikuandikwa katika sheria yenu, 'Nilisema, “Ninyi ni miungu”'?”
Yesu akavajovela, “Yiyandikwi mu malagizu ginu, ‘Nene nijovili, nyenye ndi vachapanga?’
35 Ikiwa aliwaita miungu, kwa wale ambao Neno la Mungu liliwajilia (na Maandiko hayawezi kuvunjwa),
Chapanga avakemili vandu vala vevapewili ujumbi waki ndi vachapanga, na tete timanyili kuvya Mayandiku Gamsopi gijova chakaka magono goha.
36 mnasema juu ya yule ambaye Baba alimtoa na kumtuma katika ulimwengu, 'Unakufuru,' kwa sababu nilisema, 'mimi ni Mwana wa Mungu'?
Dadi anihagwili na kunituma pamulima. Ndava kyani nyenye mukunijovela, nikumliga Chapanga. Penijova nene Mwana wa Chapanga?
37 “Ikiwa sifanyi kazi za Baba yangu, msiniamini.
Ngati nikugahenga lepi mahengu ga Dadi wangu, mkoto kunisadika.
38 Hata hivyo, ikiwa ninazifanya, hata kama hamniamini, ziaminini kazi ili kwamba muweze kujua na kufahamu kwamba Baba yuko ndani yangu na mimi niko ndani ya Baba.”
Ngati nikugahenga, hati ngati mukunisadika lepi, hinu mugasadika mahengu genago. Muhotola kumanya chakaka kuvya Dadi avi mugati yangu, na nene nivii mugati yaki.”
39 Wakajaribu tena kumkamata Yesu, lakini alienda zake kutoka mikononi mwao.
Vakalinga kavili kumkamula Yesu nambu akavalema mu mawoko gavi.
40 Yesu akaenda zake tena ng'ambo ya Yordani sehemu ambayo Yohana alikuwa akibatiza kwanza, na akakaa huko.
Yesu akahamba kangi kumwambu ya mfuleni Yoludani, pandu peavi Yohani ibatiza, akatama kwenuko.
41 Watu wengi wakaja kwa Yesu. Waliendelea kusema, “Yohana kweli hakufanya ishara yoyote, lakini mambo yote aliyoyasema Yohana juu ya huyu mtu ni ya kweli.”
Vandu vamahele vambwelili Yesu na kujova Yohani ahengili lepi gachinamtiti gogoha, “Nambu goha geajovili kumvala mundu uyu ndi chakaka neju.”
42 Watu wengi wakamwamini Yesu hapo.
Vandu vamahele pandu penapo vakamsadika Yesu.

< Yohana 10 >