< Yohana 10 >

1 Amin, Amini nawaambieni, yule asiyeingia kwa kupitia mlango wa zizi la kondoo, lakini anapanda kwa njia nyingine, mtu huyo ni mwizi na mnyang'anyi.
Jesuh naw“Akcanga ka ning jah mthehki: to ngvawng mkawt üng käh lut lü, akce üngka naw kai lü lutki cun mpyukeiea ja tome manei hlükiea kyaki.
2 Yeye aingiaye mlangoni ni mchungaji wa kondoo.
“Mkawt üng lutkia khyang cun toksäma kyaki.
3 Kwake mlinzi wa mlango humfungulia. Kondoo waisikia sauti yake na huwaita kondoo zake kwa majina yao na kuwatoa nje.
“Mkawt mtät naw ani cun mkawt nghmawn pet se, toe naw a kthai ksing khawikie; amäta toe ami ngming phähphäh am jah khü lü kpunga jah ceh püi khawiki.
4 Atakapowatoa nje hao walio wake, huwatangulia, na kondoo humfuata, kwa sababu wanaijua sauti yake.
“Kpunga a jah khü üng, ami hmaia cit lü lam jah msüm se ani cun läk khawikie. Isetiakyaküng, a kthai cun a toe naw ksingki he.
5 Hawatamfuata mgeni lakini badala yake watamuepuka, kwa sababu hawazijui sauti za wageni.”
“Acunsepi, khyang kce cun a kthai am ami ksinga kyase, am läk u, dawngin ta khaie” a ti.
6 Yesu alisema mfano huu kwao, lakini hawakuyaelewa mambo haya ambayo alikuwa akisema kwao.
Ahina msuimcäpnak Jesuh naw jah mtheh se, i a ti hlü hman am ksing u.
7 Yesu akasema nao tena, “Amini, amini, nawaambia, Mimi ni mlango wa kondoo.
Acunüng, Jesuh naw, “Akcanga ka ning jah mthehki: kei cun toe phäh mkawta ka kyaki.
8 Wote walionitangulia ni wezi na wanyang'anyi, lakini kondoo hawakuwasikiliza.
Keia hmaia law maki naküt cun mpyukei ja tome manei hlükiea kyaki he, to naw pi a kthai am jah ngja.
9 Mimi ni mlango. Yeyote aingiaye kupitia kwangu, ataokolewa; ataingia ndani na kutoka, naye atajipatia malisho.
“Kei mkawta ka kyaki. Kei üngkhyüh lutki naküt naw küikyanak yah khai; a k’uma lut lü, akpunga lut law lü, a ei vai hmu khai.
10 Mwizi haji isipokuwa kuiba, kuua, na kuangamiza. Nimekuja ili kwamba wapate uzima na wawe nao tele.
“Mpyukei cun mpyu khai, hnim khai ja kpye khaia va law khawiki. Kei cun xünnak ami yahnak vai däka am kya lü kümkawikia xünnak ami yah vaia phäha ka lawki ni.
11 Mimi ni mchungaji mwema. Mchungaji mwema huutoa uhai wake kwa ajili ya kondoo.
“Kei toksäm kdawa ka kyaki; toksäm kdaw naw toea phäha a sak tawn khawhki.
12 Mtumishi aliyeajiriwa, na siyo mchungaji, ambaye kondoo si mali yake, huwaona mbwa mwitu wakija na huwaacha na kuwakimbia kondoo.
“Toksäm am niki, ami ngvaha toksäm naw mhnge law se a hmuh üng toe jah hawih lü jah dawng ta se, mhnge naw toe jah hutei lü jah kpyang khawiki.
13 Na mbwa mwitu huwakamata na kuwatawanya. Hukimbia kwa sababu ni mtumishi wa kuajiriwa na hawajali kondoo.
“Ami ngvaha toksäm cun ngvaha kyase, toe am jah cäi na lü jah dawng taki.
14 Mimi ni mchungaji mwema, na ninawajua walio wangu, nao walio wangu wananijua mimi.
“Kei cun dawkia toksäm ni. Pa naw na ksing se kei naw pi Pa ka ksinga mäiha, ka toe ka jah ksingki. Ka toe naw pi na ksingki he. “Ami phäha ta ka thih khawhki.
