< Joeli 3 >
1 Tazama, katika siku hizo na wakati huo, nitakaporudi mateka wa Yuda na Yerusalemu,
TUHAN berkata, "Pada waktu itu Yerusalem dan Yehuda akan Kupulihkan kemakmurannya.
2 Nami nitakusanya mataifa yote, na kuwaleta mpaka bonde la Yehoshafati. Nitawahukumu huko, kwa sababu ya watu wangu na warithi wangu Israeli, ambao waliwatawanya kati ya mataifa, na kwa sababu waligawanya nchi yangu.
Semua bangsa akan Kukumpulkan dan Kubawa ke Lembah Penghakiman. Lalu Kuadili mereka di situ atas kejahatannya terhadap umat-Ku karena mereka telah membagi-bagikan tanah Israel dan umat-Ku mereka buang ke berbagai negeri.
3 Wamepiga kura kwa ajili ya watu wangu, walinunua kijana kwa ajili ya kahaba, kuuza msichana kwa divai ili waweze kunywa.
Mereka membuang undi untuk menetapkan siapa akan mendapat para tawanan. Mereka menjual gadis dan pemuda untuk dijadikan hamba sahaya. Dan uangnya mereka pakai untuk pelacur dan untuk minuman anggur.
4 Sasa, kwa nini unanikasirikia, Tiro, Sidoni na mikoa yote ya Wafilisti? Je! mutanirudishia malipo? Hata kama mutanilipa, mara moja nitawarudishia malipo yenu juu ya vichwa vyenu wenyewe.
Hendak kamu apakan Aku ini, hai Tirus, Sidon dan seluruh wilayah Filistin? Inginkah engkau membalas dendam kepada-Ku? Nah, terimalah pembalasan-Ku yang datang dengan cepat.
5 Kwa maana mumechukua fedha zangu na dhahabu zangu, nanyi mukachukua hazina zangu za thamani na kuzileta katika hekalu zenu.
Emas dan perak-Ku sudah kamu rampok, dan harta-Ku yang berharga kamu angkut ke kuilmu.
6 Mumewauza watu wa Yuda na Yerusalemu kwa Wayunani, ili kuwaondoa mbali na maeneo yao.
Penduduk Yehuda dan Yerusalem kamu bawa jauh dari negerinya; kemudian kamu jual kepada bangsa Yunani.
7 Tazama, nitawaamsha, watoke mahali ambako muliwauza, na nitawarudishia malipo juu ya vichwa vyenu wenyewe.
Sekarang Aku membawa mereka keluar dari tempat-tempat kamu menjualnya, dan Aku akan membalas kejahatanmu terhadap mereka.
8 Nitawauza wana wako na binti zako, kwa mkono wa watu wa Yuda. Wao watawauza Sheba, kwa taifa mbali. Kwa maana Bwana amesema.
Putra-putrimu akan Kujual kepada penduduk Yehuda, yang akan menjualnya lagi kepada Syeba, negeri yang sangat jauh. Aku, TUHAN, telah berbicara.
9 Tangaza hii kati ya mataifa, 'Jitayarisheni wenyewe kwa ajili ya vita, waamsheni mashujaa, waacheni wakaribie, mashujaa wote wa vita wapande juu.
Umumkanlah maklumat ini kepada bangsa-bangsa: Bersiaplah untuk berperang dan mengadu tenaga! Kerahkanlah para pendekar dan pahlawan; kumpulkan semua prajurit, dan majulah!
10 Yafueni majembe yenu kuwa panga na visu vyenu vya kuchongea kuwa mikuki. Basi wadhaifu waseme, 'Nina nguvu.'
Tempalah mata bajakmu menjadi pedang, dan pisau pangkasmu menjadi alat penikam. Juga orang lemah harus berkata, 'Aku dapat berjuang seperti tentara!'