15 Baba ananijua, nami namjua Baba, nami nautoa uhai wangu kwa ajili ya kondoo.
16 Ninao kondoo wengine ambao si wa zizi hili. Hao pia, yanipasa kuwaleta, nao wataisikia sauti yangu ili kwamba pawepo na kundi moja na mchungaji mmoja.
“Ahina to ngvawnga k'uma am veki toe pi ka jah ta hamki. Acun he pi ka jah lawpüi khai. Acun he naw pi ka kthai ngai u se, to pä mat, toksäm mat däka kya law khai.
17 Hii ndiyo sababu Baba ananipenda: Niutoe uhai wangu halafu niutwae tena.
“Kei naw ka sak tawn lü, xünnak ka yah be khaia kyase, Pa naw na mhläkphyanaki.
18 Hakuna auchukuaye kutoka kwangu, lakini mimi nautoa mwenyewe. Ninayo mamlaka ya kuutoa, na ninayo mamlaka ya kuutwaa pia. Nimelipokea agizo hili kutoka kwa Baba.”
“U naw ka sak am lak thei. Kamäta hlüeia ka sak ka pet ni. Ka sak cun pe lü, ka loei be khawhnaka khyaibahnak ka taki. Ahina ngthupet hin ka Paa veia ka yaha kyaki,” a ti.
19 Mgawanyiko tena ukatokea kati ya wayahudi kwa sababu ya maneno haya.
Acuna ngthua phäha Judahea ksunga ngtainak ve lawki.
20 Wengi wao wakasema, “Ana pepo na ni kichaa. Kwa nini mnamsikiliza?”
Aknung bawk naw, “Ani üng khawyai umki ni, yawki ni; ise a ngthu nami ngaiki ni?” ami ti.
21 Wengine wakasema, “Haya siyo maneno ya mtu aliyepagawa na mapepo. Pepo linaweza kufungua macho ya kipofu?”
Avang naw, “Khawyaia venak naw ahin he am jah pyen thei. Khawyai naw ihawkba amikmüe jah vaisak be khawh khai ni? ami ti.
22 Ndipo ikaja Sikukuu ya Kuwekwa Wakfu Yerusalemu.
Khawksik khya üng Jerusalem mlüh Temple Kainaka Pawi veki.
23 Ulikuwa wakati wa baridi, na Yesu alikuwa akitembea hekaluni katika ukumbi wa Selemani.
Jesuh cun Temple k'um, Solamon Luhnak üng ve hlü se,
24 Ndipo Wayahudi walipomzunguka na kumwambia, “Mpaka lini utatuweka katika mashaka? kama wewe ni Kristo, tuambie wazi.
Judahe naw a peia ngbäm law u lü, “Am ngsingngkyaikia i vei na ve ham khai ni? Mesijah na kyak üng angsinga jah mtheha,” ti lü kthähkie.
25 Yesu akawajibu, “Nimekwisha waambia lakini hamuamini. Kazi nizifanyazo kwa jina la Baba yangu, hizo zinashuhudia juu yangu.
Jesuh naw, “Ka ning jah mtheh päng ni, am nami jumki; ka Paa ngming am khut ka pawhe cun ka saksie ni.
26 Hata hivyo hamuamini kwa sababu ninyi si kondoo wangu.
“Acunsepi, ka toea am nami nia phäh, am na jum uki.”
27 Kondoo wangu waisikia sauti yangu; Nawajua, nao wanifuata mimi.
“Ka toe naw ka kthai ksing khawikie, kei naw jah ksing ngü se, na läk law khawikie.
28 Nimewapa uzima wa milele; hawataangamia kamwe, na hakuna hata mmoja atakayewanyakuwa kutoka mkononi mwangu. (aiōn g165, aiōnios g166)
Amimi üng angsäia xünnak ka jah pet, i tia pi am thi u. Amimi cun u naw pi am na jah hutei thei u. (aiōn g165, aiōnios g166)
29 Baba yangu, aliyenipa hao, ni mkuu kuliko wengine wote, na hakuna hata mmoja aliye na uwezo wa kuwanyakua kutoka mkononi mwa Baba.