11 Haraka na mje, mataifa yote ya karibu, jikusanyeni pamoja huko. Ee Bwana, washushe mashujaa wako.
Ayo, datanglah dengan cepat, hai bangsa-bangsa dari segala penjuru! Berkumpullah di lembah sana." Ya, TUHAN, suruhlah tentara-Mu menyerang mereka!
12 Naam, mataifa yajihimize yenyewe kuja hadi bonde la Yehoshafati. Kwa maana nitakaa huko kuhukumu mataifa yote ya jirani.
TUHAN berkata lagi, "Para bangsa harus bersiap-siap dan pergi ke Lembah Penghakiman. Di situ Aku TUHAN akan mengadili bangsa-bangsa tetangga umat-Ku.
13 Wekeni katiki mundu, kwa maana mavuno yameiva. Njoo, muponde zabibu, kwa ajiri pipa la divai limejaa. Vipuri vilivyofurika, kwa sababu uovu wao ni mkubwa sana.
Mereka sangat jahat; tebaslah mereka seperti gandum masak di ladang. Injak-injaklah mereka seperti anggur dalam pemerasan anggur yang penuh sampai tumpah.
14 Kuna mshtuko, mshtuko katika bonde la Hukumu. Kwa maana siku ya Bwana i karibu katika bonde la hukumu.
Beribu-ribu orang ada di Lembah Penghakiman. Sebab di sana Hari TUHAN akan segera tiba.
15 Jua na mwezi vinakuwa giza, nyota zimeacha kuangaza.
Matahari dan bulan menjadi gelap, dan bintang-bintang tak lagi bercahaya."
16 Bwana ataunguruma kutoka Sayuni, na kuinua sauti yake kutoka Yerusalemu. Mbingu na nchi zitatikisika, lakini Bwana atakuwa makao kwa ajili ya watu wake, na ngome kwa wana wa Israeli.
TUHAN mengaum dari Sion, gunung-Nya; dari Yerusalem mengguntur suara-Nya. Langit dan bumi bergoncang karena-Nya. Tetapi TUHAN akan tetap membela dan melindungi Israel, umat-Nya.
17 Kwa hiyo mtajua ya kuwa mimi ndimi Bwana, Mungu wenu, anayeishi Sayuni, mlima wangu mtakatifu. Kisha Yerusalemu itakuwa takatifu, na hakuna jeshi litaklozunguka tena.
"Hai Israel, kini kamu akan tahu, bahwa Akulah TUHAN Allahmu. Aku tinggal di Sion, gunung-Ku yang suci, Maka Yerusalem pun menjadi kota yang suci, orang asing tak akan memasukinya lagi.
18 Katika siku hiyo, milima itatayarisha divai nzuri, milima itatiririsha maziwa, miito yote ya Yuda itapita katikati ya maji, na chemchemi zitakuja kutoka nyumba ya Bwana na maji ya bonde la Shitimu.
Pada masa itu gunung-gunung akan penuh kebun anggur. Binatang ternak akan makan rumput di bukit-bukit yang subur. Sungai-sungai di Yehuda tak akan pernah habis airnya. Sebuah sungai akan mengalir dari Rumah TUHAN, dan membasahi Lembah Akasia dengan air nyaman.
19 Misri itakuwa ukiwa, na Edomu itakuwa jangwa tupu, kwa sababu ya vurugu iliyofanyika kwa watu wa Yuda, kwa sababu walimwaga damu isiyo na hatia katika nchi yao.
Mesir akan menjadi gurun yang kersang, dan Edom menjadi tandus, tak dihuni orang. Sebab mereka telah menyerang orang Yehuda, dan membunuh penduduk negeri yang tiada salahnya.
20 Lakini Yuda utakua mwenyeji milele, na Yerusalemu itakuwa kizazi hata kizazi.
Bagi darah mereka akan Kutuntut balas, pembunuhnya akan mati Kutebas. Tetapi Yehuda dan Yerusalem akan selalu berpenghuni, dan Gunung Sion akan tetap Kudiami."
21 Nitawalipizia damu yao, ambayo sijajilipizia kisasi, kwa maana Bwana anaishi Sayuni.