“Amimi na jah pekia ka Pa cun anaküta kthaka hlüngtai bawki; u naw pi Paa kut üngka am loei thei.
30 Mimi na Baba tu mmoja.”
“Kei ja ka Pa cun mata kani kyaki,” a ti.
31 Wakabeba mawe ili wamponde tena.
Judahe naw ami khawngnak vaia lung loei betükie.
32 Yesu akawajibu, “Nimeshawaonesha kazi nyingi nzuri kutoka kwa Baba. Kwa kazi zipi kati ya hizo mnataka kuniponda mawe?”
Cunsepi Jesuh naw jah msang lü, “Nami hmuha Pa naw a na pet khut akdaw khawhah ka pawhki ni, ia phäha lung am nami na khawng hlüki ni?” a ti.
33 Wayahudi wakamjibu, “Hatukupondi mawe kwa kazi yoyote iliyo nzuri, lakini kwa kukufuru, kwa sababu wewe, uliye mtu, unajifanya kuwa Mungu.”
Judahe naw, “Khut akdaw na pawha phäha lung am kami ning khawng hlüki am ni. Pa na pyenkse ja, nang nghngicim khyanga kya kphei lü Mhnama na ngsuieia phäh ni,” ti lü, ami msang.
34 Yesu akawajibu, “Haikuandikwa katika sheria yenu, 'Nilisema, “Ninyi ni miungu”'?”
Jesuh naw, “Namimäta Thum üng, ‘Nangmi cun mhnamea nami kyaki ka ti’ ti lü am ng’yuk mä?
35 Ikiwa aliwaita miungu, kwa wale ambao Neno la Mungu liliwajilia (na Maandiko hayawezi kuvunjwa),
“Cangcima pyen naküt cun anghläia cangki ti mi ksingki. Pamhnam naw mhnamea a jah suia khyange üng a ngthu jah peki.
36 mnasema juu ya yule ambaye Baba alimtoa na kumtuma katika ulimwengu, 'Unakufuru,' kwa sababu nilisema, 'mimi ni Mwana wa Mungu'?
“Pa naw mcawn lü khawmdek khana a na tüih law kei naw, ‘Kei Mhnama Capa ka tia phäha, ‘Mhnam na pyenkseki’ nami na tinaki aw?
37 “Ikiwa sifanyi kazi za Baba yangu, msiniamini.
“Ka Paa ngjak hlü am ka pawh üng, käh na jum kawm uki.
38 Hata hivyo, ikiwa ninazifanya, hata kama hamniamini, ziaminini kazi ili kwamba muweze kujua na kufahamu kwamba Baba yuko ndani yangu na mimi niko ndani ya Baba.”
“Acunsepi, ka Pa a khut ka pawh üng ta, kei am nami na jum üng pi, Pa kei üng a ve ja Pa üng kei ka vea mawng ahun nami ksing hin anglät cäng khaia, ka pawhmsahea hleng ta nami jum vai sü” ti lü, a jah msang.
39 Wakajaribu tena kumkamata Yesu, lakini alienda zake kutoka mikononi mwao.
Jesuh man khaiea ami bü be kyaw, acunsepi, ami kut üngka naw lätei betüki.
40 Yesu akaenda zake tena ng'ambo ya Yordani sehemu ambayo Yohana alikuwa akibatiza kwanza, na akakaa huko.
Jordan Mliktuia caye, Johan naw akcüka Baptican a jah petnak da cit lü acuia veki.
41 Watu wengi wakaja kwa Yesu. Waliendelea kusema, “Yohana kweli hakufanya ishara yoyote, lakini mambo yote aliyoyasema Yohana juu ya huyu mtu ni ya kweli.”
Khyang khawkän a veia law u lü, “Johan naw müncankse i am pawh; acunsepi Johan naw hina mawng a pyen naküt cang ve” tikie.
42 Watu wengi wakamwamini Yesu hapo.
Acunüng, acuia khyang khawkän naw Jesuh jumkie.

< Yohana 10 >